"NINA MTOTO WA KIKE, LAZIMA NIWE MAMA MKWE WA TAIFA" - KHADIJAH KOPA.....

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 62

  • @jorgettemwajuma5428
    @jorgettemwajuma5428 2 ปีที่แล้ว +4

    Mama yetu ana nichekesha na kicheko chake alikuwa mzuri kweli uyu mama

  • @jossymahli9429
    @jossymahli9429 2 ปีที่แล้ว +5

    Napenda sana wasafi from Kenya

  • @achienganna7576
    @achienganna7576 2 ปีที่แล้ว

    Wasafi natuma salamu yangu kwa adija kopa ,juma loloke naona una enjoy Yale the queen of taraab adija kopa anaeleza

  • @nkunzimanapatrick5463
    @nkunzimanapatrick5463 2 ปีที่แล้ว +3

    Diamond wacha zuchu aimbe ndugu yangu kwasabu ako juu sana

  • @reubenbaraka6869
    @reubenbaraka6869 2 ปีที่แล้ว +1

    Napenda hair style ya lokole its so niice

  • @الرعدالصغير-ت1ش
    @الرعدالصغير-ت1ش 2 ปีที่แล้ว +4

    Mama Mkwe Wa Taifa😍😍😍

  • @TheDreamFamily0
    @TheDreamFamily0 2 ปีที่แล้ว +4

    Hhhhh mimi nakwambiya ule njo ataweza,Mama dangote, baswahili banabishana,na bujanja 😳😳, akisubutu, zuchu mama atamuachiya simba mujini 😆😆🤣🤩

  • @safinanamgales5580
    @safinanamgales5580 2 ปีที่แล้ว

    Hiyo Dada ana kelele sana

  • @sifamugwaneza8774
    @sifamugwaneza8774 2 ปีที่แล้ว

    Mkweee wa Taifa jmn 👌

  • @annahkabanza2022
    @annahkabanza2022 2 ปีที่แล้ว

    Wewe Juma lokore unaoa lini maana mchumba alikufata studio 😳

  • @manjaugodwin7834
    @manjaugodwin7834 2 ปีที่แล้ว +7

    Mnapenda kıkı mm hata sıamını najua nı wımbo mpya wa Valentin

    • @mamiyfeiy
      @mamiyfeiy 2 ปีที่แล้ว

      Kiki tuuu izo za kipumbavuuu

  • @zayanaalmarjibi4254
    @zayanaalmarjibi4254 2 ปีที่แล้ว

    Zamani walikuwa weusi ti ti ti
    Sasa wamekuwa weupe ndi ndi ndi
    Mama mzuri kupita mtoto
    Sijui kamfata nani, labda baba yake

  • @magechuwa804
    @magechuwa804 2 ปีที่แล้ว

    Yetu macho tuu haa pole mamaa

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 2 ปีที่แล้ว +2

    Yani Juma mmbea mpaka kanyanyuka kha

  • @gracealvins2141
    @gracealvins2141 2 ปีที่แล้ว

    Aki ile udaku inakuanga wasafi acha tuu

  • @seifsungura6936
    @seifsungura6936 2 ปีที่แล้ว +1

    Haha mama diamond lopolopo..mama zuchu lopolopo...wifi zuchu lopolopo...wapambe nao lopolopo...zuchu mwenyewe mswazi wa zenji... diamond mpenda wadada sipati picha siku kikiumana .....yetu macho..

    • @salmaalimusa6809
      @salmaalimusa6809 2 ปีที่แล้ว +1

      😆😆😆😆😆😅😅🤣🤣🤣

  • @janethdavidsanga5999
    @janethdavidsanga5999 2 ปีที่แล้ว

    Yaan trip hii mama Dangote kapata mswahili mwenzie mambo ni moto

  • @djumaleila8885
    @djumaleila8885 2 ปีที่แล้ว

    Jamani mama dangote nae lini?

  • @ramayonline2281
    @ramayonline2281 2 ปีที่แล้ว +1

    Mama mkwe wa taifa

  • @magrethpanga2062
    @magrethpanga2062 2 ปีที่แล้ว

    Duuh uswahili unamambo huyu mama sialikana mwaneae Hana hausiano na Diamond jamani leo anachekelea,ukiambiwa swala la mtoto usimkanie sema na chunguza ni kweli

  • @capteinchuimchafu7894
    @capteinchuimchafu7894 2 ปีที่แล้ว

    Hawa wambea duuuh

  • @naamohamed1042
    @naamohamed1042 2 ปีที่แล้ว

    Mama mkweee😁😁😁

  • @angelmando2787
    @angelmando2787 2 ปีที่แล้ว +2

    🔥🔥🔥🔥

  • @khadijahomankweliyamjahaya7421
    @khadijahomankweliyamjahaya7421 2 ปีที่แล้ว +2

    Jaman ifike tuu iyo siku tujue moja hatuelewi😂😂😂😂

    • @ciarmnyone738
      @ciarmnyone738 2 ปีที่แล้ว

      Hakuna kitu Kama ikoooo........wanatk TU ajulikanee Zaid

  • @ruthusinde966
    @ruthusinde966 2 ปีที่แล้ว

    Leo kumenoga humuuuu

  • @africakaka7217
    @africakaka7217 2 ปีที่แล้ว

    Wazanzibar wanateseka yani kilasiku studio, nanyinyi wasafi hamnahata matangazo yani kilasiku mambo hayo tu fanyeni kazi bwana wasafi tunaipenda siokilasiku hayohayo, kwanza diamond hawezi kumuoa mana kunapisi Kari aje oa . Yani anajikatisha viuno huko TH-cam mmh

  • @magechuwa804
    @magechuwa804 2 ปีที่แล้ว

    Dai ataowa wangapi ngoja tuone uwiii mi nasikiaga tu anazalisha anaacha

  • @storytownTv
    @storytownTv 2 ปีที่แล้ว

    Mbona Sasa n makelele tupu Kama yamekunywa gongo .

  • @novatidamian7236
    @novatidamian7236 2 ปีที่แล้ว

    Haya mama umesema kweli wewe mkwe wa taifa unajua fika kuwa diamond akimuoa mwanao ni miezi ama miaka kadhaa ata achia ngazi na wengine wata muoa ndo maana ya utakuwa na wakwe kitaifa. Diamond haoi ana weka vimada mpaka azeheke kijana yupo kwenye laana za mzazi wake. Kama mnapenda mpeni ushauri wabure tu.

  • @mwyahaya5086
    @mwyahaya5086 2 ปีที่แล้ว

    Mond usije kumla na mama kwa kupendeza uku matcho yangu

  • @magechuwa804
    @magechuwa804 2 ปีที่แล้ว +1

    Wangapi wameishi nae wazuri kuliko zuchu mashavu na wameachana uwuuuuuuu

    • @gulfomanbb2119
      @gulfomanbb2119 2 ปีที่แล้ว +2

      Kuolewa sio uzr jmn 2elewe ilo

    • @magechuwa804
      @magechuwa804 2 ปีที่แล้ว

      @@gulfomanbb2119 nimeona mengiii

    • @magechuwa804
      @magechuwa804 2 ปีที่แล้ว

      @@gulfomanbb2119 asijejutia

    • @zabubamudy126
      @zabubamudy126 2 ปีที่แล้ว

      kuolewa tabia na bahati sura haiendi ndigu

  • @kiri5807
    @kiri5807 2 ปีที่แล้ว

    Hakuna ndoa hapo , wote wasanii hao tabia zao sare.

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 2 ปีที่แล้ว

    😍😍😍 .

  • @khadijakdj8640
    @khadijakdj8640 2 ปีที่แล้ว +4

    Inamaana huyo mtoto anaolewa na wanaume wa Taifa zimaaa🤔🙄😅🤣

    • @esther7069
      @esther7069 2 ปีที่แล้ว

      Legends only wataelewa

  • @bahatiagape7121
    @bahatiagape7121 2 ปีที่แล้ว

    Mnaongea sana....mnalazimisha kitu...Achen muhusika aongee bas na nyie.....🤔

  • @preciousjohn9405
    @preciousjohn9405 2 ปีที่แล้ว

    Hamna ndoa hapa Kiki ya trh 14 tu kupush

  • @HalimaHalima-og8bd
    @HalimaHalima-og8bd 2 ปีที่แล้ว

    😁😁😁😁

  • @SAMA-jw4fr
    @SAMA-jw4fr 2 ปีที่แล้ว

    Hizi kiki za blaaa blaaa ndio zinawapa kula yao inaweza kuwa ndio wa zuchu kuimba au ndio mwanzo wa zuchu kutoka kimataifa yote ni business show

  • @issakamangila4143
    @issakamangila4143 2 ปีที่แล้ว +2

    Haya mambo mengine bwana sielewagi kbs ivi baba yake zuchu ndio nani ?

    • @habbyhalawa5266
      @habbyhalawa5266 2 ปีที่แล้ว

      🤣😂😂😂

    • @khadijambuya794
      @khadijambuya794 2 ปีที่แล้ว

      Zuchu bba ake mungu amrehemu in shaallah ameshafariki zamani

  • @nissispuppies5990
    @nissispuppies5990 2 ปีที่แล้ว +2

    Wcb wanajua kutumia watu.....

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 2 ปีที่แล้ว +1

    Kwa kiki iyoo mmefeli hahaaa tafuteni nyengine

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah7079 2 ปีที่แล้ว

    You're over doing this kiki hadi kila mtu amejua ni kiki

  • @najuf8021
    @najuf8021 2 ปีที่แล้ว +1

    Mama mkwe wataifa

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 ปีที่แล้ว

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌

  • @glorymtinangi8002
    @glorymtinangi8002 2 ปีที่แล้ว

    😀😀😀😀

  • @abubakarimaulidi4617
    @abubakarimaulidi4617 2 ปีที่แล้ว

    Wabongo stukeni hao wanacheza na akili zenu ndogo kupiga ela zenu

    • @magrethhenry7197
      @magrethhenry7197 2 ปีที่แล้ว

      Wanatak watu waende wengi kweny show ya zuchu siku ya valentine

  • @rutakihama3523
    @rutakihama3523 2 ปีที่แล้ว +1

    Hahahahaaahahha

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 2 ปีที่แล้ว

    Zuchu NI best Kwa Diamond.Zari NI Mzee Kwake atakuwa kama shangazi yake au Mama mdogo siku zote.diamond alee watoto tu

  • @daniellengere6762
    @daniellengere6762 2 ปีที่แล้ว +1

    Mama mkewe wa taifa