"Mabustani mangapi, na chemchem ngapi waliziacha! Na mimea na vyeo vitukufu! Na neema walizokuwa wakijistareheshea! Ndio hivyo! Na tukawarithisha haya watu wengine. Si mbingu wala ardhi zilizowalilia, wala hawakupewa muda wa ziada." Quran Surat Ad-Dukhan Aya 25-29.
Allah amsamehe makosa yake amtilie nuru kwenye kabri lake innshaallah na ss atujaalie mwisho mwema wa maisha yetu
"Mabustani mangapi, na chemchem ngapi waliziacha! Na mimea na vyeo vitukufu! Na neema walizokuwa wakijistareheshea! Ndio hivyo! Na tukawarithisha haya watu wengine. Si mbingu wala ardhi zilizowalilia, wala hawakupewa muda wa ziada." Quran Surat Ad-Dukhan Aya 25-29.
Nafasi aliyokuwa nayo hakuitendea haki alifanya dhulma ila tumuomber dua mwenyezi mungu amsamehe dhulma alioifanya
Alichomfanyia maalim seif mungu hatomsamehe huyu jecha
Huyu hakumfanyia malim pekeyake huyo aliikosea jamiimzima ya kizanzimaber
Atakuja zitapika haki zetu, wazanzibar hajua hatokufa..dhalim mkubwa msema uongo
Hatari sana tukumbuke kuna kufa na kuna hesabu fanya unavofanya ogopa Allah .Wazanzibari hawatasahau aliotenda cheo dhamana.
Mungu amueke panapostahili lkn hatutomsahau wa Zanzibar kwa alichotufanyia 2015
Huyu mzee alituulisha sanaA WAZANZIBAR AKIFIKIRI HATOKUFA
Mungu amsamehe makosa yake
Wa qad adalloo kasee ranw wa laa tazidiz zaalimeena illaa dalaalaa. Walaa tazidiz zaaalimeena illaa haassara...😢
Kumamamae jecha
Allah amsameh tu lakin binaadamu tunajisahau tunako kwenda alikua na nafasi nzuri ila hakuifanyia haki😂
jecha hajafa kijana kafaidi maisha musau musihau sabakura za maalisefu kupa sheni
Msiba umekugusa peke yko mjinga mwenzio
Msafara wa raisi gari zaidi ya 25
Kumbe nayy anakufa
kila binadamu ana mazuri namabaya
Aende anapo stahili
Kumbe nae kafa jecha uyu mzee
Leo ni tarehe 15 au 18?
R I P