Kaka juma mimi niko China 🇨🇳 ngwanzuuuu hapa nakukubali ila kaka ushauri tu kama mashabiki zako hebu rudi Yuma kama ulivyo kuwa unaimba mwanzo kaka kiswahili unavyo imba haziendi kabsa na vina na mizani katika uimbaji wako kaka mkubwa
broô your so creative yani unafaa tuzo hakika father unaweza ujumbe wa wimbo upo vizuri,is like song called NAPAMBANA hizi nyimbo mbili zinanikosha sana unahitaji tuzo sema asili yetu sijui ipo kushoto Lakini pia hata vijana chipukizi washauri ni wasitukanane tu bali watengeneze kazi yenye malengo na kueducate na kufurahisha watu THANKS MORE TUNAKUSOMA TUKIWA MUSOMA MARA TANZANIA FROM MASWA DODOMA
Ama kweli mungutujalie AMANI Tanzania kuna raha asantee J MOO
jumaaa marco wew nooma sana
Juma ww nooma saana
Hongera baba Aman Sana maziku toka mwakuhenga
Pow sana
Great job pamoja sana dj kafika Toka manzese kuchota mzigo wa j mo AMANI🇹🇿🇺🇬🇰🇪
Juma hapa umeuaaaa mwamba
Quality song Hongera saana J.MO kudumisha Amani nchini Tz ❤❤
Kwer hii mlituliza hakili na direct wako hongela
🔥🔥🔥🔥👍 director Migera Asante kwako
Kwenye video hujawah feri ila sauti ni nzito sana endelea kutumia mfumo wako wa mwanzo kabisa inakuwaga vibe hatari
Juma Mariko piga Kaz mpaka wakukome
Kiukweli uko sawa sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kama tuko ote hivi kwenye utuzi jey mo damu yangu ❤❤❤❤
Siyo JJ Nyerere,ni JK Nyerere
MIGERA
SNIPER
GOOD JOBU UNAMAAJABU KILA VIDEO
Wa inekupata ngoma hiyi❤❤❤
Kazinzuri mzee
Highest level broo
Ujumbe 🇹🇿💪
Video 🔥🔥
Melody na mixing sio sana
Unaimba vzr ila uache kujisikia
Kazi
Hii hata ukitulia ni ya kufungia mwaka 2023 kwenda 2024 ntusubili ya mwaka mpya hii iko poa sanna
Kaz nzur
Migera Creator 🔥
Nimepata juzi bulige moja
Juma mwaka huu razima uchue tuzo
Juma marco pamoja sana ngoma zako nazipata na hii tena nimekuwa mtu wa kwanz
Kazi nzur kaka
nakupata vzur sana Jems kutoka kakola
Tuwekee kazi mpya j moo
Hongera Nyimbo zako zinaelimisha jamii enndeleeni kudumisha mila zetu za kisukuma wabheja sana👏👏👏👏
Amani Sana Msanii wangu Juma Marco👍👍👍
Jaman kazuri
Unaferi wap jems kakola baba
Ujumbe umefik j mo
Kaka juma mimi niko China 🇨🇳 ngwanzuuuu hapa nakukubali ila kaka ushauri tu kama mashabiki zako hebu rudi Yuma kama ulivyo kuwa unaimba mwanzo kaka kiswahili unavyo imba haziendi kabsa na vina na mizani katika uimbaji wako kaka mkubwa
Kama hujawahi kulala njaa huwezi kujua maana ya kushiba
broô your so creative yani unafaa tuzo hakika father unaweza ujumbe wa wimbo upo vizuri,is like song called NAPAMBANA hizi nyimbo mbili zinanikosha sana unahitaji tuzo sema asili yetu sijui ipo kushoto Lakini pia hata vijana chipukizi washauri ni wasitukanane tu bali watengeneze kazi yenye malengo na kueducate na kufurahisha watu THANKS MORE TUNAKUSOMA TUKIWA MUSOMA MARA TANZANIA FROM MASWA DODOMA
Kz nzuri San brother
👍👏👏👏
Jumaaa
J mo👍
❤❤
😭😭😭🥰 kweli kabisa
❤❤❤ kaka noma
jumhi