ILE MIDUNDO YA MASEBENE, naona taratibu ninyi mnaiacha. NAPENDA NYIMBO ZENU NYINGI kwasababu ya namna vinanda vinavyopigwa SAWASAWA NA MWONGOZO WA KANISA LA SDA. nitakuwa balozi mkubwa wa KUSHEA nyimbo zenu zote zenye VINANDA TULIVU, bila sebene 😂 @CLEOPA 😂 mpiga kinanda napenda upigaji wenu wa vinanda Pr. CLEOPA, nakukumbusha ulikuwa CLASS PASTOR. nami pia pale NYANSINCHA. Shikilia kwenye upigaji sahihi wa kinanda
MUNGU awabariki sana watumishi wa Bwana
mbarikiwe ndugu muendelee kueneza injili
Mungu awabariki sana, kumbukeni mmebeba ujube wa Mungu
Waoooohh,,,BADILI NJIA,,kwa herufiiii kubwaaa,,,emphasizement within verse
Huu wimbo niliusubiri kwa hamu sana, hongereni sana marafiki zangu Mungu awatangulie katika kazi yake
Amen barikiwa
Asante kwa nyimbo senu msuli mungu awabariki amen and amen.
Mungu awabariki sana mnapomtumikia Bwana❤
Barikiwa pia ndugu
Mungu awabarik kwa wimbo huu mzuri hakika tunapaswa kubadili njia .msalimie mr Herri Na mke wake
🙏
Sana kamanda wa Yesu Kaka Maduhu
Amen 🙏🏾 and Jesus is the way and the light of the universe Amen 🙏🏾
can't get enough of these beautiful voices
You are welcome
Heavenly singing.
Keep the fire burning Beroya.
🙏
Jamani huyo mwalimu wa hio kwaya bigup sana
Sana
Amen.sote tubadili njia twende kwa Yesu.
AMEN!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Glory be to the Most High God. He paid it all for us. Let us turn to Him.
Thanks for portrying adventism God bless you abundantly.
Hongera sana kwaya yangu pendwa,Mumeimba vizuriiiii Bwana azidi kuwainua
Amaizing amaizing and sweetest adventist sound🔊🔊🙏🙏🙏
Thank you 🙌
Amina, nimebarikiwa mno, Mungu awababariki kwa injili hii tamu ya ukombozi.
Amen
From Washington, love your songs, blessed
Amen
May our lord bless you great choir
Amina sana nabarkiwa sana na huduma yenu Mungu awabarki mno 🎉🎉
Aminaaaa sana mbarikiwe sana watumish wa humu ❤❤❤❤
Tubarikiwe sote mpendwa
Aminaaa.mbarikiwe beroya mission
God bless you my favorite choir
Amen
Hallelujah 👏
Uhuuu magic voice from beloya choir
God bless you songs are a blessing to me
Amen
Barikiweni sana Wanaberoya
Amina🙏
Glory to God always be blessed guys 🙏🙏
Be blessed too
Barikiwa Kaka Maduhu
Amina
May God of heaven bless you for nice songs
Amen 🙏
@@BEROYAMISSIONADVENTISTCH-nw8sy more blessings to you
Mungu awape FEDHA nyingi sana
Amen
Mungu awabariki sana nyimbo makini❤
Amen barikiwa pia
Na barikiwa nisiwe muongo
From Italy this is so hot 🔥🔥
Be blessed
My favourite choir🎉
Be blessed 🙏
Mbarikiwe sana🎉
Nyimbo tamu sanaa mfanane na ujumbe mnaotoa
🙏
Meimba vzuri sana❤❤
Barikiwa
Jina la bwana litukuzwe🙏
Amen
AMEN.
Jmn Nice ila yule kaka mweupe Alie kua anasololsti Bunda kwenye makambi ni thebst
Barikiwa ndugu
Sweet message 🥰
Welcome
God bless you
Amina. Wimbo unaouisha. Can we get the script if this song?(Score of the song).
mbarikiwe san
Ameen
Njia ni moja tu,badili njia
🙏
Amen 🙏 🙏
Hakika na barikiwa na huu wimbo
🙏🙏
Ipo Katoro Mkoani Geita.
Good song
Amina!!
Amen.
Amoss be blessed
Asanteni sana,jmn hii kwaya ipomkoa gani au nchi ipi
Katoro mkoan Geita nchini Tanzania
❤❤❤❤aminaaa
safi Mungu awabariki sana
Geita
Mbarikiwe sana
Barikiwa pia
Tunangoja kwa hamu
Amen ❤❤❤🎉🎉🎉
🙏
ILE MIDUNDO YA MASEBENE, naona taratibu ninyi mnaiacha. NAPENDA NYIMBO ZENU NYINGI kwasababu ya namna vinanda vinavyopigwa SAWASAWA NA MWONGOZO WA KANISA LA SDA. nitakuwa balozi mkubwa wa KUSHEA nyimbo zenu zote zenye VINANDA TULIVU, bila sebene 😂
@CLEOPA 😂 mpiga kinanda napenda upigaji wenu wa vinanda
Pr. CLEOPA, nakukumbusha ulikuwa CLASS PASTOR. nami pia pale NYANSINCHA.
Shikilia kwenye upigaji sahihi wa kinanda
Barikiwa ndugu
Can i please have lyrics in English..from South Africa
Amen
Amina
Jamani mnanibatiki sana,mfike mbali hadi mbinguni
Amen
❤❤❤
Geita
❤❤
🙏
Aminaaa
Thanks
❤❤❤
Lyric please
AMEN, MUNGU atukuzwe
Amen
Hiv hii choir ipp mkoa gan plz
Geita
Geita katoro kanisa la beroya mission
Katoro Heita
Mkoani Geita,Katoro
Geita
Good song
Nabarikiwa
𝓗𝓲𝓿𝓲 𝓾𝓵𝓮 𝔀𝓲𝓶𝓫𝓸 𝔀𝓪 "𝓽𝓾𝓪𝓶𝓫𝓲𝓮 𝓷𝓪𝓷𝓲 𝓪𝓵𝓲𝓴𝔀𝓮𝓷𝓭𝓪 " 𝓷𝓭𝓸 𝓾𝓷𝓪𝓲𝓽𝔀𝓪𝓳𝓮.?
Warumi
𝓦𝓪𝓻𝓾𝓶𝓲 𝓼𝓲𝔂𝓸
Amen
Mbarikiwe Sana
🙏