ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
Upendo Nkone akiri kutumia mkorogo, aeleza sababu
แชร์
ฝัง
ขนาดวิดีโอ:
- เผยแพร่เมื่อ 16 ส.ค. 2024
- Alikuwa akijibu maswali ya watu katika kipindi cha KIKAANGONI
ความคิดเห็น • 105
ต่อไป
เล่นอัตโนมัติ
SIKILIZA UMMY ALICHOSEMA BAADA YA KUTUMBULIWA NA RAIS SAMIA "MIMI NINASHUKURU KWA KILA JAMBOTaifa Digital
มุมมอง 647
Anjela Chibalonza death was prophecied .. Pst John isaji.Shared on his book THE MIRACLE ACCIDENTfanikisha talanta
มุมมอง 3.2K
เหนื่อยหน่อยนะ (SOMEONE LIKE ME) - GEMINI Prod. by URBOYTJ [ OFFICIAL MV ]RISER MUSIC
มุมมอง 303K
นายกฯ ต่อจาก "เศรษฐา" ใครมีโอกาสได้ตำแหน่งมากที่สุด? | Thai PBS NewsThaiPBSNews
มุมมอง 339K
อดีตตำรวจเตะเณรปากแตก ข้อหาซุกเมียผม ลั่นเคลียร์มาให้จบจะเอายังไง l EP.1738 l 16 ส.ค.67โหนกระแส [Hone-Krasae] official
มุมมอง 1.2M
แมนยู Corner : คุยหลังเกม แมนฯยูชนะฟูแล่ม 1-0รูปเกมเชียร์มีความสุข 'มาซราวี' เด่นFluke Family
มุมมอง 171K
Константин Сивков | Курск: Анализ ситуации | Окружение и вытеснение группировкиАбстрактное Понимание
มุมมอง 158K
WANANCHI ARUSHA WAMFUNGUKIA MAKONDA - ''AKIONDOKA AWE ANAAGA '' - WAMPA KAZI YA KUANZA NAYO KUFANYAGlobal TV Online
มุมมอง 60K
മുല്ലപ്പെരിയാർ ഡാം വെള്ളപ്പാച്ചിൽ അറബിക്കടലിലേക്ക് ഒഴുകുന്നതിന്റെ 3D MapXtreme Traveller
มุมมอง 2.4M
Shobhana in NereChowe - Part 1 | Old episode | Manorama NewsManorama News
มุมมอง 1.6M
MREMBO wa KISUKUMA awashangaza kwa kucheza na PIKIPIKI kubwa, ajiandaa kwenda SHINYANGA kwa pikipikiSimulizi Na Sauti
มุมมอง 1.8K
EXCLUSIVE INTERVIEW :UPENDO NKONE MIMI NI MAMA MCHUNGAJI / NYIMBO ZA KUABUDU ZINANIFANYA NILIEMIKONO SALAMA ONLINE TV
มุมมอง 3.8K
MAKONDA APIGA MKWALA "Nitawanyoosha, Tunawajuwa wala Rushwa, mnaokwamisha Miradi ya majiTaifa Digital
มุมมอง 3.1K
Friends make memories together | Trà Đặng #short #bestfriend #bff @dudufamily3003pnctTrà Đặng Official
มุมมอง 6M
Logo Matching Challenge with Alfredo Larin Family! 👍BigSchool
มุมมอง 9M
The Wall Song ร้องข้ามกำแพง| EP.206 | ตั๊ก / ฮาย / จูดี้ / บอย พีซเมคเกอร์ | 15 ส.ค. 67 FULL EPWorkpointOfficial
มุมมอง 684K
Harley Quinn's desire to win!!!#Harley Quinn #jokerHarley Quinn with the Joker
มุมมอง 6M
นนท์เดอะซีรีส์ EP.23 ตอน ห่าก้อม โคตรปอบมนต์ดำ | หลอนไดอารี่หลอนไดอารี่
มุมมอง 1.1M
Na mimi ni muha,nakupenda sana
Napenda nyimbo zake sana ,,,usifurahi juu yangu hee adui yngu......mungu akubariki sana
Aki wafurahisha..pamoja na nyimbo zakk naskiza Kila siku..barikiwa mtumishi
Tunakupenda sana Mama Upendo. Asante sana kwa kutuambilisha ukweli maana wengine wakionywa kuhusu jambo hilo la kujichubuwa majibu yao yanakuwa yenye jazba! Mpaka washabiki tunashindwa hata kuelewa Kwakweli huwa tunavunjwa moyo sana nakitu hicho.Nyiye mnasema mnampenda Yesu nakumuamini na kumtumikia nasi mnatutia moyo sana kwa safali yetu ya okovu Tunashukulu Mungu Kwaajili yenu tunaipenda huduma yenu na kuisapoti.Sasa tunashangaa tunapoona mnaanza kuukosowa ule uumbaji wa ke'' NENO'' Si imeandikwa kwamba bila NENO hakukufanyika kitu.Nakile alicho kiumba Mungu akakiona Chema.Sasa inakuaje Mtumishi wake ndiye aanze kuona kasolo?Kumbe tunavyo fanana hivihivi kila mtu kivyake tunampendeza alietuumba.Mengine yanatoka kwa MUOVU! huyo ndiye aliye jifanya mkosowaji wa Mungu tangu Mwanzo.
Kenya we love you 😍
Nyinyi ni wanawake bora duniani.. acheni mambo ya kutaka kuwa watu wengine.. sukeni tu nywele vizuri na muwe wasafi.. acheni nywele za wafu.. tunawapenda the way you are. kama mama zetu walivyokuwa.. have confidence and faith. You are beautiful the way you are..! Hold your heads UP.. ALWAYS!
roho safi msema kweli Mungu akubariki mama.
nakupenda sana Upendo, Ubarikiwe sana na kazi zako,!
neema moses
I love Upendo Nkone. Mungu abariki kazi zako
nampenda sana huyo mama barikiwa mtumishi wa mungu
Tunakupenda
Upendo ur one of a kind maisha halisi nimekupenda bure. ur open unaishi maisha ya kawaida mno.unazungumzia hali ya kawaida katika maisha ya kila siku.nimekupenda sana Dada.kugombana kupo tusifanye maisha fake uko vizuri sana wengine tunapenda kudisplay perfection wakati maisha yapo na sis siyo malaika upo real I love u so much.wasanii wengine tuwe Real kama Dada upendo.Mungu akubariki akuinue na kuimarisha NDOA NA UTUMISHI WAKO.ur so real not fake in ua way of doing na saying things.
Acha kabisa mtumishi mungu anakupenda jinsi ulivyo...
😂😂😂😂yaani umenimaliza maana nilipoanza kuona mkorogo. Hata nyimbo zako niliacha kusikiliza, nilichukia kutoka rohoni maana nilikuwa nakupenda na kukubali ulivyo. Lakini umekiri sasa tuko pamoja.
kwakweli saivi uko vizuri. amini kwamba uumbaji wa Mungu uko perfect. you are beautiful naturally. nakupenda bureeee mama.
Nakupenda sana Dada ang nyimbo zako nzuri
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka sana mama ang.....nakupenda sana mama ang.
Sio tu mashabirii hawapendi! MUNGU aliumba Kila kitu ni chema na kinapendeza! Iweje umkosoe! MUNGU 😢
Nakupenda dada upendo
Mimi shabiki wako namba moja I love you ❤️
Hongera sana Upendo uko vzr Mungu Akuinue zaidi
Uko vzr upendo mtumikie Mungu kwa uaminifu
Yaani napenda utumishi wako mama ubarikiwe
Upendo interview yako imenifurahisha sana.Mimi kama mume sitaki tena sitaki dharau.
nakupendaga sana dada na nyimbo
wow mum kwa Mkorogo uko sawa hukutaka kujipodowa. je? nywele nazo ni zako nachroll 😂😂😂😂😂😂lovely you mum 😘😘😘😘
Yan wwe mama Jaman
Nakupenda sana ulivyonautani yan
Sasa hivi uko vizuri mama. Uko natural na unapendeza sana. Ulikuwa balaa ulivyokuwa unajichubua.
😂😂😂😂😂 nmempenda huyu mama ana vituko
nakupenda Sana my Dada uko Vizur Sana
mama anaonekana anapenda story love u
nakupenda sana mamaangu
Barikiwa Upendo, mkorogo hauna maana yoyote
very nice mom I love you all time when you come here America I am in school. I wish to see you
Sijapenda hulka yako ya tena sjapenda kabisa unaposema eti hupendi kupika hata chakula cha mumeo ni kubwa tena ni mchungaji halafu kipikwe na house girl sio sifa nzr umechemka dada
Npenda nyimbo zako...
I love you mum napenda huduma wako
Safi sana dada upendo
Hahaaah usishtue tena dada yangu
Nakupenda sana dada upendo pia napenda unavoongea
tuwekeeni full interview please! ! mbarikiwe saana
Umependeza mama
wewe ni nzuri umependeza sana usitumie tena
The lady is full of wisdom.
Hahahaah...... I love you mama...... God bless you much
Mimi napenda nyimbo yake ya niongoze bado nakuitaji
hahahaaaaa nimecheka sanaa dada upendo
it's good to be honest,,, God bless you
penda sana Dada angu baki natural ngoj yko nzur
Nimekupenda kwa kuwa mkweli umezidi.waimbaji wote tanzania
Jmn Upendo mama kipenz wetu na penda unavyo sema ukweli adi laa
Yeah ninewai kusikia huyu mama ni gesi
kweli kwanza kujichubua ni dhambi hata mawigi nayo mnamchukiza MUNGU kuweni na asili kama mlivyoumbwa
jamani maswali yanatosha asije akalia achelewi kulia jamani
Mcheshi sana nakupenda
nakupenda mama
saf Sana Dada
Nakupenda mama Upendo
I love you mom and I wish to see here America
unanibariki mtumishi
u ar comedian jaman kumbe tena
Barikiwa sana mama
mama nakupenda sana nataman siku moja tuimbe wote
nakupenda Sana unanibariki
Hahahahaha nakupenda saaaaana mama ❤️❤️❤️
safi sana
dada upendo una vitukooo
Usitumie tena, sauti inatosha
kweli mama. spending mkorogo ata kidogo na mm ni biti siwez kutumia mkorogo
esther_your smile is so nice
ubarikiwe sana sana mum
Ubarikiwe dada angu, nakupenda sana.
mikono ina onesha kama una paka choko Upendo.
Mungu awe nawe
marikia wa kigoma MUNGU, akubaliki mpaka washangaee
Baki hivohivo na rangi yako yani Rangi hadimu hio hivooo
tuwe tunatuma mpesa😂😂😂😂😂😂😂😂😂
love you Momy
Jomoni naomba uyo mama aniambie alitumia daw gn kutoa michiliz
uwe ivyo ivyo
Mimi siku zote nakukubali ila kweli mkoro- goooo achana naye
😆😆😆😆😆😆 Yeeeeeee rukundoo
Mama mcheshi kweli.
applications
usijichubue weusi wako mzuri.
you are so funny dada.
ila anapenda kudeka
by the way she is cute
ila ana chekesha jamani ,amenifanya nisahau matatizo yangu kwq muda,
😂😂😂😂love you sana
hongera.
kujichubua ushamba jaman baki na rangi yako unajua fresh saaaana
Kutokana na nymbo zako camin kama mom ww n muongej kiac hk
kwanini utumie mkorogo wakati upo black huoni kama utakuwa na rangi mbili dada? na kwanini umkosoe mungu wakati unasoma biblia kuhusu kumkosoa mungu kwa uumbaji wake?
MNATAKA KUMFUATA MAIKO JAKASONI ULIKUWA
acha mikorogo na hayo mawigi
upendo safi sana
love uuuuu
Martha Silas
Mama acha na mapambo Na many were yakuzimu.
Unavituko haha
Ningependelea kupata number yako please
I love you mama. Mungu azidi kuikuza huduma yako