Asante Shekh Jalala kwa nasaha nzuri kwa Ustaadhi Hamza,uislam ni Bahari kubwa anatakiwa asipime kina kwa macho. suala la Kumsomesha zaidi ni jambo la hekima.na la msingi!! Suala jingine ni kuhusu Watu wanaoweka maoni yao hapa.Hawazingatii maneno ya viongozi hawa wa dini. hivyo wao kujikuta wakitoa kauli zinazokinzana na matamko ya mashekh na wanazuoni waliopo katika jopo hili. Nimefuatilia kwa kina mjadala huu.hakuna kiongozi hata mmoja aliyemuita Hamza Kafirii. masheikh wote wameendesha mjadala pasipo neno kama hilo.sasa hawa wanaoandika huyu ni kafiri elimu zao zimewazidi viongozi hawa waliofanya kazi hii kwa hekima kubwa au? Nadhani tunatakiwa kuheshimu kauli za viongozi wetu,na kauli ya Muumin haiwezi kuwa ya mbele kisha ikafuata ya kiongozi. Tuheshimu na kutanguliza hekima hizi. na pia tujifunze ustaarabu huu wa kuheshimu hata watu wenye mwelekeo wa aina hii wa imani.wanachohitaji ni kuelimishwa na sio kutukanwa,au kubaguliwa. Hongera shekh Jallala kwa Hekima Nzuri sana.Mwenyezi Mungu akuongezee Busara na hekima.
angalia matusi ya waislam, wakristo hata umtukane yesu wala hawatukani au kukuombea mabaya wao wanaamini mungu ndiyo mwenye nguvu ya kuadhibu wenye kukufuru,hou ndo ucha Mungu,Mungu wabariki wakristo.
Masheikh wetu wote mlioshughulikia jambo hili, nawapenda kwaajili ya Allah nimejifunza dini inahitaji kusoma kwanza. Allah atuongoze katika kheri In sha Allah
Bangi na iman ukiviweka pamoja hilo ndo jibu lake huyo amekula dawa yaan bangiiiiii ni bangue mara paaa mimi nabiii...weee unabii na utume uko hukooo sio kwa waislam
Kwa mtizamo wangu hamza atakua amejisahau km kuna majini yanajua dini kwelkwel na yanasoma quran hasa mpk unashangaa na yakamvaa mtu yakamsemesha asiyoyajua mpk akaamini kua anachoambiwa ni wahi kumbe ni majini tu..wangapi wanaenda kwa waganga wanaambiwa unahv unavile na mtu akijitizama akamini ni kwel anavo hv vitu kwaivo huenda na yy akawa ana jini linampa hy maneno..maskini akajua ni wahi ktk kwa Allah kumbe ni majini..Allah anajua zaidi..kwa shauri tu akubali ende akasome kwa wasomi khasa..ili anusurike na hasira za Allah.
Haa, sikusoma ila kwa elimu yangu ndogo najua katika uislamu mfumo wa maisha ya mwaadamu ulikamilika na Qur ani ilishaweka wazi kila kitu. Maoni yangu waislam tusome tusibabaishwe na wapuuzi hawa wanaohadaliwa na maisha ya dunia. Ndoto ni msitu wao tu. Lakini ukifuatilia vizuri maelezo ya ndoto zao ni uongo tu na zina mtiririko wa kishetani naomba sana tuwe makini hii ni dunia ya mwisho.
Wa tanzania wa najua dini sana hataweza kuongopa huyo mtoto hana kitu baada ya mtume mohamed mtume amesema stop dini lmekamilika NA nimekubali kua dini yenu uslamu sisi tunafata kitab NA suna ya mtume mohamed huyo kama yule snaitwa mussilma alkthab kuna moja habo zamani alidai kwa yeye ni mtume hiyo sio mara ya kuanza tanzania wanaelewa uslamu vizuri sana sana mashallah kuna sahwa kwa kwa dini sio mbali NA mashekhe ya alazhar huko misri ou maka msehangaika naye hajui kitu basi mfahmishe pole pole madam anamjua mungu NA mtume mohamed inshalla mungu atamuokowa
Hili neno la mwagizwa kusema ngoja nikamulize mungu .limewakwaza mashehe. Swali langu ni hili wao wakiwa viongozi wa jamii. Wanamuuliza nani kuongoza umati. Kama sio mungu? Kichekesho. Hamza sio wakwanza kuchukia na roho ya Eliasa. Eliya alivyonyakuliwa toho yake ilimwingia Elisha. Kwahiyo mungu bado anafanya kazi zake na wanadamu. Acheni husda. Aliepewa kapewa
Innaa lillahi wainnaa ilaihi raajiun, huu munaqasha pande zote hazijielewi, kama masheikh wanaojiita ahl Sunnah wal jamaa wanajumuika na mashia'(makafiri) kiitikadi wanakaa pamoja kama wote ni waislam, ni mtihani mkubwa kupata uongofu, nasaha zangu watu wajitahidi kuisoma elimu ya kisheria lakini pia hao masheikh wakae darasani waisome aqidah, tawhid na Sunnah kwa ufahamu wa maswahaba, Allah awaongoze hao masheikh lakini pia amwongoze Hamza na vijana wake katika njia ya sawa, Allah mustaa'nu..
Yaani linakera hili jibaba na ho wapumbavu wajiitao maswahaba yanachefua kama nini. Ushauri wangu wa bure yaangalieni hayo yasitoke yakaenda vijijini yakaenda kupotosha watu.
Akapimwe mwehu huyu jamaani nilikuwa nasikia jamani kuna nabii loo akapimwee huyu sie yule aliye shikishwa adabu huyu a si danganya watu eee fanyeni mpigeni mawe asijeakatuletea nakama ya allah subhanallah
Imani bila elimu in hatari sana, huyu kazoea utabiri wa hali ya hewa sasa anavamia anga zisizomuhusu, yeye na swahaba zake wote wana asili ya ubishi, nyoyo zao zimejaa kutu. Kutubu si ujinga, watubu kabla saa haijafika.
Mimi kwa jikivomuelewa huyu jamaa anatumika na dini nyingne ili alete mambo ambayo hatuna ktk uislam huko alikotumwa ndio kuna mitume na manabii kibao sio huku aache kupotosha umma wa waislam
@@aishaothmanothman9486 Quran ni kitabu cha Majini, huwazi kukilinganisha na Bible ambavyo ni Thorat Injili na Zaburi haya ndio maandiko Matakatifu hakijawepo kaajili ya kuwaletea wana wa Mungu mathara, Kama Quran
Mungu ni Roho.mko mwilini sana ndiposa hamwezi kumwelewa Nabii Hamza amepewa unabii wa nyakati za Mwisho.na akili ya dunia kwa Mungu ni ujinga acheni mambo yakusoma sijui nini.Mungu anauwezo wakutumia hata mawe! Miti,samaki...Mungu mwenyewe akikuchagua ni Mwalimu atakufunza.Mnazingatia Dini dini.ubishi hamtaki kufanya utafiti.pia mjue utafiti bila Neema ni Bure.uyo ndugu Hamza Mtu wa Mungu amepata Neema kubwa.na hata tishika sababu amepewa Nguvu ambayo hamna macho yakuona.vitisho vyenu havita mgeuza msimamo anayo apo sababu ni Mungu amemchagua.
Kasema yeye ni Nabii wa Waislam na maagizo aliyopewa ni kuwaleta Tanzania Waislam wanaouana ili waje kwenye Amani kwa mujibu wa Dini yake na siyo Manaswara..Ikumbukwe hata Muislam asiyeswali swala 5,na kutofuata mafundisho ya Mtume wake kama kuzini,kuzaa nje ya ndoa nk ni Kafiri pia.
Ww Hamza kaa chini fikiria Tena Hilo Jambo Kisha ufanye toba Mimi kwa upande wangu naona unakufu na sikushangai kwa kujipa wadhfa huo maana hata firauun alijipa wadhfa na mwisho wake unaujua ushauri wangu kwako fanya toba ama hamis upande was pili maana usiwe mafik Leo kanisani kesho mskitin ama hakika utakua unapata dhambi kwa kupunguza imani ambazo waumini wamezipigania wahadhaa salaam aleykum
Unataka dunia nzima waje waiishi Tz una chakula cha kuwapa sisi wenyewe maisha magumu vichwa vina moto kutafuta pesa ya kukidhi mahitaji yetu ya kila cku. Naomba apelekwe hospital hana akili timamu huyu jamani msaidieni tafadhali.
Mungu amekujalia kusema Ukweli usio pingika, kipaji ulicho pewa kimetoka kwa baba Mbinguni Shehe Hamza, haki ya Mwenyezi Mungu ambaye amini ulicho sema huyo ni wa shetani, Natambuwa Mungu muweza wa kila kitu yuko Ndani yako
Amza amekuwa shujaa kukaa mbele ya wengi wanazuoni wasio amini ila ukweli kwa mimi Amza mimi nimemuelewa na nakubali kuwa yeye ni nabii ila kwa kuwa neno Nabii ndani ya uislamu ulifungwa mjadala waka kwa kujua kuwa Mohamad ndio Nabii wa mwisho kwa hiyo ni kazi ngumu sana waislamu kumuelewa Amza ila nawasifu kwa mjadala mzuri wa utulivu kwa kweli kwa ustaarabu nawasifu
@@عبداللهعليالبيتيسلفي haahaaaa mti ulikuwa ukitembea na mizizi yake Kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine aya gani inasema hilo katika quran naomba andiko
ManshaAllah hyu sheikh alinifurahisha saxa mungu awalinde ma ustadhi wetu.... Bila nynyi kila mtu angekuja na ujinga wake.... Eti nn hukumu ya mtu anayepinga utume wako? Eti Hamza anasema Allahu Akbar nn unacheka sasa
Aliyekufa kimwili hata rudi na mwili kwa sababu mwili ni materialistic ila roho haifi unaitwa existence. Na ndio ya chanzo ya kila kitu. Spiritual or soul or Existence is equal to GOD, more than everything than universe, Education is acquired knowledge and skills through study
Mimi sitaki kuukumu lakini ni vyema mkasawazishana kupitia maandiko yanasema nini na yanataka nini. mnatakiwa kujua nani yuko sahii? maana Mungu ndie anajua kilicho chema maana kila Mmoja atapata hukumu yake siku ya mwisho.
Frank Gamanueli, Qur-an na sunna imeshaeka sawa kwa dalili zilizowazi. Hana elm na hataki kusoma. Mtu anaesoma Qur-an km anasoma nn sijui hana hukm yeyote anaeitumia ktk usomaji wake. Vp ataeza kuitafsir kwa tafsir fasaha.
@@alhamdulillah5796 waislamu jitathiminini sana msiwe wenye matusi tu huyo anasoma aya za quran bado mnampinga na kumtukana dini ya Mungu haiko hivyo kama unaijua kweli mfundishe maandiko ya quran au ndo dini kutukana matusi
@@lusekelomwinsasu318, Acha kujitia wazim ww kafiri mkubwa huyajui matusi nn? Au ulikua unataka asome anavyojua yy na afanye anavyotaka yy mitandaoni atizamwe tu asikosolewe? Na pia huyo kishaitwa mpaka na masheikh kufahamishwa na kuongozwa kwa dalili. Nyinyi makafiri mnaojitathmini mbona mlishindwa kumuita Mfalme Zumaridi na kumueka sawa mlipopaona anakosea na baada yake matusi haswa yalikua yakikutokeni mitandaoni na kumtukana na huku wakuu wenu pamoja na nyie mkiililia serikali imchukulie hatua za kumfungia?
@@lusekelomwinsasu318, Na nyie km mnaijua kweli hiyo dini yenu mlishindiwa nn kumfahamisha Mfalme Zumaridi akafaham yy na wafuasi wake wote wanaomsikiliza mitandaoni na kanisani kwake ili wakaujua ukweli na uongo. Ikiwa Mungu wenu ni mtu na yy Mfalme Zumaridi ni mtu vile vile. Kaa mbali na uisilam ww na kama unataka cha ku deal nacho kwa wakati huu basi deal na mfalme Zumaridi na sio yenu muyazime mbio mbio kwa mkono wa serikali na sio kiungu na busara halafu mtafute ya waisilam muanze kuyapigia kelele na kujifanya wasafi kwenye imani yenu.
@@lusekelomwinsasu318, Au na nyinyi dini yenu ni kutukana matusi (mana na nyinyi hayo matusi mnatukana muangalie mfalme zumaridi, Nabii Tito, yule pastor alooa wake 3 nawengineo walivyotukanwa) na mnatukana na huku mkiililia Serikali kumfungia baada ya kumwita na kumueka sawa.
Jamani nduguzanguni dini isambazwe vijijini maake watapotoshwa na huyu hamza issa mimi siwezi kumuita nabii kabisa maake huko vijijini kuna wengine hawajasoma dini mskini ya mungu
Nabii Ilyasa kajibu Swali kuwa je,ni nini hukumu yetu tunaokukataa juu ya unabii wako? Jibu lake limeniacha hoi kwamba "Nitaenda kuongea na Allah naye atanipa majibu juu yenu"...masheikh wakacheka.
Kwetu waislam hakuna mtume wala nabii mambo hayo yako kanisani manabii wa uongo na nguvu za kiza. Kwa waislam mtume wa mwisho ni Muhammad ndio maana hukuti waislam wanajiita mtume wala nabii km umetumwa kutuletea unabii na sisi waislam basi wambie hao walokutuma wambie wamechelewa.uislam Allah anaulinda na kitabu chake anakilinda
Subhanallah mungu ainusuru dini yake ya uisilamu na waislamu wote kwa jumla, nawasihi waislamu wenzangu tujichungeni kwa mtu huyu asije kuwapotosha vizazi vyetu.SUBHANALLAH SUBHANALLAH SUBHANALLAH
Science haiwezi kutafsiri Biblia kwa wewe jamaa unayetoa tafsiri ya Luka 1:17, tambua maelezo yako yamejawana ufahamu mdogo sana, mambo ya Rohoni hayatafsiriwi na mtu wa mwilini, Pia kujua hesabu siyo kujua maandiko.... nimekusikiliza kwa makini sana naona majivuno tu ndani yako na ufahamu mdogo sana wa Biblia..... Mimi ni Mkristo lakini nasaha alizozitoa huyo Shehe kwa Hamza nimejifunza jambo, ana hekima sana. Ipo hatari kuzungumzia dini ya mtu kama huijui. hata mimi siwezi ongelea uislamu kwa sababu tu naweza kusoma tafsiri.
YALE YALE YA PAULO KAWAUA WANAFUNZI WA IYSA IBN MARIAM KAKIMBIA MJI KISHA KADONDOKA KUTOKA JUU YA KIPANDO CHAKE ..AKADAI IYSA KAMTOKEA KTK NDOTO NA KAMPA UTUME..NDIO ALIYEKUA WA KWANZA KUIHARIBU INJIYL YA IYSA ALEYHI SALAM...
quran 10:94 yani wewe naona imetengezwa na wanasabato. aya inasema "na kama ewe Muhammad una shaka na haya tuliyokuteremshia basi waulize wale ahlil kitabu " lakini wewe elimu yako ndogo Quran yote hakuna aya Hata moja mtume kawafata ahlil kitabu kufata Ushauri nasaha wa Quran. hicho cheo cha kujibandika kwa waislamu Twakuona una mapungufu ya ilham
Kwaio ww hautakutana na huyo allah? Na ulipo hapo hauna dhambi yoyote, unajua nyie watu wepesi sana kuwalaan wenzenu, kafir kafir sawa wao kafir nakuuliza ww sana , huyo allah hautakutana nae siku ya kiama? Ni hamza tu ndio anasubiriwa na allah au sio? Acha ujinga ww kazana kutubu dhambi ya mwingine mwachie alie muumba
@@davidmbilinyi4198 yesu tunamuamini km ni mtume lkn hatuwez kuamini km ni mungu Yeye mwenyewe kishakiri ni mja wa mungu sasa nyie mnamngangania nini lazima awe mungu?
Asante Shekh Jalala kwa nasaha nzuri kwa Ustaadhi Hamza,uislam ni Bahari kubwa anatakiwa asipime kina kwa macho.
suala la Kumsomesha zaidi ni jambo la hekima.na la msingi!!
Suala jingine ni kuhusu Watu wanaoweka maoni yao hapa.Hawazingatii maneno ya viongozi hawa wa dini. hivyo wao kujikuta wakitoa kauli zinazokinzana na matamko ya mashekh na wanazuoni waliopo katika jopo hili.
Nimefuatilia kwa kina mjadala huu.hakuna kiongozi hata mmoja aliyemuita Hamza Kafirii.
masheikh wote wameendesha mjadala pasipo neno kama hilo.sasa hawa wanaoandika huyu ni kafiri elimu zao zimewazidi viongozi hawa waliofanya kazi hii kwa hekima kubwa au?
Nadhani tunatakiwa kuheshimu kauli za viongozi wetu,na kauli ya Muumin haiwezi kuwa ya mbele kisha ikafuata ya kiongozi.
Tuheshimu na kutanguliza hekima hizi.
na pia tujifunze ustaarabu huu wa kuheshimu hata watu wenye mwelekeo wa aina hii wa imani.wanachohitaji ni kuelimishwa na sio kutukanwa,au kubaguliwa.
Hongera shekh Jallala kwa Hekima Nzuri sana.Mwenyezi Mungu akuongezee Busara na hekima.
Ahsante Sheikh Basaleh Allah akugifadhi
Shekhe jalala nimekupenda kwa ajili ya Allah uko vizuri sana alhamndulillah
angalia matusi ya waislam, wakristo hata umtukane yesu wala hawatukani au kukuombea mabaya wao wanaamini mungu ndiyo mwenye nguvu ya kuadhibu wenye kukufuru,hou ndo ucha Mungu,Mungu wabariki wakristo.
Masheikh wetu wote mlioshughulikia jambo hili, nawapenda kwaajili ya Allah nimejifunza dini inahitaji kusoma kwanza. Allah atuongoze katika kheri In sha Allah
ATI YEYE NI NABII. HIYO NI ALAMA MOJA WAPO ALLAH ALOKUFEDHEHI.
Asante kwamajibu nabii
MashaAllah barakat
Huyu hamza yupo katika walio teuliwa katika kusambaza dini mseto. Kufuru ni tendo mtendandaji ni kafiri
Bangi na iman ukiviweka pamoja hilo ndo jibu lake huyo amekula dawa yaan bangiiiiii ni bangue mara paaa mimi nabiii...weee unabii na utume uko hukooo sio kwa waislam
Huyu inatakiwa apigwe kichapo cha mbwa mwizi kumfanya ubongo ukae sawa😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Aliyedai kasoma sayansi hajui kuwa mwanzo wa nambari kihesabu ni sufuri ( zero-0) na SI moja😂😂😂😂
Kwa mtizamo wangu hamza atakua amejisahau km kuna majini yanajua dini kwelkwel na yanasoma quran hasa mpk unashangaa na yakamvaa mtu yakamsemesha asiyoyajua mpk akaamini kua anachoambiwa ni wahi kumbe ni majini tu..wangapi wanaenda kwa waganga wanaambiwa unahv unavile na mtu akijitizama akamini ni kwel anavo hv vitu kwaivo huenda na yy akawa ana jini linampa hy maneno..maskini akajua ni wahi ktk kwa Allah kumbe ni majini..Allah anajua zaidi..kwa shauri tu akubali ende akasome kwa wasomi khasa..ili anusurike na hasira za Allah.
Elimu ya mungu si sawa na elimu ya kusoma. Ni vitu viwili tofauti
Haa, sikusoma ila kwa elimu yangu ndogo najua katika uislamu mfumo wa maisha ya mwaadamu ulikamilika na Qur ani ilishaweka wazi kila kitu. Maoni yangu waislam tusome tusibabaishwe na wapuuzi hawa wanaohadaliwa na maisha ya dunia. Ndoto ni msitu wao tu. Lakini ukifuatilia vizuri maelezo ya ndoto zao ni uongo tu na zina mtiririko wa kishetani naomba sana tuwe makini hii ni dunia ya mwisho.
Subhana Allah Allah anakuwa mawakristo mara yesu ni mungu mara ni mtoto wa mungu mara ni mtume wa mungu
Poleni Masheikh wa Tanzania kazi mnayo ya kutosha.
Rahma Shaban in Sha Allah Allah atawawezesha .
Wa tanzania wa najua dini sana hataweza kuongopa huyo mtoto hana kitu baada ya mtume mohamed mtume amesema stop dini lmekamilika NA nimekubali kua dini yenu uslamu sisi tunafata kitab NA suna ya mtume mohamed huyo kama yule snaitwa mussilma alkthab kuna moja habo zamani alidai kwa yeye ni mtume hiyo sio mara ya kuanza tanzania wanaelewa uslamu vizuri sana sana mashallah kuna sahwa kwa kwa dini sio mbali NA mashekhe ya alazhar huko misri ou maka msehangaika naye hajui kitu basi mfahmishe pole pole madam anamjua mungu NA mtume mohamed inshalla mungu atamuokowa
Hili neno la mwagizwa kusema ngoja nikamulize mungu .limewakwaza mashehe. Swali langu ni hili wao wakiwa viongozi wa jamii. Wanamuuliza nani kuongoza umati. Kama sio mungu? Kichekesho. Hamza sio wakwanza kuchukia na roho ya Eliasa. Eliya alivyonyakuliwa toho yake ilimwingia Elisha. Kwahiyo mungu bado anafanya kazi zake na wanadamu. Acheni husda. Aliepewa kapewa
Innaa lillahi wainnaa ilaihi raajiun, huu munaqasha pande zote hazijielewi, kama masheikh wanaojiita ahl Sunnah wal jamaa wanajumuika na mashia'(makafiri) kiitikadi wanakaa pamoja kama wote ni waislam, ni mtihani mkubwa kupata uongofu, nasaha zangu watu wajitahidi kuisoma elimu ya kisheria lakini pia hao masheikh wakae darasani waisome aqidah, tawhid na Sunnah kwa ufahamu wa maswahaba, Allah awaongoze hao masheikh lakini pia amwongoze Hamza na vijana wake katika njia ya sawa, Allah mustaa'nu..
Duh! huyo shetani anatisha.mashekh msiendelee kukaa nae mungu anaweza kuwashushia adhabu mkiwa woote hapo.
SOMENI DINI KWA MAPANA YAKE. BADO HAMJAWA WASOMI, USALAFI NI UGONJWA.
@@mailacamillius saf sana
hamza itakua alipata laana Siku ile kanisan alipo udhalilisha uislam amesahau kua kila mwenye kuichezea din ya Allah Allah hakumuacha salam
Yassin Deffu hata Paulo mtume alipookoka waislamu waliona Kama ni kichaa
@@davidmbilinyi4198 ww na Amza yote bangi ilo
@@davidmbilinyi4198 we ni kafiri lazima ufikirie kikafiri
uko sawa Askofu Hamza, mungu akukumbuke na simamia neno la Mungu litokalo ndani ya biblia
Peter wewe ni mnafiki hata yesu angekuepo asinge mkubali huyu jamaa hata biblia pia haijui
Nyie ndowale wale wakupelekwa na akili za watu....
Yaani linakera hili jibaba na ho wapumbavu wajiitao maswahaba yanachefua kama nini. Ushauri wangu wa bure yaangalieni hayo yasitoke yakaenda vijijini yakaenda kupotosha watu.
Matusi siyo hekima.....kasome adabu
Asante kumpa kukweli
Akapimwe mwehu huyu jamaani nilikuwa nasikia jamani kuna nabii loo akapimwee huyu sie yule aliye shikishwa adabu huyu a si danganya watu eee fanyeni mpigeni mawe asijeakatuletea nakama ya allah subhanallah
Mashekh kweli kweli mmechambua na kupata majibu toka kwa mwenye we. ....haya mim mtazamji na msikilizaji ..
Jamani polen sana mashekh wetu mmechoshwa na kiumbe kisicho jitambua namuona kwanza asilimu upya alafu ndo aingie kuswali
Imani bila elimu in hatari sana, huyu kazoea utabiri wa hali ya hewa sasa anavamia anga zisizomuhusu, yeye na swahaba zake wote wana asili ya ubishi, nyoyo zao zimejaa kutu. Kutubu si ujinga, watubu kabla saa haijafika.
"ha ha"!!! Allah atuhifadhi Yaa Rabbi.
HASSANI LAKI ndugu waislamu mutaangamia Kama mwakataa ufunuo huo
Ww unajifananisha na nabii ilyas duh shetani mbaya kweli mwisho atasema yy ni mungu
Ludacriss Rangi Ya Bank amini anayo sema yuko sawa na yatawahukumu ninyi wenyewe
Mungu anampa neno lake ampendae
Mimi kwa jikivomuelewa huyu jamaa anatumika na dini nyingne ili alete mambo ambayo hatuna ktk uislam huko alikotumwa ndio kuna mitume na manabii kibao sio huku aache kupotosha umma wa waislam
she he uko vzuri songambele mwenyez mungu you pamoja nawe, usiogope mwanadamu. (Amza)she he.
Umeona eee
Mitume na manabii kibao kanisani huko na nguvu za giza
Eliya Na Elisha .ila wao walifanya miujiza mikuu toka kwa Yehova mungu wa Mungu wa mbinguni .
ndugu zangu mm nawaomba tuwe na subra huyu ana matatizo ya kishetani wa kijinni akisomewa ruqya atapona in shaa allah
imamu mponda ana akili zake ni mpotoshaji tu huyu.
Waislam mnakwama wapii? Quran 4;171, na 43;61...63, hii Quran ina wachanganya, Quran ni kitabu cha uongo.
@@furahinimbise1804 jamaza kimyaa kitabu chenu mnoshika huku mnauchafu ndo kiongoo
@@furahinimbise1804 muokope mungu wewe Bible nikitabu chauongo kabisa niliwahi kukichukuwa nikakikanyaga nasikudhurika wewe subutu sasa ukikanyage kitabu chamwenyezimungu ambacho niqur'an alafu uwone matukioyake
@@aishaothmanothman9486 Quran ni kitabu cha Majini, huwazi kukilinganisha na Bible ambavyo ni Thorat Injili na Zaburi haya ndio maandiko Matakatifu hakijawepo kaajili ya kuwaletea wana wa Mungu mathara, Kama Quran
Waislamu mpaka lini nyinyi ubishi tu,Yesu ndiye njia na kweli na uzima.
Kama yesu amekufa wew uzima unautowa wapi
Mungu ni Roho.mko mwilini sana ndiposa hamwezi kumwelewa Nabii Hamza amepewa unabii wa nyakati za Mwisho.na akili ya dunia kwa Mungu ni ujinga acheni mambo yakusoma sijui nini.Mungu anauwezo wakutumia hata mawe! Miti,samaki...Mungu mwenyewe akikuchagua ni Mwalimu atakufunza.Mnazingatia Dini dini.ubishi hamtaki kufanya utafiti.pia mjue utafiti bila Neema ni Bure.uyo ndugu Hamza Mtu wa Mungu amepata Neema kubwa.na hata tishika sababu amepewa Nguvu ambayo hamna macho yakuona.vitisho vyenu havita mgeuza msimamo anayo apo sababu ni Mungu amemchagua.
bac ww ueswahaba wake
Mungu kamchagua Hamza mnaemuita haelewi ili awaibishe nyinyi mnaeelewa. Mungu hampi mjuaji neno lake(. Mafalisayo
mashekhe hamza ni mwehu ,tena halimashauri take kichwa haiko sawa.
Hiyo ni nabii wa manaswala na makafiri
Kasema yeye ni Nabii wa Waislam na maagizo aliyopewa ni kuwaleta Tanzania Waislam wanaouana ili waje kwenye Amani kwa mujibu wa Dini yake na siyo Manaswara..Ikumbukwe hata Muislam asiyeswali swala 5,na kutofuata mafundisho ya Mtume wake kama kuzini,kuzaa nje ya ndoa nk ni Kafiri pia.
Ww ndio kafiri mkubwa yesu ndiye mungu wa kweli kwa taarifa yenu waislam
Kichwa chake ni muhimu sana
Why mnakichelewesha??????
Ww Hamza kaa chini fikiria Tena Hilo Jambo Kisha ufanye toba Mimi kwa upande wangu naona unakufu na sikushangai kwa kujipa wadhfa huo maana hata firauun alijipa wadhfa na mwisho wake unaujua ushauri wangu kwako fanya toba ama hamis upande was pili maana usiwe mafik Leo kanisani kesho mskitin ama hakika utakua unapata dhambi kwa kupunguza imani ambazo waumini wamezipigania wahadhaa salaam aleykum
@@mussajangwa9106 je huyo wamuue kwa kutenda hayo je wewe ni mwema sana kuliko huyo unayetaka auwawe?
Huyo muulize maswali ana hasira ya kutekwa yesu hatutoboi shehe
Unataka dunia nzima waje waiishi Tz una chakula cha kuwapa sisi wenyewe maisha magumu vichwa vina moto kutafuta pesa ya kukidhi mahitaji yetu ya kila cku. Naomba apelekwe hospital hana akili timamu huyu jamani msaidieni tafadhali.
hahahaa
UKHTY HERIETH SYLVESTER mshenzi mmoja anawaumiza vichwa sana wana wa zuoni mkateni kichwa !huyo
@@aishadamla1822 😅😅
@@aishadamla1822 aloh wanamuachaje uyuu
Sisi wenyewe hatunaa sehemu yakukaaa halafu yeye anatakaa watu wote wajee hapaa tz watakaa wapi unaletaa ujingaa hapaa
Hassan Mohd Ally Ally wengine twajiandaa kuja Tz😂😂😂😂😂
kweli jamani mambo mengine sio yakumaliza miaka angepigwa angalau bakora 50 ngekua na adabu huyu shenzi.
Fatma Ally hahahaha kibisaa maana fedhuli kwelikweli nabii anajazbaa uliona wapi mm ningekuwepo kweny hicho kikaoo nishampigaa makofii pumbavu huyo
wewe kweli nitatizo hunasehem yakukaa wapi?wewe nafasi zipo kibao tutoke mjini!!!
Wachina peke yao ALLAH atuepushe wakimiminika Tz sisi ndio tutakuwa wachache na tutaonekana wageni.
Huyu jamaa,mleteni hospitali apumzike.Si njaa tu,bali njaa hii imeingia kwenye ubongo.
SHIA SIO WAISLAM
Mungu amekujalia kusema Ukweli usio pingika, kipaji ulicho pewa kimetoka kwa baba Mbinguni Shehe Hamza, haki ya Mwenyezi Mungu ambaye amini ulicho sema huyo ni wa shetani, Natambuwa Mungu muweza wa kila kitu yuko Ndani yako
Mitume wengi wapo kwenye ukirto uku mtume mmoja tu mohamad
Mm naangalia hii mwaka 2021tangu2017 mbn hatujaangamizwa
Watu woote duniani waje Tz kwel we fara rafk yangu,,, uyu ni wa kutoa kichwa tu tuzike
🤣🤣🤣🤣🤣
Aende akawambie waarabu aone😂😂😂😂ww kama hatujakusahau...
Amza amekuwa shujaa kukaa mbele ya wengi wanazuoni wasio amini ila ukweli kwa mimi Amza mimi nimemuelewa na nakubali kuwa yeye ni nabii ila kwa kuwa neno Nabii ndani ya uislamu ulifungwa mjadala waka kwa kujua kuwa Mohamad ndio Nabii wa mwisho kwa hiyo ni kazi ngumu sana waislamu kumuelewa Amza ila nawasifu kwa mjadala mzuri wa utulivu kwa kweli kwa ustaarabu nawasifu
Mtume Mohammed alipo waendea wayahudi,wayahudi walimwambia .ututhibitishie.utume wako.Mohammed hakuthibitisha .
Alithubitisha kupitia mti.alipoulizwa mti ukitembea na mizizi yake hadi sehemu nyingine.
Soma kwanza kaka
@@عبداللهعليالبيتيسلفي haahaaaa mti ulikuwa ukitembea na mizizi yake Kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine aya gani inasema hilo katika quran naomba andiko
Nabii hamza aisee katisha sana inabidi ageuze mawe yawe mikate maana unabii sio mchezo sema hamza kwa uo unabii wako wa ulongo Allah anakuona
uchache wa elimu unachangia sana kwa wengi ila ijulikane kwamba Mungu hufanya jambo kubwa mbele ya wanadamu kwa kutumia kitu kidogo sana.......
Wew ayo yote unayo sema yalisha sema tangu mwanzo kur-ani haijaaacha kitu wew unaungaunga vipande vya maneno tu nenda uko kwaiyo
ManshaAllah hyu sheikh alinifurahisha saxa mungu awalinde ma ustadhi wetu.... Bila nynyi kila mtu angekuja na ujinga wake.... Eti nn hukumu ya mtu anayepinga utume wako? Eti Hamza anasema Allahu Akbar nn unacheka sasa
Aliyekufa kimwili hata rudi na mwili kwa sababu mwili ni materialistic ila roho haifi unaitwa existence. Na ndio ya chanzo ya kila kitu. Spiritual or soul or Existence is equal to GOD, more than everything than universe, Education is acquired knowledge and skills through study
Mungu hawezi kuwahukumu kwanza mpaka awaambie kweli huyu kweli katumwa. imeandikwa kila goti litapigwa kwa Yesu
We nawe ujielewiii
Fisi amevaa ngozi ya kondoo. Yafaa avae msalaba.
Mimi sitaki kuukumu lakini ni vyema mkasawazishana kupitia maandiko yanasema nini na yanataka nini.
mnatakiwa kujua nani yuko sahii?
maana Mungu ndie anajua kilicho chema maana kila Mmoja atapata hukumu yake siku ya mwisho.
Frank Gamanueli, Qur-an na sunna imeshaeka sawa kwa dalili zilizowazi. Hana elm na hataki kusoma. Mtu anaesoma Qur-an km anasoma nn sijui hana hukm yeyote anaeitumia ktk usomaji wake. Vp ataeza kuitafsir kwa tafsir fasaha.
@@alhamdulillah5796 waislamu jitathiminini sana msiwe wenye matusi tu huyo anasoma aya za quran bado mnampinga na kumtukana dini ya Mungu haiko hivyo kama unaijua kweli mfundishe maandiko ya quran au ndo dini kutukana matusi
@@lusekelomwinsasu318, Acha kujitia wazim ww kafiri mkubwa huyajui matusi nn? Au ulikua unataka asome anavyojua yy na afanye anavyotaka yy mitandaoni atizamwe tu asikosolewe? Na pia huyo kishaitwa mpaka na masheikh kufahamishwa na kuongozwa kwa dalili.
Nyinyi makafiri mnaojitathmini mbona mlishindwa kumuita Mfalme Zumaridi na kumueka sawa mlipopaona anakosea na baada yake matusi haswa yalikua yakikutokeni mitandaoni na kumtukana na huku wakuu wenu pamoja na nyie mkiililia serikali imchukulie hatua za kumfungia?
@@lusekelomwinsasu318, Na nyie km mnaijua kweli hiyo dini yenu mlishindiwa nn kumfahamisha Mfalme Zumaridi akafaham yy na wafuasi wake wote wanaomsikiliza mitandaoni na kanisani kwake ili wakaujua ukweli na uongo. Ikiwa Mungu wenu ni mtu na yy Mfalme Zumaridi ni mtu vile vile. Kaa mbali na uisilam ww na kama unataka cha ku deal nacho kwa wakati huu basi deal na mfalme Zumaridi na sio yenu muyazime mbio mbio kwa mkono wa serikali na sio kiungu na busara halafu mtafute ya waisilam muanze kuyapigia kelele na kujifanya wasafi kwenye imani yenu.
@@lusekelomwinsasu318, Au na nyinyi dini yenu ni kutukana matusi (mana na nyinyi hayo matusi mnatukana muangalie mfalme zumaridi, Nabii Tito, yule pastor alooa wake 3 nawengineo walivyotukanwa) na mnatukana na huku mkiililia Serikali kumfungia baada ya kumwita na kumueka sawa.
Jamani nduguzanguni dini isambazwe vijijini maake watapotoshwa na huyu hamza issa mimi siwezi kumuita nabii kabisa maake huko vijijini kuna wengine hawajasoma dini mskini ya mungu
Asulubishwe uyu ni Crazy
Huyu jamaa nichizi yaani vichwa vyote hivyo bado halielewi, halafu hako kajamaa kengine ndo kamenikosha ety kamempokea Hamza kisayansi nanamba 😂😂
Dunia inamambo jamaani mungu atupe mwisho mwema
Ana hasira ya kutajwa yesu.kila got litapigwa mbele ya Yesu
Asalam alaikum!inamaa askof hamza ,anajifanya anajua coraon,je?anajua tafsri ya kul ya hayul hayul kafirini?
Mungu huchagua vile
yan ww ukija Zanzibar wa wallah me nakuuwa tu moja kwa moja paka wee kafiri ww mungu akuuwe uko uko kwenye upotofu asikuongowe
Huyo bwana hamza mumpige marufuku asije haribu vizazi vyetu maana hajui chochote anabwabwaja akasome
asanten masheikhhhhhhhh 😘😘😘🙌🙌🙌🙌🙌🙌 love you kwa xanaaaaa
Mtihan kweli mwisho wa Dunia huu
Viongozi wetu wa dini msaidieni huyu jamaa ana matatizo ya kisaikolojia
Seif Matimbwa mwenyewe mkaidi atasaidiwa vipi😢😢😢
We acha ujinga bwana,ww hujui dini,masheikh wanakufundisha unabishana, unajua mtume alisema utume umekoma ila munashiratun.....
Nabii Ilyasa kajibu Swali kuwa je,ni nini hukumu yetu tunaokukataa juu ya unabii wako?
Jibu lake limeniacha hoi kwamba "Nitaenda kuongea na Allah naye atanipa majibu juu yenu"...masheikh wakacheka.
😂😂😂😂😂😂😂🙌🏻
Ina lilahi wa Ina alai rajiun Yarabb tuepushe na ushawishi wa shetani
hajui na hayo meno kam ngili, hv ww kaffir unatak kumkasrish Allah , hujui kun wauwaj tupo hap hatutak din ipoteeee
😂😂saswahabazake wote wamechanamyikiwa
Wallai huyu akiniubiria namjibu kwa mangumi👊👊👊 tu hiyo ndio lugha ataelewa yeye sio Nabii
yaani ww hamza Issa nnahsira na ww kwanidhalilishia dini yangu na kunichelewesha kulala half umeshinda kutoa ushahid wa madai yako
Fatma Ally jamani mwacheni amesema yeye ni nabii,
Nenda huko na ww kafiri usiyemtambua yesu
Huyu jama wakampime inawezekana anamatatizo ya akili
Jimmy Habarugira nakuunga mkono kabisa ..simzima
Maswahba feeekiiiiiiiiiiiiiii namtume wao
Kwetu waislam hakuna mtume wala nabii mambo hayo yako kanisani manabii wa uongo na nguvu za kiza.
Kwa waislam mtume wa mwisho ni Muhammad ndio maana hukuti waislam wanajiita mtume wala nabii km umetumwa kutuletea unabii na sisi waislam basi wambie hao walokutuma wambie wamechelewa.uislam Allah anaulinda na kitabu chake anakilinda
Subhanallah mungu ainusuru dini yake ya uisilamu na waislamu wote kwa jumla, nawasihi waislamu wenzangu tujichungeni kwa mtu huyu asije kuwapotosha vizazi vyetu.SUBHANALLAH SUBHANALLAH SUBHANALLAH
Hawa watu chimbuko lao ni uislam wote hawa ama inakuaje. Mtihani.
Duh
Science haiwezi kutafsiri Biblia kwa wewe jamaa unayetoa tafsiri ya Luka 1:17, tambua maelezo yako yamejawana ufahamu mdogo sana, mambo ya Rohoni hayatafsiriwi na mtu wa mwilini, Pia kujua hesabu siyo kujua maandiko.... nimekusikiliza kwa makini sana naona majivuno tu ndani yako na ufahamu mdogo sana wa Biblia.....
Mimi ni Mkristo lakini nasaha alizozitoa huyo Shehe kwa Hamza nimejifunza jambo, ana hekima sana. Ipo hatari kuzungumzia dini ya mtu kama huijui. hata mimi siwezi ongelea uislamu kwa sababu tu naweza kusoma tafsiri.
Ww waislam wanajua biblia kuliko huyo papa wako, mbwa ww!!!
ukapimwe mbwa wew unanichefua
Yasmen Salko 😂kweli kabisa wakuchinjwa huyu kama kuku hii zaidi ya shirk
😂😂😂😂😂litakupa tuh kesi achana nalo Allah atajua chakulifanya
Ww kama Nabii kweli njoo Kenya mombasa ndio utajuwa Ww kama unabii au ni Ibilsi
Unanishana na wayaudi
YALE YALE YA PAULO KAWAUA WANAFUNZI WA IYSA IBN MARIAM KAKIMBIA MJI KISHA KADONDOKA KUTOKA JUU YA KIPANDO CHAKE ..AKADAI IYSA KAMTOKEA KTK NDOTO NA KAMPA UTUME..NDIO ALIYEKUA WA KWANZA KUIHARIBU INJIYL YA IYSA ALEYHI SALAM...
Atakuwa uyu shekh hamza kavuta bangi mbichi aisee
Mashallah mashallah nimewapenda sana MA shekh mmempa ukweli pk chizi huyo hamza lahna tula allah anababaika kuongea safi sanaaaaaaaaaaa😘😘😘😘
Huyu akatwe kichwa wallahy Kama angekuwa enzi za Omar bin khattab kashamkata kichwa zamaniii
Huyo nimwehu anastahiki kuchinjwa tuu na piga bangi huyo akatwe kichwa tu.
quran 10:94
yani wewe naona imetengezwa na wanasabato. aya inasema
"na kama ewe Muhammad una shaka na haya tuliyokuteremshia basi waulize wale ahlil kitabu "
lakini wewe elimu yako ndogo Quran yote hakuna aya Hata moja mtume kawafata ahlil kitabu kufata Ushauri nasaha wa Quran. hicho cheo cha kujibandika kwa waislamu Twakuona una mapungufu ya ilham
Hata mukihukumu MTU duniani munajisumbua muogopeni yesu anae uwezo ukifa anauwezo wakuangamiza roho na nafsi jehanam
Duuu jamani mpaka hapo uyo sio nabii ila tu... inawezekana aikuwa na pepo inabini tu..mmombee arudi kwenye mstali wa dini ya ukweli kwake ....🙏
Nabii gani hata kusoma qoran hajui huyo ni kafili katumwa na makafili wenzie
Msikuze mambo utume ni kutumwa au kuagizwa. Nyinyi ni nani na wakati mtapiga goti mbele ya Yesu
HAMZA AACHANE NA KAZI HII AACHE KUMSINGIZIA ALLAH KUWA KAPEWA UTUME NJAA ZAKO ZITAKUANGAMIZA ACHANA NA HIYO KAZI QURAN YENYEWE HUIJUI
Huyu HAMZA analipwa na Makafiri KUCHAFUA uislamu.lakini kesho atakutana na Allah ajieleze.anasikitisha.
Salim AlMahrizi Nani anamlipa ndgu .Hyu ni hisia zake tuu, watu km hawa watakuja wengi sanaa,ndio dalali za cku za mwisho
Kwaio ww hautakutana na huyo allah? Na ulipo hapo hauna dhambi yoyote, unajua nyie watu wepesi sana kuwalaan wenzenu, kafir kafir sawa wao kafir nakuuliza ww sana , huyo allah hautakutana nae siku ya kiama? Ni hamza tu ndio anasubiriwa na allah au sio? Acha ujinga ww kazana kutubu dhambi ya mwingine mwachie alie muumba
Salim AlMahrizi kweli itakuwa analipwaaa co bureee
Khalafu Bwana Hamza akakosea khadithi na akakiri mwenyewe kwamba "Mimi si mjuzi sana wa Kiarabu".
Huyu Hamza si mzima.
The Prince Huoni hata haya kusema uongo huo ni uongo uliokidhiri
Ibbu Daud huyu hamza waislaamu Hamna uwezo wa kumuelewa mpaka mkimkubari yesu
@@davidmbilinyi4198 yesu tunamuamini km ni mtume lkn hatuwez kuamini km ni mungu
Yeye mwenyewe kishakiri ni mja wa mungu sasa nyie mnamngangania nini lazima awe mungu?
Hamza kazaab bora Angeanzisha dini mpya ingekua rahisi sio kudai utume kwenye dini iliyo kamilika
Nyiye subirin moto kwaulongo wenu