My heart is filled with joy and my soul does magnify The Lord. Thank you for sharing. ❤😊hallelujah! Thank You Lord Jesus Christ our Savior and King of Kings.
Blessed by this song, and all your songs as performed in Hope for Africa. Jiwe limeviringishwa..mauti imeshindwa, kaburi limeshindwa,na adui naye ameshindwa, Amen and Amen!
MUNGU awabariki sn beroya, nmekuwa balozi wenu huku dar es salaam, watu ninao wahamasisha kuckiliza nyimbo zenu wamezipenda sasa fanyen mpango DVD zifike
Can some of my brothers form Tanzania please help me writing here the Lyrics of this beautiful song? I'm from Brazil and I love this song. I want to learn to sing it correctly
Its been a while since I felt so blessed by a song.. I heard this choir at new life sda.. I had to download this song immediately.. God bless you so much for this wonderful masterpiece
Mbarikiwe, mnakwenda vizuri, japo pianists bado wanatakiwa kufanya kitu zaidi ili kutengeneza harmony. Wimbo umepungukiwa muafaka, ni kana kwamba vinanda kilitumika tu kupiga tune. Kwa kuwa kuna vinanda viwili vinavyopigwa, ilipaswa wapigaji wagawane parts na instruments za kupiga, wakati mmoja anapiga lead piano, mwingine angekuwa anapiga some other accompanying instruments kama vile layer strings, choir or synths ili kuongeza harmony. Halafu vocalists hasa dada anayeimba solo section utamshi wake wa maneno una kasoro kutokana na jaw movements zake. Mnisamehe kwa kutoa maoni yangu, lakini ni kwa nia njema maana nawapenda, na natamani mfanye vizuri zaidi. Si vibaya mkijifunza kitu kwa watu wa Kirumba namna ambavyo wamefaulu kuboresha harmony kwenye muziki wao.
Beroya Mission serenading sweetly with amazingly melodious voices. Nakupenda from Soweto-SA❤❤
Safi sana wana beroya napenda san kuimba
I have been watching SDA choirs and their beautiful songs, but I think there is something so special with Tanzania SDA. Glory be to God Amen.
I wish I was born in Tanzania you are the best ever be blessed
Mfike mbali shetani asiwapitie
Любовь к вам дорогие братья и сестри Благодарение за ваш труд Просим вас молитесь за Украину Благодарим за молитви🙏❤️🇺🇦
I guess most of us were drawn to this beautiful song after getting a live performance at the Hope For Africa event.
Very true. Powerful and talented singers there
Mko kanisa gani yaani location MUNGU awabariki
Waimbaji kweli wa Mungu with no pride.Mungu awabariki sana. I also like low sounds of instruments where you can hear the wordings well
This is heavenly music, simple, deep and solemn
watched this song in Hope for Africa
I had to check it again
Be blessed
Be blessed too
Who else is here from new life hope for Africa 😂😂😂😂
Leo wameimba hii huko new life SDA church Nairobi waah Mungu atukuzwe
Yeah I was also there it was so powerful
Be blessed too saint 🙏
It was powerful
It's a a powerful piece I loved it to God be the glory
@@ConsciousGunda Amen
What a song❤❤❤. Though the person behind the translation/lyrics missed the message. Mbarikiwe
Wonderful habari njema kwa ulimwengu. I can't get tired listening to the song. Mubarikiwe sana.
Amina!! This actually is one of my daily, favourite songs. Mungu awabariki sana WanaBeroya
Nice singing.
God bless your ministry.
From Bougainville, Papua New Guinea.
Here after watching you at Newlife SDA 🎉🎉
Be blessed
Wow nice song JIWE
Your welcome🙏
All the way from hope for africa at newlife SDA church, had to follow this song here. Blessings
Be blessed 🙏
Good pure sweet singing for glory of God listened to them at Hope for Africa evangelistic meeting New life SDA Nairobi
Be blessed 🙏
Heaven is real
My God Gracious!!! Watching these beautiful choir live from Japan. May God bless you Brothers and Sisters.
Amen Amen 🙏🙏
Powerful song
My heart is filled with joy and my soul does magnify The Lord. Thank you for sharing. ❤😊hallelujah! Thank You Lord Jesus Christ our Savior and King of Kings.
Nice
Amina! Amina! Wimbo mtamu kweli. Ah!
A day can't pass without listening to this wonderful song
Be blessed saint 🙏
Mungu awabariki Sana tena Sana
Amen
Very uplifting song. Had a chance to listen and see the song being performed at Newlife SDA church, Nairobi, today.
This song is very touching.
Halleliujah
Los hermanos africanos cantan realmente hermoso.......Dios les bendiga
Forsure,,,you have done alot with song.May our God be with you as you save him
Amen 🙏
Amen amen
Ts a very touching soul song.
The person behind Transpose Tunes is doing a great job all for the Glory of God
Amen .Adui ameshindwa . Ushindi ni wetu🙏
Nmejikuta nawatch zaid ya mara 4 huu ni mbaraka!! Hongereni sana
Barikiwa mpendwa
I had to come back for more after your presentation @ Hope for Africa
Thank you God for your people
Beroya mission pokeeni maua yenu 🎉🎉🎉
Very powerful song,i listen to this song in and out of my house,its so up lifting,Amefufuka indeed Amen im blessed
Amina
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Powerful piece was waiting for this blessings
Blessed by this song, and all your songs as performed in Hope for Africa. Jiwe limeviringishwa..mauti imeshindwa, kaburi limeshindwa,na adui naye ameshindwa, Amen and Amen!
Amen amen🙏
Praise ye Jehovah, am really blessed by your songs
Mungu awabariki
MUNGU awabariki sn beroya, nmekuwa balozi wenu huku dar es salaam, watu ninao wahamasisha kuckiliza nyimbo zenu wamezipenda sasa fanyen mpango DVD zifike
Zitafika mkuu
Napataje hata audio za beroya
Zinakuja mpendwa
Wimbo mzuri leo nime barikiwa sana
Congratulations Beroya 🙏🙏
Beautiful SDA way of singing!
Amen
Be blessed
I love this choir, lazima kesho nikuje church uko
Your Most welcome
Npo dar es salaam nataman one day mje huku kuhudumia
Tutakuja
Kama Mungu apendavyo🙏
One day tutafika
We also waiting patiently for you in South Africa ❤
Hallelujah Amen, be blessed all
I love this choir with all my strength praise God
Can some of my brothers form Tanzania please help me writing here the Lyrics of this beautiful song? I'm from Brazil and I love this song. I want to learn to sing it correctly
Its been a while since I felt so blessed by a song.. I heard this choir at new life sda.. I had to download this song immediately.. God bless you so much for this wonderful masterpiece
Be blessed baby
Be blessed saint 🙏
Nice 🎉🎉
God is so marvellous
🎉 gd song
Amen🙏
Wonderful Song
Hongereni wapendwa 🙏
Asante mpendwa
Jina la Bwana litukuzwe🙏
God is great
Safisana
Hujambo, naomba numbari ya mawasiliano. Shukrani
Ni ile ile Beroya Mission
yes
Eeee! Sema mm simo ety hahaha
Ni walewale tu
Mungu atukuzwe
Jaman manibarik Sana mungu acid kuwatumia vyema
Nami pia nabarikiwa sanaa kwakwel
Amen
Lindíssima vozes
Amina🙏
Mungu awabariki sana mko mkoa gani?
Geita
Geita
Kejadian kejadian kejadian
❤❤❤❤❤❤❤❤
kuna wimbo wenu unaitwa nyumbani naupataje jaman
Utaupata tu
@@umukatv2136 nina haja nao kweri kama unao naomba unisaidie
Amen amen mungu asifiwe sana
Nikweli.
Nawakubali sn nyie watu
Barikiwa mpendwa🙏
AMEN
Huu ndio uimbaji hasaaa wa kumtukuza Bwana. Barikiweni sana
🔥🔥
Yani jewe. Umenikuna kabisa
Ulihehe mwenewachu
🌻
🙌🏽🙏🏽💚🇧🇷
Mbona anaepiga kinanda kama heri wa njiro?
Ni yeye
Mbarikiwe, mnakwenda vizuri, japo pianists bado wanatakiwa kufanya kitu zaidi ili kutengeneza harmony. Wimbo umepungukiwa muafaka, ni kana kwamba vinanda kilitumika tu kupiga tune. Kwa kuwa kuna vinanda viwili vinavyopigwa, ilipaswa wapigaji wagawane parts na instruments za kupiga, wakati mmoja anapiga lead piano, mwingine angekuwa anapiga some other accompanying instruments kama vile layer strings, choir or synths ili kuongeza harmony. Halafu vocalists hasa dada anayeimba solo section utamshi wake wa maneno una kasoro kutokana na jaw movements zake. Mnisamehe kwa kutoa maoni yangu, lakini ni kwa nia njema maana nawapenda, na natamani mfanye vizuri zaidi. Si vibaya mkijifunza kitu kwa watu wa Kirumba namna ambavyo wamefaulu kuboresha harmony kwenye muziki wao.
Asante Sana Mtumishi wa Mungu kwa Ushauri mzuri Utafanyiwa Kazi Barikiwa Sana
All is perfect 🙏🏽🙏🏽🙏🏽with this song and pianist
Hata mie nimewaza hicho kitu yule dada kuna vitu bado havijatimia kwenye sauti yake
DVD zinapatkana wapi
Wimbo makini sana
Alkitab Alkitab alkitab
Amen
Alkitab Alkitab alkitab
Alkitab Alkitab alkitab