@@MsAggie5hata Mimi mama yangu amepita kwenye ndoa ya mateso makubwa sana Mimi ukiniuliza kuhusu kuolewa nakuona hamnazo kabisa aisee mama yangu ameteseka jamani na bado anateseka eeeeh Mungu nipe maisha
@@yusterwilliam6048 usiwe hivyo mwanangu, huwa hata namshauri mwanangu sio kweli kama wanaume wote wako Sawa, kuna wastaarabu na wenye mapenzi ya kweli wala hawaendi nje kutafuta kurogwa na wanawake wachawi! Endelea kumuomba Mungu akuletee mwanamme sahihi, wapo na ipo siku utakutana nae, nakuombea Kwa Mungu akutafutie Kwa jina la YESU 🙏
Kaa na MUNGU saaanaaa mpenzi ww si MKRISTO OMBA funga jmn mm namuomba saana MUNGU mbona usiangalie nenda kwenye makanisa ya kiroho hswa (sijasema ya manabii)😅😅
HUYU MWANAUME ANGETAKA USIJUE ASINGEMRUHUSU KUPIGWA CM WAKATI WOWOTE HAWA WANAUME NI HATARI SANAAA WANATUUA HUKU TUKITEMBEA.UCHAWI NAO UPO ISINGEKUWA USHIRIKINA HUYU MWANAUME ALIKUWA AMESHAKUNAHI DAWA ZIMEMRUDISHA ILA SOPHIA UNGEKAA NA MUNGU KARIBU NI BORA KULIKO WAGANGA
Ndoa + maombi = raha tupu. Sasa jichanganye kwingine uone
Watu Tulivoisubiri hii sehem Kwa ham ..😂
We acha tu
Tuko Pamoja My Dear Vero!❤ Nimekusubiri Kwa Hamu!👍🏻
Asante dada Vero tuko pamoja habibt
Walio kwenye ndoa wanataka kutoka akina sisi ambao hatujaingia tunatamani kuolewa😢😢 maisha haya
Kuna akina mm naogopa ndoa atar na umri umeenda atar
@@SuzanaMazzukiwe ndio Binti yangu, anaogopa ndoa hadi namuonea huruma😂! Niliyopitia Mimi mama Ake ya Sophia cha mtoto 😂😂
@@MsAggie5hata Mimi mama yangu amepita kwenye ndoa ya mateso makubwa sana Mimi ukiniuliza kuhusu kuolewa nakuona hamnazo kabisa aisee mama yangu ameteseka jamani na bado anateseka eeeeh Mungu nipe maisha
@@yusterwilliam6048 usiwe hivyo mwanangu, huwa hata namshauri mwanangu sio kweli kama wanaume wote wako Sawa, kuna wastaarabu na wenye mapenzi ya kweli wala hawaendi nje kutafuta kurogwa na wanawake wachawi! Endelea kumuomba Mungu akuletee mwanamme sahihi, wapo na ipo siku utakutana nae, nakuombea Kwa Mungu akutafutie Kwa jina la YESU 🙏
Great of all time da vero good work 🔥🔥🔥
Mama ake sofia ni moja tuh walah
Dah ...kweli hakuna km mama....😢❤
Apa nipo kwenye mahusiono na yanani sumbua me siwezi kuolewa 🙌
😂😂😂😂😂
Kaa na MUNGU saaanaaa mpenzi ww si MKRISTO OMBA funga jmn mm namuomba saana MUNGU mbona usiangalie nenda kwenye makanisa ya kiroho hswa (sijasema ya manabii)😅😅
Hakuna Kama mama daaa ❤
Tuliisubiri kwa hamu sana jmn da vero❤ mkasa wa kipekee sana😢
MARAFIKI NI ADUI WA NDOA YAKO ATAKUSHAURI KISHA ATAKUHARIBIA ACHANA NA MARAFIKI
Akina Sophia kwny hii Dunia amebaki yeye tyu😂 walobaki moto fireeee
Hakuna kama mama jamani
Dah yan hamna kama mama❤
Nan kama mama
Yani asingekuwepo mamake angepotea😢
HUYU MWANAUME ANGETAKA USIJUE ASINGEMRUHUSU KUPIGWA CM WAKATI WOWOTE HAWA WANAUME NI HATARI SANAAA WANATUUA HUKU TUKITEMBEA.UCHAWI NAO UPO ISINGEKUWA USHIRIKINA HUYU MWANAUME ALIKUWA AMESHAKUNAHI DAWA ZIMEMRUDISHA ILA SOPHIA UNGEKAA NA MUNGU KARIBU NI BORA KULIKO WAGANGA
Sofia ange kuw team majinun saiz ange kuw kashabeba pasport yake safar kwa agent afny mpng wa kwnd kuosha hamam kwa mwarb
Ila ndoaaa 🖐️😔
Aiseee tumetoka kwenye biashara saivi ni mapenzi adi raha
Napenda san sauti yako dada
Asante ❤
Jamani hakuna kama mama😢😢