Asante Pastor kwa somo hili. Somo sio tu kwa vijana ata wanandoa ambao wanapenda kuchepuka wanajikuta wakifungamana na wengine na kusababisha ndoa kuvunjika!!
Huo mfano wa ubishi unachekeshaa, anae sinzia na mlevi wa pombee, Lakni hapo kwenye mapenzi kuna wakati najifunga na matamanio yana kaaa kimya kweli lakni baada ya miezi flan mwili unazidisha mihemko. Tunakatazwa ila chakula cha kuzilisha hizo hisia hakipo
Nabarikiwa sana PR na somo lako lakini ombi langu kwako naomba SoMo ilo liongezewe muda japo iwe nusu saa badala ya robo saa!Maana nabarikiwa sana natamani iwe Ivo,🙏🙏
Mchungaji nimebarikiwa sana na huu ujumbe, umenitoa sehemu nakunipeleka sehemu nyingine iliyo bora zaidi.
MUNGU akubariki sana
Ongera Sana pastor,kwa ujumbe kwetu vijana,Mungu akutie nguvu.
Ubarikiwe Pastor kwa masomo mazuri 🙏 Bwana aendelee kukuongoza katika kupambana kuliokoa taifa na ulimwengu kwa ujumla kupitia mafundisho.
0
Asante sna mchngaji mimi siyo msabato ila kama ungekuw karibu haki ya Mungu ningekuwa muumini wako
Kuwa tu muumini maana umepata kitu kutoka mchungaji huyo ,chukua namba yake mtafte atakuelekeza vingi ni mchungaji mzuri sana
jamani vitu Kama hv ndo tunahitaji kwa Sasa mungu aendelee kukutia nguvu ya hekima na marifa utujenge zaid
Barikiwa sana kwa somo nzuri, Amen 🙏
To
Amen Amen 🙏 barikiwa sana mchungaji
Asante Pastor kwa somo hili. Somo sio tu kwa vijana ata wanandoa ambao wanapenda kuchepuka wanajikuta wakifungamana na wengine na kusababisha ndoa kuvunjika!!
Na Wasabato wengi ili waamini Mpaka unsomee Mathayo na Ufunuo,Waamke,Asante saana ,Ujumbe Mzito
Barikiwa pastar na mafunzo
Thank you for the brainstorming lessons preacher. God bless
Mungu akubariki Pastor kwa somo Nzuri
Asante xana aki hii mafunzo ni mzr MUNGU akubariki xana
Amina, barikiwa sana mtu wa Mungu
Asante mtu wa Mungu, tuombee pia tuvuke salama
Ni kwel mch nimesikia ujumbe huu hadi nimekutafut kwny cm haupatkn mim cipend Mambo yang kusomek mtandaon
Ubarikiwe sana mtumishi kwa kweli somo hili linanigusa sana
Mungu akubariki Sana , Mch. Mmbaga!
Yatosha kusema Ubarikiwe Pastor
Barikiwa sana pasteur weti kwa mahubiri mazuri sana.
Ubarikiwe Sana pastor swal langu je Kam mama ako hasali itakuaje
Amen 🙏🙏 ubarikiwe Mchungaji
Mungu awabariki San mutumishi wa mungu mafundisho mazuri san
Amina. Asante kwa mafundisho hayo Pr.
Umenifundisha nitabadilika nilikuwa nkali kwa binti yangu,Mungu akubariki
Thank you so much for the message
Haya,hata sikujua hata, Asante sana 🙏
Brawster!! Kutok Arusha 🇹🇿 Tz, nasikiliza, Barikiwa Sanaa
Nice
Nabarikiwa Sana Na hubiri lako
Barikiwa mchungaji Amen
Hope channel kizota
Barikiwa sana Mtumishi wa Bwana
Basi Kama ni kweli kufanya tendo la ndoa ni kufungamana basi nahitaji kutubu
Ndiyo ,uliyeanza naye Wa Kwanza ndiye uliyefungamana naye
Asantee sana pastor
Asante sana baba ubarikiwe sana nimepata funzo Bali tulisha aguka
As long as umejua ulipokosea hakuna kilicho haribika..
Pastor Asante kwa maubiri but naomba advise
Asante sana tena kwa somo
Amina
Ubarikiwe mtumishi kweli walevi ni wengi
Ubarikiwe mtu wa mungu
Asanteee Pastor tumekuelewa sana
Hongera paster
Amina Pastor
safi sana mcungaji wetu.
Amen pasta 👏 👏 🙌 🙌
najifunza nakuwafundisha wengne zaidi barkiwa PR.mmbaga
He jmn Mungu atusaindie
Asante mchungaji
Am blessed
Ah baba ni kweli
Amen 🙏🙏🙏
Amen 🙏
Huo mfano wa ubishi unachekeshaa, anae sinzia na mlevi wa pombee,
Lakni hapo kwenye mapenzi kuna wakati najifunga na matamanio yana kaaa kimya kweli lakni baada ya miezi flan mwili unazidisha mihemko. Tunakatazwa ila chakula cha kuzilisha hizo hisia hakipo
Amen
Jaman nilikua sijui
Ninaomba kuongea na ww mchungaji. Naomba namba yakoo.
🙏🙏🙏Ameni
Mbanga hakika upo kwa sababu ya Mungu
🖐️✋
Amen 🙏 pastor
J HCG🎉
asante sana mtumishi
Asantee
Mchungaj niombee
Nikweli pastar unachofundisha niliona dalili lakini sikuelewa
Pole saana
“Hakuna tukio lolote ambalo Mungu hakuleta tahadhari” you said the real truth Pastor. Ila kulewa kunafanya kupuuzia!
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️
amina
Nabarikiwa sana PR na somo lako lakini ombi langu kwako naomba SoMo ilo liongezewe muda japo iwe nusu saa badala ya robo saa!Maana nabarikiwa sana natamani iwe Ivo,🙏🙏
Amina tunabarikiwa.wengi sana.uwa tunafngwa pasipo kujitambua
akimshika tumboni miezi miwili
Naweza pata nakala ya kitabu cha Siri ya Maombi Yanayojibiwa
Nilitaman leo kuongea na mch. Mbag lakin cm yake haipatikan
+255 755 932 283 Whatspp
Wamama tunasikia hilo la kuombea
Ubarikiwe
Pastor ninamaswali ya kuuliza private.
Nahitaji ushauri zaidi
Amina
Amen
Mbanga hakika upo kwa sababu ya Mungu
Amen 🙏
Amina
Amen