Can some of my brothers form Tanzania please help me writing here the Lyrics of this beautiful song? I'm from Brazil and I love this song. I want to learn to sing it correctly
Blessed by this song, and all your songs as performed in Hope for Africa. Jiwe limeviringishwa..mauti imeshindwa, kaburi limeshindwa,na adui naye ameshindwa, Amen and Amen!
Its been a while since I felt so blessed by a song.. I heard this choir at new life sda.. I had to download this song immediately.. God bless you so much for this wonderful masterpiece
Mbarikiwe, mnakwenda vizuri, japo pianists bado wanatakiwa kufanya kitu zaidi ili kutengeneza harmony. Wimbo umepungukiwa muafaka, ni kana kwamba vinanda kilitumika tu kupiga tune. Kwa kuwa kuna vinanda viwili vinavyopigwa, ilipaswa wapigaji wagawane parts na instruments za kupiga, wakati mmoja anapiga lead piano, mwingine angekuwa anapiga some other accompanying instruments kama vile layer strings, choir or synths ili kuongeza harmony. Halafu vocalists hasa dada anayeimba solo section utamshi wake wa maneno una kasoro kutokana na jaw movements zake. Mnisamehe kwa kutoa maoni yangu, lakini ni kwa nia njema maana nawapenda, na natamani mfanye vizuri zaidi. Si vibaya mkijifunza kitu kwa watu wa Kirumba namna ambavyo wamefaulu kuboresha harmony kwenye muziki wao.
MUNGU awabariki sn beroya, nmekuwa balozi wenu huku dar es salaam, watu ninao wahamasisha kuckiliza nyimbo zenu wamezipenda sasa fanyen mpango DVD zifike
Praise ye Jehovah, am really blessed by your songs
I love this choir with all my strength praise God
Beroya mission pokeeni maua yenu 🎉🎉🎉
Amina!! This actually is one of my daily, favourite songs. Mungu awabariki sana WanaBeroya
I guess most of us were drawn to this beautiful song after getting a live performance at the Hope For Africa event.
Very true. Powerful and talented singers there
Mko kanisa gani yaani location MUNGU awabariki
God is so marvellous
Любовь к вам дорогие братья и сестри Благодарение за ваш труд Просим вас молитесь за Украину Благодарим за молитви🙏❤️🇺🇦
This is heavenly music, simple, deep and solemn
watched this song in Hope for Africa
I had to check it again
Be blessed
Be blessed too
Wonderful Song
Wonderful habari njema kwa ulimwengu. I can't get tired listening to the song. Mubarikiwe sana.
Nice 🎉🎉
Heaven is real
A day can't pass without listening to this wonderful song
Be blessed saint 🙏
The person behind Transpose Tunes is doing a great job all for the Glory of God
Who else is here from new life hope for Africa 😂😂😂😂
All the way from hope for africa at newlife SDA church, had to follow this song here. Blessings
Be blessed 🙏
Can some of my brothers form Tanzania please help me writing here the Lyrics of this beautiful song? I'm from Brazil and I love this song. I want to learn to sing it correctly
Powerful song
Amen
Very uplifting song. Had a chance to listen and see the song being performed at Newlife SDA church, Nairobi, today.
This song is very touching.
Halleliujah
What a song❤❤❤. Though the person behind the translation/lyrics missed the message. Mbarikiwe
AMEN
Here after watching you at Newlife SDA 🎉🎉
Be blessed
Ts a very touching soul song.
Good pure sweet singing for glory of God listened to them at Hope for Africa evangelistic meeting New life SDA Nairobi
Be blessed 🙏
Kejadian kejadian kejadian
Wow nice song JIWE
Your welcome🙏
Amen .Adui ameshindwa . Ushindi ni wetu🙏
Mungu awabariki Sana tena Sana
Amen
Leo wameimba hii huko new life SDA church Nairobi waah Mungu atukuzwe
Yeah I was also there it was so powerful
Be blessed too saint 🙏
It was powerful
It's a a powerful piece I loved it to God be the glory
@@ConsciousGunda Amen
Amina! Amina! Wimbo mtamu kweli. Ah!
Powerful piece was waiting for this blessings
Nmejikuta nawatch zaid ya mara 4 huu ni mbaraka!! Hongereni sana
Barikiwa mpendwa
Very powerful song,i listen to this song in and out of my house,its so up lifting,Amefufuka indeed Amen im blessed
Mungu awabariki sana mko mkoa gani?
Geita
Geita
Mungu awabariki
Beautiful SDA way of singing!
Amen
Be blessed
I had to come back for more after your presentation @ Hope for Africa
Forsure,,,you have done alot with song.May our God be with you as you save him
Amen 🙏
Blessed by this song, and all your songs as performed in Hope for Africa. Jiwe limeviringishwa..mauti imeshindwa, kaburi limeshindwa,na adui naye ameshindwa, Amen and Amen!
Amen amen🙏
Lindíssima vozes
Ni ile ile Beroya Mission
yes
Eeee! Sema mm simo ety hahaha
Ni walewale tu
Npo dar es salaam nataman one day mje huku kuhudumia
Tutakuja
Kama Mungu apendavyo🙏
One day tutafika
We also waiting patiently for you in South Africa ❤
Mbona anaepiga kinanda kama heri wa njiro?
Ni yeye
Congratulations Beroya 🙏🙏
Hujambo, naomba numbari ya mawasiliano. Shukrani
Wimbo mzuri leo nime barikiwa sana
🎉 gd song
Nikweli.
Hallelujah Amen, be blessed all
Jina la Bwana litukuzwe🙏
kuna wimbo wenu unaitwa nyumbani naupataje jaman
Utaupata tu
@@umukatv2136 nina haja nao kweri kama unao naomba unisaidie
Its been a while since I felt so blessed by a song.. I heard this choir at new life sda.. I had to download this song immediately.. God bless you so much for this wonderful masterpiece
Be blessed baby
Be blessed saint 🙏
God is great
Mbarikiwe, mnakwenda vizuri, japo pianists bado wanatakiwa kufanya kitu zaidi ili kutengeneza harmony. Wimbo umepungukiwa muafaka, ni kana kwamba vinanda kilitumika tu kupiga tune. Kwa kuwa kuna vinanda viwili vinavyopigwa, ilipaswa wapigaji wagawane parts na instruments za kupiga, wakati mmoja anapiga lead piano, mwingine angekuwa anapiga some other accompanying instruments kama vile layer strings, choir or synths ili kuongeza harmony. Halafu vocalists hasa dada anayeimba solo section utamshi wake wa maneno una kasoro kutokana na jaw movements zake. Mnisamehe kwa kutoa maoni yangu, lakini ni kwa nia njema maana nawapenda, na natamani mfanye vizuri zaidi. Si vibaya mkijifunza kitu kwa watu wa Kirumba namna ambavyo wamefaulu kuboresha harmony kwenye muziki wao.
Asante Sana Mtumishi wa Mungu kwa Ushauri mzuri Utafanyiwa Kazi Barikiwa Sana
All is perfect 🙏🏽🙏🏽🙏🏽with this song and pianist
Hata mie nimewaza hicho kitu yule dada kuna vitu bado havijatimia kwenye sauti yake
MUNGU awabariki sn beroya, nmekuwa balozi wenu huku dar es salaam, watu ninao wahamasisha kuckiliza nyimbo zenu wamezipenda sasa fanyen mpango DVD zifike
Zitafika mkuu
Napataje hata audio za beroya
Zinakuja mpendwa
Mungu atukuzwe
I love this choir, lazima kesho nikuje church uko
Your Most welcome
DVD zinapatkana wapi
Amina🙏
Hongereni wapendwa 🙏
Asante mpendwa
🔥🔥
Alkitab Alkitab alkitab
Huu ndio uimbaji hasaaa wa kumtukuza Bwana. Barikiweni sana
Nawakubali sn nyie watu
Barikiwa mpendwa🙏
Yani jewe. Umenikuna kabisa
Ulihehe mwenewachu
Jaman manibarik Sana mungu acid kuwatumia vyema
Amen amen mungu asifiwe sana
Wimbo makini sana
Amen
Alkitab Alkitab alkitab
Alkitab Alkitab alkitab