mungu awabariki sana simameni hawa watu baadae wanatubu wanaacha watu wakiwa wamepotea , wengine wanajiita majina makubwa kuteka watu .,mungu awabariki sana wekeni wazi , makanisa sasa mengi yamekuwa ni biashara
JKK, tunawaombea Mungu awe nanyi daima ktk maono mliyopewa ili kulifungua kanisa takatifu la Bwana. Shetani ni baba wa uongo...na anajua maandiko.. issue za mafuta, bangili, vitambaa, maji, sabuni, sticker n.k zimekuwa ni kero ktk kanisa teule. Tunawapenda mnooooo baba zetu.
Oooooh utukufu na heshima na adhama na uweza wote una wewe MUNGU wetu unae ishi milele yote ,hakuna alie kama wewe,naona shetani amechanganyikiwa ,na apigwe haswaa kwa jina la YESU KRISTO alie hai.JKK juuuu haleluuuuuuuuuuya ,mbarikiwe sana wana wa MUNGU alie juu.
Mwenye haki ataishi kwa imani na imani inahusu mambo yasiyoonekana kwa macho yetu. Mababa Mungu awabariki sana. Mtapigwa vita lakini vita hivi ni vya Bwana. Naye ashindanaye na kweli hii, hakika atasagwa kabisa
Mtumishi wa Mungu fernandez anaongea kwa uchungu sana, Tumsikie Roho Mtakatifu jamani kupitia watumishi wa Mungu hawa, wamepitishwa katika Mengi sana na hakuna ufunuo mpya nje ya neno la Mungu.
Yaaaani mimi Niko Burundi nawafata sana watumishi wa Mungu JKK, nimebarikiwa sana nawapendeni nawaombea Mungu awape maisha marefu ili muendelee kuwaumbua waongo hata uku Burundi ni wengi tuu.
Nilitategemea Haya Maneno ya watumia mafuta na chumvi, ningeona ni ajabu kama mashetani yatabaki kimya, haiwezekani! Nimewapenda sana watumishi wa Mungu, Naamini Yesu analiandaa kanisa kwaajili ya Unyakuo! Kuwe na vipande viwili, walio upande wa Bwana na walio upande wa miungu wanaotumia mafuta na chumvi.
Kuna shemeji yangu kapewa mafuta anayo ktk biashara yake lkn hataki kuokoka pia nililimuona dudu baya nae ana mafuta na ataenda nayo kupanda jukwaani sasa huo ni ukengeufu tu sasa nyie semeni atakayetubu na atubu na atakayepinga na apinge lkn Yesu aliyesurubiwa lazima ahaubiriwe
Mbarikiwe Sana Watumishi Wa Mungu kwa kulianzisha jukwaa hili la kumuhubiri Kristo Yesu. Kinachoangaliwa Ni utakatifu tu Wala siyo utajiri,wingi wa washirika wa weredi wa kuongea.
Kwakweri Mungu awabariki sana kazeni buti hakuna kurudi nyuma mtaripwa msipozimia mioyo maana yalikua maombi yangu Mungu kuinua watu wenye mzigo wakukemea hao matapeli wanaowaibia watanzania bila kumwogopa Mungu
Mwenye ekima abishani!!!!!!!mwamposa jikalie kimya na paul bendera jikalie kimya na mama rwakatale jikalie kimya na dustani maboya jikalie kimya msibishane epuken haya na mungu atawabariki!!
Akuna amani kwa waovu,walidanganya sasa mwenye Mali yesu amekuja mwenyewe kukusanya kondoo walio ibiwa na chuwi wezi,mnatumia jina layesu kudanganya,mnaenda kuzim,kupewa nguvu ya upotovu,yesu,waaibishe hao waovu
Nakushukuru mno Roho Mtakatifu miaka kadhaa iliyopita nilipata mzigo wa kuombea kanisa la Kristo kuwa wamoja.Kristo yuko upande wenu !!Pigeni kazi na ujana wenu utarejeshwe !!
Mbarikiwe sana huu ndio mwili wa Kristo kujengwa matabaka ni mipango ya shetani kutugawanyisha maana ktk mwili mmoja kuna viungo vingi, kitendo chakuja pamoja ni jambo zuri ni kufanya Kristo atukuzwe na mwili wa Kristo ujengwe
Watumishi wa kweli wa yesu msiogope,izokelele za viwete,wameguswa na upanga wa yesu,wanafurukuta,onawanavyo,jivuna,ona, walivyo waovu,wametaaruki,kazi zao zakuzim,tumewajua,yesu ameaidi kuwaaibisha,
Hii kitu imefanya ufalme wa shetani utikisike baba zangu, na mwenye sikio na alisikie neno hili kutoka kwa MUNGU kupitia nyie watumishi wake wake......
Kani simameni kuomba kwa ajili ya jukwaa LA kumuhubiri krisho,yesu ameanza atamaliza,Nani mwamba ni yesu mungu mkuu yuko kazini,yesu anaongea kupitia hivi vinywa wabariki sana,wa isay,54'_17 msiogope,isaya,41_8
Watumishi Mungu awatie nguvu ni wakat wa kuongea kweli ya Mungu makristo ya uongo yamezagaa kona zote za nchi manabii wa uongo matapeli wamepagawa watakao inuka kupingana na hili ni wale wa kuzimu waongo waliopigwa mihuri ya shetan tafadhar wazee hubirini msikate tamaa tufunguen masikio
JINSI YA KUTAMBUA HUYU NI NABII WA UONGO Utangulizi Kimsingi Mungu aliweka wazi kupitia kitabu halali kwa wakristo (Biblia) katika Yoweri (Joel) 2:28 kuwa siku za mwisho atatupa roho na tutafanya miujiza na kutabiri. Kwa chanzo hicho kutoka kwenye maandiko manabii imekuwa ni habari ya mjini na kijijini kwa sasa, watu wengi kwa maelfu tunajazana kwenda kwa manabii tofauti tukiamini kupatiwa suluhu ya matatizo yetu kama; 1. Ajira, 2. Mambo ya kiuchumi, 3. Masomo, 4. Magonjwa na, 5. Maisha bora Tunajua Biblia imetokana na neno la manabii mbalimbali, kwa hiyo manabii ni msingi mzuri kwa ukristo na imani. Mathayo 24:3, 4, 11, 24 Biblia imeeleza kuna miaka duniani itakuwa na manabii wengi wa uongo na watafanya maajabu makubwa na watateka wakristo wengi (tafsiri rahisi zaidi ya wakristo 50% watakuwa huko). Manabii hao watapata nguvu ya kufanya hayo maajabu kama ilivyoelezwa kwenye kitabu cha Ufunuo 16:14 watapata roho mchafu wa shetani (lugha rahisi ushirikina). Nabii wa kweli utamjuaje? • Nabii wa kweli hutabiri kwa usahihi, Yeremia 28:9 nabii haitakiwi kuwa chini au juu ya 100%. Akitabiri kitu cha ki Mungu huwa asilimia 100 kutimia. Vinginevyo nabii huyo ni wa uongo. • Haendi nje na agizo la Mungu, nabii husema kwa niaba ya Mungu. Isaya 8:20 tunaoneshwa kuwa ikitokea mafundisho yakalenga habari nyingine za mtaani huyo si nabii wa kweli ni muongo. • Hatabiri mambo ya mtaani au ya kishabiki au ya kipuuzi, katika kitabu cha 1Yohana 4:1-3 tunaambiwa lazima awe amejikita kusema neno la Mungu tu (Jesus centered and focused) vinginevyo mambo mengine ya mtaani kama soka, siasa na mengine (peripherals) huwa ni nabii wa uongo. • Huigiza mtu wa Mungu kumbe mbwa mwitu, hii tunaihakiki kwenye Biblia kitabu cha Mathayo 7:15 kuwa huvaa ngozi ya kondoo huku wakiwa mbwa mwitu ili wakunase. Masharti ya kufanya unabii ni yapi? Nabii hutabiri na kuona maono, katika kitabu cha Daniel 10:18 amefafanua kuwa ukiachana na ndoto kwa sasa husema ameona na ana neno la kinabii. Jinsi ya kujua maono toka kwa Mungu lazima yafuatayo yatekelezwe Daniel 10:18; 1. Maono lazima yahakikiwe na wengine, 2. Wakati wa maono awe amefumbua macho, 3. wakati wa kupata maono awe hapumui (hii ni lazima iwe zaidi ya dakika 10 bila kupumua, kama ni unabii wa uongo atakufa kwa kukoswa pumzi lakini kama ni Mungu atazimia akiwa hivyo na hatakufa hata akae kakika 30), 4. Muda wa kupokea maono hawezi kuongea huwa hana nguvu na anaona, 5. Vinginevyo ni uongo Utamtambuaje sasa nabii wa uongo? Katika 2 Petro 2:1 na kuendela ameeleza nabii wa uongo hutambulika kwa yale afanyayo katika mwili, yaani akiwa katika maisha yake ya kawaida anaishije? Hizi ndo dalili za nabii wa uongo; • Huhubiri ukristo ni kuwa tajiri (kinyume kabsa na Yesu). Katika 1 Timotheo 6:5,6 mtawagundua mafundisho yao hulenga ukristo na vipato/utajiri/mali. • Injili inafanywa mtaji au injili na pesa, katika kitabu cha Mika 3:5 hujali sana kulipwa pesa wakati wa kufanya huduma zao za kinabii. Mtu yeyote akienda kinyume nao kushambuliwa kwa nguvu zote kitabu hicho kimeeleza. • Hupenda kuongelea matanuzi, anasa, kujisifia binafsi na huruka mistari ya bibilia na kuchukua sehemu ya maandiko ili kuhadaa watu. Katika kitabu cha 2 Petro 2:14, kitabu chote kinaeleza lakini mstari wa 11 umetaja jinsi kila nabii wa uongo lazima kwenye himaya yake awe mzinzi na mwasherati. Pia Biblia imemtaja kuwa ana macho ya kutamani uasherati. Ushauri wangu Kitabu cha Yeremia 23:9 kwa sababu wanadiliki kusema wanamaono toka kwa Mungu kumbe uongo na wanaweza kuigiza muujiza, basi tuelewe nyakati hizi kila mkristo asome biblia yake na kuelewa ujio huo. Mungu awabariki sana SEMANKA 2019
Ukirusha jiwe gizani mtu akapiga kelele ujue limempata. Hayo mafunuo mliyopata hakika yanatoka kwa Mungu alie hai yasimamieni kwa gharama yoyote tuko pamoja ktk safari hii yakwenda Mbinguni. Hili mliloanzisha ningewakaribia ningeshuka chini kubusu miguu yenu kwa namna mlivyonigusa Mungu awaongoze watumishi wa Mungu JKK iungwe mkono na waenda Mbinguni wote maana imetoka kwa Mungu.
Maoni yangu ;- Baba askofu Z Kakobe , Chungueni maandiko ya agano la kale na agano jipya yanayo husu mafuta ya uponyaji, halafu mutoe hukum ya haki kwao wanaotumia mafuta ya uponyaji, muone kama walielewa vibaya - ilikuondoa mgongano usiyo wa lazma KATIKA nyumba ya mungu
Yesu alisema" wengi watakuja kulitumia jina langu kwa manufaa yao wenyewe,wakijidai kutoa maarifa ambayo ni ya kupotosha watu,tena sio wale ambao wasiomjua Yesu tuu,jamani hata wale wamjuao wasipokuwa makini na elimu zao watabebwabebwa na kupotoshwa wote wasiuone uzima wa milele" mathayo 24:1........ Sasa kama watumishi wa asisi wa JKk. Wanamtaja" Yesu" na sio materials ya dunia hii wako vizuri sana,kwa mtazamo wangu. Maana nyakati hz nikisikiliza baadhi ya wahubiri wanahubiri materials kwa nembo ya Yesu kumbe ni mapato tuu na matumizi yao, waumini watajijua....! Jkk team member pigeni kazi .
Naomba kuongezea hapo wazee wetu biblia imesema nasiku za mwisho wengi watajiita manabii, sio wataitwa isipokua wamejiita wenyewe,,,kwa maana hiyo kama mtu amejiita mwenyewe lazima awe na mafunuo yake mwenyewe,lakini kama ameitwa na kristo atatembea na ufunuo wakristo mwenyewe,,
Hii ni ya Mungu kabisa kanisa litapona niwashukuru watumishi wa Mungu kwa kukubali kufanya hili japo ina vita vyake Yesu mwenyewe atawatetea.tuseme kweli ili injili ihubiriwe tuachane na mafuta maji udongo na vingine na machumvi Mungu atawatetea.mimi ni mkristo mkkkt niko Arusha nawaunga mkono.
Hapa lazima wabadilishe fomla nyingine muda si mrefu wataachana na mafuta, maji, na chumvi wataweka fomla ya mavazi ya kichawi uki msogelea tu inakula kwako nawe unaamini ni kweli
Yakobo:5.13 Mtu wa kwenu amepatikana na mabaya? Na aombe. Ana moyo wa kuchangamka? Na aimbe zaburi. Yakobo:5.14 Mtu wa kwenu amekuwa hawezi? Na awaite wazee wa kanisa; nao wamwombee, na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana. Yakobo:5.15 Na kule kuomba kwa imani kutamwokoa mgonjwa yule, na Bwana atamwinua; hata ikiwa amefanya dhambi, atasamehewa. Yakobo:5.16 Ungameni dhambi zenu ninyi kwa ninyi, na kuombeana, mpate kuponywa. Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana, akiomba kwa bidii.
Ilindeni imani..so jukumu LA malaika kulinda imani ni jukumu LA watumishi Wa Mungu kulinada na kuipigania imani....malizeni mwendo kwakishindo...so kwa unyonge
Yesu amewaona hawa gomanywa kakobe frendanis ,ndio ameweza kushuka kwa mioyo yao kuponya kanisa,Roho wa mungu wapenguvu wapeneema,wape moto,wape wape zaid kinywa cha upanga,kanisa lisafishwe waovu hukimbia ,wasipo fuatiwa,hahahaaaaa
Wazee wangu Mungu amewatuma kuleta mageuzi ili tupate KANISA la kweli linalokwenda mbinguni.Nimeimarika kiroho kupitia mafundisho ya mwalimu Mwakasege,lakini kwa sehemu kubwa namshukuru sana mtume Vernon Fernandes kupitia A.T.N.Nimeimarika sana kiroho kupitia kwa mtumishi wa Mungu Moriss Cerullo kupitia ATN. Huyo Rashid si mtume ila ni wale wale wapigaji wa mjini.
Hakuna Ufunuo Nje Ya Neno La MUNGU,, Alafu Acha Kutetea Mafuta,, Kakobe Anamuhubiri KRISTO alafu Wewe Unapinga,, Embu Nyamaza, Na Uache Injili Ya KRISTO Ihubiriwe Kwa Usahihi,,,,,,,
Nimeipenda sana Mafuta chumvi maji NK. vimekua kero mpaka kanisa linachanganyikiwa MUNGU AWAINUE SANA AENDELEE KUWAPA MAFUNUO ZAIDI ILI KULIIMARISHA KANISA NYAKATI HIZI ZA MWISHO. from Ars
Wachungaji hapo nibarikini. Endelea kumhubiri Kristo watu watubu wamgeukie Kristo.wachungaji wa mafuta Hebron amewaita wauza maji na mafuta "mbwa mwitu"
Umepotoka. Muda wa kupimwa kazi ya kila mtu, bado haujafika. Acha ushabiki, itetee injili. Ifike mahali tuwabaini watumishi wa kweli na wa uongo! Ni kazi ya wazee kutuonya. Kama wee siyo mzee nyamaza!!!
Peter Rashid, MUNGU Akurehemu sana. Hakuna hofu ya MUNGU ndani yako. Mbinguni hatuendi kwa cheo cha kuitwa Mtume na Nabii, kwanza unasema wana sifa tatu, kwa hiyo pesa ndio inawapa kiburi!? Tunahitaji kuwa watu wa Rohoni sana. Nimesikia huzuni sana kwa ajili yako Rashid Peter kuongea pumba kabisa, so sad!!...
Nimesikiliza sana kusikia Habari hizi pande zote mbili haya mambo yafaa sana kuyamaliza Kwa vikao vya ndani. Tunaharibu uhalisia wa Neema ya Bwana Wetu Yesu, mfano hizo sauti Ile ya pili ule Ni utoto kabisa Na huyu Wa tatu hizo sifa Ni kitu Gani hapa watasikia wasioamini Na waamio Sasa wakristo tuache mvutano Na maneno ya kejeli jamani. Nyie wazee wetu huko mwanzo ilibidi kuweka msingi wa umoja mapema. Watumishi wa Tanzania hatuna umoja. JKK hili jambo Ni mhimu Ila mmeshirikisha wengine wakakataa?
Watumishi wa Mungu nashukuru mmefunuliwa ukengeufu wa kanisa.msikate tamaa songeni mbele. naomba Yesu awafiche kwenye damu yake
Mungu awe pamoja nanyi wazee wangu wa imani katika kipindi chote chakulisafisha kanisa
Nawafatilia vizuri sana mababa zetu, hakika kuna kitu cha ziada sana kwa anaefatilia na mwenye roho ya kufundishwa na kufundishika.
Poleni sana Wazee wangu.. Siwezi kuamini kama bado kuna vijana wanawatukana... Peter Rashid... Nathubutu kusema Atubu
Uyo lazima Atubu kuwasema vibaya watumishi wa Mungu eti wazeee Baba zangu songeni mbere ijnli haina uzeee
Hana adabu hata ongea yake inajieleza
mungu awabariki sana simameni hawa watu baadae wanatubu wanaacha watu wakiwa wamepotea , wengine wanajiita majina makubwa kuteka watu .,mungu awabariki sana wekeni wazi , makanisa sasa mengi yamekuwa ni biashara
JKK, tunawaombea Mungu awe nanyi daima ktk maono mliyopewa ili kulifungua kanisa takatifu la Bwana. Shetani ni baba wa uongo...na anajua maandiko.. issue za mafuta, bangili, vitambaa, maji, sabuni, sticker n.k zimekuwa ni kero ktk kanisa teule. Tunawapenda mnooooo baba zetu.
Bwana Yesu asifiwe, Hongereni sana kwa kutii wito wa Roho Mtakatifu, hakika tumefunguka sana,- kutoka Njombe.
Kamwene
Mungu azidi kuwabariki watumishi wa Kristo Yesu...
Oooooh utukufu na heshima na adhama na uweza wote una wewe MUNGU wetu unae ishi milele yote ,hakuna alie kama wewe,naona shetani amechanganyikiwa ,na apigwe haswaa kwa jina la YESU KRISTO alie hai.JKK juuuu haleluuuuuuuuuuya ,mbarikiwe sana wana wa MUNGU alie juu.
Salome Mgaya na mimi ni mmoja wapo wa mwanafunzi wa ASK Kakobe
ni ajabu sana kama tumefika hapo kwa biashara ya mafuta kwamba lazima yauzwe ni hatari sana wanapotosha mno watubu hakuna kumumunya maneno
Mungu awabariki wazee nyie ni hazina
Mwenye haki ataishi kwa imani na imani inahusu mambo yasiyoonekana kwa macho yetu. Mababa Mungu awabariki sana. Mtapigwa vita lakini vita hivi ni vya Bwana. Naye ashindanaye na kweli hii, hakika atasagwa kabisa
Unaweza kuwa na pesa nyingi, nguvu ya kuongea na watu wengi, lakini ukawa huna Mungu.
I love these men of God.
Amen najifunza sana
Bwana Yesu awafunike mashujaa wa Bwana Yesu, kazi yenu ni njema mno, kila mahali pamechafuka, mmegusa penyewe..
KAZI NZURI SANA
Mimi Nawapenda na Ninajifunza Kwenu!
"Kinywa CHA MZEE Kinaweza KUNUKA Lakini MANENO yake HAYANUKI"
Ma baba wa imani yesu hahubiri ,hamkuitwa na mtu,au kanisa,yesu aliwaita ubirini yesu aliye waita
This union is going to bring a great change to the world, GOD bless you
Mtumishi wa Mungu fernandez anaongea kwa uchungu sana, Tumsikie Roho Mtakatifu jamani kupitia watumishi wa Mungu hawa, wamepitishwa katika Mengi sana na hakuna ufunuo mpya nje ya neno la Mungu.
Mungu awabariki sana sana wazee wangu
Yaaaani mimi Niko Burundi nawafata sana watumishi wa Mungu JKK, nimebarikiwa sana nawapendeni nawaombea Mungu awape maisha marefu ili muendelee kuwaumbua waongo hata uku Burundi ni wengi tuu.
Asante Yesu kwa jambo hili, lovely
Nilitategemea Haya Maneno ya watumia mafuta na chumvi, ningeona ni ajabu kama mashetani yatabaki kimya, haiwezekani!
Nimewapenda sana watumishi wa Mungu, Naamini Yesu analiandaa kanisa kwaajili ya Unyakuo!
Kuwe na vipande viwili, walio upande wa Bwana na walio upande wa miungu wanaotumia mafuta na chumvi.
Kuna shemeji yangu kapewa mafuta anayo ktk biashara yake lkn hataki kuokoka pia nililimuona dudu baya nae ana mafuta na ataenda nayo kupanda jukwaani sasa huo ni ukengeufu tu sasa nyie semeni atakayetubu na atubu na atakayepinga na apinge lkn Yesu aliyesurubiwa lazima ahaubiriwe
nimecheka aisee!!watu wasome neno.Hawa wazee wako sahihi.
Mafuta ni hirizi kama hirizi zingine
Ka biashara ka mafuta kana fedha wakaacheje?
Naunga mkono hoja zenu.
mtu ajaokoka anatumia mafuta maana apo amemuacha Yesu nakufuata mafuta apo mafuta ayafai na sikitu
Mbarikiwe Sana Watumishi Wa Mungu kwa kulianzisha jukwaa hili la kumuhubiri Kristo Yesu.
Kinachoangaliwa Ni utakatifu tu Wala siyo utajiri,wingi wa washirika wa weredi wa kuongea.
Kwakweri Mungu awabariki sana kazeni buti hakuna kurudi nyuma mtaripwa msipozimia mioyo maana yalikua maombi yangu Mungu kuinua watu wenye mzigo wakukemea hao matapeli wanaowaibia watanzania bila kumwogopa Mungu
Mungu atusaidie, kanisa lilishafika mbali! Mungu awasaidie mababa wa imani.
mungu awabariki
wazee
Wazee wetu mko vizuru, tunawapenda; Endelea kupiga gospel tunategemea kutoka kwenu.
Mungu yuko kazini, ambao wanatukana siku zao zinahesabika! Mitume na manabii na wote mlioanza huduma karibuni Jifunzeni kwa hawa wazee wamewatangulia.
Mwenye ekima abishani!!!!!!!mwamposa jikalie kimya na paul bendera jikalie kimya na mama rwakatale jikalie kimya na dustani maboya jikalie kimya msibishane epuken haya na mungu atawabariki!!
KUISHINDANIA IMANI, SIYO KUKAA KIMYA! KUNA MAHALI PA NAMNA HIYO, LAKINI SIYO HAPA! BADO HUJAWA MFUNDAJI MWELEWA!
HAYA SIO MABISHAMO GEORGE,, 😀😀
Yawezekana ni Shabiki wa Watumishi, yafaa uwe Shabiki Mzalendo WA KRISTO
Shalom shalom, mimi ninawaombea akina kakobe waendelee na kupambana hakika MUNGU yupo
Mitume wauwongo wanabwetabweta yesu inuliwa weweyesu ndie nabii mkuu
Unamwitaje Yesu nabii mkuu unamshushaje yesu ivo ungesema ata Yesu ni Mungu ningekuelewa
Great work man of Lord
Watu wanapigwa sana wanauziwa mafuta ya mizeituni na maji we acha tu mungu huyu.
Mimi binafsi nipo pamoja nanyi,tuihubuli injili ya Yesu Kristo,na kuilinda isipotoshwe Kama ilivyo Sasa.Ninawapenda hongereni Sana.
Awa Waze wako sahii..Christo awatiye nguvu..
Amen
Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu. Naona shetani anapata tabu sana.
Haleluya
Mashetani watapata taabu sana kwa sababu awapendi kweli JKK juu!
Mungu awabariki sana watumishi wake, na azidi kuwapa mafunuo ya dhahiri.
Semeni kwa ujasiri tunawaombea msijali ,wengi,wako upande wenu
Neno litasimama tuuuu... Mungu awabariki hawa wazee
Watumishi msiruhusu sauti zao zauwovu kwa wapo redio,wala msijibu mashutumu yao
Akuna amani kwa waovu,walidanganya sasa mwenye Mali yesu amekuja mwenyewe kukusanya kondoo walio ibiwa na chuwi wezi,mnatumia jina layesu kudanganya,mnaenda kuzim,kupewa nguvu ya upotovu,yesu,waaibishe hao waovu
Nakushukuru mno Roho Mtakatifu miaka kadhaa iliyopita nilipata mzigo wa kuombea kanisa la Kristo kuwa wamoja.Kristo yuko upande wenu !!Pigeni kazi na ujana wenu utarejeshwe !!
Naona Shetani anaenda kuanguka
Mbarikiwe sana huu ndio mwili wa Kristo kujengwa matabaka ni mipango ya shetani kutugawanyisha maana ktk mwili mmoja kuna viungo vingi, kitendo chakuja pamoja ni jambo zuri ni kufanya Kristo atukuzwe na mwili wa Kristo ujengwe
Manabii wa mafuta na maji wanataka kufa na bipii
Nahisi wanaharisha mauti kwa kasi
Watumishi wa kweli wa yesu msiogope,izokelele za viwete,wameguswa na upanga wa yesu,wanafurukuta,onawanavyo,jivuna,ona, walivyo waovu,wametaaruki,kazi zao zakuzim,tumewajua,yesu ameaidi kuwaaibisha,
Hii kitu imefanya ufalme wa shetani utikisike baba zangu, na mwenye sikio na alisikie neno hili kutoka kwa MUNGU kupitia nyie watumishi wake wake......
Mtumishi kakobe nakuelewa Sana na majibu ya kishujaa
Mungu awabariki wazee wetu kwa kuthubutu kuanzisha jukwaa hili la INJILI. Changamoto ni lazima katika hili lakini matokeo chanya yapo sana.
Baba Askofu kakobe,, Endelea Kumuhubiri KRISTO, Wala Usiwasikilize Hao Wanaotetea Mafuta Badala Ya Kumtetea YESU
Makambi Ya Watembea hirizi Yanaumia kwa Jukwaa hili👏🏻👏🏻👏🏻
Kani simameni kuomba kwa ajili ya jukwaa LA kumuhubiri krisho,yesu ameanza atamaliza,Nani mwamba ni yesu mungu mkuu yuko kazini,yesu anaongea kupitia hivi vinywa wabariki sana,wa isay,54'_17 msiogope,isaya,41_8
🙏🙏🙏🙏baba!
Amen.,jkk MUNGU AWABARIKI
Tunataka Injili ya namna hii tumechoka kudangaywa😢😢😢😢😢
Hakika
Mbarikiwe wazee waasisi wa JKK.
Watumishi Mungu awatie nguvu ni wakat wa kuongea kweli ya Mungu makristo ya uongo yamezagaa kona zote za nchi manabii wa uongo matapeli wamepagawa watakao inuka kupingana na hili ni wale wa kuzimu waongo waliopigwa mihuri ya shetan tafadhar wazee hubirini msikate tamaa tufunguen masikio
JINSI YA KUTAMBUA HUYU NI NABII WA UONGO
Utangulizi
Kimsingi Mungu aliweka wazi kupitia kitabu halali kwa wakristo (Biblia) katika Yoweri (Joel) 2:28 kuwa siku za mwisho atatupa roho na tutafanya miujiza na kutabiri. Kwa chanzo hicho kutoka kwenye maandiko manabii imekuwa ni habari ya mjini na kijijini kwa sasa, watu wengi kwa maelfu tunajazana kwenda kwa manabii tofauti tukiamini kupatiwa suluhu ya matatizo yetu kama; 1. Ajira, 2. Mambo ya kiuchumi, 3. Masomo, 4. Magonjwa na, 5. Maisha bora
Tunajua Biblia imetokana na neno la manabii mbalimbali, kwa hiyo manabii ni msingi mzuri kwa ukristo na imani. Mathayo 24:3, 4, 11, 24 Biblia imeeleza kuna miaka duniani itakuwa na manabii wengi wa uongo na watafanya maajabu makubwa na watateka wakristo wengi (tafsiri rahisi zaidi ya wakristo 50% watakuwa huko). Manabii hao watapata nguvu ya kufanya hayo maajabu kama ilivyoelezwa kwenye kitabu cha Ufunuo 16:14 watapata roho mchafu wa shetani (lugha rahisi ushirikina).
Nabii wa kweli utamjuaje?
• Nabii wa kweli hutabiri kwa usahihi, Yeremia 28:9 nabii haitakiwi kuwa chini au juu ya 100%. Akitabiri kitu cha ki Mungu huwa asilimia 100 kutimia. Vinginevyo nabii huyo ni wa uongo.
• Haendi nje na agizo la Mungu, nabii husema kwa niaba ya Mungu. Isaya 8:20 tunaoneshwa kuwa ikitokea mafundisho yakalenga habari nyingine za mtaani huyo si nabii wa kweli ni muongo.
• Hatabiri mambo ya mtaani au ya kishabiki au ya kipuuzi, katika kitabu cha 1Yohana 4:1-3 tunaambiwa lazima awe amejikita kusema neno la Mungu tu (Jesus centered and focused) vinginevyo mambo mengine ya mtaani kama soka, siasa na mengine (peripherals) huwa ni nabii wa uongo.
• Huigiza mtu wa Mungu kumbe mbwa mwitu, hii tunaihakiki kwenye Biblia kitabu cha Mathayo 7:15 kuwa huvaa ngozi ya kondoo huku wakiwa mbwa mwitu ili wakunase.
Masharti ya kufanya unabii ni yapi?
Nabii hutabiri na kuona maono, katika kitabu cha Daniel 10:18 amefafanua kuwa ukiachana na ndoto kwa sasa husema ameona na ana neno la kinabii. Jinsi ya kujua maono toka kwa Mungu lazima yafuatayo yatekelezwe Daniel 10:18; 1. Maono lazima yahakikiwe na wengine, 2. Wakati wa maono awe amefumbua macho, 3. wakati wa kupata maono awe hapumui (hii ni lazima iwe zaidi ya dakika 10 bila kupumua, kama ni unabii wa uongo atakufa kwa kukoswa pumzi lakini kama ni Mungu atazimia akiwa hivyo na hatakufa hata akae kakika 30), 4. Muda wa kupokea maono hawezi kuongea huwa hana nguvu na anaona, 5. Vinginevyo ni uongo
Utamtambuaje sasa nabii wa uongo?
Katika 2 Petro 2:1 na kuendela ameeleza nabii wa uongo hutambulika kwa yale afanyayo katika mwili, yaani akiwa katika maisha yake ya kawaida anaishije? Hizi ndo dalili za nabii wa uongo;
• Huhubiri ukristo ni kuwa tajiri (kinyume kabsa na Yesu). Katika 1 Timotheo 6:5,6 mtawagundua mafundisho yao hulenga ukristo na vipato/utajiri/mali.
• Injili inafanywa mtaji au injili na pesa, katika kitabu cha Mika 3:5 hujali sana kulipwa pesa wakati wa kufanya huduma zao za kinabii. Mtu yeyote akienda kinyume nao kushambuliwa kwa nguvu zote kitabu hicho kimeeleza.
• Hupenda kuongelea matanuzi, anasa, kujisifia binafsi na huruka mistari ya bibilia na kuchukua sehemu ya maandiko ili kuhadaa watu. Katika kitabu cha 2 Petro 2:14, kitabu chote kinaeleza lakini mstari wa 11 umetaja jinsi kila nabii wa uongo lazima kwenye himaya yake awe mzinzi na mwasherati. Pia Biblia imemtaja kuwa ana macho ya kutamani uasherati.
Ushauri wangu
Kitabu cha Yeremia 23:9 kwa sababu wanadiliki kusema wanamaono toka kwa Mungu kumbe uongo na wanaweza kuigiza muujiza, basi tuelewe nyakati hizi kila mkristo asome biblia yake na kuelewa ujio huo.
Mungu awabariki sana
SEMANKA 2019
Amina asate kwa ufafanuzi
Ukirusha jiwe gizani mtu akapiga kelele ujue limempata. Hayo mafunuo mliyopata hakika yanatoka kwa Mungu alie hai yasimamieni kwa gharama yoyote tuko pamoja ktk safari hii yakwenda Mbinguni. Hili mliloanzisha ningewakaribia ningeshuka chini kubusu miguu yenu kwa namna mlivyonigusa Mungu awaongoze watumishi wa Mungu JKK iungwe mkono na waenda Mbinguni wote maana imetoka kwa Mungu.
WAKATI WAKO SHETANI WA KULIDANGANYA KANISA NA WATU ALIOWAKUSUDIA UMEKWISHA SASA
Ni hakika sasa shetani mda wake umekwisha ,
Mungu awabariki hakika MUNGU hatazami Mwanzo wako Bali mwisho wenu
Mungu awasimamie watumishi wa Mungu.Kurudi kwenye mstari is inevitable
Hii ndiyo JKK. Mababa endeleeni kukaza nati zaidi.
Maoni yangu ;- Baba askofu Z Kakobe , Chungueni maandiko ya agano la kale na agano jipya yanayo husu mafuta ya uponyaji, halafu mutoe hukum ya haki kwao wanaotumia mafuta ya uponyaji, muone kama walielewa vibaya - ilikuondoa mgongano usiyo wa lazma KATIKA nyumba ya mungu
Yesu alisema" wengi watakuja kulitumia jina langu kwa manufaa yao wenyewe,wakijidai kutoa maarifa ambayo ni ya kupotosha watu,tena sio wale ambao wasiomjua Yesu tuu,jamani hata wale wamjuao wasipokuwa makini na elimu zao watabebwabebwa na kupotoshwa wote wasiuone uzima wa milele" mathayo 24:1........ Sasa kama watumishi wa asisi wa JKk. Wanamtaja" Yesu" na sio materials ya dunia hii wako vizuri sana,kwa mtazamo wangu. Maana nyakati hz nikisikiliza baadhi ya wahubiri wanahubiri materials kwa nembo ya Yesu kumbe ni mapato tuu na matumizi yao, waumini watajijua....! Jkk team member pigeni kazi .
Alishachambua na akaelezea vizuri sana. Jaribu kufuatilia kwa makini mahubiri yao yaliopita kwenye shalom TV. Jtajifunza kitu na utaelewa.
ni Yesu tuu ndugu yangu utachoka bure kwa hii comment yako badilika utoke upotevuni
Mungu awapiganie KUTOKA 14:14
Naomba kuongezea hapo wazee wetu biblia imesema nasiku za mwisho wengi watajiita manabii, sio wataitwa isipokua wamejiita wenyewe,,,kwa maana hiyo kama mtu amejiita mwenyewe lazima awe na mafunuo yake mwenyewe,lakini kama ameitwa na kristo atatembea na ufunuo wakristo mwenyewe,,
Hii ni ya Mungu kabisa kanisa litapona niwashukuru watumishi wa Mungu kwa kukubali kufanya hili japo ina vita vyake Yesu mwenyewe atawatetea.tuseme kweli ili injili ihubiriwe tuachane na mafuta maji udongo na vingine na machumvi Mungu atawatetea.mimi ni mkristo mkkkt niko Arusha nawaunga mkono.
Peter rashid shaban nitafute. Nikushaur umepotea sana shetan kakupiga mihuri ya kutosha
mbarikiwe wazee kwa kuilinda imani ya kweli!
Hawa watumishi wanasema kweli, hao wengine wanaouza "upako" ni wizi mtupu!
Hii huduma inayoendelea sasa ndiyo huduma iliyokosekana kwa Muda mrefu wasiyotaka kubadilika Kazi kwenu endeleeni kubakia hukohuko
Mjedengwa,, uko sahihi sana
Hapa lazima wabadilishe fomla nyingine muda si mrefu wataachana na mafuta, maji, na chumvi wataweka fomla ya mavazi ya kichawi uki msogelea tu inakula kwako nawe unaamini ni kweli
BABA zetu wa kiroho tusaidie tufike kwenye uzima!
Pigana nao wapinga YESU Kristo!
Tuko nyuma yenu kwa Maombi.
Yakobo:5.13
Mtu wa kwenu amepatikana na mabaya? Na aombe. Ana moyo wa kuchangamka? Na aimbe zaburi.
Yakobo:5.14
Mtu wa kwenu amekuwa hawezi? Na awaite wazee wa kanisa; nao wamwombee, na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana.
Yakobo:5.15
Na kule kuomba kwa imani kutamwokoa mgonjwa yule, na Bwana atamwinua; hata ikiwa amefanya dhambi, atasamehewa.
Yakobo:5.16
Ungameni dhambi zenu ninyi kwa ninyi, na kuombeana, mpate kuponywa. Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana, akiomba kwa bidii.
Mungu azidi kuwainua watumishi kweli
Hili nijukwa LA kimungu Kabisa nadhibitisha mungu awawabariki kwa mafunuo haya
Mungu wetu wa Mbinguni awabariki sanaa
Ilindeni imani..so jukumu LA malaika kulinda imani ni jukumu LA watumishi Wa Mungu kulinada na kuipigania imani....malizeni mwendo kwakishindo...so kwa unyonge
Yesu amewaona hawa gomanywa kakobe frendanis ,ndio ameweza kushuka kwa mioyo yao kuponya kanisa,Roho wa mungu wapenguvu wapeneema,wape moto,wape wape zaid kinywa cha upanga,kanisa lisafishwe waovu hukimbia ,wasipo fuatiwa,hahahaaaaa
Mbalikiwe sana watu wa Mungu
Watumishi mbarikiwe sana, wale wasiowaelewa bilashaka watakuwa ni wana wa upotevu.
Wazee wangu Mungu amewatuma kuleta mageuzi ili tupate KANISA la kweli linalokwenda mbinguni.Nimeimarika kiroho kupitia mafundisho ya mwalimu Mwakasege,lakini kwa sehemu kubwa namshukuru sana mtume Vernon Fernandes kupitia A.T.N.Nimeimarika sana kiroho kupitia kwa mtumishi wa Mungu Moriss Cerullo kupitia ATN.
Huyo Rashid si mtume ila ni wale wale wapigaji wa mjini.
Hakuna Ufunuo Nje Ya Neno La MUNGU,, Alafu Acha Kutetea Mafuta,, Kakobe Anamuhubiri KRISTO alafu Wewe Unapinga,, Embu Nyamaza, Na Uache Injili Ya KRISTO Ihubiriwe Kwa Usahihi,,,,,,,
Nimeipenda sana Mafuta chumvi maji NK. vimekua kero mpaka kanisa linachanganyikiwa MUNGU AWAINUE SANA AENDELEE KUWAPA MAFUNUO ZAIDI ILI KULIIMARISHA KANISA NYAKATI HIZI ZA MWISHO. from Ars
Safi saanaaa kwamba isiwe biashara
Endeleeni wazee wetu tunawakubali kwa mafundisho Mungu awabariki sana .
Wachungaji hapo nibarikini. Endelea kumhubiri Kristo watu watubu wamgeukie Kristo.wachungaji wa mafuta Hebron amewaita wauza maji na mafuta "mbwa mwitu"
Waliopata hiyo ya kujulikana duniani kama cocacola wanipe like
Jamani baba zetu mnakaa kimya mno ninyi ndio thamani yà injili Tanzania bishop Mathew kakola seic Kamaha shinyanga
Manabii fake matumbo moto
Kabisa watakimbilia pakwenda
.Mkiona kazi zenu zinaungua mlijenga kazi za majani kuni na manyasi hiyo ni shauri yenu haituhusu sisi
Umepotoka. Muda wa kupimwa kazi ya kila mtu, bado haujafika. Acha ushabiki, itetee injili. Ifike mahali tuwabaini watumishi wa kweli na wa uongo! Ni kazi ya wazee kutuonya. Kama wee siyo mzee nyamaza!!!
Mungu awatie nguvu challenge kwa issack issue sio walipe kodi bali wafungiwe huduma mpaka watakapomjua kristo aliye hai
Hivi JKK, kupambana au kuonyeshea vidole wengine, tuijifunze uvumilivu, kauli ya Bishop Kakobe si nzuri hata kidogo;
Pole sana hapa tunamhubiri kristo😅 unapendwa kudanganywa
biashara ya mafuta imechina,sisi tuna muhubiri Yesu kristo
Thomas Mgimba
MUGIMBAAAAAA.....🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Watakuuzia Wese, ohoooooooooo
Kristo ainuliwe juu milele
Amen
Peter Rashid, MUNGU Akurehemu sana. Hakuna hofu ya MUNGU ndani yako. Mbinguni hatuendi kwa cheo cha kuitwa Mtume na Nabii, kwanza unasema wana sifa tatu, kwa hiyo pesa ndio inawapa kiburi!? Tunahitaji kuwa watu wa Rohoni sana. Nimesikia huzuni sana kwa ajili yako Rashid Peter kuongea pumba kabisa, so sad!!...
Huyu jamaa angepata cheo cha Mungu watu wangepata tabu sana😆😆😆
Nimesikiliza sana kusikia Habari hizi pande zote mbili haya mambo yafaa sana kuyamaliza Kwa vikao vya ndani. Tunaharibu uhalisia wa Neema ya Bwana Wetu Yesu, mfano hizo sauti Ile ya pili ule Ni utoto kabisa Na huyu Wa tatu hizo sifa Ni kitu Gani hapa watasikia wasioamini Na waamio Sasa wakristo tuache mvutano Na maneno ya kejeli jamani. Nyie wazee wetu huko mwanzo ilibidi kuweka msingi wa umoja mapema. Watumishi wa Tanzania hatuna umoja. JKK hili jambo Ni mhimu Ila mmeshirikisha wengine wakakataa?
Washirikishwe mara ngapi!? Usitazame umoja wa mwili wa Kristo, kwa jicho la kisiasa!
Washirikishwe mara ngapi!? Usitazame umoja wa mwili wa Kristo, kwa jicho la kisiasa!
Hakuna kulegeza kamba hadi ukweli na uongo udhihirike
Wazee mnaongea vzr sana hao manabii wanaopinga n manabii wa uongo ndio wanaopoteza watu wa Mungu wez waganga mbwa mwtu hao waogopen
nauga mkono hoja
kwakweli mnatakiwa kutusaidia sana maana sasa hivi imekuwa shida kinacho hubiriwa ni mafuta ya upako na maji ya upako