USIWE MLEVI WA MAPENZI SIKU YA 6 PR.MMBAGA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 มิ.ย. 2022

ความคิดเห็น • 91

  • @nicksoltv3889
    @nicksoltv3889 2 ปีที่แล้ว +4

    Mchungaji nimebarikiwa sana na huu ujumbe, umenitoa sehemu nakunipeleka sehemu nyingine iliyo bora zaidi.
    MUNGU akubariki sana

  • @upendoloondokalembekela7748
    @upendoloondokalembekela7748 ปีที่แล้ว +2

    Ongera Sana pastor,kwa ujumbe kwetu vijana,Mungu akutie nguvu.

  • @phzhenry666
    @phzhenry666 2 ปีที่แล้ว +8

    Ubarikiwe Pastor kwa masomo mazuri 🙏 Bwana aendelee kukuongoza katika kupambana kuliokoa taifa na ulimwengu kwa ujumla kupitia mafundisho.

  • @prosperjohn6
    @prosperjohn6 2 ปีที่แล้ว +3

    Asante sna mchngaji mimi siyo msabato ila kama ungekuw karibu haki ya Mungu ningekuwa muumini wako

    • @neemafelician5697
      @neemafelician5697 2 ปีที่แล้ว +1

      Kuwa tu muumini maana umepata kitu kutoka mchungaji huyo ,chukua namba yake mtafte atakuelekeza vingi ni mchungaji mzuri sana

  • @ernestmhilya960
    @ernestmhilya960 2 ปีที่แล้ว +4

    jamani vitu Kama hv ndo tunahitaji kwa Sasa mungu aendelee kukutia nguvu ya hekima na marifa utujenge zaid

  • @eunicenyandiko1389
    @eunicenyandiko1389 2 ปีที่แล้ว +6

    Barikiwa sana kwa somo nzuri, Amen 🙏

  • @faithkerubo8746
    @faithkerubo8746 2 ปีที่แล้ว +4

    Amen Amen 🙏 barikiwa sana mchungaji

  • @stevenobunde9345
    @stevenobunde9345 ปีที่แล้ว

    Asante Pastor kwa somo hili. Somo sio tu kwa vijana ata wanandoa ambao wanapenda kuchepuka wanajikuta wakifungamana na wengine na kusababisha ndoa kuvunjika!!

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว +1

    Na Wasabato wengi ili waamini Mpaka unsomee Mathayo na Ufunuo,Waamke,Asante saana ,Ujumbe Mzito

  • @eustina837
    @eustina837 2 ปีที่แล้ว +3

    Barikiwa pastar na mafunzo

  • @dicksonmunene7267
    @dicksonmunene7267 2 ปีที่แล้ว +5

    Thank you for the brainstorming lessons preacher. God bless

  • @silyvianekesa4689
    @silyvianekesa4689 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante xana aki hii mafunzo ni mzr MUNGU akubariki xana

  • @funakoshtadash6163
    @funakoshtadash6163 2 ปีที่แล้ว +3

    Amina, barikiwa sana mtu wa Mungu

  • @anipendapetro137
    @anipendapetro137 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante mtu wa Mungu, tuombee pia tuvuke salama

  • @esternaftari8286
    @esternaftari8286 2 ปีที่แล้ว +2

    Ni kwel mch nimesikia ujumbe huu hadi nimekutafut kwny cm haupatkn mim cipend Mambo yang kusomek mtandaon

  • @dasilvajr9647
    @dasilvajr9647 2 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe sana mtumishi kwa kweli somo hili linanigusa sana

  • @mrsdeborahurio
    @mrsdeborahurio 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akubariki Sana , Mch. Mmbaga!

  • @carorinemoses3143
    @carorinemoses3143 2 ปีที่แล้ว +1

    Yatosha kusema Ubarikiwe Pastor

  • @kabalizasekanabomarko6063
    @kabalizasekanabomarko6063 8 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa sana pasteur weti kwa mahubiri mazuri sana.

  • @maduhunella5011
    @maduhunella5011 2 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe Sana pastor swal langu je Kam mama ako hasali itakuaje

  • @alicesidi9601
    @alicesidi9601 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen 🙏🙏 ubarikiwe Mchungaji

  • @user-kq9je6zf3v
    @user-kq9je6zf3v 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu awabariki San mutumishi wa mungu mafundisho mazuri san

  • @etindianziya9482
    @etindianziya9482 2 ปีที่แล้ว +1

    Amina. Asante kwa mafundisho hayo Pr.

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 ปีที่แล้ว

    Umenifundisha nitabadilika nilikuwa nkali kwa binti yangu,Mungu akubariki

  • @robertmomigi2580
    @robertmomigi2580 2 ปีที่แล้ว +2

    Thank you so much for the message

  • @eunicenasimiyu4256
    @eunicenasimiyu4256 2 ปีที่แล้ว +1

    Haya,hata sikujua hata, Asante sana 🙏

  • @stevenbrayzze8565
    @stevenbrayzze8565 2 ปีที่แล้ว +1

    Brawster!! Kutok Arusha 🇹🇿 Tz, nasikiliza, Barikiwa Sanaa

  • @isabellahbwari3168
    @isabellahbwari3168 2 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa mchungaji Amen

  • @user-el3or4jd4q
    @user-el3or4jd4q 5 หลายเดือนก่อน

    Hope channel kizota

  • @JosephatyDanford
    @JosephatyDanford ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana Mtumishi wa Bwana

  • @kucha_home_service7472
    @kucha_home_service7472 2 ปีที่แล้ว +3

    Basi Kama ni kweli kufanya tendo la ndoa ni kufungamana basi nahitaji kutubu

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว

      Ndiyo ,uliyeanza naye Wa Kwanza ndiye uliyefungamana naye

  • @benyaminshahanga6178
    @benyaminshahanga6178 2 ปีที่แล้ว

    Asantee sana pastor

  • @Estherm309
    @Estherm309 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana baba ubarikiwe sana nimepata funzo Bali tulisha aguka

    • @wilsonmdalingwa637
      @wilsonmdalingwa637 2 ปีที่แล้ว +1

      As long as umejua ulipokosea hakuna kilicho haribika..

  • @sarahzablon7224
    @sarahzablon7224 2 ปีที่แล้ว +1

    Pastor Asante kwa maubiri but naomba advise

  • @damaslukando8592
    @damaslukando8592 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana tena kwa somo

  • @bahatiyusuphtv487
    @bahatiyusuphtv487 2 ปีที่แล้ว +1

    Amina

  • @Petro757
    @Petro757 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe mtumishi kweli walevi ni wengi

  • @venustajohn9546
    @venustajohn9546 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe mtu wa mungu

  • @esthermahatane9923
    @esthermahatane9923 2 ปีที่แล้ว

    Asanteee Pastor tumekuelewa sana

  • @luciashayo9896
    @luciashayo9896 ปีที่แล้ว

    Hongera paster

  • @samsonsamwel4236
    @samsonsamwel4236 2 ปีที่แล้ว +1

    Amina Pastor

  • @nawandafamito500
    @nawandafamito500 2 ปีที่แล้ว +1

    safi sana mcungaji wetu.

  • @merissapati9630
    @merissapati9630 ปีที่แล้ว

    Amen pasta 👏 👏 🙌 🙌

  • @chaterbim2885
    @chaterbim2885 ปีที่แล้ว

    najifunza nakuwafundisha wengne zaidi barkiwa PR.mmbaga

  • @MarycianaDonald-bx1he
    @MarycianaDonald-bx1he ปีที่แล้ว

    He jmn Mungu atusaindie

  • @vickyayo8712
    @vickyayo8712 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante mchungaji

  • @faithtunduru4603
    @faithtunduru4603 2 ปีที่แล้ว +1

    Am blessed

  • @pasteurmardocheemwale2023
    @pasteurmardocheemwale2023 2 ปีที่แล้ว +1

    Ah baba ni kweli

  • @jaredmayaka2993
    @jaredmayaka2993 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen 🙏🙏🙏

  • @MMUNGAHOSEA
    @MMUNGAHOSEA 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen 🙏

  • @HARMONITZ
    @HARMONITZ 2 ปีที่แล้ว +1

    Huo mfano wa ubishi unachekeshaa, anae sinzia na mlevi wa pombee,
    Lakni hapo kwenye mapenzi kuna wakati najifunga na matamanio yana kaaa kimya kweli lakni baada ya miezi flan mwili unazidisha mihemko. Tunakatazwa ila chakula cha kuzilisha hizo hisia hakipo

  • @nyabutikeruboruth5835
    @nyabutikeruboruth5835 7 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @makurukiraryo2495
    @makurukiraryo2495 2 ปีที่แล้ว +1

    Jaman nilikua sijui

  • @euniceboniphace6057
    @euniceboniphace6057 2 ปีที่แล้ว +1

    Ninaomba kuongea na ww mchungaji. Naomba namba yakoo.

  • @albertochaula1927
    @albertochaula1927 2 ปีที่แล้ว +1

    🙏🙏🙏Ameni

  • @albertraphael5172
    @albertraphael5172 ปีที่แล้ว

    Mbanga hakika upo kwa sababu ya Mungu

  • @stevenbrayzze8565
    @stevenbrayzze8565 2 ปีที่แล้ว +1

    🖐️✋

  • @samwelnyakundi1670
    @samwelnyakundi1670 ปีที่แล้ว

    Amen 🙏 pastor

  • @mawazojames9729
    @mawazojames9729 2 ปีที่แล้ว

    asante sana mtumishi

  • @joliea2956
    @joliea2956 2 ปีที่แล้ว +1

    Asantee

  • @user-ez7bw7wj7j
    @user-ez7bw7wj7j 8 หลายเดือนก่อน

    Mchungaj niombee

  • @eustina837
    @eustina837 2 ปีที่แล้ว +2

    Nikweli pastar unachofundisha niliona dalili lakini sikuelewa

  • @nm1617
    @nm1617 2 ปีที่แล้ว +1

    “Hakuna tukio lolote ambalo Mungu hakuleta tahadhari” you said the real truth Pastor. Ila kulewa kunafanya kupuuzia!

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 ปีที่แล้ว +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️

  • @gressjoseph5615
    @gressjoseph5615 2 ปีที่แล้ว +2

    amina

    • @happyadrian1825
      @happyadrian1825 2 ปีที่แล้ว +1

      Nabarikiwa sana PR na somo lako lakini ombi langu kwako naomba SoMo ilo liongezewe muda japo iwe nusu saa badala ya robo saa!Maana nabarikiwa sana natamani iwe Ivo,🙏🙏

    • @hosealaiser1135
      @hosealaiser1135 2 ปีที่แล้ว

      Amina tunabarikiwa.wengi sana.uwa tunafngwa pasipo kujitambua

  • @presidentofafrica.5038
    @presidentofafrica.5038 4 หลายเดือนก่อน

    akimshika tumboni miezi miwili

  • @maksamgroup9380
    @maksamgroup9380 ปีที่แล้ว

    Naweza pata nakala ya kitabu cha Siri ya Maombi Yanayojibiwa

  • @esternaftari8286
    @esternaftari8286 2 ปีที่แล้ว +1

    Nilitaman leo kuongea na mch. Mbag lakin cm yake haipatikan

  • @bahatiyusuphtv487
    @bahatiyusuphtv487 2 ปีที่แล้ว +2

    Ubarikiwe

  • @marygilbert9781
    @marygilbert9781 4 หลายเดือนก่อน

    Pastor ninamaswali ya kuuliza private.

    • @marygilbert9781
      @marygilbert9781 4 หลายเดือนก่อน

      Nahitaji ushauri zaidi

  • @MlebingeAndrea-hl1wq
    @MlebingeAndrea-hl1wq 2 หลายเดือนก่อน

    Amina

  • @manjalesalu544
    @manjalesalu544 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @albertraphael5172
    @albertraphael5172 ปีที่แล้ว

    Mbanga hakika upo kwa sababu ya Mungu

  • @bigmandubesamuelndetsa268
    @bigmandubesamuelndetsa268 2 ปีที่แล้ว

    Amen 🙏

  • @georgegasto9324
    @georgegasto9324 2 ปีที่แล้ว +1

    Amina

  • @amnamax8676
    @amnamax8676 2 ปีที่แล้ว

    Amen