DARASA LA UMEME jinsi ya kupima Earth kwa uhakika zaidi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 36

  • @MKANYIA
    @MKANYIA วันที่ผ่านมา

    Mkuu, naomba kufahamu vitu vifuatavyo...
    1. Earth Leakage
    2. Earth Resistance

  • @jafariimduduu9264
    @jafariimduduu9264 2 ปีที่แล้ว

    Umetisha kiongozi asante mimi ni bonge la fundi

  • @avitusjovin
    @avitusjovin 2 ปีที่แล้ว

    Asante Sana nimekuelewa sanaaaaaaa

  • @IT-Expert2023
    @IT-Expert2023 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ninaomba kujua hapo kama hiyo waya ya niutro na earth rod zinaumeme , huoni kama ukiunganisha utakuwa umeshort circuit? na hapo itasababisha umeme kuisha haraka bila sababu?

    • @marznamacoy7906
      @marznamacoy7906 หลายเดือนก่อน

      Naona km una voltage na current kwe earth itakua ni earth leakage kitu ambacho hakitaki sasa sijaelewa hapa

  • @hamadshembago7647
    @hamadshembago7647 2 ปีที่แล้ว +3

    Nilishawahi kufanya test hiyo matokeo yake nilikuwa nikiweka bulb inatrip shida nn tena

    • @richardernest2249
      @richardernest2249 ปีที่แล้ว

      Inakua eth mbovu sio orijino

    • @japharysingano2742
      @japharysingano2742 23 วันที่ผ่านมา

      Ah sio kwel inategemea pia uwiano hio breaker

    • @japharysingano2742
      @japharysingano2742 23 วันที่ผ่านมา

      ​@@richardernest2249inatrip pia kutokn muunganik wa earth na neutral so il upate ubora earth lazm u disconect hio earth lead, so hp ch kueleea anatest system earty

  • @LaulianMsaby-lb6jw
    @LaulianMsaby-lb6jw ปีที่แล้ว

    Kweli kabisa kaka

  • @mansurAlly-xy3qy
    @mansurAlly-xy3qy 6 หลายเดือนก่อน

    naitaji kujua zaidi mambo kuuhusu umeme

  • @msenaSimba
    @msenaSimba ปีที่แล้ว

    Hiyo ya kuchanganya earh na nutro huwa tunaita urop system lkn je ikitokea phese imechanganyika nutro imepokea phase na phase imepokea nutro itakuje?

  • @geofreyemmanuel4881
    @geofreyemmanuel4881 2 ปีที่แล้ว

    Kweli kabisa

  • @richardernest2249
    @richardernest2249 ปีที่แล้ว

    Hio nikwamuda gan ukishafnya mchanganyiko au unatakiwa ukae muda gan baada yakuchanganya

  • @creationpowertv4331
    @creationpowertv4331 2 ปีที่แล้ว

    Je hyo waya iliyokwenda kuchukua umeme kwenye msb je baada ya kufanya testing ya earth waweza kuitoa kule kwenye msb au inabaki pale ple kwenye power

    • @azidaali1647
      @azidaali1647 2 ปีที่แล้ว

      unaitowa unaiweka kwenye sehemu ya yake iliyoandikwa earth au E kwa sababu ukiiyacha palepale circut break ita trip sawa

  • @muhamedabdalla8592
    @muhamedabdalla8592 2 ปีที่แล้ว +1

    Sasa Kama nikichukuwa nyutro chin umemekatika Mita unatembeya

    • @azidaali1647
      @azidaali1647 2 ปีที่แล้ว

      ndio lazima utembee itakuwa live yko ni ule wire wa earth na neutral yko itakuwa chini ya earth road so ukisaplan lamp zitawaka haha socket pia itafnya kzi iwapo utaweka mcb yenye uwezo

  • @dausonmyamba3151
    @dausonmyamba3151 2 ปีที่แล้ว

    Hey

  • @mmasipeter4157
    @mmasipeter4157 ปีที่แล้ว

    Sasa hapo ukiwa umechimbiya chuma tupu au ukachimbiya waya taa c laxima I wake mkuuu

  • @zejahtz4922
    @zejahtz4922 2 ปีที่แล้ว

    nmekupata kaka njema sana nmehifadhi kitu

  • @wilgrisernest2184
    @wilgrisernest2184 ปีที่แล้ว

    Ukifanya hivyo brk waga inajizima taa ikiwaka2

  • @dausonmyamba3151
    @dausonmyamba3151 2 ปีที่แล้ว

    Naswali kwanini Earth inakua namoto mwenye soketi?

  • @allymnimbo4304
    @allymnimbo4304 2 ปีที่แล้ว

    Ukifanya hivyo kwa mita za kisasa inatempere

  • @abuumbugi8603
    @abuumbugi8603 3 ปีที่แล้ว

    mwalim vp nkiunga hivyo kwa ndani

  • @mchungajisingano7218
    @mchungajisingano7218 3 ปีที่แล้ว +1

    je Earth inazuia radi

    • @creationpowertv4331
      @creationpowertv4331 2 ปีที่แล้ว +1

      Naomba kuuliza nilazima waya wa Earth lazima ui connect kwenye mcb

    • @dausonmyamba3151
      @dausonmyamba3151 2 ปีที่แล้ว

      Kwanini Earth kwenye soketi inakua na umeme

    • @dausonmyamba3151
      @dausonmyamba3151 2 ปีที่แล้ว

      Hey

    • @azidaali1647
      @azidaali1647 2 ปีที่แล้ว

      ndo kazi yake kiongozi

    • @azidaali1647
      @azidaali1647 2 ปีที่แล้ว

      @@creationpowertv4331 nilazima kwa sabbu kwenye mbc ndipo panatoka power na ndio lazima kuweka waya wa earth ilimradi ujuwe earth road yko iko poa

  • @mchungajisingano7218
    @mchungajisingano7218 3 ปีที่แล้ว

    je Earth inaweza kuzuia radi

    • @mchungajisingano7218
      @mchungajisingano7218 3 ปีที่แล้ว

      je ukipigwa na choti kupitia taa ambayo haina waya wa earth rod madhara yatakuwa ni makubwa kiasi gani na earth itakusaidiaje hapo kwenye taa na wakati waya wake haupo hapo kwe horoda

    • @azidaali1647
      @azidaali1647 2 ปีที่แล้ว

      @@mchungajisingano7218 kma circut break ipo bc madhara hayatokuwa makubwa sana ila kma circut break mbovu au haipo madhara yke ni makubwa sna

    • @amina1469
      @amina1469 ปีที่แล้ว

      Umetisha