KUMBUKUMBU NA HISTORIA YA MAALIM BAKATHIR KUTOKA UKUTANI ZANZIBAR
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 มี.ค. 2022
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Maashallah
Ukutani ni zizi la wanachuoni ZANZIBAR. MUNGU atukhitimishe kwa nyendo njema
Mashaallah historia nzuri jazaka Allah kheri
Maashallah Allah awalipe
Waislam hapo panasitahiki kufanywa chuo kikuu
Tusi wasahau waasisi wa Msk Baraza Maalim Himid, Abdalla Muadhini, Syd Hamad nk.
Wao ndio walimu wa Maalim Abdalla Abubakar Abdalla Bakathir.
Tuleteeni historia za ulamaa wetu wote,kama kina sheikh Habib Ali kombo
Dunia inamaajabu
Ostadh Khalid nini kilimuondoa koz yupo hai
Shauri LETU: KUNA WATU MUKAWAFUATE AMBAO wanajua historia ya hapo hao ni wageni wote..hawamjui Maalim bakathiri..
Kamfateni Mtu Anaitwa MAALIM ABUU...huyu ndie Kipenzi cha bakathiri...Ndie Naibu wa hicho chuo..lkn Watu wanajitoa ufahamu.
WE abrahman habshy umetok pemba Maalim Abuu Anakupokea leo umekua weye ndio Unaijua Zaidi historia ya hapo??na huyo Ndugu Hikman ndio kabisa..Ama kweli Watu hawapo..Allah atatusaidia.
na Maalim Abuu Amewacha hicho chuo kutokana Fitna za abrahman habshy..Alikua Anamtesa Sana Bakathir huyu Habshy..JITAHIDINI MKITOA HISTORIA TOENI KWA UKWELI
Anamtesa vipi??
Huyo Hataki kusema ukweli..hata ukimfata Ust khalid mrisho basi ukweli Atausema..WAELEZENI UKWELI WAISLAMU MSIJE MKAADHIRIKA...
Marshallah