Jamanieee hiii muvi jaribuni kuekti katik uhalisia kiukweli Kuna baazi ya wasaniii humu wanaekti mpaka wanaboa kama kendi hamna uhalisia wowote anaouenesha kwali ni ektaz ila uhalisia unahitajika mnabowa,
Jamani mbn kila ninapo fatilia hii movie 🎥 mbn najikuta natokwa na 😢😢😢😢 Zuu wamemuua 😢😢😢furaha 😊😊😊kwa babaangu kipenzi 🥰 kapona na yuko kwa mikono salama Allihamdulilah 🤲🏼 hebu tuifatilie kwa hisia tuji funze kitu sio kuomba like kila mara wana familia busati TV much love 💕 so much ❤❤❤❤❤❤❤
Hongera sana wana BUSATI TV Kwa uponyaji wa baba kai ...ila namuhurumia daa zuu😢😢 naombea daa zuu apone 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 nawapenda wote watazomao House girl🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Baba baba Ni ww baba Amen 🙏🙏🙏❤❤❤❤ Nipenda familia hii iliyo jukumika Kwa swala la baba kupona mungu awatiye nguvu pia Maisha marefu Amen 🙏🙏🙏❤❤❤❤ nimesikia Raha kuona baba yupo Na Kai ufahamu pia nimeona ufahamu unaanja kurudi kiainaaina
Zuu haezi kufa juu n yeye kichwa cha movie long life zuuh n upone uje unyakue kendy bwana manake huyu kendy kazidi 😢 zuuh quick recovery baby gal we love you so much
Jmn team strong nimeanza kuboeka,zuu amenishtua tokea jana,nkiwa na hopes leo atakuwa swa,hatimae leo nayo nalala ihali zuu ako taaban😢,refusheni kias vpnd n vifupi sana...mob ❤❤❤ to u team busati
Kitu nawapendea Cha kwanza mnatoa Kaz kwa wakat sio wengine mtu unakaa mpk unasahau uliishia wapi Kaz yenu pia ipo kwenye maadili mazur namafunzo yenye uwered wa Hali yajuu mwenye kuoona naakajifunze kit hapa
WhatsApp group 28👇👇
chat.whatsapp.com/CssprKjGJcP3Xcwj3Jlusl
na zuu yupo
🎉🎉🎉😢🎉🎉🎉❤❤❤❤
Nakubaali
Sawa
sawa
nimeanza kuwa na huruma kwa zuuu jamani wanao muhurumia zuu like zenu nipeni. like 10 tu
Namuhurumia Sana pia maskini akustaili ili jamani 😢😢
Tupo hapa ndugu yetu 😢😢😢
😢😢😢ni huzuni
Aki niuruma sana 😢😢
Ila candy ni mwenye robo mbaya sana ,namchukia kishenzi
Nyie kuna watu wana kesha online jamani wanaomkubali zuu na kai like hta 10
❤❤❤❤❤❤❤
Mwenye bahat mbaya ata like sijawahi pata 😢😢
Kwan hzo like mnazipeleka wp maan sielew kilam2 anaztk😅😅😅😅
@@MariamMusa-jz6us tunapata hela wenzio wewe zubaa tu😂😂😂ukifikisha mia unatumiwa elf 10
@@LaylaSaheebKweli
Zinakusaidia nn hizo like?? Upuuzi
@@emmanuelsamila1477 😀😀wako wivu kojoa ulale 😀😀🛌
Kila mtu anaomba like bas tuwage tunawpongez kwa kaz nzur wanayoifanya❤❤
Yan me mwenyw wananiboa kwel
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Saa hihi kabisaa wana stahili pongezi tena ya hali ya juu kabisa
Sw
@@FloridaAndrew330 b
Jaman naumia kwaajili ya dada zuu😢😢😢 naomben like zenu bc
Jmn like zenu wapendwa tangunimeanza kuanglia leonimewai zaidi
Njoo geto nina like nying za kukupa
Bila shaka kai anaanza kupata fahamu Allhamdhulillah 🎉🎉❤❤❤❤
❤❤❤❤❤🎉🎉
jameni zuu pole San ,muwe na furaha siku zote mulio msaidia bab kai❤
mbona zuu anahurumisha jamani .munipee like
Leo Masha'Allah me wa kwnz like 😢plz
Wale wa kukimbilia kucomment 😂😂😂 watching from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 zuuu jamani weeeh😢😢
🎉😂
Am in kama bacteria kenya 🇰🇪
Jamani mie wakwanza naombeni like
Kazi ya kuomba like tu kuwapongezaa aaaaaaaaa 😂 busati tv mpewee maua yenu🌹🌹🌹🌹
Teem ZUU tumuombe Mungu yote yatapita,ila Candy wewe siku zako zinahesabika😢
Jamanieee hiii muvi jaribuni kuekti katik uhalisia kiukweli Kuna baazi ya wasaniii humu wanaekti mpaka wanaboa kama kendi hamna uhalisia wowote anaouenesha kwali ni ektaz ila uhalisia unahitajika mnabowa,
Yupo kama shetwan kwenye hii movie yan anaboa sana
Sasa SI ndo kacheza uhalisia wake kuwa ana roho mbaya😂 au unatakaje jaman😂😂
@@MariamuEvarist sindo hapo sasa
Mnao taka like piteni hivi sitoi like zangu natoa kwenye media tu husika
Vzr
Nafutahi baba amekuwa Sawa bado zuu tuzidi kuzidisha maombi ken arudi Sawa😭😭🙏🙏🙏
Yaan nyie kila cku kuomba like 2 mnaboa kama nn
Mnaupig mwingi hamnaga ubabaifu one love to all funs of HOUSE GIRL....✊✊✊
Nakubali mate share to all
Khaa mmezidi loh 1min ago view kaa wote comment 60 mmenishinda Tania team strong 😂😂
Jamani mbn kila ninapo fatilia hii movie 🎥 mbn najikuta natokwa na 😢😢😢😢 Zuu wamemuua 😢😢😢furaha 😊😊😊kwa babaangu kipenzi 🥰 kapona na yuko kwa mikono salama Allihamdulilah 🤲🏼 hebu tuifatilie kwa hisia tuji funze kitu sio kuomba like kila mara wana familia busati TV much love 💕 so much ❤❤❤❤❤❤❤
Kibendu kanenepa fanya mazoez
Leo nimewahi jamani nimeshinda huku you tube nasubili team strong kujeni basi tupunguze stress
jmn anaemkubali zuu likes apo 🎉
Waah kwani watu mna rauka vipi jamani yani dakika kidogo like zishaanza kuombwa haya nipeni na mimi basi mbili tu
Alhdulillah baba kai kapona na hata bado anamkumbuka zuu bado masikini mungu msaidie zuu nae apone candy kimurambe inshallah
Baba Kai😭😭😭😭😭😭jamani unatia huruma
Wa kwanza leo jameni tunaoamini kwamba Kai atagundua karogwa 🤣team zuuh likes zenu naziitaji 😊
Nmeliona hiloooo😊😊
Wakwanz leo naomben like
Upeleke wp
Team hammam nipeni pita hpa na likes katambe, Jeddah city
Kazi nzr mnafany but mjitahid kutoa hat vipande vinne kwa sk mv n nzr san
tup fasta jmn ad nimeacha kula hii kaz nzur sana kai big up with yuor team
Nyie kila Siku munalalamika hoo jamani nimekuwa wa kwanza minipe like zangu lakini sijawai sikiya mukilala Mika kusapoti BUSAT TV nyi mko jee😢
🙏🙏
Wanachekesha sana na kuboesha 😢kila mtu like kwn nyi ndio mumeact au😏😏
@@farhiyaathmannashangaa sana😂😂
@@RichardMuteke kutoa maoni ama pongezi kwa wao ni like tuh zisizo na msingi khaaa 🤣🤣
@@farhiyaathman 😂😂😂😂 kama kweli like inalipwa wangejinyonga sasa
Nimefika mapema , kazi safi Kai na team yako
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 much love kaka kai.wakwanza Leo jamani nimewai🎉🎉🎉🎉
❤leo mnipe like jameni
Hayah mimi wa mwisho naombeni like hata 5
Leo62 naomba like mwenye atakuja nyuma ❤🎉❤🎉
Leo nimekuwa wa 100😂😂😂 like zangu
Woooiii baba karudi Hali yke ya kawaida nmefurahi😂😂sasa zuu na yeye jamani si mumubonye jamani candy ajione vle kinamramba naonea zuu huruma😭😭😭
Khaaa watu mnawahi hatar mmmh bhc name mnipee like ahhaaha
Wow mpaka nmeadza kupata matumaini kwa kai vile amemhurumia zuu😢😢😢😢congratulations kwa kazi dzuri sihaba hiki kipande kimekua kiref kias🎉🎉🎉🎉
Wash kwanza jameni naomba like
Wakwanza from Philippines 🇵🇭
Jamani mbona kila mtu anaomba like kwani anopata like nyingi huwa anapata nn niambien na mm nijuwe ili niwe naomba😂
Haya na mimi mnipe like maana humu kila mtu aomba like makubwa😂😂
Jamani na mim naomba like hata kumi kwa wanaopenda house girl ❤❤❤❤❤
Heeh yani kila mtu wa kwanza umu kwenye coment... Sipendi... Sijuw wa kwanza nani... Kazi yenu kuomba like 😏😏😏😏
Mimi pia wananikera
Naomba Mungu iwe Zuu hajafa
❤❤❤❤hap saw bado yup
Kaz nzuli tunawapenda Sana❤❤
Jamanii Kwan simuonglee kaz ya Sanaa Kuna nin kuomba like had inakuwa Kama kero vilee
Waambie jamani like zishakuwa like
Sindio sjui zawasaidia na nn izo like
kero haswaaa
Wanatoa haraka episodes nawapenda sio kama bosi mchawi wrong house utangoja sana
Mm nime mshukulu mungu zuu kanisulika kubakwa
From USA wakwanza Leo Ni peni like nzangu napenda san zuuu❤❤❤❤
Hata mm naombeni like leo niko Iraq 😂😂😂😂😂😂😂
Nami pia niko iraq😂😂
Iraq
Wallah kweri pare wamufunguwe mikoni nikubishana2😳😳😳😡😡😡🇧🇮🇧🇮
The first one from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Wapi likes zetu
Watu mko faster yaan duuh nilidhani nmewai kumbe mshawai tyr😢😂😂
Sija chelewa jamani tupooooh!!!!!!!!!!!!!!!!
Nipewe likes na mm leo jamani
sinipewa like leo 😂😂niko tu hapa lraq kwa boom 😂
Leo wakwanza oyoooo!!
Yaani nyie zuu anakufa, halafu nyie mnakazana tu kuomba like.
😅😅😅😅
Nahurumia zuu sana jaman huyu kendi n mnyama sana
Hhhhh xo watu hao ni viatu ndo mana 🎉
@@francismutiso6961kbx ni mnyama
Nyie watu yaan MTU Anglia yey like tayar😂😂 ikiloady tu naomba likes😂😂😂❤❤❤❤
Enjoy
Mhi
At least leo nimefika mapema ❤❤
Nyìe watu mnawahi sana😅😅😅
When nitakuw wa kwanza ku like this movie 😢😂
Hi
Wakwanza mm nipeni like
Hiv Kwan nyieee mwaangaliaa movie au mwatak like
Wanao muelewa mama kibendu waje hapa...ila tatizo linakuag ni nn mpaka watt wanakua hivi jmn wazazi wanaumia sana jmn😢😢😢😢😢
Ila mwarauka nyie Aya twendeni nalo🎉🎉
Mujitahidi bac angalau muda muongeze ni mfupi sana
Tulio na uchungu na kuehuka kwa zuu japo hatujazaa Wala kuzalisha gonga like 20 tu
When nitakuw wa kwanza ku comment this movie and like 🥱🥲🇨🇩🇨🇩🥰
Mim wa pili naombeni like
Wakwanza huku wapi likes zangu❤
Zuuu amekufa ety 😅😅😅
Hongera sana wana BUSATI TV Kwa uponyaji wa baba kai ...ila namuhurumia daa zuu😢😢 naombea daa zuu apone 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 nawapenda wote watazomao House girl🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Like jaman kwa zuu 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Yan Kila mtu niwakwanza Kila mtu naomba like nyoko zenu
Ahahahahahah
😂😂😂umeongea venye nilikua nadai kuongea,,like like, like ya nyoko, zinasaidia nn xx cartoon nyny
Wanakera sanaa😂😂😂😂 like za ushuzi
Baada ya kusem nini kimepungua yn kutoa maoni wao like like igizeni zakwenu
@@douglasomanga8649 yaan me ata siwaelew like kila m2 awa wa2 jomon wanakera 😂
Jamani Leo nimewahi wakwanza kazi nzuli sana 😊😊😊😊❤❤
😂😂jmn watu mnakesha mtandaoni duh mi wa 101 naomba ht like tano
Nimewahi leo nipeni like zangu hata tano basi
Kumbe wanaume tupo wachache sana Kai anafrahia ujinga si ujinga huo jamani
Yaani KAZI nzur san nawapend san
Wa pili naomba like😅
Jamani mh wa kanza nipee like
🙏🙏
Imefikia mahali naamza kuchukia hi movie
Kama mimi yani matatizo gani hayaishi 😢😢😢
Yani ata Mimi zuu namuonea huluma paka sitamani ata kuiagalia ten najikuta nalia tu zuu wetu jamn
Kma mimi
Mm pia nshachk matatz hayaishi 😮😮
Baba baba Ni ww baba Amen 🙏🙏🙏❤❤❤❤ Nipenda familia hii iliyo jukumika Kwa swala la baba kupona mungu awatiye nguvu pia Maisha marefu Amen 🙏🙏🙏❤❤❤❤ nimesikia Raha kuona baba yupo Na Kai ufahamu pia nimeona ufahamu unaanja kurudi kiainaaina
Nimekuwa wa kwanza like basi
Zuu haezi kufa juu n yeye kichwa cha movie long life zuuh n upone uje unyakue kendy bwana manake huyu kendy kazidi 😢 zuuh quick recovery baby gal we love you so much
Yes quick recovery we love u so much my dear 💕💞
Naomba like zangu
Jamani namuhurumia sana zuu ila mungu amuongoze
Jmn team strong nimeanza kuboeka,zuu amenishtua tokea jana,nkiwa na hopes leo atakuwa swa,hatimae leo nayo nalala ihali zuu ako taaban😢,refusheni kias vpnd n vifupi sana...mob ❤❤❤ to u team busati
Am here ❤ nilikua nahamu ya kukua zuu itakuajeeee haya sasa tutoe macho kujua kitakacho endelea🥰
Kwa kwel jmn
Tena kendi kawa msitarabu Kai kawa mbogo
Naombeni like na me jmn
Jaman refushen kidogo ni nzur sana lkn fupi ❤
Kitu nawapendea Cha kwanza mnatoa Kaz kwa wakat sio wengine mtu unakaa mpk unasahau uliishia wapi Kaz yenu pia ipo kwenye maadili mazur namafunzo yenye uwered wa Hali yajuu mwenye kuoona naakajifunze kit hapa