naishangaa serekali inadili na tozo wezi wanaiba madini hii ndio tanzania waaminifu wapo kamanda uliekamata hivyo gari umefanya kazi kubwa sana kutoa maisha yako kuijali Tanzania mungu akulinde wewe ni mzalendo
Mbona hayo ni mawe mweupe tu na yanauzwa barabara ni kama kokoto.kosa labda ni kibali kama vya mchanga.Wapigwe faini kama wengine waendelee na safari yao.
@@godwinnkya7128 kama nimawe ya au kokoto hapa dar yanapatikana wapi hapa so Nazi iendele sema wizi uendele hatupati takwimu ya wizi mungu anawaona kiboko yako kifo tu duniani tunapita tu he 2050 wafika? Umri wenyewe umeenda badotu wanaiba inabidi watubu zambi zao
Ni madini kwa mjibu wa sheria ya madini japo ni madini ujenzi kama ilivo kwa kokoto na mchanga. Hayo ni mawe tu yanayotumiwa kama urembo kwenye mambo ya ujenzi. #decolationstone
Huyu afande anatuvuruga anasema gari aina ya Scania hiyo sio scania ni faw arafu unasema umelikamata maeneo ya melela mlandizi sasa unalizwa yalikuwa yanaenda wapi unasema uelekeo kutoka dar kwenda dodoma sasa huko melela yamefikaje.unatuchanganya afande.
Haya madini ulaya ni dili kuwa lakini Africa hatujui viwanda mnasubili mpaka mchina aje afungue kiwanda duuh tubadilike wazito Sanaa ktk kufanya vya kwetu hayo mawe yana fanya nyumba iwe ya aina yake kunga'aa
*Nakupenda ni wimbo maalum kwa wapenzi waliopo kwenye mahaba mazito sana, huu ni wimbo mpya toka kwangu bofya picha pembeni 👈 kuutazama naamini utaupendaaa SAB👍SKLAB*
Tanzania ni tajiri. Serikali ikipigana na wizi na utoroshaji wa madini Tanzania itaendelea. Lakini ufisadi umerudi kwa kasi. Mpaka leo hatujuwi ni nani mwenye bomba la mafuta kigamboni. Tangu tulipoambiwa atapelekwa kortini tinayemuona akipelekwa kortini ni Sabaya kijana wa Magufuli kwa kuzaniwa ameiba simu ya elfu 30.
Kwa sababu askari hawa wamefanya kazi nzuri na yaku shangaza watanzania tuone Rais ata sema nini na madini hayo ya kwenda wapi na watanzania wata nufaika vipi
Madini yatoke Dar halafu yakamatwe Morogoro yakiwa yamefunikwa na turubali vizuri tena kwa mpango mzuri, inakuaje hapo? Yaani wakati wa upakiaji hakuna chombo cha usalama kilichokuwepo kuthibitisha upakiaji huo?
Ndugu hayo ni mawe tu ya ujenzi wanayatumia kama urembo yanauzwa kama tu kokoto mi ninayo na ninafaham yalipo ni mengi mno. (Decoration stone) ni kweli ni madini maana hata mchanga na kokoto ni madini ila ni madini ya ujenzi. Hapo kosa ni kutokuwa tu na kibali cha usafrishaji. Kama mtu anayahitaji nitafte
Kamanda una kitete Sana mpaka umambambikizia gar wakat hiyo ni Faw..hayo mawe tu kamamda sema labda Hana kibali tu usiwatie watu presha eti madini hayo mawe ya mapambo tu hayana ishu yeyote..na Wala alikua hatoroshi maana ya kutorosha no kuyapeleka nchi tofauti..usituaminishe Kama madin no madini ya ujenzi kama mchanga na kokoto msitumie nguvu nyingi Sana kwa vitu simple
Hata sielewi hii movie ipoje kwa sababu Ukitoka DAR kwenda TANGA au MOSHI ayo mawe utakutana nayo mengi sana tena yanauzwa barabarani yamepangwa ktk virobo na vifusi.. Yanauzwa kama wanavyouza mchanga na kokoto na watu wananunua kawaida.
Wewe mzee Muslim unazeeka vibaya.hayo mawe ya urembo unasema madini nenda pale kwedikwavu utayakuta yamejaaaaa ndoo kubwa ef2 tu.hivi km ni madini kweli ndio yasafirishwe kinamna hiyo heee jameni.
Afande samahani mimi sjui sheria lakini hapo mlipaswa mtafte watu wa madini waje wawathibitishe kuwa kweli hayo ni madini ama lah! Kimsingi ni madini lakini ni madini ujenzi kama tu ilivo kwa kokoto na mchanga . Hayo mawe yapo sehem ni mengi na yanauzwa kama tu kokoto mi nayafahamu na ninayo
@@josephatmakaranga7043 Ukitoka dar kwenda tanga ayo mawe ni kweli yanauzwa barabarani yamepangwa ktk virobo na vifusi.. Yanauzwa kama wanavyouza mchanga na kokoto
@@cleverboy3812 sikatai kwamba yanauzwa, swali ni je, 1.Ana vibali vya manunuzi kwa shehena yote hiyo? 2. Ana vibali vya kusafirishia hayo mawe/ madini? 3. Na kama ni mchimbaji wa hayo mawe/ madini je, ana vibali kutoka mamlaka ya madini na mazingira? Labda nikusaidie kitu ndg, hiyo michanga unayoona ikisafirishwa huwa ina vibali vyote kutoka mamlaka zinazohusika na mambo ya madini na mazingira (NEMC) na ndo maana huwa unaona yanafunikwa. Lakn pia lazima wawe na vibali vya kusafirishia kutoka sehem A kwenda B. Lakn pia kwa mchimbaji lazima awe na vibali vinavyomruhusu kuchimba na eneo husika. Nadhani kidogo umenielewa ndugu.
Hao viongozi hawajaewa tu wanatakiwa kuelimishwa tu hapo hakuna kitu cha kutoroshwa hayo ni maskwats tu hayana issue tani moja yauzwa elfu 30 mpaka 50 kutegea na ubora wake
Hapo ishu ilikua kibali Kama Hana ilikua apigwe fain na kulipankibali Mambo yendelee..sio sijui madini yatoroshwa Tani ishirini dah 🤔 hayo ni mawe ya kawaida tu.
Kamanda utafukuzwa kazi hii sio serikali ya magufuli..sasahivi tunaenda sawa na mashirika ya haki za binadamu na ubora wa democrasia umeongezeka tanzania kuwa makini,,, wazungu na viongozi wetu wamekuwa kitu kimoja kuiba rasirimali zetu.
Hayo ni mawe tu ya ujenzi siyo dili kabsa mi mwenyewe nafamu sehemu yanapatikana na ninayo pia mimi . Yanatumika kama urembo au (decoration stone ) yanauzwa kama tu kokoto unakuta ndoo wanauza elfu 2 halafu jina alilotamka afande siyo. Hilo gar wataliachia maana hakuna madini hapo
Kutoka dar kwenda dodoma ndo una sema madini yana toroshwa? Hayo mawe hata pale Kidai yana uzwa na watu wana nunua kila siku kupeleka dar wana jengea, sasa kwa hali hii unaweza kubeba hata kokoto uka kamatwa kwamba unatorosha madini wakati yana toka ndani ya nchi yetu na kutumika ndani hapa hapa, mi maoni yangu ina takiwa elimu tu kwa police wetu.
Kumbe hiyo ni scania ... Jamani Afande umetisha
Mm sjaelewa kaiba au yake
naishangaa serekali inadili na tozo wezi wanaiba madini hii ndio tanzania waaminifu wapo kamanda uliekamata hivyo gari umefanya kazi kubwa sana kutoa maisha yako kuijali Tanzania mungu akulinde wewe ni mzalendo
Kibaka AKIIBA KUKU ANACHOMWA MOTO
Mbona hayo ni mawe mweupe tu na yanauzwa barabara ni kama kokoto.kosa labda ni kibali kama vya mchanga.Wapigwe faini kama wengine waendelee na safari yao.
@@godwinnkya7128 kama nimawe ya au kokoto hapa dar yanapatikana wapi hapa so Nazi iendele sema wizi uendele hatupati takwimu ya wizi mungu anawaona kiboko yako kifo tu duniani tunapita tu he 2050 wafika? Umri wenyewe umeenda badotu wanaiba inabidi watubu zambi zao
Halafu yatatokomeya wapiiiiii
Asanteni polisi kwa kufanyakazi nzuri, wameigeuza tanzania Nia kama shamba la bibi
Umeonaeee mwananchi wakawaida angepata wapi mgari mzima panawengi hapo
P
Hayo sio madini ni mawe Mzee baba
Tatizo lako hujui sheria za madimi nandiomaana unasema sio madini ssa nikupashe hata huo mchanga kiseria ni madini
Ni madini kwa mjibu wa sheria ya madini japo ni madini ujenzi kama ilivo kwa kokoto na mchanga. Hayo ni mawe tu yanayotumiwa kama urembo kwenye mambo ya ujenzi. #decolationstone
Ndio nini sasa mnatuonyesha Kisha baadaye kimyaaaa ovyooooo MAGUFULI OYEEEEEEEEEE
Kiboko yao ni hamza mbwa hawa wezi wakubwa mbona hawatuonyeshi wanayapelekaga wapi
@@sarahsimon8060 ajabu
Duuu tungepigwa hongera asikari
R.I.P Magufuli. Uliongea sana kuhusu madini. Habari itaishia hapahapa na hakutakuwa na hatua yeyote.
Heyeheheheeeeeeee Jamani watu Wana njaaaaa watz hawana chakulaaa TOZO kila corner sasa hi Zi Mali ZINAZOKAMATWA BAADA YA HAPO ZINAENDA WAPI
Magufuri weeeeeee
Haikunyi haikojoi bablai😄😄😄bongo sihami🏃🏃🏃😅😅😅😅
Duh Africa 🙌🏼
Huyu afande anatuvuruga anasema gari aina ya Scania hiyo sio scania ni faw arafu unasema umelikamata maeneo ya melela mlandizi sasa unalizwa yalikuwa yanaenda wapi unasema uelekeo kutoka dar kwenda dodoma sasa huko melela yamefikaje.unatuchanganya afande.
Ivii kwel TRA ukoo njian and mezan n kwambaa awakuwepo???
Ndo nashangaa wakati Chalinze kama sikosei kuna mzani kapitaje??
Kazi imeanza
Haya madini ulaya ni dili kuwa lakini Africa hatujui viwanda mnasubili mpaka mchina aje afungue kiwanda duuh tubadilike wazito Sanaa ktk kufanya vya kwetu hayo mawe yana fanya nyumba iwe ya aina yake kunga'aa
Haikunyi, Haikojoi, Bablai... Sio maneno yangu ni maneno niloyasoma kwenye hiyo gari. Duh watu wapo serious kwakweli 😂😂😂
Nkajua peke angu, ndo nmekodolea apo!!😂
Mama yangu magufulianachunga maliyatanzania
Ayo ni mawe yanaitwa marmonte ni ya kuzarisha marumaru za nyumba aina aja ya mtaaram
Sheria inasema ata mchanga ni madini
Haikunyi haikojoi na haikamatwi!!!!!!!!
mzigo hauvuki ata border mnasema yanatoroshwa....apo ALIPE KIBALI AENDELEE NA SAFARI
Ndo akili yako imeishia hapo?
Mzigo uko ndani ya nchi halafu mawe kisa meupe
Afande tusomee ayo manenooo apo chini
Afande kwa hiyo hiyo ndio Scania yenyewe
Faw 🤣🤣🤣🤣🤣🙁
Iyo mijiwe tu aina mpango wowote tanga ipo mingi au kwa sababu amepakia kwanye gari ndiyo unayaaona madini acha sifa
Nihatari kweli duniya iyi
*Nakupenda ni wimbo maalum kwa wapenzi waliopo kwenye mahaba mazito sana, huu ni wimbo mpya toka kwangu bofya picha pembeni 👈 kuutazama naamini utaupendaaa SAB👍SKLAB*
Tunapigwa sanaase
Madini yenyewe hayana
Thamani kiivyo
👏👏👏 kz iendelee
Gud job
Angalikuwepo Magu daa Magu kaondoka mambo hivyo
Kwani dar es Salam kunachimbwa madiniii?
Hayo mawe mbona hapo tu Kwanza yanaunzwa ndoo elfu 10000 yapo meupe hivi mbona sio madini
Tanzania ni tajiri. Serikali ikipigana na wizi na utoroshaji wa madini Tanzania itaendelea. Lakini ufisadi umerudi kwa kasi. Mpaka leo hatujuwi ni nani mwenye bomba la mafuta kigamboni. Tangu tulipoambiwa atapelekwa kortini tinayemuona akipelekwa kortini ni Sabaya kijana wa Magufuli kwa kuzaniwa ameiba simu ya elfu 30.
Yanapelekwa wapi?
🤔🤔🤔🤔madini gan haya kule kwetu kondoa yapo tele tena hayauzwi afande uyaijie pzl
Kwa sababu askari hawa wamefanya kazi nzuri na yaku shangaza watanzania tuone Rais ata sema nini na madini hayo ya kwenda wapi na watanzania wata nufaika vipi
Sio madini hayo ni mawe ya ujenzi yakiuzwa hayafikihata million 5 ww wataka unufaike na mm kwenye mawe hayo!!?
JPM ndo angesema kitu...Ila sio huyu tulienae
Lakini sasa 😲😲😲
Kamanda anachanya madawa mala gari aina ya scania kumbe faw na linatoke dar kwenda Dodoma melela linafata nini
Haikunyi haikojoi hahahahaaaa ayo maneno nimeyapenda
hayo maneno ndio alifanywa adakwe kazi nzuri afande
Hapo polisi watueleze tani kumi ziko wapi, hayo mawe kwenye semi huwa ni tani 30,😂😆😂
Vitu vyengine msipende kuripoti ktk vyombo vya habar moja kwa moja .fanyeni uchunguzi kwanza..matokeo yake ndio haya..kamanda una mihemko Sana.
Tumerudi kwa kikwete angalia usije ukafukuzwa kazi maana naye mama anaonekana rizi one
Ongeeni vizuri yalikuwa yanatoloshwa kwenda wapi?
Yanathamani gani
Hayo mawe ya marumaru yanauzwa hapo Tanga ni kwa ajili yakupendezesha nyumba tu na siyo madini jamani
Madini yatoke Dar halafu yakamatwe Morogoro yakiwa yamefunikwa na turubali vizuri tena kwa mpango mzuri, inakuaje hapo? Yaani wakati wa upakiaji hakuna chombo cha usalama kilichokuwepo kuthibitisha upakiaji huo?
Jamani kweli hayo ni madini mbona mengi sana au RPC kakosea kama kweli basi tumekwisha wa tz
Ndugu hayo ni mawe tu ya ujenzi wanayatumia kama urembo yanauzwa kama tu kokoto mi ninayo na ninafaham yalipo ni mengi mno. (Decoration stone) ni kweli ni madini maana hata mchanga na kokoto ni madini ila ni madini ya ujenzi. Hapo kosa ni kutokuwa tu na kibali cha usafrishaji. Kama mtu anayahitaji nitafte
@@deusntobi1450 Asante ndugu maana nilishanga sana nilidhani madini kabisa kama ile ya Merereni shukran
Kamanda una kitete Sana mpaka umambambikizia gar wakat hiyo ni Faw..hayo mawe tu kamamda sema labda Hana kibali tu usiwatie watu presha eti madini hayo mawe ya mapambo tu hayana ishu yeyote..na Wala alikua hatoroshi maana ya kutorosha no kuyapeleka nchi tofauti..usituaminishe Kama madin no madini ya ujenzi kama mchanga na kokoto msitumie nguvu nyingi Sana kwa vitu simple
Hata sielewi hii movie ipoje kwa sababu Ukitoka DAR kwenda TANGA au MOSHI ayo mawe utakutana nayo mengi sana tena yanauzwa barabarani yamepangwa ktk virobo na vifusi.. Yanauzwa kama wanavyouza mchanga na kokoto na watu wananunua kawaida.
Jamani hivyo vimawe mbona uwa vinazagaa zagaa mtaani au?
😂😂😂
Ndo umeambiwa ni Madin
Hio sio scania ni faw,halafu hili sio hata jambo la kutuhabarisha.
wapigwe fine mwisy hao
Haikunyi haikojoi Bablai😂😂😂
Hiyo faw siyo scania afande
Sas hayo sini mawe tu hayana madhara
Mzigo umepakiliwa dar mpaka yanafika morogoro tena tani 20 gari nzimaaaa!!;mmmmh haya bana!!!!
yalikuwa ni mawe ya kujengea
Nahisi yalikua ya ujenzi kweli😂😂😂😂
Alo kuwa ana guswa hayupo tena ndg yangu kuwa makini mara watakuuwa
Wewe mzee Muslim unazeeka vibaya.hayo mawe ya urembo unasema madini nenda pale kwedikwavu utayakuta yamejaaaaa ndoo kubwa ef2 tu.hivi km ni madini kweli ndio yasafirishwe kinamna hiyo heee jameni.
Wote wezi polisi na hao wasafilishaji wote
Tumerudi kuchezewa kbs 🥺🥺🥺🥺
Hayo Ni Mawe au Madini!!!!????¿
kwaiyo tangu ilo gali litoke daa mpaka molo limevuka vizuizi vingap mpaka lifike uko apo sijaerawa kwakweri
Afande samahani mimi sjui sheria lakini hapo mlipaswa mtafte watu wa madini waje wawathibitishe kuwa kweli hayo ni madini ama lah! Kimsingi ni madini lakini ni madini ujenzi kama tu ilivo kwa kokoto na mchanga . Hayo mawe yapo sehem ni mengi na yanauzwa kama tu kokoto mi nayafahamu na ninayo
Kweli hujui sheria bas ungeuliza swali kuliko kuchangia usichokijua
@@josephatmakaranga7043 Ukitoka dar kwenda tanga ayo mawe ni kweli yanauzwa barabarani yamepangwa ktk virobo na vifusi.. Yanauzwa kama wanavyouza mchanga na kokoto
@@cleverboy3812 sikatai kwamba yanauzwa, swali ni je,
1.Ana vibali vya manunuzi kwa shehena yote hiyo?
2. Ana vibali vya kusafirishia hayo mawe/ madini?
3. Na kama ni mchimbaji wa hayo mawe/ madini je, ana vibali kutoka mamlaka ya madini na mazingira?
Labda nikusaidie kitu ndg, hiyo michanga unayoona ikisafirishwa huwa ina vibali vyote kutoka mamlaka zinazohusika na mambo ya madini na mazingira (NEMC) na ndo maana huwa unaona yanafunikwa. Lakn pia lazima wawe na vibali vya kusafirishia kutoka sehem A kwenda B. Lakn pia kwa mchimbaji lazima awe na vibali vinavyomruhusu kuchimba na eneo husika.
Nadhani kidogo umenielewa ndugu.
@@josephatmakaranga7043 Shukrani ndugu.. Nimekuelewa
@@cleverboy3812 asante sana
Duuuuuh
Me napataa tabu kuelewaa🤔🤔🤔
Utaelewa tu haikunyi haikojoi bablai
😁😁😁😁
😁😁😁
Wakati mtetezi kafariki tutayaona mengi tusiyoyatarajia
Hamna kitu hapo
We Afande akili huna ,, hata kwa kufikiria tu , Yan madini yataifishwe kwa style hiyo kweli duuuu unakwama
Daaah
Hao viongozi hawajaewa tu wanatakiwa kuelimishwa tu hapo hakuna kitu cha kutoroshwa hayo ni maskwats tu hayana issue tani moja yauzwa elfu 30 mpaka 50 kutegea na ubora wake
Labda kuwe na jingine nyuma yake
Waulize vizur watapata majibu huwa yanatengeneza sabuni .tiles. na vitu mbali mbali hapa nchini
Hayo mawe yanauzwa kizembe mpaka kwenye ndoo huko njiani saiv mnakurupuka viongoz kwanza hiyo gari sio scania ni faw.HP
Hayo ni mawe ya mapambo.
Haikunyi haikojoi na wala haikamatwii🤣🤣
Ni kweli akili ni nywele kila mtu anazake sio uwongo maganda yanapotea hivi hivi
Wazinguaji j
Hapo ishu ilikua kibali Kama Hana ilikua apigwe fain na kulipankibali Mambo yendelee..sio sijui madini yatoroshwa Tani ishirini dah 🤔 hayo ni mawe ya kawaida tu.
Kamanda utafukuzwa kazi hii sio serikali ya magufuli..sasahivi tunaenda sawa na mashirika ya haki za binadamu na ubora wa democrasia umeongezeka tanzania kuwa makini,,, wazungu na viongozi wetu wamekuwa kitu kimoja kuiba rasirimali zetu.
Haikunyi haikojoi bablai kazi iendelee,,😄🤣
Madini yanasafirishwa na guta, bongo sihami dar kuna mgodi wa madini hizi nikiki tu
Ina maana gari zima apo ni madini limebeba na kote walikopita awajakaguliwa au
Hayo ni mawe tu ya ujenzi siyo dili kabsa mi mwenyewe nafamu sehemu yanapatikana na ninayo pia mimi . Yanatumika kama urembo au (decoration stone ) yanauzwa kama tu kokoto unakuta ndoo wanauza elfu 2 halafu jina alilotamka afande siyo. Hilo gar wataliachia maana hakuna madini hapo
Tatizo siyo ilo tatizo nikusafirisha bila kibali napia hata mchanga ni madini sheria inatambua ilo
T 357 CGY HAIKUNYI HAIKOJOI BABLAI
Lakini gari sio scania hiyo ni Faw.
Faw ye anasema scania
Haya si mawe yale maupe
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀miaka yao majizi na mafisadi yarudi kwa kasi sana daaah RIP JPM
Saf mueshimiwa rpc
Kutoka dar kwenda dodoma ndo una sema madini yana toroshwa? Hayo mawe hata pale Kidai yana uzwa na watu wana nunua kila siku kupeleka dar wana jengea, sasa kwa hali hii unaweza kubeba hata kokoto uka kamatwa kwamba unatorosha madini wakati yana toka ndani ya nchi yetu na kutumika ndani hapa hapa, mi maoni yangu ina takiwa elimu tu kwa police wetu.
Jamani polisi msikulupuke mnatia aibu,tafuteni ukweri ndio mtoe kwenye vyombo vya habarihayoni mawe ya kawaidatu yanauzwa mabarabarani
mnasema nchii haina hela ss hy mali yote mmeiona
Ya hamza hayo
Ndio imekunya imekojoa bablai
Dawa yenu ni hamza
duh utoroshaji wa madini kutoka dar kwenda dodoma.nilijua yako mpakani.hii habari haijakamilika afande
Tukisema wa tz so maskin ss mnakataa wachen mabeberu wachukuwe mali zetu
Kwakweli kamanda kata wore namimi niponyuma naksapoti
Inchi hii umerudi kuwa Shamba la bibi Tena kama alivyo sema JPM,,, tutachezewa sana
rip jpm
Michoro hiyoo si bure
Sure
ILA HIYO SIO SCANIA NI FAW MKUU