HIKI NDO KILICHOTOKEA IRAN SHAMBULIZI LA ISRAEL NA IRAN MWANZO MWISHO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 เม.ย. 2024
- Afisa mkuu wa Iran ameliambia shirika la habari la Reuters "Iran haina mpango wa kulipiza kisasi mara moja dhidi ya Israel," saa chache baada ya shambulio dhidi ya mji wa Isfahan nchini Iran, ambalo linaripotiwa kufanywa na Israel.
Maafisa wawili wa Marekani waliambia vyombo vya habari kwamba shambulio hilo lilitoka Israel, lakini Israel haijadai kuhusika hadi sasa.
"Chanzo cha kigeni cha tukio hilo hakijathibitishwa. Hatujapokea shambulio lolote kutoka nje, na majadiliano yanaegemea zaidi katika kujipenyeza kuliko kushambuliwa," afisa huyo wa Iran alisema kwa sharti la kutotajwa jina.
If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest.
COPYRIGHT VIOLATION
For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright.
Oooh allah jaaalia kila la kheri irani na la sharii waepusie
Walimuwuwa ghadafi wakaona powa acha Iran isimame kidede Kwa hao makafiri
Tusiwombe mabaya ....lakini Iran kuwa vitani na Israel,Iran itapata tabu sana....Israel ipo vizuri sana juu ya Irani
Makafiri wana washughuliki vizuri wenye dini unaita mtu kafiri unafikiri hilo ni kitu ya maana apa muhimu nikuagamiza magaidi wawe wenye dini au makafiri Israel 🇮🇱 itanyoosha kbs
@@festokivuyo7121Israel mashoga makafiri
Haina haja ya kushangaa mwisho wa dunia ndo huu (Israel, marekani, uingereza,ufaransa, Olav shows,na NATO na nchi zote zenye kambi za kijeshi za hizo nchi) >>(Irani, Korea kaskazini, China,urusi, india , Pakistani, south Africa.) Hapa namanisha Kua hakuna atakaekua salama hata Tanzania. Baada ya hii vita hakuna Taifa litakalobaki na nguvu tena duniani watu wataishi mithiri ya wanyama pori na ukame mkubwa sana utaiandama dunia dunia itakua ni ya watu wachache Sana tena mmoja mmoja. Kiufupi Tu .
Acha kamba ww nan kakuambia
Asante mganga
Israel ni kibaraka wa Marekani na Magharibi mwisho wao umefika.
Mungu tunakuomba wajaalie ushindi Iran.
Mungu akipenda❤
hapo inajulikana kuwa mchokozi ni islael asubili Tena majibu ya pili
😅 Aki nimecheka kidogo
Kashaingia kwenye mfumo Iran ametafutwa amepatikana yale yale ya Iraq
@@emmanuelletema8385Israel mashoga tu
Hakuna...kusimama....Israel... Watandikwe kwa kutosha... Wanaroho Mbaya...wanawatesa palestin... , /Allah Akbar atalipa Inshaaallah😭😭😭😭🙏
Iran mpigie huyo shetan
Ushauri wangu kwa waarabu wote kua sasa ni wakati sahihi wakulifuta taifa la kigeni hapo ktk mataifa yenu ya majangwa.sababu A. Hawatambue uwepo wa Allah. B mashoga na ushoga hautambuliwi na dini zote. C wamewekwa hapo kwa ajili ya kifisidi kila kilicho cha waarabu.
Allah ni Mungu wa waarabu wayahudi Mungu wao ni Yahweh
Africans jamn duuu, kwanini msiombee mazuri Nchi zenu za kiafrika mnakuwa kama mifugo yaani.
Mm yakiuana haya meupe nafurahi sanaa, yameuaga, kunyanyasa, kudharirisha waafrika wengi sanaa, lkn utamkuta Mwafrika komwe lake Eti pray for Iran, mara pray for Israel yaani kama matahira hayajielewi, mnaowaombea hawawapendi hata kdg.
11:51 ❤
Dalili za mwisho ndio hizo
Hii Vita sio nzuri izraeli wa ubabi
Hatari sana 🔥💀💀💀💀
Waliodunguliwa ni Iran, sasa unaandikaje Israeli? Bogus!
KUWENI MAKINI KATIKA UANDISHI DW MSIWE WAONGO, HIVYO TU.
sure, they lie
dw
Ni Mjumbe wa agano pekee ndiye ALIYEPEWA ELIMU ya ufalme wa Mungu duniani na kuondolewa kwa roho zote za uchafu zitoke kwa watu na waingie kwenye ufalme wa Mungu kwa Neno la wakati angalia TH-cam Mjumbe Agano upate semina ya mwisho wa Dunia na jinsi kanisa halisi linavyojengwa na kunyakuliwa barikiwa sana asante Malaki 3:1-3, 4:1-6. Kabla ya vita kuu ya dunia.
Allah akbar
Hapa kuna wanafiki wana comment, wale wale walikua wakiponda EZRAEL ndio hao ao wako hapa wanaterea EZRAEL
I wait Iran
Waandishi toeni taarifa kwa usahihi. Mnajishushia hadhi kwa taarifa zisizo na ukweli.
Tabla hawajaanza kupigana vita tuambieni tufunge virago vyetu
Sasa zimetumbuka kwaio nikama zinapigwa kilazima .wamenoa
watufulani wanatuombea Dua sisi tuuwawe na ban islaile illa inshaallah Iran itam.bomoa uyo islaili akileta nwoko
Kwanin Israel ilishambulia ubaroz wa iran
Huyu Natanyahu kapewa kibali cha kufanya vyovyote atakavyo na Marekani pamoja na jumuia yao wanayoiita UN ni kwa masilahi yao tu. Lakini hicho kibali kimeshindikana kuipiga Iran 🇮🇷. Kwa mawazo yake alifikiri Mu Irani atawaogopa kina Amerika, Britain na washirika wao 5. Mu Irani kajitoa muhanga liwalo na liwe atapambana nao hata kama atazidiwa.
❤ NI KWELI UNACHOSEMA. UN NI AMERIKA NA ISRAELI . WALIOBAKI NI BENDERA TU.
Israel mwisho wenu unaonekana ngoja mpigike
Vita havina mwenyewe lakini israel ipo palee anayedhani atafanikiwa kuwafuta ajitutumuee, , hahahahaa
Safi Sana Irani wako NGANGARI kinoma
Wako ngangali sabubu wametungua drones tatu?😂😂😂😂
@@pastorzakariatv1786we mtumwa wa wayahudi fuatilia taarifa vizuri umeielew hii taarifa au unakurupuka
@@pastorzakariatv1786Ulitaka wadungue ngapi wakati zilitumwa hizo hizo tatu 😂😂
Ndronse zilizotumwa ni tatu tu@@pastorzakariatv1786
Wajaribu kujibu tena ndo tutajua wapi panapovuja😂😂😂😂😂
Mungu bariki Israel kila atakayewagusa apigwe Amen!
Israel mashoga
Wewe mtangazaji wa DW acha kutudanganya.
JUMUIYA ZA KIMATAIFA NDIO KITU GANI ?
NI AMERIKA NA ISRAELI AMBAZO DUNIA NZIMA WANAZIOGOPPA.
MATAIFA MENGINE YANADANGANYWA TU.....❤
Hakuna umoja wa mataifa hapo
Pande zotembili achani Vita kwa masilah yalahia wenu
Good
Acheni uwongo
Uongo gani wanaosema hawa wachambuz wamebobea kwny kaz zao na wanachokichambua ndio uhalisia ulivyo ,,,Acha ufala na mihemuko ya kisenge
toa habari zako za ukweli choko kweli
Hii ni igizo
naiombea amani lsrael
Kumbe irani wanaongea kiswahili
Iran anujua vizuri njama za Hawa jamaa.iran anajua anchofanya.mm nauliza tuu.huyu sadam . Na gadafi kosa lao nn?
Waliokataa kumtii huyu mungu mtu mmagaribi ndio kosa lao mmarekani ni ibilisi la dunia
Iran wangekuwa na uwezo wange piga kilakitu
Uta wasaidia??
Yaaahha yakuduss yaaahha yaajjabar tunakuomba tuangamiziee hao waiziraili na washilika waoo
Popote walipo duniani nakila anayo muunga mkono izirali wanagamize amiiiiiiiiin yarrabana takabali duwaaa zetu
Wakati huu ni mda wa kujiweka tayari maana mambo haya yanamchukiza MUNGU tujitoe kwa YESU na kunyenyekea katika mkono wa Mungu.❤
😅
Tukopamoja iran
Piga hao masheitwan wa kiyahudi
Israël kupigwa nihaki kabisa sababu najisi lazima iondolewe kandokando ya maeneo twahara.
Mara Miripuko mara tumedungua acheni umbea
Milipuko ilitokana na vile mifumo ya ulinzi ilivyo react baada ya kujua inashambuliwa, mbona walishasema?
Danganya mtoto wako
Islaeli mchokozi sana
Israel sio mchokozi bali Iran siku zote inasema itaifuta Israel kwenye ramani. Israeli inatambua kuwa inachukiwa na kwa hiyo mara nyingi lazima ilipize kisasi kuhakikisha kuwa maadui zake hawarudii kuwatishia. Iran na nchi za kiislamu zina chuki sana dhidi ya Israel. Huu mzozo sio wa kisiasa tu bali ni wa kiroho na tunakoelekea ni kutimizwa kwa maandiko Matakatifu kwamba siku za mwisho Iran ikishirikiana na Urusi na nchi nyingine nyingi wataivamia Israel na hapo ndipo Mungu atajitokeza na kuwaadhibu ikiwa ni ishara kwa ulimwengu kwamba Israel ni Taifa lake. Someni kitabu cha Ezekiel Sura ya 38 hadi 39.
saana
Mungu isaidie Israeli Baba isipatikane na atia
Unaombea magaidi wahovyo sana ww
Badala uombee Familia yako😂😂, Africans jamn duu 🙌🏻
Israel mashoga
Izi media za magharibi propaganda
Kiko wapi kilichotokea,mmatuletea story za abunwasi!?
Toeni taarifa bila kulalia upande wowote. Kwa taarifa zenu mnaonekana kuibeba Iran.
izo dini zenu zakuletewa zita wasumbua sana
Hawaoni aibu makombola zaid ya mia tatu kujibiwa na droes tatu
Drone zimerushwa Ili wasionekane wajinga lakin lsrael wanaogopa moto was Iran
@@user-xi8cl2rx4fmi nnachowapendea nyie jamaa ni kitu kimoja, mkijifunguaga wenyewe na huko mnakosalia mnadanganyana weeee mnapeana vichwaa moto ukiwaka mnaanza kulia. Hv kwa akili yako jumlisha na za ukoo wako israel anaweza muogopa iran? Tangu lin myahudi akamuogopa mwarabu yyte yule? Shida ya nyie uwezo wa ku streach mind
Na weeee yona jinga kumbe
broo umesoma wapi ? Kakwambia nani km Iran ni mwarabu? Au chuki binafsi ndio zinakueleza hivyo…? Kuna tofayti kubwa kati ya muiran na mwarabu ht lugha ni tofauti kabisa.
@@yohanamwamkili4397kama nyie mnavojifungia kanisani na kudanganyana ISRAEL ni taifa la MUNGU kumbe ni taifa la mashoga
Tupeni taarifa sahii hii midea tunaiamini sana jaman
ANAYE HILAHANI ESIRAELI
MUNGU HAMULAHANI 🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🙏🙏🙏🙏
hao si wasenge wenzenu kuna mashoga na wasagaji wenu
Israel inayoua watoto na wanawake wasio na hatia na wazee Mungu hawez barik nchi yenye kutambua ushoga na usagaji
Mungu amlaani anayeitetea Israel.
@@ZailaiMlawaameeen🤲💕
Wewe chukua shahada acha unafifiki
🇮🇱 ❤
🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱I WAESIRAELI NI
TAIFA TEULE LA MWENYEEZI
MUNGU MUNGU IBARIKI🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱
Taifa teule sio la kinyama ivyo nifigisu hakuna taifa teule hapo
usilo lijua nisawa na usku wagiza
Akili za bangi zinanuka moshi tuu
Huyu nyeta nyau namuombea dua kwa mungu afe tena kwa kansa
Kwanza weww ndo utakufa kifo kibaya mno
Angalia utakufa wewe kwanza
Kwa hiyo walilala wakaamuka kuwasha mitambo
Huo ni udhaifu Sana Sana kwenye mfumo wa ulinz