Bishop Zachary Kakobe, unajua sana neno baba, hakika hekima iliyopo kwako ni kubwa mno. Asante kwa kutuelezea hilo jambo kiblia, ubarikiwe sana. Bishop Gwajima ubarikiwe sana, shetani ameshindwa.
Umoja huu wa Makanisa ya Kipentekoste ndiyo nimekuwa nikimwomba Bwana Yesu kwa Roho Mtakatifu auimarishe. Ahsante BWANA Mungu (Jehovah). Ahsante Bwana Yesu Kristo kwa roho hii ya Umoja. Ahsante Roho Mtakatifu mwalimu na mwombezi wetu. Ahsante Askofu Mkuu wa FGBF Zakary Kakobe. Ahsante Askofu Mkuu Josephat Gwajima, wewe ni jasiri, umeshinda vita. Ahsante Maaskofu na Wachungaji wote. Ahsante majeshi yote ktk huduma ya Ufufuo na Uzima. Songeni mbele, hizi ni dalili nzuri Wokovu wetu u karibu. Bwana Yesu yuko standby kwa sasa, Wakati wowote anakuja kutunyakua Kanisa lake. Haleluya!
Glory be Jesus !!!!!!! Hallelujah. I thank God for Bishop kakobe. "Baba tunakupenda sana sana kwa ujasiri wako" Mimi nasimama na wewe pia kwa lolote lile. Your God has become my God. Be blessed.
Mimi nimeokoka na ninasafiri kwenda mbinguni,ila namshukuru Bishop Kakobe kwa umoja huu,natamani kuona makanisa yote wanaomwamini Kristo ingependeza kama majeshi ya Bwana tukishikamana mmoja wetu anapoumizwa ili tushinde maana shetani anafanya vita na kanisa.
Neema ya bwana yesu iwe juu yenu watumishi wa mungu maaskofu , manabii na mitume Pia kila jema kiwe juu yako Askofu kakobe na askofu gwajima na maaskofu wengi busara ya kakobe ni ya ajabu sijawahi kuona I swear
Hekima ni kitu cha thamani sana kwa kila Mkristo kuwa nayo! Ask. Kakobe ni moja ya Wakristo wa nyakati hizi ambaye ana hekima ya hali ya juu! Mungu nijalie nami niwe na hekima
ukiona mtu anakubali na kusambaza uovu juu ya watumishi wa Mungu ujuwe kabisa ndo wakala wa shetani. TANZANIA SIJAONA MTU JASIRI ZAIDI YA ASKOFU GWAJIMA .!!
Whenever Kakobe is referring the bible scripts I get some goosebumps..........The more you read the bible the more God dwells wisdom upon u......BIBLIA NI MSASA WA KINYWA
Askofu mkuu Kakobe, ameeleza utaratibu ili mashtaka dhidi ya Watumishi wa Mungu yapokelewe na yasikilizwe. ALIPASWA NA KUMALIZIA KUWA MUNGU NDIYE ANAJUA KWELI NA HAKI. IKIWA NI DHAMBI YA KIFICHO,MUNGU ATAMDHIRISHA NA KUHUKUMU.
Gwajima moto nenola mungu halichezewi hata sikumoja kama unamini hakuna video yeyo ambayo inaonyesha mungu kashendwa kwahiyo aliye editi kwa kazi yamungu ajiandae kupata laana
Nilipoona kwenye group letu niliuliza swali moja tu ..jamani hii picha ya mtumishi wa Mungu huyu wanataka kumbambikia nini tena ?Mmoja akajibu kama huamini hulazimishwi ..nikamwambia wewe shauri lako nikatulia nione kitakachoendelea.. Nikaja kuona kwenye group lingine ..mara instagram ..Kazi moja tuliamua kuvunja roho ya mpinga kristo sio anakuja.. Mpinga Kristo haji bali yupo ..Tutapambana naye hadi hapo Yesu atukute vitani.! VITA HIVI NI VYA KIROHO SIO VYA KIMWILI...NA kupigana kwetu sio juu ya damu na nyama....bali ni juu ya Falme, mamlaka,wakuu wa giza hili ,na mapepo wabaya katika ulimwengu wa roho!!
Naishi Canada,nimelia sana kwa kusikia habari hizi mbaya alakini kwakusikiya Mtumishi wa Mungu Kakobe kwakumusibitisha Askofu Ngwajima Kama Mtumishi wa Mungu, nimefurahi na machozi yakadondoka. Bwana atukuzwe sana na aimidiwe. Nawapenda UFUFUO NA UZIMA.
Hakuna kurudi nyuma gwajima mbele kwa mbele mpaka Yesu arudi. Yesu ni moto wa mioto yote. Huwezi kumnyamazisha mpakwa mafuta wa Mungu wewe. Nafurai kwasababu wana ufufuo na uzima ni wajasiri. Niko manyara mererani nawapata hata mimi baba yangu wakiroho namkubali sn hawawezi wakaniletea habari mbaya kuhusu yeye nikamkimbia nitakua mchanga sn kiroho
Amen,hakika joka wa zamani alishaangushwa zaidi ya miaka 2000 iliyopita hatakaa ainuke tena kama Mungu ishivyo. Kazi ya Mungu inasonga mbele .jina la Bwana libarikiwe.
Imetokea hivyo ili jina la BWANA litukuzwe ona yatakayotokea Tanzania nimenena kama mmoja wa manabii kuna mtu anaenda kuanguka na kanisa linaenda kuinuliwa
Gwajima moto nenola mungu halichezewi hata sikumoja kama unamini hakuna video yeyo ambayo inaonyesha mungu kashendwa kwahiyo aliye editi kwa kazi yamungu ajiandae kupata laana
Bishop Zachary Kakobe, unajua sana neno baba, hakika hekima iliyopo kwako ni kubwa mno. Asante kwa kutuelezea hilo jambo kiblia, ubarikiwe sana. Bishop Gwajima ubarikiwe sana, shetani ameshindwa.
Amen Abarikiwe
Hongera baba Gwajima kwa ushindi huu. Umoja ni nguvu. Wakristo huu ni mfano wa kuiga: kubebana, kupendana na sio kumpa adui nafasi katika kanisa
Umoja huu wa Makanisa ya Kipentekoste ndiyo nimekuwa nikimwomba Bwana Yesu kwa Roho Mtakatifu auimarishe. Ahsante BWANA Mungu (Jehovah). Ahsante Bwana Yesu Kristo kwa roho hii ya Umoja. Ahsante Roho Mtakatifu mwalimu na mwombezi wetu. Ahsante Askofu Mkuu wa FGBF Zakary Kakobe. Ahsante Askofu Mkuu Josephat Gwajima, wewe ni jasiri, umeshinda vita. Ahsante Maaskofu na Wachungaji wote. Ahsante majeshi yote ktk huduma ya Ufufuo na Uzima. Songeni mbele, hizi ni dalili nzuri Wokovu wetu u karibu. Bwana Yesu yuko standby kwa sasa, Wakati wowote anakuja kutunyakua Kanisa lake. Haleluya!
Glory be Jesus !!!!!!! Hallelujah. I thank God for Bishop kakobe. "Baba tunakupenda sana sana kwa ujasiri wako" Mimi nasimama na wewe pia kwa lolote lile. Your God has become my God. Be blessed.
Amen
Bishop Gwajima, unajua sana kufndisha Neno la Bwana.
Nawapenda watumishi wa Mungu pigeni kazi mliopewa na Jehova
Hakika kazi ya Mungu inasonga mbele....🔥🔥🔥HONGERA SANA MTUMISHI GWAJIMA ...TUNAJIFUNZA UJASILI UNAPOPITIA MAGUMU,MAJARIBU...This is fire
Hakika nakukubali baba
Amen
Ameeeeeeen!!!!
Amepigwaa akapigika KWA JINA LA YESU. .bendera ya YESU juu juu juuuuuu saaaanaaaa!!!
Mimi nimeokoka na ninasafiri kwenda mbinguni,ila namshukuru Bishop Kakobe kwa umoja huu,natamani kuona makanisa yote wanaomwamini Kristo ingependeza kama majeshi ya Bwana tukishikamana mmoja wetu anapoumizwa ili tushinde maana shetani anafanya vita na kanisa.
Waliofikiri watapunguza nguvu ya Kanisa Wameshindwa kwa jina la Yesuuuu...
Kweli kbc
Amen amen Baba ❤❤❤❤
Neema ya bwana yesu iwe juu yenu watumishi wa mungu maaskofu , manabii na mitume
Pia kila jema kiwe juu yako Askofu kakobe na askofu gwajima na maaskofu wengi busara ya kakobe ni ya ajabu sijawahi kuona I swear
Hekima ni kitu cha thamani sana kwa kila Mkristo kuwa nayo! Ask. Kakobe ni moja ya Wakristo wa nyakati hizi ambaye ana hekima ya hali ya juu! Mungu nijalie nami niwe na hekima
Hakika Bwana YESU tunaitaka hekima sasa kuliko wakati wowote.
Hsleluya
Amen ...wapigwe na majeshe ya mungu .na washindwe kwa jina la yesu.
Nakupenda sana Greci gwajima Barikiwa mama❤️❤️❤️
Powerfull msg! Mbarikiwe sana watu wa Mungu
Hongera Bishop kwa Ushindi MKUU
Barikiwa Baba
Kakobe be blessed
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Baba
ukiona mtu anakubali na kusambaza uovu juu ya watumishi wa Mungu ujuwe kabisa ndo wakala wa shetani.
TANZANIA SIJAONA MTU JASIRI ZAIDI YA ASKOFU GWAJIMA .!!
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU
Whenever Kakobe is referring the bible scripts I get some goosebumps..........The more you read the bible the more God dwells wisdom upon u......BIBLIA NI MSASA WA KINYWA
Nakukubali askof gwajima ni mwaz na mkweli
Ameeeeni
Mbarikiwewatumishi wa BWANA
Mungu mkubwa mipango yake hakuna wakupinga walidhani watafunga mtumishi kumbe watazimia wenyewe god bless you mtumishi Moto niuleule
❤❤❤❤❤❤
Amennnn
Mashetani yameshindwa katika jina la Yesu,
Wamekwishaaaaaaa
Gwajima taifa kubwa aliejaribu
Kumchafua
Aibu imemrudia
Kakobe ni baba Yangu wa kiroho japo nilihama kanisa lake bado namkubali hd Yesu anarudi.
Ulihama kwa baba yako ulienda wapi ?
Amen Majabar hayo
Mungu akutie nguvu mtumishi ,,,wa Mungu ,,,,please ,,naomba uwezekano wa kupata number zako
Napenda huduma yako baba askofu
Ya lini hii
Askofu mkuu Kakobe, ameeleza utaratibu ili mashtaka dhidi ya Watumishi wa Mungu yapokelewe na yasikilizwe.
ALIPASWA NA KUMALIZIA KUWA MUNGU NDIYE ANAJUA KWELI NA HAKI. IKIWA NI DHAMBI YA KIFICHO,MUNGU ATAMDHIRISHA NA KUHUKUMU.
Gwajima moto nenola mungu halichezewi hata sikumoja kama unamini hakuna video yeyo ambayo inaonyesha mungu kashendwa kwahiyo aliye editi kwa kazi yamungu ajiandae kupata laana
Majeshi ya Bwanaaaa ameni songa mbele
Nilipoona kwenye group letu niliuliza swali moja tu ..jamani hii picha ya mtumishi wa Mungu huyu wanataka kumbambikia nini tena ?Mmoja akajibu kama huamini hulazimishwi ..nikamwambia wewe shauri lako nikatulia nione kitakachoendelea..
Nikaja kuona kwenye group lingine ..mara instagram ..Kazi moja tuliamua kuvunja roho ya mpinga kristo sio anakuja..
Mpinga Kristo haji bali yupo ..Tutapambana naye hadi hapo Yesu atukute vitani.! VITA HIVI NI VYA KIROHO SIO VYA KIMWILI...NA kupigana kwetu sio juu ya damu na nyama....bali ni juu ya Falme, mamlaka,wakuu wa giza hili ,na mapepo wabaya katika ulimwengu wa roho!!
Mbarikiwe sana Watumishi wa Yesu Kristo lakini. katikamambohayoyote tunashinda nazaidi yakushinda kwayeye aliye tupenda
Mungu ni mkuu sana ,ashukuliwe kwa umoja huu wa imani
Naishi Canada,nimelia sana kwa kusikia habari hizi mbaya alakini kwakusikiya Mtumishi wa Mungu Kakobe kwakumusibitisha Askofu Ngwajima Kama Mtumishi wa Mungu, nimefurahi na machozi yakadondoka. Bwana atukuzwe sana na aimidiwe.
Nawapenda UFUFUO NA UZIMA.
Hakuna kurudi nyuma gwajima mbele kwa mbele mpaka Yesu arudi. Yesu ni moto wa mioto yote. Huwezi kumnyamazisha mpakwa mafuta wa Mungu wewe. Nafurai kwasababu wana ufufuo na uzima ni wajasiri. Niko manyara mererani nawapata hata mimi baba yangu wakiroho namkubali sn hawawezi wakaniletea habari mbaya kuhusu yeye nikamkimbia nitakua mchanga sn kiroho
Mjadala Umefungwa wenye clip mkaendelee kuuza utumbo wa samaki kule feri.
KWA ANAEJUA KANISA LA ASKOFU TEMBA ANIJULISHE,,,,WAPOI KWA DAR ES SALAAM,,,
Kipindi kile kakobe ulitukuka Sana,
Ukongwe ni Dawa! na Isiyo Kongwe haivushi!
Duh
Hii Ni hatari,Mungu hadhihakiwi,apandacho mtu atakivuna kwa wakati wake
Amen,hakika joka wa zamani alishaangushwa zaidi ya miaka 2000 iliyopita hatakaa ainuke tena kama Mungu ishivyo. Kazi ya Mungu inasonga mbele .jina la Bwana libarikiwe.
Mbarikiwe watumishi wa Mungu
Imetokea hivyo ili jina la BWANA litukuzwe ona yatakayotokea Tanzania nimenena kama mmoja wa manabii kuna mtu anaenda kuanguka na kanisa linaenda kuinuliwa
The devil is a liar
Ya lini hii
Gwajima moto nenola mungu halichezewi hata sikumoja kama unamini hakuna video yeyo ambayo inaonyesha mungu kashendwa kwahiyo aliye editi kwa kazi yamungu ajiandae kupata laana