This is my request to mbengo tv,Kuna mdada fulani ana shape,makalio makubwa hivi alifanyaga kazi na Steve mweusi tokea zamani wakiwa na husna,embu mtafute tunatamani sana kusikia kutoka kwake.
Wewe mwandishi wa habari maswali yako ni ya kipuuzi sana. Anza kuwauliza umezaliwa na una miaka mingapi na elimu yako unefikia wapi. Mengine yanafata baadae. Jitahidi uulize maswali ya msingi yanayomhusu mhusika. Maswali ya wasanii wengine unapoteza muda tu.
Huyu muandishi ni very talented akipata nafasi ya kuajiliwa media kubwa zaidi kama Azam tv clouds wasaf ndo mutaelewa nn anacho. Anajua
Uvae vizuri huyo bailam amuige Rich rich inafaa
Anajua sana bailam mashaallah
Bailam nimekubali ukarimu wako,madam ana maswali ukikosea utavuruga👍
Kama unakubali uyu jama ni noma weka like zake 1k na mtangazaji saiz 📌👏
Mbona jamaa anafanana na Single Mtambalike!!
Anajuaa Sanaa huyu yaani ana kipaji automatically ana hisia za kulia na anajua kuchezaa nafasi zote anazopewaa all the best
Mbn mwandxh hujui kuhoj unachanganya mtiririko haujakaa vzl
Uyo dad mwandishi nampenda San anavyooongea Yan dah mama mae😊
Nilikuwa namsubir kwa ham huyu bailam 🤞🤞 mwamba anajua mpk bs
I just love this guy...yupo real sana na anajua kuact
Nakupenda sana❤️❤️❤️❤️
Bailam nampenda sana anajielewa
Bailam nampenda sana akiwa na vailet
Nakupenda Kakangu mkubwa umenifumbua macho
Alaf uwatafte rahma na Kim pia uwahoji🥰
Nampenda Sana huyu kakaa ...huku Kenya ananikosesha usingizi jamani
Jamaa namfananisha na Single Mtambalike. Anajua sana
Ndio wame fanana
Nikweli wamefanana
Mshkaji namuelewa sana yupo serious kweli kwwnye kuigiza respect broo
Bailam anajielewa wengine kwa vile ni comedi hata wakihojiwa wamekaa kikomed
Apunguze bei
Bailam ako sawa namkubali sana
Daah huyu jamaa namkubali sana, aiseeeeee
Unajua unajua unajua kwel
Teacher Nasri mwalimu wa mwanagu aliemfundisha a e i o u St. Prince Mbande
Mwandishi mimi nakupenda haki from kongo 🇨🇩
Nampenda sana bailam
Hongereni sana twakukubali sanaaaaaaa bailam Mungu azidi kukuongoza vyema ishaallah
Love from Burundi
Ihuriro kwa ba Mario
Uko poa kaka nakubali
Kweli wamefanana baraha na sauti pia
Oya mbengo.kwn uyo dada kichwani ana vipele au vip
Mwenzenu hana nywele ndo maana anavaa kofia
Upo vizuri mwamba tafaut na wengine ambao mbwembwe nyingi na majigambo
Nassir national nasli
Mtangazaji tamka maneno uzuri bhanaa si Velo ni Vero
Likogo
😂😂😂😂😂yaan wewe dada jitahidi maana bado safari ni ndefu hata hiyo kofia mmmmh. Sawa bwana
uyu tutaenda nae hiv hiv mpk tutazoea
🤣🤣🤣🤣mi kofia tu
😂😂😂😂😂😂😂😂Ntamupea ingene abadili
Uyu mwamba Ana juwa sanaa
Nampenda huyu baba jamani
Nice job jamaa wetu watching from Kenya
Ila huyu baba kumbe yuko serious kweli mi najuag ni uigizaji tu
Nakupenda tu we mkaka
Mwandishi unatupotezea radha na hiyo kofia we ni mwanamke suka mama Achan na hayo makofiah ya kizee wara hayakupendezi
Bro mbona kwani kofia ni shida
Anakuwa kama mwanamme
Ni mchafu hata suruale ya ndani abadilishi.
😂😂😂😂
Umeongea point
Kaka waigiza vizuri sana nakupenda sana
Mashallah napenda Sana bahlam💓💓
Nassir
Jamaa namkubari 🔥🔥🙌
Good work
Mashavuuuuuù
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂Mashavu kafika uku
Duh sista uko vizuli in maswali umeolewa lakin
Si ww2 kaka wamakonde wote niwazaifu
Nakupenda sana wewe kaka
Unachoshangaaa ni ualimu au vp na ww mtangazaji bhana
Huy kaka mm napendaga yuko makin sana na kaz yake
Mi nampenda bailam usiliasi wake anaonyesha ndoualisia wake yupo vzr
Mtangazaji acha maringo maana inakufanya uchanganye kwenye R unaweka L
Ley mwambie Steven mweusi arudi kushabikia yanga Kama alivyorudi nassib mondi
Muoji na mtipe dada
Mwamba Namuelewa sana na ni Rich ajae
This is my request to mbengo tv,Kuna mdada fulani ana shape,makalio makubwa hivi alifanyaga kazi na Steve mweusi tokea zamani wakiwa na husna,embu mtafute tunatamani sana kusikia kutoka kwake.
Nataka kujua huyu jamaa machozi yatoka wapi kwenye maigizo
Mtangazaji sema Mara siyo Mala,Nassir si Nassil.
Maskio yako hayasikii
Anaweza sana
This guy is my crush to be honest 😅💯💯❤📌love you from Kenya
Mmmh
Dada iyo kofia unavaa Kila siku jaman badilisha hata nyingine basi au unazo kumi afu rangi ni moja
Kuuliza c ujnga baba asma Ndo huyo kicheche😃 ama n nan mwngne
Hapana ni. Mwengine
Nakupenda sana mdgo wang ray upo bike honger uandish unaufanyia hak
Yuko vizuri saana huyu kaka
Pokeà pongezi gwiji wangu 🎉
My favorite Aaaaah sheeeeenziiiiiiii😂😂I like that piece of your shenzi😁😁
Tatizo lamtangazaji anaongea SANA anauliza maswali zakijinga pia hangoji kujibiwa" JAMAA MADINI NIMENGI KWAKE ila mtangazaji akili ndogo SANA!
Sure, na L na R zinamsumbua sana
aliye sikia masindano like apa
zifike 300🤪🤪🤪
watu tuko makini kuliko ata anae ulizwa maswali khaa
sihami tanzania
Kazi nzuri
Wewe mwandishi wa habari maswali yako ni ya kipuuzi sana.
Anza kuwauliza umezaliwa na una miaka mingapi na elimu yako unefikia wapi.
Mengine yanafata baadae.
Jitahidi uulize maswali ya msingi yanayomhusu mhusika.
Maswali ya wasanii wengine unapoteza muda tu.
Hongera sana bailam
Bailam nilikua nakufananisha na single mtambalike, kumbe sio!!! Duuuh nilidhani kua ndio wew ulicheza Katika filam ya #Sabrina 😅😅😅😅🙄😅🙄
Kweli wanafanana Sana, Mimi nilijua ni mdogo wa singo mtambalike
Wanafanan sana
Umefanana kwa mbali na rich rich
Dada unakaaa mgumu c angalau usuke tukuone
Mwandishi ukivua koffia appo utaeleweka asa mi sjakusoma kabisa wemzul vua vaa / suka please 🙏
Mashallah this guy knows real acting. I like him
very true he makes the acting real, he is great
Umesaau kumuuliza ana watoi
Mitumba mikokoteni😂😂😂😂 we bailam bnh
Dada iyo kofia ni ya mkataba
Mwacheni mwenyewe nakofiayake
Namuona Single mtambalike wa siku zijazo 😅😅
Haha ata mm nimeon
Huyu jamaa yuko poa sana nachompendea hanaga majivuno kivile afu kingine yupo serious na kazi zake
🔥🔥🔥💯
Sana
Yaan kama Mie tu mtoto Wa Kwanza na mwwisho Kwa mama
Sana sana
Kwaiyo kicheche ni bake asma
Hapana
We dada iyo kofia
Kofia imekuw kofia🤣🤣
Baba tengenezeni movies ya love full najua itashika sana yani scene zako sakutweswa kimapenzi siko Sawa
THE BIG BOSS mmeua
Mtangazaji uwe unampa nafasi ya kujibu
Bailam anafaham sanaa aisee
Bailam huna baya kaka unajua mpaka unakera nakukubar sana
Nakkubali sn bailam
Uyu jamaa namkubali anaeza igiza
Wewe dada mtangazaji uko na maswali mazuri technically
Namkubali sana bailam
Uyu dada mtangazaji namu kubali sana😍✨❤ na napenda matcho👀 yako ni mazuri sana😍😍😍❤❤❤
Mtangazaji una maswali madhaifu sana ebu jitahidi kuuliza maswali ya msingi ili tupate kujifunza nasisi
I want to be your friend brother, there are things I want to learn from you
Ntafute tupge stor za Congo