MATOZI WA YANGA WATINGA KIBABE KWENYE UZINDUZI WA YANG Z/MTAISOMA NAMBA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 49

  • @nangomwabaharia9242
    @nangomwabaharia9242 9 วันที่ผ่านมา +2

    Yanga wako vizuri

  • @prosperhangu5010
    @prosperhangu5010 9 วันที่ผ่านมา +3

    Gody hongera ubunifu mzuri. Siku ya watoto ni muhimu Sanaa. Nakupongeza ww na wenzako. Enjoy well my brother.

  • @zachariamishai7258
    @zachariamishai7258 9 วันที่ผ่านมา +6

    Mchome yeye alishaamua kuifata furaha japo ni mwana thimba😂😂😂🙌

    • @IbniAbbas-yz3kt
      @IbniAbbas-yz3kt 9 วันที่ผ่านมา +1

      Aliyekwambia uyo ni Simba nani!?Uto mwenzio uyoo

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 9 วันที่ผ่านมา +1

      S@@IbniAbbas-yz3ktanafata raha! Leo kolo kacheza closed doors,sasa aende wap!

    • @IbniAbbas-yz3kt
      @IbniAbbas-yz3kt 9 วันที่ผ่านมา +1

      @@errydeo8865 Uto kweli wenye akili timamu ni3 tu aliye sema hivyo hajakosea!

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 9 วันที่ผ่านมา +1

      @@IbniAbbas-yz3kt utabaki HIVYO hivyo,watu wanakupita🤣🤣

    • @Asia-p5r
      @Asia-p5r 8 วันที่ผ่านมา

      😂😂bora uto kuna watatu Kyle mbumbumbu fc wapo wawili mchome na miraji mby zaidi ni mashabiki na wanachama hwn maamuzi yyt kwenye timu....zaidi ya kupiga kelele mitandaoni

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr 9 วันที่ผ่านมา +3

    Miss you Tiffa 🎉🎉🎉

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 9 วันที่ผ่านมา +2

    Akhui God upo vizuri kwakweli safi sana kazi Iendelee

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 9 วันที่ผ่านมา +2

    Safi sana vijana

  • @Anandezi
    @Anandezi 9 วันที่ผ่านมา +1

    God yanga, uko vizuri sana 🇹🇿👍🏽

  • @mrjemus388
    @mrjemus388 9 วันที่ผ่านมา +2

    💚💚💚💚💚💚💪 Young Africans hara sna

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr 9 วันที่ผ่านมา +1

    Brothers ziii hongereni

  • @TinnahWilliam-i5p
    @TinnahWilliam-i5p 8 วันที่ผ่านมา

    Mlifanya Lin makolo unavyo sema mshavuka

  • @MsafiliMbalwa
    @MsafiliMbalwa 9 วันที่ผ่านมา +1

    Yanga raha

  • @musseleng.2124
    @musseleng.2124 9 วันที่ผ่านมา +1

    Miss you Latifa

  • @FatmaJumawazir
    @FatmaJumawazir 9 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂😂 yani godi nainjoy sana kumsikiliza

  • @SimonMapunda-g9d
    @SimonMapunda-g9d 9 วันที่ผ่านมา

    ongerin Sana

  • @JohnLyakurwa-v8y
    @JohnLyakurwa-v8y 9 วันที่ผ่านมา

    God Yanga kama nikki wa pili

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr 9 วันที่ผ่านมา

    Mpenja bado June

  • @umikifupa-mi3re
    @umikifupa-mi3re 9 วันที่ผ่านมา

    Kwa mbali nimemuona mchome

  • @UrassaPaschal
    @UrassaPaschal 9 วันที่ผ่านมา

    God kama MB Dogg vile😂😂😂

  • @lydiadaudi4076
    @lydiadaudi4076 9 วันที่ผ่านมา

    Priva miguu ya kichaga, ila God😂😂😂😂

  • @AnordAridin
    @AnordAridin 9 วันที่ผ่านมา

    Yana hawa jamaa hata kiswahili wamesahau😂😂 kama wapo roma

  • @aproniamasatu5810
    @aproniamasatu5810 9 วันที่ผ่านมา

    sawa sawa mchome mwenye simba yake

  • @franccoz94
    @franccoz94 9 วันที่ผ่านมา

    NA CHAWAAA WAO

    • @Abuu-gs1yi
      @Abuu-gs1yi 8 วันที่ผ่านมา

      Kiroboto pita huku

  • @IssackJackson
    @IssackJackson 9 วันที่ผ่านมา

    huyu mchome da

  • @abubakarbajun3503
    @abubakarbajun3503 9 วันที่ผ่านมา

    Shughuli machokooo

    • @LeylaSaria
      @LeylaSaria 9 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂

  • @wimranpatrick
    @wimranpatrick 9 วันที่ผ่านมา

    Pepo mtaiskia kwa mpenja eti simba z kolo z

  • @AthumaniKamau-yi8xf
    @AthumaniKamau-yi8xf 9 วันที่ผ่านมา

    Kweli mchome yanga.
    Kama anabisha atakuwa hana akili uyu JAMAAAA

    • @omarymtotela3751
      @omarymtotela3751 9 วันที่ผ่านมา

      Simba dam uyo

    • @AthumaniKamau-yi8xf
      @AthumaniKamau-yi8xf 9 วันที่ผ่านมา

      @@omarymtotela3751 kwahyo kule Kenda wachota yanga akili

    • @user-no5xr7qc8y
      @user-no5xr7qc8y 9 วันที่ผ่านมา

      Simba hatuna mashoga sisi.

    • @musamagulu2023
      @musamagulu2023 9 วันที่ผ่านมา

      Shoga wa kwanza simba ni Wewe mwenyewe leo unajitoa kwenye kundi lako eti?​@@user-no5xr7qc8y

    • @BakaryOmally
      @BakaryOmally 9 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-no5xr7qc8y ni wivu tu labda kusema neno hilo ndio utatunyamazishaa

  • @khamisimngagi
    @khamisimngagi 9 วันที่ผ่านมา

    Shuguli ya mashoga

    • @stellahibrahim7176
      @stellahibrahim7176 9 วันที่ผ่านมา

      We ndo shoga unawashwa hv vitu kwenu adim kenge wewe😏

    • @Abuu-gs1yi
      @Abuu-gs1yi 8 วันที่ผ่านมา

      Aah Deborah huku kwa wanaume unafanya nn

  • @germanmachine5620
    @germanmachine5620 9 วันที่ผ่านมา

    Umevuka wp hata kufika theluthi hujawahi kufika sisi tunawajua nyie ni mabingwa wa Comedy haya mambo yanahitaji ubunifu na Education uwe nayo🤣🤣🤣🤣

    • @Abuu-gs1yi
      @Abuu-gs1yi 8 วันที่ผ่านมา

      Comedian ni Kispika

  • @Sanjey-vp1fm
    @Sanjey-vp1fm 9 วันที่ผ่านมา

    Simba tushavuka uko

    • @HumphreyWilliams-xg3hb
      @HumphreyWilliams-xg3hb 9 วันที่ผ่านมา

      Kweli mshavuka mto

    • @germanmachine5620
      @germanmachine5620 9 วันที่ผ่านมา

      Hata theluthi hamja wahi kufika haya mambo yanahitaji Ubunifu na Education nyie ni msbingwa wa comedy🤣🤣🤣🤣

    • @Abuu-gs1yi
      @Abuu-gs1yi 8 วันที่ผ่านมา

      Kuelekea wapi