MAMBO 25 YA BARA LA AFRIKA, USIYOYAJUA!
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024
- MAMBO 25 YA BARA LA AFRIKA, USIYOYAJUA!
Bara la Afrika ni bara la pili kwa ukubwa duniani mara baada ya bara la Asia, mbali na ukubwa tu bara hili pia linamambo mengi zaidi ya kushangaza na kukuacha mdomo wazi.
Global Tv, inekuletea maajabu au mambo 25 ambayo awali ulikuwa huyafahamu lakini yanapatikana katika bara hili na kukosekana sehemu nyingine yeyote duniani.
#MAMBO25 #BARALAAFRIKA
www.youtube.com/watch?.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Pia Ananias Edgar hupatikana bara la africa. Nipe likes za bw. Edgar zote ntampelekea
Amen Amen. Naipenda sana Afrika yetu. Mungu atubariki. Amen.
Mbongo akipewa madaraka ujue ni ya yeye ,mkewe na watoto si ya watanzania.
Mzungu mshenzi katuletea elimu ya vyeti na kutuondolea elimu ya maarifa na kulifanya bara la africa kuwa duni.
Africa ni nchi moja. Hizo nchi uzitajazo ni mgawanyo wa kibeberu
Africa is our pride. Kiswahili lugha bora. Kazi nzuri bro
lov u africa
This is Africa buuwana
God bless Africa
Duuh afrika yetu imebarikiwa na Neema za Mungu hila hatuna tuu viongozi kabisaa
Zulfah Hussein Tuwatadute basi kwa pamoja aisee
@@antoinea.katembo5326 😂😂😂in sha Allaah
I LOVE YOU AFRIKA
Mungu ibariki Africa na watu wake
Thanks global tv
I❤ Africa
😍
I LOVE YOU AFRICA ❤️
Me too broo
👊👊
Africa is ma home
The Best Continent with no Leaders.
Nabaki Afrika 🌍
Kama unajivunia kuwa muafrika. Gonga like👍👍👍
Asante kaka napenda unavyo elezea huchoshi kusikiriza buuwana
Hiyo ya wanawake umeongeza chumvi nakupendaje Edgar unajua sana kaka
Iyo n kwel kabisa kwa mujibu wa takwimu wanawake wazuri wote na wenye shepu wametoka Afrika mpaka wengine wazungu waliwachukua na kuwaweka kwenye makumbusha.
Nenda kasome historia vzr ndo utaamini
Kweli kabisa Wanawake wakiafrika ndio wazuri bana wazungu hamna kitu,,👏👏👏
nice documentary
unajuwa sana Bro
Hahaha hahaha hahahahaaa wanawake wenye maumbo mazuri kuliko wote duniani wanapatikana Africa hahahahaaaaaa
Kama ww vile
Kazi nzuri sana mkuu
Wawooo!!! That's ix My Africaaa
Salute Edgar
Nimekubali bloo mimi ni muafrica na nitaishi kama muafrica
daaah yaan nimejikuta nadondosha choz asee bro jitahid unapotoa makara ziwe katika lugha zaid ya 2 ili iwafikie wengi tutakusapot kwa kila hatua kusherea kwenye group zote waafrika tujitambue
Mto wa Nile unatokea Burundi(mkoani Bururi,Kijiji cha Rutovu)hadi Misri
Kuna chura mkubwa pia yupo Jangwani mmesahau😊
Hadi tiger pia?
🤣🤣🤣
Dah jamaaa ww
Daaah uchokozi huo 😂😂😂
Yaani yanga
Vizurii sana broh tunaomba na matukio mengine kama ww1,ww2
kweli kabisa najivunia kuwazaliwa Africa
Naipenda afrika yetu mungu aturudishe tulikotoka na aturehemu kwa makosa tumtendeayo
Africa yetu yahukweli babake
Waiting
Good
Ananias ediga nakupigia saluti sauti yako ya ngurumo inanifanya niisikilize kila ninapokuwa na mda mzuri aminia babaake
Nice one 👍😁
love africa
Shule wangekuaga wanafundisha hivi me nisingepata 0😢😢😢😢😢😢
Upo sawa broo
Hata kwa ufisadi, umbeya, majungu, wivu, kupenda ngono, tunaongoza.
Africa Viva
Sasa umesahau ISHANGO kwenye bonde ya mlima Rwenzori, ambako Mfalme Solomona alikuja kutwa zahabu aliyotengeneza kiti chake cha kifalme, kilicho bebwa na utawala wa Roma. Hicho kiti anaye kikalia leo ni papa wa kanisa katoliki hapo Vatican
Nakukubali jinsi unavyosimulia kwa hisia na kunifanya nikisikilize kwa makin
Tupe somo kaka
Pia tunaongoza kwa technology ya kuedit picha
😂😂😂
Nzuri
Nimfurai sana kuijua Africa
Yeee baba 👏👏👏
Upo vzur bro
Mto Congo ndio wenye kina kirefu zaidi duniani.....bila kusahau ziwa Victoria ni la pili kubwa duniani...na mwisho bara la Afrika ndilo lenye utajiri wa kila aina na linaongoza kwa umaskini
Nakukubari kaka
Lake nyasa kwa tz
Gd
Sahiv nch zpo 55 kaka south sudan
asanteee
Unbelievable in Africa continental
Huko vizur broh kaka usimuliaji wako
Mbn ujaongelea features zilizopo Mt congo
Lahaja ni nini?
Lafudhi au lugha
AFRICA
Mungu mkubwa
karafuu yenye ubora ipo Africa
Tatizo ni viongozi
Tuandalie elimu ya nyota sehemh ya pili
We jamaa ni noumaah mzee
madini ya tanzanite pia yanapatkana Africa tz pekee! na yamejengewa ukuta yasije kutoroka😀😀
Uwezi amini njisi machozi yanavyo ni dondoka kwa kusikia hi habari
Mto mrefu Duniani ni River Amazon Kaka. Sio Nile.
Mto mrefu duniani Ni river nile 4,132 kilometers Amazon 3,977 boss ijue Nile ndo mto mrefu duniani
Dotto mussa
Ziwa Nyasa sasa limekuwa ziwa Malawi???
Lakin malaw sio jina lake halis
Mara ya kwanza ziwa hilo liliitwa Nyasa na wagen Kutoka Mozambique waitwao wayao hawa ndio waliliona hili ziwa na kuita Nyasa maana yake maji mengi
Ndio
Kwann malawi cndo nyasaland
Wanazingua kuliita ziwa malawi badala ya ziwa nyasa
Afrika ndio Edeni! Hakika!
Ni kweli man utashangaa safina ya Nuhu si ilitua Afrika kwa sababu Afrika ndo inawanyama wengi zaidi duniani,
@@veraniinnocent7624 sio wanyama tu kila kitu Afrika kipo tatizo viongozi tu!
Hakika Kaka ata Adamu alitokea Tanzania. Wazungu wenye roho mbaya hawataki kuelewa tu! Wamuulize aliyegundua fuvu la mtu wa kwanza, fuvu hilo lilitokea wapi?🤔🤔
Those rock's at lake Tanganyika or is it lake victoria must be artificial or curved. Which lake is that? This shit is real. Please confirm the lake. I would like to check it out further. Sio mchezo. Omg I should have checked some rock's in Tanzania too while at it and some other places there too but it never occurred to me at that time. I noticed some curios rocks too in Namibia.
Also that Crater look like an impact site. The Nigerian tribes need checking up also. I expect intact Bantus, nilotes, cushites, San and more. Why does the system hide this tribes and what the effect?
Unaniteka napenda historia
Kuba ni nini blaza
Tuna vitu Vingi vya kipekee Dunian ajabu nikuwa bado Maendeleo ni duni kwa nchi nying baran Africa
Tujiulize mali zote tulizonazo ni kwa nini tuna umasikini wa kutupwa?
Mazngra yaliyotengenezwa ili uendelee kuwa masikini ndo mana nchi yeyote inayokuja juu kiuchumi lazima ipate machafuko ama pesa yao kushuka bei chunguza ndgu utajua kwann
Kilimanjaro
Lahaja no mini??
Ni mfumo wa lugha/ matamshi unaopatikana katika jamii za watu waliojitenga ki georgafia. Mfano ki pemba na ki unguja
Niuongo2
Ziwa Nyasa
Mi ni muafrica na naishi Africa ya kusini
Tuonyesheni hayo Maajabu Mbna bdo Haifunguki?
Kweli
Umesahau fuvu LA MTU wa kale kupata wote duniani limepatikana Olduvai gorge
hapana ni ethiopia huyo ARDI
Olduvai george
Kipind hiki hakina jina aiseeh wakati kizur
Apo kwenye wanawake apo mh
Kila kitu tunacho tatzo akili hatunaga
Acha kujidharau tunaakili hataree tatizo tumetengenezewa mazngra ya kujidharau ndo mana hauwez fanya kitu chochote mana hujiamini na unajidharau fatiliza utagundua makubwa kuna watu wametengeneza umeme wnyw na mngn usijidharau
Hao wanawake wako wapi unatupaka tu mafuta ya mikorogo hehehe labda africa ina ongeza kwa chura yaani matako😜
Broo wanawake wa kiafrica wanavutia hataree zaidi ya wazungu chunguza utapata jibu broo
Uongoo naww umezidiiii,,,Mto mrefu dunian Amazon
Ni kweli ndugu ni Amazon river
🤣🤣🤣We Ndo hujaelew tofautixh Kat ya Kina,na Upan
Naww hujaelewa tofautisha upana,Kina na Urefu
Hata ziwa tanganyika kuna samaki hawapatikani popote
Kuna vyura wakubwa huku kwetu wanaitwa, ntundu.
Tatzo viongoz
nikweli kabisa
Hahahahahaha
Muto Nil unazia Burundi siyo ziwa vigitoria
Burundi Provence Bururi in rutovu
Fanya Kama unaandika kitabu Cha uzalendo mi nitasaidia kutoa jina la kitabu
poor and more poor leadership ....otherwise Africa is blessed
Dunia ina mabala 7 ama ni mabala 5
7
7
Siyo mabala sema mabara
@@zakariamaria9397 mmhhh🤣🤣🤣🤣
@@robertalex5203 kwan uong🙄