FUMAU MSHAIRI WA YANGA AWAVUNJA MBAVU MASHEIKH UKUMBINI KWENYE NDOA ZA WATU 100 AMTAJA MAXI NZENGELI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 158

  • @UrindaOthuman
    @UrindaOthuman 2 หลายเดือนก่อน +10

    Yuko vizuri sana sana
    Mungu akujalie umtumikie Mungu

  • @AbrahmanAli-q4v
    @AbrahmanAli-q4v 2 หลายเดือนก่อน +5

    Mm ni shabiki wa Simba ila jamaa nampenda kwa ajili ya Allah

  • @Zubaiba
    @Zubaiba หลายเดือนก่อน +2

    Mashaallah mashaallah fumau💛💚💛💚💛💚

  • @hadijauledi6995
    @hadijauledi6995 2 หลายเดือนก่อน +6

    Mashallh kijana upo vizur 💚💛💚💛💚💛💚💚💛💚💛

  • @jumaayoub8484
    @jumaayoub8484 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ma sha Allah.
    Allah amzidishie ndugu yetu.

  • @Abdoulaziz-b4t
    @Abdoulaziz-b4t 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ma sha allah tabaraka Allah Allah ahijalie ndowa zawo ndoa 100 mwaka kesho allah awatilie wepesi

  • @makameothman1831
    @makameothman1831 2 หลายเดือนก่อน +9

    Huyu jamaa anatunga hapohapo mashallah😊

  • @SumayaSumaya1-j8t
    @SumayaSumaya1-j8t 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaaaaalah❤❤❤❤❤❤ 6:40

  • @yussufAlawi-c9z
    @yussufAlawi-c9z หลายเดือนก่อน

    Masha Allah akufanyie wepes

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 2 หลายเดือนก่อน +7

    Mashaallah ALLAH akubariki kwa kipaji

  • @mohamedikassimu7016
    @mohamedikassimu7016 2 หลายเดือนก่อน +5

    Dah! Hongera sana kaka kazi nzur, usomaji fasaha yaani uko vizur kaka Allah akujaze kher inshaallah

  • @dahelahmad6331
    @dahelahmad6331 2 หลายเดือนก่อน +3

    Sherehe ina bila ya batra Wala zahma.
    Maashallah.
    Tujifunze.Kupunguza gharama ktk sherehe zetu.
    Hao wahusika ndio wanaanza Maisha.

  • @saidmbarouk3553
    @saidmbarouk3553 2 หลายเดือนก่อน +3

    MASHAALLAH 💚💛

  • @watendeomary2971
    @watendeomary2971 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera Fumau unakipaji

  • @rizmwMwriz-mf2cu
    @rizmwMwriz-mf2cu 2 หลายเดือนก่อน +1

    Maa Shaa Allah FUMAU Mungu azdi kukupambania na kipaji chako🎉🎉

  • @khalfanHabib-b2b
    @khalfanHabib-b2b หลายเดือนก่อน

    Ma sha Allah , akuzidishie kila lakheri

  • @rtp9010
    @rtp9010 2 หลายเดือนก่อน +16

    Fumau una kipaji kikali sana!! Hongera sana kaka

  • @HalimaIssa-pu4yt
    @HalimaIssa-pu4yt หลายเดือนก่อน +1

    Manshallah

  • @AbuuRidhiwani
    @AbuuRidhiwani หลายเดือนก่อน

    Mashalaah

  • @AsmaHanii-k9b
    @AsmaHanii-k9b 21 วันที่ผ่านมา

    Mashallah

  • @SAIDIATHUMANINGOMA
    @SAIDIATHUMANINGOMA 2 หลายเดือนก่อน +1

    Masha Allah

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 2 หลายเดือนก่อน +3

    MASHA ALLAH 🇰🇪💚💚💚

  • @Allliyy
    @Allliyy 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaalah fumau

  • @hanspop6961
    @hanspop6961 2 หลายเดือนก่อน +5

    Mashallah Mashallah

  • @ziadayasin711
    @ziadayasin711 2 หลายเดือนก่อน +1

    Maashaallah ❤❤❤❤ mashaallah❤❤❤maashaallah

  • @AminaYassin-kf9gg
    @AminaYassin-kf9gg 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaallah Asante kakangu

  • @NuruSenkwai
    @NuruSenkwai 2 หลายเดือนก่อน +2

    MASHAALLAH.

  • @MachoteghMacho
    @MachoteghMacho 2 หลายเดือนก่อน +2

    😮 mashaallah Allah akuzidishie kipaji

  • @MkumbaKhamisi12
    @MkumbaKhamisi12 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah🎉

  • @KudraEliasa
    @KudraEliasa 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah mungu akujalie san fumau

  • @maliadii4829
    @maliadii4829 2 หลายเดือนก่อน +5

    MANSHAALLAH ALLAH BARIK kijana unakipaji

    • @yusufumpako5364
      @yusufumpako5364 2 หลายเดือนก่อน +2

      Saaanaaa!!!

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@yusufumpako5364TATIZO LAKE NI UTOPOLO HUYO 😂😂😂😂😂😂😂 MIMI SIMBA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @AshaDaudi-kc3fv
    @AshaDaudi-kc3fv 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mashaallah 🙏

  • @RoswitaNduye
    @RoswitaNduye หลายเดือนก่อน

    Hongera sana famau unajua kiukweli

  • @ZaituniJuma-c6n
    @ZaituniJuma-c6n 2 หลายเดือนก่อน

    Jazaka lahu kheir

  • @athumaniUmbwinde
    @athumaniUmbwinde 2 หลายเดือนก่อน +3

    Masha Allah lla😊

  • @arjunimayagila9500
    @arjunimayagila9500 2 หลายเดือนก่อน +3

    MaaaashaAllah

  • @SumayaSumaya1-j8t
    @SumayaSumaya1-j8t 2 หลายเดือนก่อน

    Mashaaaaalah❤❤❤❤❤❤

  • @rajabumsuya-hg8jd
    @rajabumsuya-hg8jd 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ma sha allah

  • @alisalmin512
    @alisalmin512 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mashallah tabaarakallah professor fumau . Allah akuhifadhi kwa kila shari. Unafaa kupewa kazi kwa serikali ya mama samia. Hapa saudia kuna wasaudi wako amerika wanalipwa madola mengi sana kwa mashairi tu. Hicho ni kipawa kikubwa sana. Serikali immwinue azidishe kipawaji chake ndio ombi langu

  • @GodfreyLazaro-bu8cy
    @GodfreyLazaro-bu8cy 2 หลายเดือนก่อน +3

    Safi sana❤❤❤

  • @RamadhaniKilewa-e2k
    @RamadhaniKilewa-e2k 2 หลายเดือนก่อน

    Manshallah Allah akuwekee wepesi

  • @fauziaseifmohd898
    @fauziaseifmohd898 หลายเดือนก่อน

    Allah akubarik kijana

  • @RashidiNjenga
    @RashidiNjenga 2 หลายเดือนก่อน +1

    Daaa vizuli sana kk

  • @mamuumamuu7743
    @mamuumamuu7743 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah ❤

  • @RehemaSaid-rg5mr
    @RehemaSaid-rg5mr 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mashalla

  • @salehesalehe2967
    @salehesalehe2967 2 หลายเดือนก่อน +3

    Safi sana

  • @Yayouselim
    @Yayouselim 2 หลายเดือนก่อน +1

    mashallah

  • @MichaelKapinga-d8j
    @MichaelKapinga-d8j หลายเดือนก่อน

    Nice

  • @UmmuJauzan
    @UmmuJauzan 2 หลายเดือนก่อน +10

    Jamaa anakipaji sana

  • @omarkb6775
    @omarkb6775 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hongra sana kijana

  • @AkidaIbunjumaa
    @AkidaIbunjumaa 2 หลายเดือนก่อน

    Anajua 🌹

  • @SalmaHamidu-t5z
    @SalmaHamidu-t5z 2 หลายเดือนก่อน

    Takbir

  • @nduwimanafatma9948
    @nduwimanafatma9948 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mwenzawazim gam hali yakuwa kafikisha ujumbeee

  • @Abdoulaziz-b4t
    @Abdoulaziz-b4t 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kama gis Allah alivio watilia wapes

  • @BushiriKidume
    @BushiriKidume 2 หลายเดือนก่อน

    Sawaaa

  • @IBRAHIMAYUBU-b6z
    @IBRAHIMAYUBU-b6z 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nyii khidma hio jenzi ya Mopira niya nini tafuteni viwas kwa kitu chengine

  • @AbeidAbeid-d2k
    @AbeidAbeid-d2k 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mashair yajakatazwa katika uislm

  • @masturaabdul1007
    @masturaabdul1007 2 หลายเดือนก่อน +6

    Mashairi kwenye uislam yanakubalika hata maswahaba walikuwa wanasoma

    • @bakarially253
      @bakarially253 2 หลายเดือนก่อน

      Wewe unaona mshahiri wakati kwako music imeja kwako

    • @AibaSaidy-jz3xs
      @AibaSaidy-jz3xs 2 หลายเดือนก่อน

      Huu ujinga Sasa, maswahaba walikuwa wanapanda magari? Maswahaba walikuwa wanakula biriyani? Soma dini uepuke aibu ndogo ndogo.

  • @salimakuyela7813
    @salimakuyela7813 28 วันที่ผ่านมา

    🎉🎉🎉🎉

  • @AUCHO561
    @AUCHO561 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani anavofanya huyu kisheria haijuzu sheikh yupo sawa kisheria

  • @HamzaMbumi
    @HamzaMbumi 2 หลายเดือนก่อน +14

    Hayupo msikitini ila yupo kwenye ndoa na ndoa ni furaha ,usiutie uzito uislam maana haya sio madufu Wala magoma,ni man'dhuma au mashairi.

    • @Kekulebenzene
      @Kekulebenzene 2 หลายเดือนก่อน +2

      acha ujinga dini na mipira wapi na wapi?

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 หลายเดือนก่อน +4

      ​@@KekulebenzeneHIZO NI SHAREHE YA ARUSI NI FURAHA UTANI MASIKHARA KAWAIDA TU HUYO MTOTO HODARI LAKINI UTOPOLO 😂😂😂😂😂😂

    • @ramadhankheir4793
      @ramadhankheir4793 2 หลายเดือนก่อน +2

      Apo watu wapo ktk jambo la dini tena ndoa ni nusu ya dini usituletee matamanio yako

    • @BakaryOmally
      @BakaryOmally 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@salimmalaka256unataka awe kolo ili autakeee

  • @HamisizoAusi-p7v
    @HamisizoAusi-p7v หลายเดือนก่อน

    Ana stair kupewasifa zake jamaa ana jua sana

  • @maufoung
    @maufoung 2 หลายเดือนก่อน +1

    mpira kila sehemu,pumbavu

  • @johnsonmichael945
    @johnsonmichael945 2 หลายเดือนก่อน +1

    MUNGU azid kukujalia kipaj kikue zaid

  • @hemedrashid7186
    @hemedrashid7186 หลายเดือนก่อน

    Na mm naiyomba Al-hikma inijumuishe ktk ndoa

  • @AishaBakari-qc5to
    @AishaBakari-qc5to 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yeye akutaka wameaza wenyewe

  • @Wami-Sababisho
    @Wami-Sababisho หลายเดือนก่อน

    Fumau mtu wa maana kabisa 😂😂😂

  • @UrindaOthuman
    @UrindaOthuman 2 หลายเดือนก่อน +2

    Jamaa kashatoboa masihara masihara

  • @HusseinNkuna
    @HusseinNkuna 2 หลายเดือนก่อน +1

    nimemuona mangungu😂😂

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy 2 หลายเดือนก่อน +2

    Radd is loading...........

  • @Zuhura-w2u
    @Zuhura-w2u 2 หลายเดือนก่อน

    Mshairi alikuwepo hadi enzi za mtume swalallah ghalayhi wasalam na alokuwa akimkosha mtume kwamashairi yake mazuri

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 2 หลายเดือนก่อน +2

    FAMAU HODARI LAKINI TOPOLO 😂😂😂😂😂😂😂

  • @MuhidiniNassor
    @MuhidiniNassor 2 หลายเดือนก่อน +1

    Alikua ananyanyukia vizuri lakini sifa zimemporomosha hiyo fani ina taratibu zake

    • @AkidaIbunjumaa
      @AkidaIbunjumaa 2 หลายเดือนก่อน +1

      Sifa gani Sasa kazi majungu to

    • @ShabaniJuma-z1j
      @ShabaniJuma-z1j 2 หลายเดือนก่อน

      Wivu

  • @aminamrisho8878
    @aminamrisho8878 2 หลายเดือนก่อน +1

    🎉🎉🎉

  • @MuhidiniNassor
    @MuhidiniNassor 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu kwa bara yupo vizuri lakini kwa visiwani huyu ukimpa maski 10 ktk 100 itakua umempendelea

    • @abou2607
      @abou2607 2 หลายเดือนก่อน +1

      Hasadi... si uende wewe

    • @SantaJumaa
      @SantaJumaa หลายเดือนก่อน

      ​@@abou2607Bora ulivyomwambie aende yy

    • @sheikhasalim1190
      @sheikhasalim1190 หลายเดือนก่อน

      mmmh

  • @HawaMohamedi-s4p
    @HawaMohamedi-s4p หลายเดือนก่อน

    Munipe faida wa islamu mulizo zipata toka kwake uwo utoto2

  • @bahatiKingalata
    @bahatiKingalata 2 หลายเดือนก่อน

    Fumau eee umenikosha kwakweri nimekubari kipaji kipo

  • @FadhirHemedy
    @FadhirHemedy 2 หลายเดือนก่อน

    Anasauti zuli mashahlla

  • @ToshNester
    @ToshNester 2 หลายเดือนก่อน +5

    Daaaa mim n Christian sielew chochote kuhusu Muslim ila jamaa tunamchukulia kawaida sana ila anajua sana pia inaonesha n Mtu wadini sana

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 2 หลายเดือนก่อน

      Maandiko MATAKATIFU ya biblia Yanasema hupaswi kua vuguvugu au madabwajat, Kwa Mungu upo na Kwa shetani upo, mwisho WA siku Yesu atakutapika, na huo tunaita unafiki, unapojiita mkristo then unasaport maqafir, au kupenda mambo Yao🤷, tambua kua kuna dini nyingi zinautaratibu mzuri ILA sio za kweli, mfano Mabudha, washinto, confyushz, au wahindu, Kwanzia matendo mavazi, na utaratibu WA ibada, lakini , hazimwabudu Mungu WA kweli JEHOVAH, na Yesu Christo, Mwanae

  • @MombokaMomboka
    @MombokaMomboka 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe chizi muimba MZIKI,😂

  • @mariamsaid6334
    @mariamsaid6334 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kamq umemuona ngungu boy mkono juu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 หลายเดือนก่อน +2

      NIMEMUONA MWANZO MWANZO TENA MSITARI WA KWANZA SEMA NGUNGU MAN SIO BOY 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry6776 2 หลายเดือนก่อน +2

    Shurti kautani mambo yanoge

  • @ramadhanmgumba3680
    @ramadhanmgumba3680 2 หลายเดือนก่อน +1

    Macho yako yanaona kma mimi? Nmemuona mangungu

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu5806 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dogo famau hongera sana umefunika

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 หลายเดือนก่อน +1

      LAKINI USILETE UTOPOLO WAKO 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 2 หลายเดือนก่อน +1

    huyo fumau wa UTOPOLO kajafata nn hapo kuwatia watu nuksi tuu 😂😂😂

  • @YusufuKombojuma
    @YusufuKombojuma 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ila ndugu zangu haya mambo ya mipira hayafai pia haifai kumtambulisha sheikh kama ana timu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 หลายเดือนก่อน +3

      HIYO NAKUSIKIYA WEWE

  • @Kekulebenzene
    @Kekulebenzene 2 หลายเดือนก่อน +1

    jamaa yupo vizuri ila sio mtu sahihi
    mambo ya dini wanatakiwa watu wa dini, huyo anachanganya haki na batili
    mpira yeye dini yeye

    • @Hamis-ks1sy
      @Hamis-ks1sy 2 หลายเดือนก่อน +1

      Fact

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 หลายเดือนก่อน +1

      KASOMA MASHAIRI YA FURAHA YA ARUSI AU UMEMUONA ANATOWA MAWAIDHA HAPO???

  • @khatibabass3106
    @khatibabass3106 2 หลายเดือนก่อน +1

    Binafsi huyu kijana naona sauti hana ,pumzi hana kipaji kwa mbaali tungo zake haziimbiki

  • @Abuuraslaan-m9r
    @Abuuraslaan-m9r 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo mtto hanaakili kbisa na huyo mc nae zime fyatuka kidog xaxa dini na mpira wap n wap mkipigw raddi mnasem mnatukanwa

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 หลายเดือนก่อน +1

      HIYO SHEREHE FURAHA ZA ARUSI KUCHEKA KUTANIANA NA MASIHARA KAWAIDA TU AU UMEONA KUNA MPIRA UNACHEZWA HAPO???

  • @imranmrisho
    @imranmrisho 2 หลายเดือนก่อน

    din inachezewa jaman mambo ya din na mpira wap jaman

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 2 หลายเดือนก่อน +2

      Mpira uko wapi hapo

    • @khadijahamina8457
      @khadijahamina8457 2 หลายเดือนก่อน +1

      cukitu narohombaya

    • @hanspop6961
      @hanspop6961 2 หลายเดือนก่อน +3

      Punguza jazba Hiyo ni Harusi

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 หลายเดือนก่อน +2

      KUNA MPIRA UMECHEZWA HAPO??? FURAHA YA ARUSI UTANI MASIHARA KAWAIDA TU

    • @FatmaRajab-ll8gw
      @FatmaRajab-ll8gw 2 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂hii ni ndoa broo siku raha acha roho mbaya

  • @Kekulebenzene
    @Kekulebenzene 2 หลายเดือนก่อน

    masheikh wa bidaa utawajuaa tu, dini wanataka wao na mipira wanataka

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 หลายเดือนก่อน +1

      KWANI UMEONA KUNA MPIRA HAPO UNACHEZWA???

  • @erishaaboumpangaje8597
    @erishaaboumpangaje8597 2 หลายเดือนก่อน

    huyo dogo ni mihuni...

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu mwenda wazimu unaleta mambo ya munkari kwenye jambo la dini mpuuzi mkubwa wewe chunga sana utaharibu matendo yako kwa ujaahili

    • @rajabumsuya-hg8jd
      @rajabumsuya-hg8jd 2 หลายเดือนก่อน +3

      Ujahili gani shekh?

    • @abubakaromaryonlinetv6333
      @abubakaromaryonlinetv6333 2 หลายเดือนก่อน +6

      Huyu jamaa anaonekana ni mtupu katika dini hivi unapata wapi ujasiri wa kumwita muislamu mwenzio mwenda wazimu hali ww hujui unanafasi gani kwa Allaah ndugu yangu maneno yako yachunge sana yasije yakakurudia mwenyewe

    • @rajabumsuya-hg8jd
      @rajabumsuya-hg8jd 2 หลายเดือนก่อน

      @@abubakaromaryonlinetv6333 nashangaa aisee
      Amekosea kipi hapo? Mashairi kwenye harusi hata mtume alikua akisikiliza nashairi

    • @rajabumsuya-hg8jd
      @rajabumsuya-hg8jd 2 หลายเดือนก่อน +2

      Au kwakua ametaja mpira? Tusomeni dini jamani tuache jazba

    • @beatricehenry6776
      @beatricehenry6776 2 หลายเดือนก่อน +1

      Msamehe kumuita mwenda wazimu kagusa kwenye kidonda

  • @HadijaKiogolo
    @HadijaKiogolo หลายเดือนก่อน

    Mashallah

  • @SultanSaid-js9yj
    @SultanSaid-js9yj 2 หลายเดือนก่อน +3

    Manshallah

  • @BurhaanMohamed-vp8xu
    @BurhaanMohamed-vp8xu 2 หลายเดือนก่อน +3

    Masha Allah

  • @SumayaSumaya1-j8t
    @SumayaSumaya1-j8t 2 หลายเดือนก่อน

    Mashaaaaalah❤❤❤❤❤❤

  • @Jaydendecor007
    @Jaydendecor007 2 หลายเดือนก่อน +1

    maashaAllah

  • @Allliyy
    @Allliyy 2 หลายเดือนก่อน

    Mashaalah fumau

  • @alraiyannasheed6891
    @alraiyannasheed6891 2 หลายเดือนก่อน

    Mashallah mashallah