BABA THARHAM NA TEAM PAMBE WANA JAMBO LA KITAIFA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 81

  • @YusufMahrez
    @YusufMahrez 25 วันที่ผ่านมา +2

    Hizo kasida pamoja na nyimbo zote ni aina ya mizik kwaiyyo yote hayakubaliki ktk dini yetu ya kiislam na Allah atuongoe ktk njia zilizo za haki ❤❤

  • @LidhiwaniJuma
    @LidhiwaniJuma 6 วันที่ผ่านมา

    allah anakuona ebu acha kuchezea dini ya allaah waliangamizwa waliokuwa kabla yako ,

  • @zanlec7357
    @zanlec7357 12 วันที่ผ่านมา

    Innalillahi wainna ilayhi raajioun. Hakika mtaenda kusimamishwa mbele ya Allah na kuulizwa juu ya UOFU huu. Wanaume mnalegeza pua na kutoa sauti nyororo kama DADA ZENU

  • @amourmussa8358
    @amourmussa8358 4 วันที่ผ่านมา

    Gari limewaka❤❤

  • @JuniorSimai
    @JuniorSimai 16 วันที่ผ่านมา

    Jaman zote njia za makafr hiz kuuangamiza uislam hiz syokaswida n rusharoho

  • @JamsMussa
    @JamsMussa หลายเดือนก่อน +6

    Kwan mana ya koma sava min au munamsematu kasa awahangaisha kuhusu uimbaji wivu imekuwa mwingi jiangalieni nyinyi hamuimbi nyimbo au matusi au munataka mumpoteze kwenye gemu hamumuwezi huyumtu noma sana waimbaji wote sasa wanaimba nyimbo na matusi mutake misitake Ila jamaa noma sana

    • @AyubuMwenjuma
      @AyubuMwenjuma หลายเดือนก่อน +1

      Dunia imeisha jaman kwamtindohu duh

    • @NtongwaTabiaoficial
      @NtongwaTabiaoficial หลายเดือนก่อน +2

      Anazalilisha uisilamu uyo inabidi mu mkanye sana

    • @NuryaMusa
      @NuryaMusa 28 วันที่ผ่านมา

      Dunia haiwezi kuisha kwasababu ya Bida ah zenu. Wajinga nyie. Masufi

    • @user-tq5gl1qv2y
      @user-tq5gl1qv2y 14 วันที่ผ่านมา

      Kawaida yaaina yoyote ni upuuzi tu kila aimbae ni mpuuzi tu washenz mnatualibia dn na kutuabisha

  • @JuniorSimai
    @JuniorSimai 16 วันที่ผ่านมา

    Qaswida Kama hiz halafu utarajie ndowa idumu 😢😢

  • @Friyyah
    @Friyyah 24 วันที่ผ่านมา +2

    Yan ni kanzu tu ila ni waimba taarab awa wapuuz
    Qaswaid ni za kumswalia mtume ty

  • @YahyaSali-s6h
    @YahyaSali-s6h 10 วันที่ผ่านมา

    Sasa kama wanataka kuimba kuona vishudu vya wanawake basi musivae kazu

  • @SaleheKijazy
    @SaleheKijazy 21 วันที่ผ่านมา

    Siku hizi uki chukua watu wa aina hiyo kwenye harusi ni sawa sawa wana enda kuimba taaribu kwa7bu hata uki angalia walio wengi hapo ni wanawake na wao hao wanao imba upuuzi wao. Wala hawawezi kuiharibu dini kama kuharibu ange haribu mzungu na lkn kashindwa

  • @shafisaggaf1889
    @shafisaggaf1889 หลายเดือนก่อน +3

    Daah mtihani kweli huu ndio maana harusi za sikuhzi hazina baraka kwababau shughuli zoa zote ni zakishaitwani.

    • @shaqiiqal-jameel1029
      @shaqiiqal-jameel1029 หลายเดือนก่อน +1

      😤

    • @NtongwaTabiaoficial
      @NtongwaTabiaoficial หลายเดือนก่อน +1

      Kakweli uyo mtu apewa azabu kwa kuizalilisha uisilamu jama 😭😭😭😭😭

    • @Raziaomary
      @Raziaomary 29 วันที่ผ่านมา

      Allah atujalie mwisho mwema😢

    • @Raziaomary
      @Raziaomary 29 วันที่ผ่านมา

      😢😢

  • @MbanoMrage
    @MbanoMrage 21 วันที่ผ่านมา

    Mtihani mkubwa huo.

  • @Abuusaad-uy5cx
    @Abuusaad-uy5cx 25 วันที่ผ่านมา

    Hii si qaswisa msituzengue

  • @RAJaBUKIWISI-y1g
    @RAJaBUKIWISI-y1g 22 วันที่ผ่านมา

    Mkiambia msifanye mambo mtume hajafanya. Hamtaki. Huku ndo tulipo fikia waislam,,, hakuna kitu kaswida katika uisilam... Mtume kalimba wapi ... Kaaaahhh...

  • @KomboMakame-x8t
    @KomboMakame-x8t 26 วันที่ผ่านมา

    Dah bongo flava mushakua munatuimbia au ndo pesa inavotafutwa musivamie kazi msozijuwa

  • @iddymngoya2395
    @iddymngoya2395 26 วันที่ผ่านมา

    Duhh mtihani kweli

  • @MrflashMobile
    @MrflashMobile 26 วันที่ผ่านมา

    Duuuuh

  • @safiasuleiman-t9d
    @safiasuleiman-t9d 26 วันที่ผ่านมา

    Mmh ! Majina yoote ya kale duuh wazee wa zamani waliitwa majina mabaya eti Patima

  • @abeljuma7613
    @abeljuma7613 29 วันที่ผ่านมา +2

    Qaswida ndugu yake taarabu😂😂😂 . Huu si Uislamu 😢

  • @YussufAliy-t4d
    @YussufAliy-t4d 25 วันที่ผ่านมา

    Hamjui aswaaaaaa kaeni pembeni sio Qaswida izoo komasava muambiwe nn nyie in short pumzikeni hamna kipaji

  • @user-bo1xl6ec6n
    @user-bo1xl6ec6n หลายเดือนก่อน

    Astaghafirullah astaghafirullah ALLAH atusamehe waja wake

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g 13 วันที่ผ่านมา

    ((HAKIKA MIONGONI MWA MANENO WALIO YAKUTA WATU MIONGONI MWA MANENO YA MITUME WA MWANZO: USIPO ONA HAYAA FANYA UTAVYO )).

  • @NirdiniOchu
    @NirdiniOchu หลายเดือนก่อน

    Wote wivu uwo ayooooooo

  • @hajiharoub8125
    @hajiharoub8125 23 วันที่ผ่านมา

    Hapa mumezingua😭😭😭

  • @JAMALIKWENDA
    @JAMALIKWENDA 22 วันที่ผ่านมา

    Hii ni miongoni mwa taarabu, bila Shaka

  • @saidhashimdubwembwe4830
    @saidhashimdubwembwe4830 26 วันที่ผ่านมา

    Huu ni Mziki shekh ni Bora usiudhalilishe uislam kwakunasibisha nyimbo zako na mambo ya dini. Nakunasihi Kuna mambo mengi ya kufanya kuingiza kipato si njia hii ya kuidhalilisha dini na miziki yako. Nakuombea Allah akunyooshe na akuelekeze katika haki. Aamin

  • @SANDEMANGUNYA
    @SANDEMANGUNYA 25 วันที่ผ่านมา

    simuziki jamani mcheni Allah

  • @binnyangemedia8756
    @binnyangemedia8756 27 วันที่ผ่านมา

    Mh

  • @KhamisHamad-ts8pp
    @KhamisHamad-ts8pp 27 วันที่ผ่านมา

    Komasava ni salamu lkn s

  • @Zuu673
    @Zuu673 25 วันที่ผ่านมา

    Hii ni taarabu sio qaswida

  • @JosMatty-bq9ii
    @JosMatty-bq9ii 29 วันที่ผ่านมา

    hii nayo dini ety kwel

  • @MIZA-h5g
    @MIZA-h5g หลายเดือนก่อน

    Hamjui kama iyo lugha kama lugha nyengine msitupumbaze

  • @hassanhalfan5380
    @hassanhalfan5380 หลายเดือนก่อน

    amour acha ukafiri

  • @amourmussa8358
    @amourmussa8358 หลายเดือนก่อน

    🔥🔥🔥🔥

  • @Saidy-eu1hc
    @Saidy-eu1hc หลายเดือนก่อน

    Innallillah

  • @bakarikhasani-pv1go
    @bakarikhasani-pv1go 25 วันที่ผ่านมา

    Komasava ni Salam tu

    • @Friyyah
      @Friyyah 24 วันที่ผ่านมา +1

      Qaswaida n za kumswalia rasool mengine ni miyeyusho ty

  • @NajmaSalim-d9w
    @NajmaSalim-d9w 26 วันที่ผ่านมา

    Ni salamu t iyo Lakin ss tusi liko wapi apo

    • @Friyyah
      @Friyyah 24 วันที่ผ่านมา +1

      Wangeiita taarab mana qaswaid n za kumswalia rasool tu

  • @ibrtanation7094
    @ibrtanation7094 หลายเดือนก่อน

    Jomony ni ubunifu 2 wa m2 bs apewe mauwa yake kwa ubunifu mzuri

  • @SaudaSaid-r8g
    @SaudaSaid-r8g 28 วันที่ผ่านมา

    Mbaya sana hata haiyeleweki

    • @Friyyah
      @Friyyah 24 วันที่ผ่านมา +1

      Yan ni ushenzi utup bora wangevua kanzu tujue ni waimba taarab

  • @MaulidiMuhammad-ll1xz
    @MaulidiMuhammad-ll1xz หลายเดือนก่อน

    Napita tuu lakin kasida Kali inavuma duniyaa zima

  • @ArnavAlly
    @ArnavAlly หลายเดือนก่อน

    Ndo kaswida za sikuhz nikam iz bila hiz unaonekan mshamba na hupat kodi

    • @fiakizi
      @fiakizi หลายเดือนก่อน +1

      huyo sio muimba kaswda hizo ni nyimbo zake za kwenye sherehe, zisikilize vizuri ila kinachochanganya watu wanaamini kila alievaa kanzu na kofia na ikiwa sherehe ya kiislam baaas wanaamini kinachoimbwa ni kaswida

  • @MachaAli-ee8sd
    @MachaAli-ee8sd หลายเดือนก่อน

    Mbona utam umekatwa humu ah

  • @Saida-pv5gs
    @Saida-pv5gs หลายเดือนก่อน

    Kila nkitaka kuandika maoni yngu mikono inagoma au bora nseme😂😂 lakin bor bc au sjui nseme ah bora nlale😂😂😂

    • @jabirkombo5483
      @jabirkombo5483 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂

    • @AshratHaji
      @AshratHaji หลายเดือนก่อน

      Shoooo yako iyo

  • @alyngwaly5600
    @alyngwaly5600 25 วันที่ผ่านมา

    Mbn ushkuwa unajidhalilish na kuudhalilisha uislam rafk angu, unatmia kipaj chako vby saiv kam huna la kufany s ukae kmy klko kufany huu ujinga ambao unakutia dhambini. Sas hapa ndo unaimba nn zaid ya ujinga na upuuz tu.

  • @SabeehaSaleh-sg8qj
    @SabeehaSaleh-sg8qj หลายเดือนก่อน

    Amour siku hizi kusema ukweli ovyoo mbaya 😂

    • @AshratHaji
      @AshratHaji หลายเดือนก่อน

      Mh

  • @HawaaAly
    @HawaaAly หลายเดือนก่อน

    Kutabasm muhm😅

  • @KomboMakame-x8t
    @KomboMakame-x8t 26 วันที่ผ่านมา

    Munatuharibia kasida kiukwel kadiria ndiomaana tunampango wa kukaa pembeni tukuachieni na nyimbo zenu

  • @SANDEMANGUNYA
    @SANDEMANGUNYA 25 วันที่ผ่านมา

    mcheni Allah nyie watu wamaulidi

  • @MIZA-h5g
    @MIZA-h5g หลายเดือนก่อน

    Na bado mtasema sanatu ndo ishasomwa

  • @saadaliy3979
    @saadaliy3979 29 วันที่ผ่านมา

    😂

  • @YussufAliy-t4d
    @YussufAliy-t4d 25 วันที่ผ่านมา

    Kama hamjui kuimba tafteni sehem muchimbe mawe muuze au chezeni kikoba Comasava nyie mmezid nyimbo za diamond ND mnaimb nyie mbn ND mnazid kuchafua uislam Qaswida Aqaz sio NYINY hamna vipaji aswa ety komasava jaman

    • @OstadhAmourQaswida
      @OstadhAmourQaswida  24 วันที่ผ่านมา

      Broo tumeona comment zako Ahsante sana hahahaaha

    • @azyunramsein1165
      @azyunramsein1165 9 วันที่ผ่านมา

      Unavo jichekesha hapo ni kama vile uchungu na dini yko huna.... umebakiz hio kanzu2 na kofia ulicho nacho ndani allah ndo mjuz zaid... lkn tambua kitend chako cha kuimba huo ushenzi kimeumiza wengi sn... ungekuw kwa waarabu wangeshakusaka wakakufany vbya

  • @MuhammedRashid-rq5tz
    @MuhammedRashid-rq5tz หลายเดือนก่อน

    Hiii ndio ile komasava 😂😂😂

    • @rahmamussa1674
      @rahmamussa1674 หลายเดือนก่อน

      Ndio jee kwan

    • @AshratHaji
      @AshratHaji หลายเดือนก่อน

      Kwani wee unona je au ngija ngija?

    • @AshratHaji
      @AshratHaji หลายเดือนก่อน

      Sii Koma sava kuona huon lkn ata kuskia huskiii au unatak faida tu

    • @MuhammedRashid-rq5tz
      @MuhammedRashid-rq5tz หลายเดือนก่อน

      @@AshratHaji na zawad kama yupo namtaka si faida pekeee

    • @MIZA-h5g
      @MIZA-h5g หลายเดือนก่อน +1

      Na bado mtasema sana

  • @YussufAliy-t4d
    @YussufAliy-t4d 25 วันที่ผ่านมา

    Hamjui aswaaaaaa kaeni pembeni sio Qaswida izoo komasava muambiwe nn nyie in short pumzikeni hamna kipaji