ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Dah jmn anaemuona zatiti kila Kona akilia alike apa😭😭😭
🤣🤣🤣 Kila movie yy kilio2🤣
Mmmmmm mbona Leo mumewangu ataniuwa mana najikuta nalusha muve mboga sija nunua saiz mungu wangu
😂😂😂
Chezea busati 😂
Ahahhaha
😂😂😂😂😂
Wewe 😂😂😂😂
Nawapenda sana dazuu ebu njo burundi jamani nakupenda wewe na nakai na zatiti
Nawapenda Sana busati ❤❤❤
Da mvi zuli ila zuu nimempenda bure anaweza sana kuicheza karata yake tena nizuli ninge muona alive ningependa.nimuowe kabiza.❤❤❤❤❤❤❤
Zatit umerogwa na mapenz Kila siku unatendwa ww na kulia kwenye mapenz 😊😊😊😊😊
Ukweli uyo zatity amerogwa ashwa😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Yani huyu zatiti kila move yeye hana furaha kilio tu kwake yeye
Wasita jamani leo habali zenu wapenzi wa zuu na kai itika kwa kugonga like hapa
Hii nayo kaliiiii vijana safi sana
Kazi nzuri sana mungu awabariki hamjawahi kukosea
Jamabu mtatua kwa kazi mzuri mi nipo lebanoni
Movie akiwepo zatity na zuu iyo siachi kuangalia nawapenda sana ❤❤❤❤
Pammoja
Kila movie zatity kulizwa na mapenzi jamani nani atampenda zatity 😢😢😢ila pole sana
Kali sana wanangu
Zatiti chukua mau🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Zatiti unajua kuziplay hizi pati,hongera
Malizeni house girl Kwanza kina zuuh❤❤
Pili bhana eti meno kama folen ya madumu😂😂❤❤❤
Na wapenda sana kazi juyakazi
Jamani wapili Leo ❤❤❤
Zatiti kila mahali ww ni wa machozi nakupenda ❤❤❤
Ila daa pili maboga wanifurahisha hatari,, una vichambo... eti vinywele vinkusimama kma mkutano wa nzi😂😂😂
Zatiti badilisha karata usije ikakuzoea iwe kweli utuumize wenzio mi sipend uwe unalia mzur wangu wew❤❤❤
Zatiti hio pat waieza kulia 😂😂😂😂😂😂
Zatiti kila muvi uko kwenye kulia tuu inaonesha unapenda sana uko kulia jmn polee
Jamani zatiti umelia sana Kila mahali dada ya watu analia to
Wee zatiti ntakugota sasa cpend unavyolia kila movie ila nakupenda sana 🎉🎉🎉🎉
Wooooh nilimpeza pili maboga kitambo😂😂❤❤
Zatiti tunaomba in the next movie uwe na furahaa tena wala sio uzuni maana pia Sisi tunauzinika mno😢😢
Jamani zatt ww tena pole Sana mapenzi hayanaga sujaa lkn zatt hebu muache aende utapata mwengine
We zatiti uyo pia yuwakutoa machozi mwenyewe kama mwizi wakuku😂😂 ayo machozi yko yamekuwa kama yamwanamke wakihidi
Shart lenye amevaa linamikunjo utadhani nyumba ya kunguni 😂😂😂😂😅😅😅kisha zatiti amlilia
Kwenye mapenzi ya dhati silazima uangalie mavazi
Jamani zatiti kila movie analia tuu ju ya mapenzi,,jameni mjaribu kumpenda tuu🎉🎉❤
Nimeshagundua kua zatiti hiki ni kipaji chake ssa chakulia maskini waaah😢😢😢😢
Zatity acha tukupe mkenya akutuluze kwa mapenzi juu umelia sana huko tz kuja kenya mamaa
Jaman movie ikiwa na dapili huwa yanoga na dazuu aky kazi nzuri sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Zuu tunakupenda pamoja na za titi munatufunza mengi sana nakai
😂😂😂😂Huy mama yke zuu Sio Kwa michambo hiy
😂😂😂😂Chezea pili maboga wewee
😂😂😂😂😂😂😂😂
Mjuba💯hudochi💯 Maya 💯nawote mlocheza mmetenda haki
❤❤❤
❤❤🎉
Tena huyo mama kelele yuko huku daah!😂😂😂😂
Duu!Anaemuona zatiti kila movie analia,like tukisonga
Mbona huyu zatiti kila move analia hivo
Leo mm wannee
Tobaaaaaa🙆Busati TV mtanisababishia nifukuzwe kibarua ni dah kila mda movie iyo nipo data naweka mwezi ili nisikose yajao ya Busati TV 🎉
Wa kwanza leo
Muvi zenu ni Kali sana mpo vizuri ❤️❤️❤️❤️
Samir uko vizuri nlikukubali kwa love bite kule team ruta🎉🎉🎉
Samir we fundii nakuona kama shurkan baba kamuaa baba😊
Bongee moja la kazii alooooo💯🔥🔥🔥💯
❤❤❤🎉
Agachuuu😂😂😂 pili maboga ❤
Zatiti kwa kulia jamani had unanipa uchungu.lakini kazi nzuri ❤
Pili maboga jamani miss you too much
Zatiti Unafaa Tukufanyie Maombe Cyo Kwa Yatika Wa Mapenzi Kiasi Icho Kila Maali Unaachwa Duuu Aliekurogwa Alikurugwa Kweliii😢😢😢😢😂😂😂😂
Ila huyu mama ananifuraisha kwel😂😂😂
Zatiti unazidi kwa kulia unaanza kunikera
🤣🤣🤣🤣
Satiti ww wakulipe mshahara mingi ju wanakuweka section ya kumia kulia akhi mapenzi imekukataa pole🎉🎉🎉
Zatiti wangu hatuchekani sote ni yatima wa mapenzi nakupnda mno❤❤
Zatity kila sehemu ni kulia tu 😢
Zatiti unann lakin mbona kila move unalia too pole sana unatia huruma
Zatiti unalia Sana mpaka kelo
Yani mamke zuu hatari 😅😅😅
Tausi wanaume 5 kwa uchi gan 😂😂😂😂😂
😂😂
Da pil uko vizur sana mwaaaaaa
Jaman si tumalize nyengne ndo muanze engne mwatuchanya
Zatiti huna nyota ya mapenzi jamanii 😢😢
Hiv kwanini dada zatiti Kila mda ni wamajonzi jamani mashabiki wa zatiti tuungane juu ya Ili mana ni m2 mpole sana lakini sijui hawa watu wanamchukuliaje
Eti kibushuti,mbegu ya kongo😂😂😂😂😂😂
Napend xan movie za haw wa2 jaman
Nice one
Apa ndio zuri kapata mama xaxa...ana chamba xna....eti i got you au i hate you😅😅
Sure pili maboga
🤣🤣🤣🤣 Got you🤣
Mweee zatiti polee mwayaaa
Vipenz tumekutana tena
Zatiti kila movie unalia tu sababu mapenzi wooooi bona ivi zatiti
Hio agachu ya pili maboga mimi ndio I like😂
Zatiti anauzi sasa movie zote analia na wanaume
Mbona mmekata mapema jamani 😢
Zatiti umezidi kila siku ww,,,nyota ya mapenzi huna,,,huruma kwakweli pole
Huyu mama anaongea sana ata anaboo
Mmmh mam ake zuu ni wa motooo 😂😂
Ila pili maboga hilo tusi la mbwa analipenda sana ila sio zuri kwenye kuigiza abadilike
Jamani mbona mnamliza zatiti na mapenzi muoneeni huruma zatiti
Nimesom coment nying nying watu wamejanjaruka Sasa wale waomba like sijawaona tuendelee hv hv tucoment tunachojifunza na kukosoa penye mapungufu
Pili maboga jmn nimefurahi kukuona 😂😂😂
Da zatiti mapenz yamekutenga sana
Jamani zatiti muoneeni huruma yaani yeye kila move ni wakulia tu mda wote 😂😂😂
Jmn zatit mtamkaush machoz kila sehem analia
Wanayo mupenda zuu nakai za titi na Tasha comment
Safi kaz nzuri
Zatiti na zuu🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
Huyu mama noise makers😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Movi nzuri sana❤❤❤❤❤
Mganga ngonde kimamura ehee njaa njaaa😂😂😂😂😂
Meno kama folen za madumu😅😅
ila zatiti sijui kwann nampenda
Zatiti mbn ww wakuumizwa kila siku misipendi jamani
Hii movie imechangamka nanuyu mamake zuu😂😂😂jamani niko kazini mtanifanya kibarua kiote nyasi😅
Nomaaaaa
Mh move kali sanaaaaaah
😂😂😂😂dada mcharuko ndani ya nyumba 😂😂😂
Zatiti kila move analia kisa mapenzi 😢
BUSATI NYIE MTAWACHA NDOA ZIUNGUE😂😂😂
Ngonde Leo msela 😂😂😂
Dah jmn anaemuona zatiti kila Kona akilia alike apa😭😭😭
🤣🤣🤣 Kila movie yy kilio2🤣
Mmmmmm mbona Leo mumewangu ataniuwa mana najikuta nalusha muve mboga sija nunua saiz mungu wangu
😂😂😂
Chezea busati 😂
Ahahhaha
😂😂😂😂😂
Wewe 😂😂😂😂
Nawapenda sana dazuu ebu njo burundi jamani nakupenda wewe na nakai na zatiti
Nawapenda Sana busati ❤❤❤
Da mvi zuli ila zuu nimempenda bure anaweza sana kuicheza karata yake tena nizuli ninge muona alive ningependa.nimuowe kabiza.❤❤❤❤❤❤❤
Zatit umerogwa na mapenz Kila siku unatendwa ww na kulia kwenye mapenz 😊😊😊😊😊
Ukweli uyo zatity amerogwa ashwa😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Yani huyu zatiti kila move yeye hana furaha kilio tu kwake yeye
Wasita jamani leo habali zenu wapenzi wa zuu na kai itika kwa kugonga like hapa
Hii nayo kaliiiii vijana safi sana
Kazi nzuri sana mungu awabariki hamjawahi kukosea
Jamabu mtatua kwa kazi mzuri mi nipo lebanoni
Movie akiwepo zatity na zuu iyo siachi kuangalia nawapenda sana ❤❤❤❤
Pammoja
Kila movie zatity kulizwa na mapenzi jamani nani atampenda zatity 😢😢😢ila pole sana
Kali sana wanangu
Zatiti chukua mau🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Zatiti unajua kuziplay hizi pati,hongera
Malizeni house girl Kwanza kina zuuh❤❤
Pili bhana eti meno kama folen ya madumu😂😂❤❤❤
Na wapenda sana kazi juyakazi
Jamani wapili Leo ❤❤❤
Zatiti kila mahali ww ni wa machozi nakupenda ❤❤❤
Ila daa pili maboga wanifurahisha hatari,, una vichambo... eti vinywele vinkusimama kma mkutano wa nzi😂😂😂
Zatiti badilisha karata usije ikakuzoea iwe kweli utuumize wenzio mi sipend uwe unalia mzur wangu wew❤❤❤
Zatiti hio pat waieza kulia 😂😂😂😂😂😂
Zatiti kila muvi uko kwenye kulia tuu inaonesha unapenda sana uko kulia jmn polee
Jamani zatiti umelia sana Kila mahali dada ya watu analia to
Wee zatiti ntakugota sasa cpend unavyolia kila movie ila nakupenda sana 🎉🎉🎉🎉
Wooooh nilimpeza pili maboga kitambo😂😂❤❤
Zatiti tunaomba in the next movie uwe na furahaa tena wala sio uzuni maana pia Sisi tunauzinika mno😢😢
Jamani zatt ww tena pole Sana mapenzi hayanaga sujaa lkn zatt hebu muache aende utapata mwengine
We zatiti uyo pia yuwakutoa machozi mwenyewe kama mwizi wakuku😂😂 ayo machozi yko yamekuwa kama yamwanamke wakihidi
Shart lenye amevaa linamikunjo utadhani nyumba ya kunguni 😂😂😂😂😅😅😅kisha zatiti amlilia
Kwenye mapenzi ya dhati silazima uangalie mavazi
Jamani zatiti kila movie analia tuu ju ya mapenzi,,jameni mjaribu kumpenda tuu🎉🎉❤
Nimeshagundua kua zatiti hiki ni kipaji chake ssa chakulia maskini waaah😢😢😢😢
Zatity acha tukupe mkenya akutuluze kwa mapenzi juu umelia sana huko tz kuja kenya mamaa
Jaman movie ikiwa na dapili huwa yanoga na dazuu aky kazi nzuri sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Zuu tunakupenda pamoja na za titi munatufunza mengi sana nakai
😂😂😂😂Huy mama yke zuu Sio Kwa michambo hiy
😂😂😂😂Chezea pili maboga wewee
😂😂😂😂😂😂😂😂
Mjuba💯hudochi💯 Maya 💯nawote mlocheza mmetenda haki
❤❤❤
❤❤🎉
Tena huyo mama kelele yuko huku daah!😂😂😂😂
Duu!Anaemuona zatiti kila movie analia,like tukisonga
Mbona huyu zatiti kila move analia hivo
Leo mm wannee
Tobaaaaaa🙆
Busati TV mtanisababishia nifukuzwe kibarua ni dah kila mda movie iyo nipo data naweka mwezi ili nisikose yajao ya Busati TV 🎉
Wa kwanza leo
Muvi zenu ni Kali sana mpo vizuri ❤️❤️❤️❤️
Samir uko vizuri nlikukubali kwa love bite kule team ruta🎉🎉🎉
Samir we fundii nakuona kama shurkan baba kamuaa baba😊
Bongee moja la kazii alooooo💯🔥🔥🔥💯
❤❤❤🎉
Agachuuu😂😂😂 pili maboga ❤
Zatiti kwa kulia jamani had unanipa uchungu.lakini kazi nzuri ❤
Pili maboga jamani miss you too much
Zatiti Unafaa Tukufanyie Maombe Cyo Kwa Yatika Wa Mapenzi Kiasi Icho Kila Maali Unaachwa Duuu Aliekurogwa Alikurugwa Kweliii😢😢😢😢😂😂😂😂
Ila huyu mama ananifuraisha kwel😂😂😂
Zatiti unazidi kwa kulia unaanza kunikera
🤣🤣🤣🤣
Satiti ww wakulipe mshahara mingi ju wanakuweka section ya kumia kulia akhi mapenzi imekukataa pole🎉🎉🎉
Zatiti wangu hatuchekani sote ni yatima wa mapenzi nakupnda mno❤❤
Zatity kila sehemu ni kulia tu 😢
Zatiti unann lakin mbona kila move unalia too pole sana unatia huruma
Zatiti unalia Sana mpaka kelo
Yani mamke zuu hatari 😅😅😅
Tausi wanaume 5 kwa uchi gan 😂😂😂😂😂
😂😂
Da pil uko vizur sana mwaaaaaa
Jaman si tumalize nyengne ndo muanze engne mwatuchanya
Zatiti huna nyota ya mapenzi jamanii 😢😢
Hiv kwanini dada zatiti Kila mda ni wamajonzi jamani mashabiki wa zatiti tuungane juu ya Ili mana ni m2 mpole sana lakini sijui hawa watu wanamchukuliaje
Eti kibushuti,mbegu ya kongo😂😂😂😂😂😂
Napend xan movie za haw wa2 jaman
Nice one
Apa ndio zuri kapata mama xaxa...ana chamba xna....eti i got you au i hate you😅😅
Sure pili maboga
🤣🤣🤣🤣 Got you🤣
Mweee zatiti polee mwayaaa
Vipenz tumekutana tena
Zatiti kila movie unalia tu sababu mapenzi wooooi bona ivi zatiti
Hio agachu ya pili maboga mimi ndio I like😂
Zatiti anauzi sasa movie zote analia na wanaume
Mbona mmekata mapema jamani 😢
Zatiti umezidi kila siku ww,,,nyota ya mapenzi huna,,,huruma kwakweli pole
Huyu mama anaongea sana ata anaboo
Mmmh mam ake zuu ni wa motooo 😂😂
Ila pili maboga hilo tusi la mbwa analipenda sana ila sio zuri kwenye kuigiza abadilike
Jamani mbona mnamliza zatiti na mapenzi muoneeni huruma zatiti
Nimesom coment nying nying watu wamejanjaruka Sasa wale waomba like sijawaona tuendelee hv hv tucoment tunachojifunza na kukosoa penye mapungufu
Pili maboga jmn nimefurahi kukuona 😂😂😂
Da zatiti mapenz yamekutenga sana
Jamani zatiti muoneeni huruma yaani yeye kila move ni wakulia tu mda wote 😂😂😂
Jmn zatit mtamkaush machoz kila sehem analia
Wanayo mupenda zuu nakai za titi na Tasha comment
Safi kaz nzuri
Zatiti na zuu🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
Huyu mama noise makers😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Movi nzuri sana❤❤❤❤❤
Mganga ngonde kimamura ehee njaa njaaa😂😂😂😂😂
Meno kama folen za madumu😅😅
ila zatiti sijui kwann nampenda
Zatiti mbn ww wakuumizwa kila siku misipendi jamani
Hii movie imechangamka nanuyu mamake zuu😂😂😂jamani niko kazini mtanifanya kibarua kiote nyasi😅
Nomaaaaa
Mh move kali sanaaaaaah
😂😂😂😂dada mcharuko ndani ya nyumba 😂😂😂
Zatiti kila move analia kisa mapenzi 😢
BUSATI NYIE MTAWACHA NDOA ZIUNGUE😂😂😂
Ngonde Leo msela 😂😂😂