SIRI NZITO IMEFICHUKA/NYOTA PAMBA AILIYEPEWA RED CARD VS YANGA ALITUMWA KUMVUNJA BOKA?
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ต.ค. 2024
- Simba | Simba leo | Simba leo vs coastal union | Simba leo live | Simba tv leo | Ligi kuu nbc leo | Kikosi cha simba leo vs coastal union | Kikosi cha simba leo vs coastal union | feitoto kutua simba | usajili wa feitoto simba | yanga | yanga leo | Yanga live leo | wachezaji wa yanga leo | Full match highlights coastal union vs simba | Mashabiki wa simba leo | Mashabiki wa yanga leo | Usajili wa feitoto simba |feitoto kutua simba | Uhamisho wa feitoto kwenda simba | Feitoto kwenda simba | Feisal salum kutua simba | Habari za michezo barani ulaya | uchambuzi simba vs coastal union leo | Sport extra | Boka skills | Kadi nyekundu yanga vs pamba | Magoli ya yanga vs pamba | Habri za michezo leo | Mashabiki wa simba leo baada ya mechi | Utata magoli ya simba leo | Magoli ya coastal union leo | Kocha wa simba baada ya mechi leo | Wachezaji wa simba baada ya mechi leo | Clouds fm uchambuzi | Sport extra uchambuzi leo
Gwiji la muziki Marijani Rajabu aliimba
Hao ndio wenye
Kukaanga mbuyu
Kuwachia wenye
Meno watafune eeeh !
Tatizo la wandishi ndy ni waongowaongo wanatunga vitu vya uchonganishi tuu. Je Debora wa Simba alifanyiwa rafu mbaya je alitumwa nanani?mbona hilo husemi?acha upuuzi wako
Hiyo rough ya huyo mchezaji Salehe Masudi alistahili kadi nyekundu mwanzoni kabisa wala asingepewa kadi ya njano huyo alitumwa siyo kwa uchezi wa hovyo kama ule huyo ni bwege tu.
Watu wasimba ni wagonjwa kaongelewa mwengine wamejiingiza. Wao tabu kweli kweli
Mpira wakishaamba
Pampa tawi la utopolo
Simba wajisikia maneno kama haya huwa wakali sana lkn timu inayoongoza hpa Tanzania Kwa mashabiki wenye propaganda bass Simba namba 1😊
Kwani kwenye mpira wa miguu kuna kipengele cha kuvunjana miguu ?
Hakuna ni la kwao Simba haimwogopi Shadlack labda ni mipango ya GSM. Yanga na Pamba namna watakavyofanya maigozo kupata penalty na magori mengi ili wawe mabingwa Allah atawasalitisha na hamtapata la Shari 4:48 mnalolikududia inshaa Allah
Pole dunduka,huku umefata nn sasa
Malipo na hapahapa duniani. Anayedhamini uovu katika michezo. Walahuyo bokha hajachezewa rafu ni kampango Fulani hivi la kujikusanyia point bila jasho. Timu zote zilizofadhiliwa na hiyooo! Nani asiyejua kinachoendelea?Maliponi hapahapa duniani
Shadrach siyo shadlak
Ili mtoke safe na coastal no mipango ya mo?
Kwahiyo MTU anafanya maigizo kuumiza mwenzake?
Simba acheni ushamba
AOGOPWE BOKA KWANI NI WASIOGOPE MABURURU? ACHA UJINGA WAKO
Mbona rafu yenyewe kamkosa itabidi kadi ifutwe
Simba Wanazo Tabia Hizo Kwakweli Hata Azam Nawao Wanayo Hiyo Walitumia Wachezaji Kwamaksudi Wakatilicheza Nao Wakijuwa Tunacheza Na Mamelod Waliumiza Wacheaji Watatu Yao Pacome Yule Winga Nilisahau Jina Hiyo Ilikuwa Njama Ya Simba Walitaka YANGA Kutolowa Robo Fainal Tulipo Wafunga Rafa Atudhulumu Goli La Azizi Kii
Mnaumia sana sanda
Huyu jamaa anaongea mavi matupu kwan sie malangapi kabla ya kukutana yanga hua yatokea kwa wachezaji wa Simba inamaanisha kua hii ndomichezo wanayoifanyaga tim ya nyumamwiko pia mwandishi unavina saba na wiko wa nyuma kwan wewe inakuumann lafu umechezewa wewe au umetumwa maana Simba anahusikaje kwenye tatizo hilo
Adhabu ya kumchezea mwenzake vibaya kwa makusudi akapata majeruhi akakaa nje,irekebishwe,isiishie tuu kupewa red card ila na yy ajae nje mpaka alieumizwa apone warudi wote uwanjani,hii itakomesha kbs tabia hiyo ya kijinga.
Wachezaji kama hawa wangefungiwa
Ww muongo timu yenyewe ni tawi la yanga mdhamini wake ni gsm ni mpango tu wa yanga kuwapunguza kisha kutengeneza magoli mengi
Kama ni tawi la Yanga kulikuwa na haja gani ya kuwapunguza, si wangefungwa hivyo hivyo wakiwa kamili. Halafu Simba alikula tano, afadhali hao Pamba.
Acheni kuleta umbeya kwenye mchezo.
tv online michongo hujielewi😊
Ulipokula byby alitoka nani
Msenge wewe haijatajwa timu gan imemtuma saleh wala hajatajwa jina la mtu aliyemtuma umewashwa kwel au ni wewe?
Wasenge nyie,ashindwe kuvunjwa chama,aziz ki,pakome na max waliotishio zaidi wamfuate mtu anaerukaruka? Na hiyo kwann isifanyike dakk ya 80 kam ilipangwa simba maan pamba wangelikuwa salama muda umeenda
WADANGANYIKA😊
Lkn mm naona huyo hajataja jina la mtu lkn ety
Kwanini usiandike alipata kadi ili asaidiwe yanga
Afungiwe mechi 5
Acheni uongo wenu wanafiki nyie inahusiana nini pamba na yanga ije Simba??
Acha majungu
Hakuna mtu mpumbavu eti apate kadi kwaajili ya timu nyingine,chanel hii niyamatapeli
Alex Song alifanya rafu kwenye national team!
Drc congo semi final dhidi ya Egypt afcon 1996
Unajuwa kuropoka akili mgando
Inawezekana wewe nishoka
Wacha we hizo ni Fitna
Hana akili huyu.
Ujinga mtupu