SHEIKH SHARIF FIRDAUS ampasua SHEIKH KISHKI kisa kugawa maji ya upakoo

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
  • #nyundotv #Sheikhsharif #Sheikhkishki

ความคิดเห็น • 428

  • @jumamsuya6670
    @jumamsuya6670 หลายเดือนก่อน

    Allah akuongoze ktk haqgi...uachane na uganga wa kienyekji😊

  • @omarabdullah3412
    @omarabdullah3412 3 หลายเดือนก่อน +7

    🎉❤😮🎉❤😮🎉❤wee mbuzi unasumbuliwa na majini aina ya filosofi. Allaah Akuokoe wenye na wenzako kina Sule na Mwaipopo.

    • @paulkamula9117
      @paulkamula9117 3 หลายเดือนก่อน

      Si uislamu ni majini hata hivyo..

    • @MahirJamilMahir-td7sr
      @MahirJamilMahir-td7sr 3 หลายเดือนก่อน

      Hapana uislam sio majini haukubali
      Kuomba ama kutumia ama kuabudu

  • @SuLtaNiMwachui
    @SuLtaNiMwachui 3 หลายเดือนก่อน

    Shekh Nurdin kishk m/mungu akuongoze na msimamo wako katka uislamu usirudi nyuma kukemea ushetani 😢

  • @yasinawes3451
    @yasinawes3451 3 หลายเดือนก่อน

    kila siku mashahe wa Tanzania ugovi mimi nashaka nahizi pete moja yatosha lakini pete tano mimi nita bakiya na sheikh kishiki tu i love him

  • @yasinawes3451
    @yasinawes3451 3 หลายเดือนก่อน +2

    I can feel sheikh mazenge It’s not happy inside of his heart,but ana taka hela

  • @FarajiFaisal
    @FarajiFaisal 3 หลายเดือนก่อน +11

    Mashekh mko wapi kutetea dini ya Allah hamna ummoja munamuachia sheikh kishki

    • @swalehemrombo9301
      @swalehemrombo9301 3 หลายเดือนก่อน

      Hili halina pesa.! Lkn ingekuwa ni swala la kukemea maandamano Masheikh wangeshajitokeza kulikemea kwenye hadhara mbali mbali kwakuwa maandamano ni jambo lenye bahasha za Serekali.!!

    • @tausifautini407
      @tausifautini407 3 หลายเดือนก่อน

      Wanafki sana yan

  • @aminabdalla7824
    @aminabdalla7824 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mazinge apo ulipofikia hatukuelewi sheikh...sasa hio njaa ama ni nn ... Allah atuongoze walai.. Allah humma Ameen 🤲

    • @solomtz7049
      @solomtz7049 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅

  • @muridundhikri
    @muridundhikri 3 หลายเดือนก่อน +8

    Nyinyi mashehe wa kibongo kazi yenu kiki na utapeli

  • @KAIPAAA3211
    @KAIPAAA3211 3 หลายเดือนก่อน +8

    Hawa sio masheikh

  • @mussaidd4509
    @mussaidd4509 3 หลายเดือนก่อน +5

    BAHAT NZURI MAFUNZO YA UISILAMU YALISHAWEKA BAYANA KUWA MTUME WA MWISHO NA MTUME MUHAMMAD (S.A.W).VINGINEVYO HAPA TUNGETANGAZIWA UTUME MPYA.SUBHAANAKA FAQINA ADHAABA NNAAR.

    • @Mfundo272
      @Mfundo272 3 หลายเดือนก่อน

      Bahati nzuri uislam upo wazi yaani hatokei nabii wa uongo akadanganya Waislam kila aliywsoma Quran kila kitu kinajieleza 😊

    • @kassimmohd
      @kassimmohd 3 หลายเดือนก่อน

      Hahaha, Quran imewafunga, mbna tungalikwisha kutangaziwa utume

  • @tashwakotaii3632
    @tashwakotaii3632 3 หลายเดือนก่อน +2

    Uyu sheikh ana mipete uyo hadi anaogopesha

  • @HassanSalim-hl8qs
    @HassanSalim-hl8qs 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mazinge umefanya kazi kubwa ya dini acha kujiingiza kwenye huu uhuni wa kutafuta maisha usijihadae kwa kazi ya dini uliofanya kubwa huko nyuma waweza poteza juhudi yako kwa mambo ya matumbo

    • @PaullyPuyetrov
      @PaullyPuyetrov 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mjomba utakuwa mas ull siku ya Kiama, kama unamzushia mjaa wa allah mambo yasio kuwa ktk nafsi yake

  • @MoodyOne-g5t
    @MoodyOne-g5t 3 หลายเดือนก่อน +1

    Alhamdulillah Allah amenijalia nikaingia darasani kwa uchache wa elimu ya kidini niliyonayo wallah sijawahi kumuomba Allah akakosa kunijibu ispokuwa labda itachelewa ila nitajibiwa,ma kuhusu kwenda kuombewa yaani huwa najiombea mwenyewe kwa kumlilia alie niumba ila kwa shekh wala kiumbe ila nawaamini ni kama bin adam wenzangu siwezi kumzarau mtu

  • @allyally5124
    @allyally5124 3 หลายเดือนก่อน +3

    Allah awaongeze masheikh wa Tanzania. Yaani mpaka mazinge njaa imempoteza.

    • @solomtz7049
      @solomtz7049 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂😅

  • @DaudAthuman-e2z
    @DaudAthuman-e2z 3 หลายเดือนก่อน +1

    Allah Atuongeze katika Njia Ilionyooka

  • @linusfrancis9293
    @linusfrancis9293 3 หลายเดือนก่อน +9

    nenda muhimbili dogo wew tukuone kwel kama umechaguliwa

    • @AminaOmary-sm4wl
      @AminaOmary-sm4wl 3 หลายเดือนก่อน +1

      Hapo sahihi nashangaa wanazurura mitaani et wanaombea watu haliyakuwa watu wamejaa mahospital wapo hoi

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 3 หลายเดือนก่อน +4

    Kazi ipo, Allah atuongoze

  • @Hamima-hf7ld
    @Hamima-hf7ld 3 หลายเดือนก่อน +1

    Alaf dua tumekewa kila kona tudumu na dhikir wachai wangaaa nd maana Allah akatupa mtihani wa uchawi huu nimtihani wake Allah

  • @user13375
    @user13375 3 หลายเดือนก่อน +12

    Alirogwa mtume sembuse wew😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @almaarifonlinetv
    @almaarifonlinetv 3 หลายเดือนก่อน +10

    Mazinge ndiye aliyechangia kwa asilimia kubwa huyu dogo kupotea.

  • @abdulabdulhamidvarane4622
    @abdulabdulhamidvarane4622 3 หลายเดือนก่อน +1

    Inalilhai waina ilahi rajiun mtih kiukwl

  • @أبوفيصل_الحنبلي
    @أبوفيصل_الحنبلي 3 หลายเดือนก่อน +6

    😂😂 Wasanii Tu.

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 3 หลายเดือนก่อน +2

    TANZANIA kila kukicha Kuna jipya jamaani tumuogopeni ALLAH , tutakwenda ulizwa kila pumzi la neno tunalolitoa,

  • @daudkindy5807
    @daudkindy5807 3 หลายเดือนก่อน +2

    Upako innalilah wainnaileyhi rajiun

  • @OmaryBakariOmary-ts3mf
    @OmaryBakariOmary-ts3mf 3 หลายเดือนก่อน +5

    ALLAH AMFISHE AKIWA AMETUBIA KWA MANENO TAKE YA USHIRIKINA

  • @abuuaisha9095
    @abuuaisha9095 3 หลายเดือนก่อน +2

    Allahu musta'aan...!!! Wenye kujua maana ya Sharif naomba mnijuze...!! Maana Kuna ujinga na urongo mwingi kwenye hili..!!Allah awaongoze Waislam kwenye haq maana wengi ni mtihan kwenye ufaham sahih wa Din yao...!!

    • @aishamuhammad7785
      @aishamuhammad7785 3 หลายเดือนก่อน +1

      Tafta clip ya shekhe Nurdin ya khutba ya ijumaa hii iliyopita

    • @RUKIARUKIA-b9r
      @RUKIARUKIA-b9r 3 หลายเดือนก่อน +1

      usharifu mtu huupata kuamka usiku tajajud

    • @AbdulkarimMohamed-l3n
      @AbdulkarimMohamed-l3n 3 หลายเดือนก่อน

      @@abuuaisha9095 kwanza kabisa juwa sera ya mtume wetu kipenzi chake Allah Mohamed utapata maana ya shariff ama Alhlu beith na kizazi chake nawala sio kuswali tahajud sana Wala kiyamu leil

    • @AbdulkarimMohamed-l3n
      @AbdulkarimMohamed-l3n 3 หลายเดือนก่อน

      @@RUKIARUKIA-b9r jmn km kitu hamujui tuna Quran na hadhithi ama waulize wanaojuwa

    • @RUKIARUKIA-b9r
      @RUKIARUKIA-b9r 3 หลายเดือนก่อน +1

      mtume s.a.w asema manasharafa muumin kuyamul layli

  • @abuuaisha9095
    @abuuaisha9095 3 หลายเดือนก่อน +5

    Innaa lillah wa innaa ilayhi raj'uun... Wasanii kwenye Din...!! Muswiba mkubwa...!!

    • @bagalucha
      @bagalucha 3 หลายเดือนก่อน +1

      Dunia ya mwisho hii,hii ndio faida ya kuingiza mambo mapya katika dini ya Allah.

    • @alybinmana6197
      @alybinmana6197 3 หลายเดือนก่อน +1

      Sisi tukiwasema hawa watu mnatuita mawahabi

    • @abuuaisha9095
      @abuuaisha9095 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@alybinmana6197 Allahu musta'aan...!!Na huu ni mtihan mkubwa Sana akhiy..!!Yaan ukidai dalili tu umekuwa Wahab..!! Yaan makhuraf wanataka din iende Kichwa mchunga yaan kibubusa bila dalili..!!

  • @KessyMwinchum
    @KessyMwinchum 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ww shekhe wa mchongo usipo tubia ulaaniwe na ALLAH MAANA UTAPOTEZA WATU SANA

  • @ZaynabOmary93
    @ZaynabOmary93 3 หลายเดือนก่อน +2

    Yn hawa ndo wanaosababisha waislam tuonekane wachawi wafugaji majini eti mchawi yeyote awezi kuniroga mtume mwenyew alirogwa sembuse wew na koti lile km la eliud

  • @SophiaJumbee
    @SophiaJumbee 3 หลายเดือนก่อน +4

    Acha utapeli we mtoto muogope mungu

    • @PaullyPuyetrov
      @PaullyPuyetrov 3 หลายเดือนก่อน

      Sio ivo, anafanya tiba

  • @amoursalum8266
    @amoursalum8266 3 หลายเดือนก่อน +5

    punguza porojo sema point

    • @solomtz7049
      @solomtz7049 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂

  • @AminirashidiKilasa
    @AminirashidiKilasa 3 หลายเดือนก่อน

    Jalibuni kumuogopa mungu , acheni kuleta mipasho kwenye dini, mnazingua sana , sisi wengine sio mashekh Wala sio masharif, lakin kwaakili ya kawaida tu nyinyi njaa mmezifungulia feni mbaka mnafikia kufru acheni mipasho sio poa

  • @maimunamsakamali9152
    @maimunamsakamali9152 3 หลายเดือนก่อน

    Allah tusaidie

  • @saidalguhum1996
    @saidalguhum1996 3 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe Mazinge tulikuwa tunafwatilia sana Debate zako sasa tulivyo kuona na huyo tapeli umetutoka moyoni kabisa na umeharibu Daawa zako sijuwi uko nashida ya pesa?? From Kenya

  • @IddiNkupe
    @IddiNkupe 3 หลายเดือนก่อน +2

    Huna elimu wew ni mganga wa kienyeji Wacha kujinasbisha na dini wew muqaddima wako Tu ni mdhwaifu kasome dini wew laa sivyo utakuwa na mwisho mbaya

  • @MakameMufadhil
    @MakameMufadhil 3 หลายเดือนก่อน

    Bara Kuna mashee

  • @HabibaBb-d3s
    @HabibaBb-d3s 3 หลายเดือนก่อน

    Kosa rakwanza kutangaza sadaka sadaka aitangazwi rakn pia niseme innalia wainna irey rajiuuun subbunn llah 😭😭😭

  • @zeharaz4116
    @zeharaz4116 3 หลายเดือนก่อน +11

    Kila mtu atumie akili yake dua mtu hujisomea mwenyewe Allah kasema niombeni nikupe muhimu ikhlas usijisifu mtu amke usiku azungumze na Allah

    • @ShamsudeenOmary
      @ShamsudeenOmary 3 หลายเดือนก่อน +1

      Na'am na du'a bora zaidi ni mtu kujiombea

    • @jumafaki2891
      @jumafaki2891 3 หลายเดือนก่อน

      Dua Bora ni kukusanyika mukamuomba m,mungu mtume amesema hawakusanyiki watu wakaomba Dua baadhi yao na wengine wakaitikia anlmiin isipokua m,mungu huipokea Dua yao hiyoo ama kuomba peke Yako yawezekana kukubaliwa na kukataliwa lakini Dua ya pamoja mtume kaahidi kukubaliwa watu hao​@@ShamsudeenOmary

  • @mwanaaminahusseinsuleiman6980
    @mwanaaminahusseinsuleiman6980 3 หลายเดือนก่อน +4

    Sawa kama umepewa neema hiyo basi si utembelee ma hospitali angalau wagonjwa wakosekane huko

    • @sansasansa2504
      @sansasansa2504 3 หลายเดือนก่อน

      Si kasema anatibu watu ambao maradhi yao hospitali hayaonekani

  • @jamalnaheka1131
    @jamalnaheka1131 3 หลายเดือนก่อน +1

    Asalaam aleikum,..ndugu ktk imaan hii dini imekuja kamili na italudi kamili,..sasa maneno yasiwe meeeeeengi tupelekeni kweny Sunnah na Quran,..kwnn mpaka maugomvi Kila siku hebu waelimisheni watu kama mtume MUHAMMAD alivoelekeza.

  • @nassorozahoro-l5s
    @nassorozahoro-l5s 3 หลายเดือนก่อน +2

    hakuna wa kumkataa sheikh kishki katika hili labda walio tayari kutapeliwa

  • @aishamuhammad7785
    @aishamuhammad7785 3 หลายเดือนก่อน +28

    Story teleeeee, hazina aya wala hadithi zaidi ya porojo, tuambie icho cheo cha usharifu kakupa nani?

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 3 หลายเดือนก่อน +6

      Tapeli huyu, kama babu wa loliondo

    • @ShamsudeenOmary
      @ShamsudeenOmary 3 หลายเดือนก่อน

      Haswaa​@@jumakapilima7295

    • @ShamsudeenOmary
      @ShamsudeenOmary 3 หลายเดือนก่อน +3

      Mwanzo ni mtupu ktk i'lmu hana alijualo

    • @mwanashaali1109
      @mwanashaali1109 3 หลายเดือนก่อน +4

      😂😂😂😂😂,ndio Hawa wanataka kuuza mafuta ya upako,ahhh Jamani Mungu tuongoze hii Dunia hadaa

    • @fadhilimusa9732
      @fadhilimusa9732 3 หลายเดือนก่อน

      Kapewa na babu yako

  • @ZuhuraMarande-fl2zw
    @ZuhuraMarande-fl2zw 3 หลายเดือนก่อน +2

    Shirki hiyooo maji mafuta😮😮😮

  • @OmarSongoro-bp9pn
    @OmarSongoro-bp9pn 3 หลายเดือนก่อน +2

    Tapelii online

  • @muridundhikri
    @muridundhikri 3 หลายเดือนก่อน +3

    Acha uongo

  • @twahahamidu6246
    @twahahamidu6246 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mantashabah biqaumi fahuwa minhum

    • @twahahamidu6246
      @twahahamidu6246 3 หลายเดือนก่อน

      Kishiki hii anaijua
      Mantashabah biqaumi fahuwa minhum

  • @SharaMan-yn9px
    @SharaMan-yn9px 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hawa sio mashaikh 😂😂😂😂

  • @twahahamidu6246
    @twahahamidu6246 3 หลายเดือนก่อน +2

    Allah anawatuwake kuweni makin

    • @nassorozahoro-l5s
      @nassorozahoro-l5s 3 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu kajifananisha 'na waongo

    • @twahahamidu6246
      @twahahamidu6246 3 หลายเดือนก่อน

      @@nassorozahoro-l5s
      Uwez kujuwa ni Nan Acha zarahu

    • @nassorozahoro-l5s
      @nassorozahoro-l5s 3 หลายเดือนก่อน

      @@twahahamidu6246 sio dharau soma kijana ujue ni kina nani Allah kawachagua

    • @twahahamidu6246
      @twahahamidu6246 3 หลายเดือนก่อน

      Acheni zarahu nakishiki awemakin sana

    • @twahahamidu6246
      @twahahamidu6246 3 หลายเดือนก่อน

      @@nassorozahoro-l5s
      Unaukika mzee au maneno tu

  • @allymbesses97
    @allymbesses97 3 หลายเดือนก่อน

    Haaaaaaashhh👈

  • @OmaryBakariOmary-ts3mf
    @OmaryBakariOmary-ts3mf 3 หลายเดือนก่อน +2

    NJAA INAMPELEKA MTU KWENY USHIRIKINA...HUYU ANAONEKANA NI MSHIRIKINA

  • @priyahtz7255
    @priyahtz7255 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ni huzuni 😢😢😢😢😢 msiba mkubwa huu … yani badala ya kuhimiza watu wajenge connection na Allah kwa kuswali swala tano kufunga sunna na faradhi, kutoa swadaqa na zaka ,kuhifadhi Quran tukufu n.k ukifanya vyote hvo hata majini au wachawi hawatoweza kukuchezea kwa staili yao unless Allah atie tick ili kukupima imani……

  • @kadijaa7771
    @kadijaa7771 3 หลายเดือนก่อน +1

    We ni mwamba kuliko mungu

  • @chidybwax8080
    @chidybwax8080 3 หลายเดือนก่อน +7

    Hakuna kitu apooo ujanja ujanja

    • @InnocentBread-vm9cg
      @InnocentBread-vm9cg 3 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅

    • @solomtz7049
      @solomtz7049 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @heriurio6410
    @heriurio6410 3 หลายเดือนก่อน +4

    Kiksh Yuko sawa acha njaa tafuta biashara ya kufanya utatuletea matapel kwenye din yetu tunaona upande wa pil wanavyoigiza kwanza mwenye hekma hawez tumia kaul et ukishoboka ww ni mhun tu acha kutumia jina la allah

    • @PaullyPuyetrov
      @PaullyPuyetrov 3 หลายเดือนก่อน

      Mjomba utakuwa mas ull siku ya Kiama, kama unamzushia mjaa wa allah mambo yasio kuwa ktk nafsi yake

  • @muhadithdaudy
    @muhadithdaudy 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hapana Sharif hapa,inaonekana hata Qur an sijui kama anaijua, kupiga hela tu....maulidi ngombe 60. Mbuzi 60....

  • @SufianiJumanne
    @SufianiJumanne 3 หลายเดือนก่อน +2

    Shekhe mambo ya mwaka mmoja unakumbuka kweli😆😆😆

  • @JumaAthuman-bk6hx
    @JumaAthuman-bk6hx 3 หลายเดือนก่อน +2

    KAMA UMELELEWA NA WATU WA BIDAH WALLAH LAZIMA UPOTEE, WAJINGA WOTE MJIHADHARI NA HAWA WATU,WOTE MSIWAAMINI,SI MAZINGE WALA NANI NJAA ZINAWASUMBUA. WE UNANUKA DOMO DUA WAPI ITAPOKELEWA ,HUO UPUMBAVU UMEONGEA LAKINI HAKUNA POINT ULOTOA.

  • @JafariMalungi
    @JafariMalungi 3 หลายเดือนก่อน

    Mtume tena😢😢😢😢

  • @AbdallahShaabani
    @AbdallahShaabani 3 หลายเดือนก่อน

    Hii mijitu ya Ahaa aHaa inaushirikina sana wanatuvurugia dini hawa watu😢😢😢

  • @linusfrancis9293
    @linusfrancis9293 3 หลายเดือนก่อน +1

    hizo dua jifanyie wew bhn tushaa wachoka

  • @mariamdjuma-d9y
    @mariamdjuma-d9y 3 หลายเดือนก่อน +2

    Subhannallah. ALLAH atuongoze kweli

  • @swedmohamedamlima1451
    @swedmohamedamlima1451 3 หลายเดือนก่อน +3

    MWENDAWAZIMU HUYU SIO BURE MAMBO HAYA KATIKA UISLAM HAKUNA

  • @tausifautini407
    @tausifautini407 3 หลายเดือนก่อน

    Mazinge unakokwenda nimtihan sana
    Ulikua nikitizamo chetu wesilamu lkn mh😭

  • @Zuhura.abdurehmanSuleiman
    @Zuhura.abdurehmanSuleiman 3 หลายเดือนก่อน +1

    Njoo mombasa

    • @solomtz7049
      @solomtz7049 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

  • @khasanaryhamady3968
    @khasanaryhamady3968 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mm sawali la gu la msingi hzoo petee zote mkoni mwKe zna maana gan kwan tumezoea wanaovaa pete mkonon zaaidi ya mbili nimganga

    • @AishaIssa-ld8lw
      @AishaIssa-ld8lw 3 หลายเดือนก่อน

      Achaaa kumhukum mtu anae hukum mungu kaa kimyaaa we mwenyew unamadhambi. Kibao tubu kwanza

    • @AishaIssa-ld8lw
      @AishaIssa-ld8lw 3 หลายเดือนก่อน

      Kumbeeee waganga unawajua

  • @Zuhura.abdurehmanSuleiman
    @Zuhura.abdurehmanSuleiman 3 หลายเดือนก่อน

    Njoo mombasa kaka

  • @EmanuelelisaGidion
    @EmanuelelisaGidion 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hakuna shehe hapa

  • @AbdulkingMswaty
    @AbdulkingMswaty 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu ni besti yake na chief God love 😅

  • @SaraSara-i1l
    @SaraSara-i1l 3 หลายเดือนก่อน +1

    Upo na appointment halafu unaenda ombea watu kuchewalewa huna akili wewe na huyo mtu mzima kishwti

  • @salimhamisi29
    @salimhamisi29 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kupotoshana sasa💔💔

    • @PaullyPuyetrov
      @PaullyPuyetrov 3 หลายเดือนก่อน

      Mpotoshaji, kasema yesu ni mungu apo au kasema neno gani

  • @omaritvtz5235
    @omaritvtz5235 3 หลายเดือนก่อน +3

    Matapeli kupitia dini hawa

  • @allymtito8117
    @allymtito8117 3 หลายเดือนก่อน +2

    Uwo ushirikina

  • @WingoAsake
    @WingoAsake 3 หลายเดือนก่อน

    Mazinge katuangusha 😂😂😂

  • @Abdallahmohamed72
    @Abdallahmohamed72 3 หลายเดือนก่อน

    Hawa ndio wanataka kuaribu jina na sifa za dini ya kislamu ila mungu atawapata mitiani kama hawarudi nyuma nakubadilika nakuwacha tabia hiyo mbaya ya kutapeli watu haswa wakina mama

  • @HassanSaid-e1w
    @HassanSaid-e1w 3 หลายเดือนก่อน +1

    Uyuu janjaa ww utamuezaaa kishki hanaa njaa story kibao aaaa uyo mazingee sijanjaa ata majina yasharifu walikuwa mababu zetuu yeemen😂

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mwamba huyu apa na kauli gani izo

  • @alisaadmohammed
    @alisaadmohammed 3 หลายเดือนก่อน

    Bora wasitumie
    nyuklia

  • @saidymudiiry4197
    @saidymudiiry4197 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tamthilia mpya mjini. Wapigaji wameingiza bidhaa mpya sokoni kazi kwenu wanunuaji.

  • @ArafatyMatanga
    @ArafatyMatanga 3 หลายเดือนก่อน +1

    Masha Allah Masha Allah barakallah fiykum Allah akufanyien wepes katika Kila jambo alhamndulillah

    • @almaarifonlinetv
      @almaarifonlinetv 3 หลายเดือนก่อน +2

      Hujielewi

    • @ShamsudeenOmary
      @ShamsudeenOmary 3 หลายเดือนก่อน +4

      ​@@almaarifonlinetvKabisaa hii ndo ile mijinga ilobweteka haitaki kujishughulisha ikajua chochote ktk dini, imekaa kuona kila alovaa kilemba na kanzu ni sheikh

    • @PaullyPuyetrov
      @PaullyPuyetrov 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@almaarifonlinetv weye unajielewa unataka tufanye vp tukiumwa

    • @PaullyPuyetrov
      @PaullyPuyetrov 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@ShamsudeenOmary acha zako, usiseme waislam wezako majina mabaya, utakuwa mas ully kwa majina mabaya ndugu

  • @omarshaban4735
    @omarshaban4735 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tanzania tu ndio kuna masharif

  • @AllyNassor-de6ck
    @AllyNassor-de6ck หลายเดือนก่อน

    Wewe mshirikina hata dini hukijui ni oorojo na ushirikina tu kishki humfikii kwa kuijua dini acha ushirikina

  • @MuhammadMuhammad-gr2qv
    @MuhammadMuhammad-gr2qv 3 หลายเดือนก่อน +1

    HUYU TAPELI TU KAMA YULE SHEKHE SHARIFU MWENGINE ALIYEKUWA AKIZUNGUSHWA NA KINA MAZINGE KUTAPELI WATU. NA HUYU PIA NI MWANAFUZI AMETRENISHWA NA MAZINGE KUFANYA UTAPELI. MWAKA HUU MUTAWACHA UJINGA WENU TAFUTENI KAZI MUFANYE BUT SIO UTAPELI

    • @twahahamidu6246
      @twahahamidu6246 3 หลายเดือนก่อน

      Kuwa makin usizarahu watu

    • @MuhammadMuhammad-gr2qv
      @MuhammadMuhammad-gr2qv 3 หลายเดือนก่อน

      @@twahahamidu6246 HAKUNA MTU ALIYEDHARAULIWA HAPA NI UKWELI MTUPU NA UKWELI KAWAIDA NI UCHUNGU ITAWACHOMA SANA LAKINI TUTAWAAMBIA LAZMA MUTAWACHA UTAPELI.

  • @halimamohammed3580
    @halimamohammed3580 3 หลายเดือนก่อน

    Kumbe una urafika na godlove basi kwisha

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 3 หลายเดือนก่อน

    Hayo mapete yanini mwanamme mzima unajiita Sheikh. Vua mapete ya kishetani

  • @Official_ulipo_tupo
    @Official_ulipo_tupo 3 หลายเดือนก่อน +1

    Sheikh ni jina ambalo mwanadamu anapewa na waislamu siyo kujiita yeye sasas wewe huna usheikh una jeuri tuuu😂😂😂

  • @JumaAthuman-bk6hx
    @JumaAthuman-bk6hx 3 หลายเดือนก่อน

    PUMBAVU NA UTAPELI WENU ALLAH ATAWAUMBUA TU,ENDELEENI NA VITIMBI VYENU LAKINI MWISHO WENU UPO MLOLAANIWA,HAYO MAPETE YA KISHIRIKINA MTAKUJA UMBUKA TU.HAMNA TOFAUTI NA MAKAFIRI.

  • @ShamsudeenOmary
    @ShamsudeenOmary 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hili jamaa linakula MB zetu tu, Allah alipoteze likae lilime mahindi liache kupoteza umma.

    • @OmanOman-bm1lr
      @OmanOman-bm1lr 3 หลายเดือนก่อน

      Husdaa zako zitakurejea mwenyewe hayawani weee

    • @ShamsudeenOmary
      @ShamsudeenOmary 3 หลายเดือนก่อน

      @@OmanOman-bm1lr Sasaa kumhusudy huyuu jahili utakuwa mzima?
      Huyu km si baba ako bhaas wewe ni ktk majahili pia, kwa kuwa mwenye utimamu yeyote hawezikubali upuuzi km huu na propaganda za kipasta

    • @OmanOman-bm1lr
      @OmanOman-bm1lr 3 หลายเดือนก่อน

      @@ShamsudeenOmary jahili ni wewe unayejifanyaa unajuwa kuongelea watu na kujiona ushafika peponi hasidi weee

    • @ShamsudeenOmary
      @ShamsudeenOmary 3 หลายเดือนก่อน

      @@OmanOman-bm1lr unachekesha na hilo neno hasidi!! Aau ndo wale wanawake wa uswazi wanaochamba kwa kushika dera? Af pepo inahusika vipi kwani sheria ya Allah haikubainisha haqi na batweel kwaivo tukizihuisha ndo tushajitangazia pepo?? Mbona unazidi kuonesha jahali uliyonayo, na kwanzaa km wewe ni mfuasi wa huyuu bwana yaonesha ni kiasi gani bado upo nyuma kifikra Allah akuongoze. Mmekaa kuangalia vilemba na makanzu tu ndo tayari mti ashaitwa sheikh aau sio

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 3 หลายเดือนก่อน

      Ukweli wako uko wapi, koment yako ndio elimu au uislam umeruhusu ufanye hicho ulicho koment? Hukumu si Kazi yako wewe pia inakusubiri muhimu fikisha vizuri sio kwa jaziba na hasira na matusi.

  • @mohamedkiyungi4867
    @mohamedkiyungi4867 3 หลายเดือนก่อน +1

    Maji ya barakah ni zamzam tu basi nyie hayo yenu mmeyapata wapi? Na kuhusu mafuta katika uisilamu hakuna kabisa hii ni suna ya mzee wa upako sio ya Muhammad S. W

  • @hemedlugagala5905
    @hemedlugagala5905 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mpuuzi huyu Hana akili

    • @solomtz7049
      @solomtz7049 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😅

  • @NaimaUssi
    @NaimaUssi 3 หลายเดือนก่อน

    Mashekhee wengnee mbna mmpoo kimya jitokezeniii hili ni sualaa gumuu lzmaa lingiliwe kati

  • @AbbasSaid-fp5rg
    @AbbasSaid-fp5rg 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hatimae mazinge kafundisha tapeli wakimsaidia

    • @solomtz7049
      @solomtz7049 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😢

  • @DesertTears
    @DesertTears 3 หลายเดือนก่อน

    Mpuuzi tu mmoja

  • @halidijuma1884
    @halidijuma1884 3 หลายเดือนก่อน

    Tanzania mmmhhh...???

  • @ibrahimmatumla231
    @ibrahimmatumla231 3 หลายเดือนก่อน

    Namba ya simu shekhe tuweze kufika huko kwenye dua

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tapeli wewe, Acha usanii kwenye dini, matatizo ya watu unayatumia kwa maslahi yako 😊

  • @KhamisMohammed-y9l
    @KhamisMohammed-y9l 3 หลายเดือนก่อน

    Hawa watu wa maulidi na hawa wendawazimu wanoibuka kila kukicha kwa kweli wanataka kutingisha imani za watu na kuharibu dini tu

  • @almaarifonlinetv
    @almaarifonlinetv 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu ni muongo 5:05 sana jamani afanya kama watu hatumjui.

  • @ZaynabOmary93
    @ZaynabOmary93 3 หลายเดือนก่อน

    Mtaani kwetu kaja lkn wala kwanz ndo kwanz namuona hapa khaa 🙄😮

  • @AugustinoPius
    @AugustinoPius 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mazinge historia yake alikua mkristo na kwa watu wa kristo wakishabatizwa bas hata akakengeuka bado unakua mkristo kwa hyo tumuache atumike shambani mwa bwana

    • @user13375
      @user13375 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂

  • @Abutwaibah001
    @Abutwaibah001 3 หลายเดือนก่อน +1

    WACHA KUDAGANYA WATU KWA UPAKO WAKO, UTAPELI MWINGI NDIO KWENYE KICHWA CHAKO.