Chadema ni chama kinachohubiri haki, Mungu awabariki sana viongozi wa Chadema na kuwalinda daima,kazi wanayoifanya Mungu uwalipe katika haki wanayoipigania katika Taifa letu Mbowe,Tundulissu, Lema na wengine wengi, Mungu uwalinde.Wananchi amkeni tuungane tuunganishe nguvu zetu pamoja tudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, tuikatae ccm uchaguzi huu kuanzia wenyeviti wa mitaa, vitongoji, vijiji, madiwani, wabunge na Rais msiwachague tena mafisadi wa ccm itakuwa kuleta utumwa katika Taifa ccm wanaiba na kuuza rasilimali za Tanganyika.
MH. MBOWE NI MWAMBA WA SIASA SAFI ZA UPINZANI NCHINI NDIYE PEKEE FEDHA CHAFU YA CCM IMEDUNDA KWAKE LAKINI WENYEVITI WENGI WA VYAMA VYA UPINZANI IMEWAZOA VYAMA VYAO VIKO HOI(VIMEBAKI CCM B) WAMEBAKI WAJINGA KUVIUNGA!!!
Chadema ni chama kinachohubiri haki, Mungu awabariki sana viongozi wa Chadema na kuwalinda daima,kazi wanayoifanya Mungu uwalipe katika haki wanayoipigania katika Taifa letu Mbowe,Tundulissu, Lema na wengine wengi, Mungu uwalinde.Wananchi amkeni tuungane tuunganishe nguvu zetu pamoja tudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, tuikatae ccm uchaguzi huu kuanzia wenyeviti wa mitaa, vitongoji, vijiji, madiwani, wabunge na Rais msiwachague tena mafisadi wa ccm itakuwa kuleta utumwa katika Taifa ccm wanaiba na kuuza rasilimali za Tanganyika.
Jonas kadeghe mbunge wa same magharibi
MH. MBOWE NI MWAMBA WA SIASA SAFI ZA UPINZANI NCHINI NDIYE PEKEE FEDHA CHAFU YA CCM IMEDUNDA KWAKE LAKINI WENYEVITI WENGI WA VYAMA VYA UPINZANI IMEWAZOA VYAMA VYAO VIKO HOI(VIMEBAKI CCM B) WAMEBAKI WAJINGA KUVIUNGA!!!
🎉🎉🎉🎉
hili jeshi ni hatari sana lakini salama