Taanzia ya Morara, mbunge aliyehudumu kwa miezi tisa pekee kabla ya kifo kumchukua kutoka duniani

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
  • George Morara alikuwa mbunge aliyehudumu kwa miezi tisa pekee kabla ya kifo kumchukua kutoka duniani. Inasemekana mjumbe huyo mchanga ki umri na pia kisiasa alikuwa ameipatia serikali muda wa saa 48 kuelezea aliko mshtakiwa aliyemuuwa waziri Tom Mboya kisha Morara akafariki ghafla katika ajali ya barabarani. Je, ilikuwa ajali ya kawaida au ni tukio lililopangwa? Miaka 51 baada ya kifo chake, mwanawe wa kike ameanza kutafuta ukweli kuhusu namna babake aliaga dunia akisema hatua hiyo itasaidia kumaliza makovu waliyonayo moyoni.

ความคิดเห็น • 37

  • @ronaldnyaboga1459
    @ronaldnyaboga1459 2 ปีที่แล้ว +4

    My mother used to tell me stories about George Morara then a rising figure in our country's politics. She was a teenager when Morara died. I guess most our Kisii politicians kept silent about his death because unlike Morara these politicians were cowards

    • @mabolokituyi5781
      @mabolokituyi5781 2 ปีที่แล้ว +1

      Kisii politicians are turn coats and sycophants like Richard Onyoka very useless leaders.

  • @sxc642
    @sxc642 2 ปีที่แล้ว +3

    You don't have to be a truly nice person to be celebrated but a truly nice person on camera.
    A good avenue to get into politics for Sandy.

    • @zephaniahontere8560
      @zephaniahontere8560 2 ปีที่แล้ว

      That was a T_accident meaning he was hit from the side. .

  • @jaynenafula8415
    @jaynenafula8415 2 ปีที่แล้ว +2

    Sandy proud of you to get to the bottom of this tragedy .Pole sana

  • @pharoah-ahmose6075
    @pharoah-ahmose6075 12 วันที่ผ่านมา +1

    RIP in Morara and Duncan Khaemba

  • @Sankaratraore
    @Sankaratraore 2 วันที่ผ่านมา

    Ameamka❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @samsokes4085
    @samsokes4085 2 ปีที่แล้ว +5

    Kenyatta assassinated him

  • @rosemokogi2896
    @rosemokogi2896 2 ปีที่แล้ว +1

    My cousin George... RIP

  • @fhhfd8449
    @fhhfd8449 2 ปีที่แล้ว +2

    Kwa hivyo kenya huwa tunapangwa mtu amenyongwa kumbe amesafirishwa

  • @karimabdul3928
    @karimabdul3928 2 ปีที่แล้ว +2

    Hapo si ukweli unajidhihirisha halafu jamani mnamkutanisha mwanae na mtoto wa mhusika mkuu

  • @mabolokituyi5781
    @mabolokituyi5781 2 ปีที่แล้ว +1

    There is nothing like Nahashon Njenga who killed Tom Mboya.It was Ben Ngethi the police boss who killed Mboya Nahashon Njenga was a decoy

    • @georgeodhiambo598
      @georgeodhiambo598 16 วันที่ผ่านมา

      What's your source of information? Or is it that windy, poorly researched speculation by some blogger called Kumekucha?

  • @shemmosoti2808
    @shemmosoti2808 2 ปีที่แล้ว

    Interesting history, 51yrs ago

  • @dorcasmogaka5479
    @dorcasmogaka5479 2 ปีที่แล้ว

    So sad RIP Hon George Mirara, God help his daughter to get justice

  • @adhiambonyasuna4043
    @adhiambonyasuna4043 2 ปีที่แล้ว +1

    51yrs?

  • @titusmwangangi7523
    @titusmwangangi7523 2 ปีที่แล้ว +1

    1st born two & half years,
    2nd born 0ne year
    3rd born 5 months 😳😳

  • @charleskenga3041
    @charleskenga3041 2 ปีที่แล้ว +2

    Tooo late in the day for any credible truth to be known to be honest.
    Poleni SANA familia....!????

    • @charleskenga3041
      @charleskenga3041 2 ปีที่แล้ว

      51 years ago..!????
      Waaaah - Tooo late in the day for any credible truth to be known to be honest.
      Poleni SANA familia.

    • @georgeodhiambo598
      @georgeodhiambo598 2 ปีที่แล้ว

      @@charleskenga3041 It is never too late to seek the truth.

  • @agostinemtongolo3741
    @agostinemtongolo3741 2 ปีที่แล้ว

    There is a road in Nakuru Town named after this gentleman. Now i know

  • @natnaelmanyoutubeandtvchan2374
    @natnaelmanyoutubeandtvchan2374 2 ปีที่แล้ว +1

    He looks like Solomon Wolday then

  • @bornfree1595
    @bornfree1595 2 ปีที่แล้ว

    What is hidden,shall come to light

  • @theheraldbroadcastingnetwo4836
    @theheraldbroadcastingnetwo4836 2 ปีที่แล้ว

    We were named after morara mp

  • @juliemrema497
    @juliemrema497 2 ปีที่แล้ว

    We don't know maybe it's an accident.

  • @lbusyliz797
    @lbusyliz797 2 ปีที่แล้ว

    I wish the dota just v the heart to accept n move on....it'll just b mare talk...n she'll b frustrated by empty promises.

    • @georgeodhiambo598
      @georgeodhiambo598 2 ปีที่แล้ว

      In life it is always better to fail while trying than to fail because you have not tried. She is doing the right thing. At least she has made some of us become aware of what we never knew.

  • @SuperDaddyaddy
    @SuperDaddyaddy 2 ปีที่แล้ว

    Sorry, George Morara. Rest in peace!

  • @mediayote3001
    @mediayote3001 2 ปีที่แล้ว

    Closure on Uhuru's side? Hiyo ni noma ., sijui atapata another chance.

  • @mabolokituyi5781
    @mabolokituyi5781 2 ปีที่แล้ว

    Sundey the daughter of late Morara wants to meet Uhuru Kenyatta whose father killed her Dad.

  • @obadiahkeobia7747
    @obadiahkeobia7747 16 วันที่ผ่านมา

    MORARA KEBASO IS HERE 2024 ...TO HELP US KENYANS

  • @user-wr9fn4ny4i
    @user-wr9fn4ny4i 2 ปีที่แล้ว

    No body was around to tell the truth ,Not even uhuru, stop dragging name into this .

  • @عيضةتميم
    @عيضةتميم 2 ปีที่แล้ว

    jama walimaliza kama katana ngala alivyo malizwa lakini mungu yuko

    • @georgeodhiambo598
      @georgeodhiambo598 16 วันที่ผ่านมา

      What are you talking about? You must be referring to Ronald Ngala who was the father to Katana Ngala.