Aseeee amn dj atakae mfia misomisond kwa sas kwasababu ye katoka kivyakeee kwaio awa woot hawana kipya wanaiga code tu za miso amn jipya mtasumbk sana wajitafute nao na stail zao ndo watatoboa wakipita na code ya miso watachelew sana
sawa anaweza hata aliye tengeneza la kwanza alifanikiwa na wengine wakaja kumuiga,kwa hiyo sawa tuu tupate burudani maisha yaendee umepigaje hapo weee misooondo
hayo ya miso misondo kuw hao ndio waalimu wake haituhusu,ww unafikir mwalimu hazidiw na mwanafunz wake??hata rais ana mwalimu wake lkn yy katoboa,mwalimu anakula mihogo tu,acheni ushamba mfyuuuu
Misondo amepata zali ila mapoda yupo kitambo kabla yake sema tu nyota imemwakia yeye kabla ya hao kina mapoda, amondo, kijukuu na wengineo wengi tu wapo mikoa ya kusini hasa wilaya za Ruangwa na Masasi
Mtajarbu kulinganiaha na yeyote lkn Miso alijipata ktk wakati sahihi na akapita naooo. Hvo yaweza kuwepo na mzuri mwingne lkn itategemea na njia ipi apite nayo nayeye
Yan hapo hamna kitu kwasababu mbinu anazo tumia ni za miso we pamban buni stayl mpya ya kwako ndo utatoboa bila hivyo tutazidi kumfuatilia miso wewe tutakutupilia mbali kwasababu hatuoni mabadiliko so kubaliana na mimi
Ndio Jamaa anajua ila miso misondo mumuacheee
OYA HAYO MAIGIZO .... ME NAMJUA MISSO MISSONDO WAMWACHIE RIZIKI YAKE
Wew akuna atakae mfikiya mapoda❤❤❤❤❤
Aaaaah asubiri kdg tumetoka mbali sana kumfata dj
Aseeee amn dj atakae mfia misomisond kwa sas kwasababu ye katoka kivyakeee kwaio awa woot hawana kipya wanaiga code tu za miso amn jipya mtasumbk sana wajitafute nao na stail zao ndo watatoboa wakipita na code ya miso watachelew sana
Sas miso misondo uyo mapoda ndy mwalimu wa miso kama aujui ww
@@NALIMODesigner sawaaa n mwalim wakee atafte njia yak ss na yy unadhn atatoboa kwa stail ya misooo atachelew ajiongz san
Yule wazee wa makot ndo wamemleta mjini ila stail zake ziko muda sana😅
Rizik ya mwenzio usiilalie mlango wazi😏😏
Misondo mna msifia tu lakn hakuna kitu
Kusini madj wa ivo wako wengi sana ukisema kila dj aje dar itakuwa hatar kwasasa miso km miso wamuache kidogo madj wengne wacsafirie nyota ya miso
Miso misondo Ndo Habari ya Mjini
Yupo vzr kila mtu anamapigo yake aliyotangulia ndio wa kwanzaa
Misondo anaki2 akwende uko chuma mapoda❤❤❤❤❤❤❤ mapoda ❤❤❤ kiboko yao😮😮😮
Tlia wewe unazngua et 🤣🤣🤣
Misso misondo i. Love. You. Som much wote tuna wapenda miso misondo ❤❤❤
Bado sana kwa misomisondo😂😂😂
Mapoda nimmoja2 siyo uyo mbwa wenu mbwa yakemifupa amuachemapoda😾🙉🦴🦷💀😮
Mnataka kutembelea nyota alipotoka Miso Misondo hadi kufika mjini ni ushindi tosha
Hufai kaka welcome dar es salaam
Mapoda wew ninoma
Mnajaribu sana kutafuta watu wa kumfunika misomisondo, hamuwezi, yule dogo gari limeshawaka yuko mbali sana sasa hivi.
Dj ndio uyooo choko wenu miso kwendaaaaaa kwa mamaaaaakeeee
Ma dj saiv mmestuliwa
Misondo ajuwiki2 😂 kwamapoda misondo bado mtoto
Sasa mbona anaiga kucheza km misomisondo
Miso ni kabari yaoooooo ❤❤❤❤❤❤❤
Ww shida unatumia nonstop ya Miso misondo Amna kipy
Miso kaogem anaujuwiki2 kwenda 😂😂😂😂😂❤
sawa anaweza hata aliye tengeneza la kwanza alifanikiwa na wengine wakaja kumuiga,kwa hiyo sawa tuu tupate burudani maisha yaendee umepigaje hapo weee misooondo
Mapodanimmoja2❤
Sasa amondo na miso nani zaidi miso kimemuakiatu amondo anatisha nyie amondo anakichafua vibaya wote ao sisi tunawajua vizuri
Miso mwenyewe kakoma sura a2 achiye mapodawe2
Mapoda mwanaume ❤❤❤❤
Tuko pamoja sana mwamba
Usimfana nishe mapoda na majini
🎉Team GULF TUWAONYESHE NGUVU KUBWA KWAMBA SISI NDIO TUNAOSAPOT SANA GONGA LIKE HAPA❤❤🇰🇪🇺🇬🇹🇿🇳🇬🇨🇩🇷🇼🇧🇮🔥
Mbn anaiga mule mule kwa misso
Hao wote walikuwa wanapiga shoo mtwara Kwenye sherehe za unyago watu walikuwa wanajaa Kwa mapoda kuliko miso sema miso wazee wa Makoti wamemtoa
Bado kumfikaia missond ujitahidi ili uwe ktk levyo ile atali Sana
Miso misondo ni balaaa
Uyo ndio mwalimu wa uyo misa misondo bado kuna DJ mavoko kuna DJ kade pamoja na dj chenga ao ote ndio ma DJ wakubwa masasi
hayo ya miso misondo kuw hao ndio waalimu wake haituhusu,ww unafikir mwalimu hazidiw na mwanafunz wake??hata rais ana mwalimu wake lkn yy katoboa,mwalimu anakula mihogo tu,acheni ushamba mfyuuuu
Amujui sili za misso miso ajui kuchonga sapo misso anaomba sana sapoti wamtumie sapo saiv anaomba sapo kwa dj kola alikua anachukulia sapo kwa mapoda
Uyuu jamaa anajua sema kila mtu anabahati yake
Mapoda anapga sana mzki
we tafuta njia yakutokea hiyo ni ya misso misondo....
Nyie wote hamjuh mziki wa singeli kuleni nyama nyamazen
Tatizo NYOTAAA😂, MISOMISONDO mbele kwa mbele. Msianze tu kumroga mtoto wa watu. Mashindano yanaruhusiwa kujilinganisha ni ushamba.
Misomisondo mkali wanaguuu
Misondo amepata zali ila mapoda yupo kitambo kabla yake sema tu nyota imemwakia yeye kabla ya hao kina mapoda, amondo, kijukuu na wengineo wengi tu wapo mikoa ya kusini hasa wilaya za Ruangwa na Masasi
unajua mapoda
Nakubali Sana ngoma imeniibgia Sana moyonj
Bongo kwa kuiga ni kamzozo alo pambana na ubunifu wako utatonoa ila sio kwa nyuma ya mtu ...... Ishapita iyo
Wazee wa mikoti ndo wananogesha shoo ya Dj miso misondo wako juu upepo ni wao
HUYU HAMNA KITU KABISA KWA MISOMISSONDO
Oya sheria makongo lakini tume watesa sana kwa kuruka ukuta tume wasumbua sana ila chamoto tulikiona ila tume imiss makongo
Mwanafunzi hamzidi mwalimu wote watakua sawa miso misondo upepo umepita tu kwake bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mtajarbu kulinganiaha na yeyote lkn Miso alijipata ktk wakati sahihi na akapita naooo.
Hvo yaweza kuwepo na mzuri mwingne lkn itategemea na njia ipi apite nayo nayeye
Mapoda kiboko ila tatizo nyota ***mi nawajua fika ao wote
Bado sana kwa misso missondo. Mnataka kutembelea nyota tu ila misso yupo level zake hyo hawez kuwa kiboko kwa misso
Hao wote walikuwa wanapiga shoo mtwara Kwenye sherehe za unyago watu walikuwa wanajaa Kwa mapoda kuliko miso sema miso wazee wa Makoti wamemtoa
Ajpange tena misonda kiboko
Misomumewe mapoda
Miso misondo ndio #king wataokuja nyuma yake ni wadogo tu coz mwanzilishi ni mwanzilishi tuu
Usifananishe miso misondo na vtu vya ajabu
Manakopy mpaka bits zake,misso wa misondo baba lao
Album aseee afuu wanamsifu mshamba tu
We miso misondo umepigaje hapo
MISO NI MISO TU... na huyo Mapoda mbona kawaida sn... Acheni ku force kutembelea kiki ... 😂😂😂
Ww unawajua fika Kopita mm ao miso kiboko unazani mapoda amondo shado kijukuu wanamuweza miso pumbavu
Tofauti kabisaaa miso misondo humpati
watutokee huku wanahangaika tu hata sielewi wanafanya nn hapo,miso habari nyngne😂
#misondo kwa hii Aflcan ashikiki
Miso yuko juu sana ,
Afu uyo mapoda si ndo alikuwa Dj wa msaga sumu kipindi cha laza ilikuwa inatumika beat za taraabu
Amna kitu miso misondo atabakii kuwa pekee yake
mapoda kibo yao
Jamaa anajua shida jamaa wa makoti ndo wanampa miso kuwa juu
Misso misondo hatari
Kizuri chajiuza,Kibaya chajitembeza!!
Amuna kitu uyoo awezi kumufikia misso ata kidogo
Ukimsikiliza vzr anatumia bt za miso kwahy aje na bt yake tuone😂
miso misondo ni noma
Mapoda abali ya mjini kaka unajua ckuping
Sasa mbona kaiga Miso kwa mbaliii lkn Miso ndio habari ya mjini huyu hana ubunifu kaiga tu
Akuna kama dj mapoda
Apambane kivyake tu kwan mpka muandike miso
Hmm kitu miso misindo ndo kiboko kwa sasa
miso misondo habari nyingine
Miso hana mpinzani acheni mizengwe🎉
Bad san
Yan hapo hamna kitu kwasababu mbinu anazo tumia ni za miso we pamban buni stayl mpya ya kwako ndo utatoboa bila hivyo tutazidi kumfuatilia miso wewe tutakutupilia mbali kwasababu hatuoni mabadiliko so kubaliana na mimi
Congratulations🎉🎉
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Eti kiboko ya misond pumbavu .. we misondo umepgaje apo?
misso ana mpinzani
Mapoda ndo Nan Kwan ndo namsikia leo
Hapo hakuna kitu misomiso ndo habari ya mjini wengine wapangaji tu
🎉🎉🎉🎉
Mapoda noma xan
Tatizo hata upige kareti vipi huwezi mfikia jet lii hata uimbe rege vipi huwezi mfikia bob male alieanzisha ndio kiboko
Kusini kuna dj bonto atal
😂😂😂😂😂 iyo Sasa chuki ya maisha safiria nyota yko
Hamna kitu hapo hata mm na mkaliaha huyo 😂😂😂
Anajilazimisha kukubarika
Umeigaaaaaaaaaaa iloooooooooo
Bado sana hiyo mipigo ni Misomisodo ameiga tu
Hamuwezi kufika kwa misomisondo
Umepigaje apo misso