#live
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- #2024mwakawakutembeachiniyambinguzilizofunguka #arisendshinetanzania
#tanzania #daresalam #afrika #afrikamashariki #ariseandshine #AFRICA#tanzania #dar #tanganyika #ubaloziwambinguni
Don't Forget to Subscribe to get The Latest Videos
From Arise and Shine Tanzania.
WATCH ARISE AND SHINE TV
AZAM CHANNEL 469
STATIMES ANTENA CHANNEL 117 | STARTIMES DISH CHANNEL 198.
Mungu kupitia maombi maalumu ya kumalinza week maadui waliyonizunguka ni kiaza na mama mwenda mwepushe na maisha yangu,msembi mwepushe na maisha yangu,mama mataba mwepushe na maisha yangu,mama joji mwepushe na maisha yangu,mama walio mwepushe na maisha yangu, shangazi jirani yangu afunguwe njia tupiane Amani asante yesu, Amina
mungu kupitia wiki hii naomba ukanitendee mm mtumishi wako sawsaw na neno lako ee baba teta na wanaoteta nami pigana nao wanaopigana nami baba pia naomba baraka na uzima katika masomo yangu na kutokata tamaa na kuelew Kila anachofundisha mwalimu wangu nikiomba nakuamini amin
Mungu aonekane kwenye maisha yangu.anifanyie njia katika mambo yote
Mungu naomba juma hamisi anipnde na anioe tukuze familia mfungulia njia zake na familia yangu n watoto wngu na wabaya..nataka tuwe vizu popote ntakapohusika
Mingu nakushukuru sana Kwa Kila tendo kutoka kwako baba Kwa Jina la yesu.
Amem
Navunja Kila madhabau zilizojengwa ktkt mwili wangu familia na uzao wangu ktk jina la yesu.
Navunja Kila madhabau za uchawi ushilikina madhabau zilizojengwa ktkt mwili wangu familia na uzao wangu madhabau za laana uchawi Giza jini mahaba ushilikina Kwa jina la yesu alie hai.
Mungu WA mwamposa naomba hii week hisiishe nilipwe deni zangu zote na mume wangu anipeleke sehemu aliyonunua ardhi naamini utatenda miujiza,
Namini yakwamba mwakahu nitafika america ❤
Asante sana Kwa ibada hii ya operation lombos família.
Amem
Napokea ou kombolewa na kuangucha Kila madhabau Mabaya Kátika Ka maisha yangu na família yangu Kwa Jina la yesu
Napokea uponyaji wa afya yangu familia na uzao wangu ktk jina la yesu.
Mungu niponye na matatzo katika mwili wangu fungua ujenzi wangu amen
Naponywa mm na familia yng (mtoto wangu) kwa jina la yesu, mungu azid kukuweka kwa jina la yes
Napokea marafiki sahihi nyumbani na familia na kazini ktk jina la yesu,
Yesu nisaidie nipate ndoa sahihi peace chiristiani myovela awe mke wangu sahihi ktk jina la yesu alie hai.
Ñapokea uponyaji wa afya yangu familia na uzao wangu ktk jina la yesu.
Nataka peace akimwambia babaake chirstian marutini myovela akubali peace aolewe na mm Kwa jina la yesu alie hai.
Nataka peace akimwambia mamaake tuombe ndungulo akubali peace aolewe na mm Kwa jina la yesu alie hai.
Ñapokea uponyaji wa afya yangu familia na uzao wangu ktk jina la yesu alie hai.
Mungu naomba muhepushe mme wangu nawatu ambao sio sahii
mungu naomba kupata kazi na kurinda familia yang na utuepushe na guvu za giza
mungu naomba uniponye na ukomboe familia yang kiuchumi na kielimu
Nataka watoto wangu wote wanaosoma wawe vichwa sio mkia ktk jina la yesu.
Ñapokea ndoa sahihi peace chiristiani myovela awe mke wangu sahihi ktk jina la yesu alie hai.
Nataka Irene apone kinachomuuma na na afaulu mbaka chuo kikuu Kwa jina la yesu.
Nataka marafiki sahihi kazini na nyumbani ibumila wasio marafiki sahihi wakae mbali na mm Kwa jina la yesu.
Ñapokea uchumi wangu kupanda ktk jina la yesu alie hai.
Napokea uponyaji wa afya ya írene ktkt jina la yesu alie hai.
Nataka Irene na Bojani wapone ktk jina la yesu.
Nataka Kila wazo baya linatoka Kwa Regina Joseph chonya anjelina mlomo jems ngimba Ibrahim nyanyamba Richard mhema anatalya nyanginywa ibamba ngulo Elias mkayula telesa kiyeye gingila myula Rozaria mdota sikujua sanga kwajam ndanga mlizi wa hospital mwl mwegelo yashindwe Kwa jina la yesu alie hai.
Eee mungu naomba unitendee miujza kila maagnoo yagza ynguke na mm nifunguliwe
Ameni mungj wamadhabahuu hii yainuka uangazee napokea kibalii kazini kwangu nakauziðishwa nakuongezeka
Nipate mutaji kirahisi nafamilia yangu iwena furaha sikuzote mme wangu apandishe cheo
Najiunganisha na huduma hii Mume wangu afunguliwe kwenye Kazi za mikono yake
Naamini mumewangu apate kazi yakapuni kubwakilahisi
Mtoto wangu apoke uponyaji kwa kimya yesu
Ñapokea wateja watakaonunu viwanja Kwa bei nayotaka mm ktk jina la yesu.
Nataka Irene na Bojani wapone ktk jina la yesu alie hai.
Namuomba mungu niwe salama na watt ŵngu
Nataka Essau aachiwe gali ileile Kwa jina la yesu alie hai.
Napokea kibali Cha kudum kazini ktk jina la yesu alie hai.
Nataka Essau Dominick mbuna apone bawasili ktk jina la yesu alie hai.
Nataka nilipwe madeni yangu yote nayodai mishahala na Nssf Kwa vigu treding na Deo tadelyus fumbe kilaisi ktkt jina la yesu alie hai.
Nataka aginetha aolewe Kwa mahali nayotaka mm ktk jina la yesu alie hai.
Ali popote alipoo kupitia imani yngu nayamtume anii pende mm 2 kila mwana mke aliee nae achne nae nume wangu anirudiee aliy wangu
Nashukuru kwa maombi yako Mtume nimefunga ndoa nashukuru sana Mungu akubariki .niombee pia Mume wangu apate kazi ni mimi nipate mtaji.
Amen 🙌🙏🙏🙏
Mama angu ajifunguwe salaama
Alii mume wangu popote alipo ani rudieee nakuje kwetu anitoleee posa mwezi 12 na ndo ifqnyike kwaurahisi
Naamini nawatoto wangu watasoma kwanjia lahisi naapate kampuni kubwa kwanjia lahisi apigiwe sim kwanjia lahis
Amen.
Amen
Baba naomba unifungulie ndoa yang na biashara yang
Mungu wangu 😂❤😊😊😂🎉😊
Nimepokea kwajina layesu
Napokea uponyajii waharkkaa kifua chngu na kooo.yngù na nifunguliwee na naniiinuke nakuangaza
Napona kikohozi amina
Komboa biashara yangu
Nataka leya nyanginywa na familia yake waniuzie shamba lile walilonikodisha Kwa bei nayotaka mm ktk jina la yesu alie hai.
Napokea uponyaji kwa mwanangu zita
Nataka nipone Kila kina home
Amee naamin ninapona leo amee
Amee
Mama angu ajifunguwe salaama
Amen
Mama angu ajifunguwe salaama
Mama angu ajifunguwe salaama
Amen
Amen