MOYO WA SHUKRANI - PASTOR SUNBELLA KYANDO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
- Yesu anawaambia wale wakoma (10) wakajionyeshe kwa makuhani lakini hawaambii warudi kwake baada ya kujionyesha kwa makuhani.Yesu anapombariki mtu HADAI chochote "in return" kutoka kwa huyo mtu, isipokua ANAKUPIMA kwa hicho alichokubariki nacho, Je utarudi kumshukuru?
Sio tu kwa habari ya Mungu, hata kwa watu|mtu jifunze kurudi na kushukuru ambaye amehusika na kukuvusha sehemu kwenye maisha yako, wengine wanakupa kidogo kwanza kukupima kabla hawajakupa kikubwa.
Ni lazima kujifunza kutunza mahusiano na Mungu, lakini pia na watu|mtu aliyekusaidia.
#PastorSunbella#Moyo#WaShukrani
Amen mtumishi barikiwa sana
Eee bwana mungu wa majeshi nalinua jina lako juu ya majina yote kaa Nami mfalme pia nawatumishi wako bwana halleluhya
👏👏👏👏👏👏 kweli kabisaaaa moyo wa shukurani ndio unaompendeza Mungu
Barikiwa sn mchngaj Sunbella kyando kwa Somo zuri
Utukufu kwa Mungu aliyeumba mbingu na nchi 🙌
Something I got pst
Aminaa