Kutoka sehemu fulani co tija,nawaambiaga kila cku maisha na jinsi umejijenga ndo issue,mtu yuko Dar lakini choo cha ajabu,ukija home kwe2 kijijini Marangu utafikiri ni ikulu.
Makanisa yote hayana muelekeo na kwa taarifa yenu kwanza bwana yesu hakuwahi kuingia kanisani achilia kufanya ibada kama unabisha lete andiko wapi bwana yesu alienda mji gani na wapi kuhubiri injili
Hallelujah barikiwa mtumishi 🙏🏽
Mchungaji nabarikiwa Sana na mafundisho yako,juu kuna watu wengine kiburi kimewajaa mpaka kooni, Mungu tuzaidie tujue kunyenyekea
Ni kweli mtumishi,,dharau ni mbaya sana aisèe
Amina kubwa👏👏🤝
❤❤❤❤ ni kweli kbs wanajifanya kama hawaendi choòni
Hakuna watu wenye shida duniani kama watu wa Dar ndo maana na wenyewe wanaanza kuikimbimbia. Tunaomba mnsituletee mashoga😁😁
Mazingira mtu hukaa pia hutia kiburi bure,walakini watu ni wale wale
🙏🙏🙏🙏Nikweli mjiwakutumianguvu nachukiaDr
Kweli kapisa ..Mungu atuondolee kiburi 😢😢
Kweli, baba.
Kutoka sehemu fulani co tija,nawaambiaga kila cku maisha na jinsi umejijenga ndo issue,mtu yuko Dar lakini choo cha ajabu,ukija home kwe2 kijijini Marangu utafikiri ni ikulu.
Ni kweli kabisa mtumishi wa Mungu Baba.
Pastor napenda mafudishow Yako sana
Kweli baba
Lkn mchungaji c hata hawa waliotuletea Mungu walikuwa na maeneo wa watu wenye hadhi ya juu
Well, don't judge a book with its cover
Kabisa!!!
Kuna watu wanajisifu kwa maeneo wanayotoka, na kujiona eti ni bora zaidi ya wengine🤣🤣🤣kwa sababu tu yuko sehemu fulani anayoona ni maarufu!
Unasema Ukweli kabisa
Ni ukweli mtupu
Sweat after a minute !
Asante kwa neno
Sisi wamikoani wana2ona kama siyo binandam
AMEEN ! 😂
Sasa na wewe Mgogo utajifNanisha na wa Kyela?
Mafundisho ya masimango
Huo ndo ukweli sio masimango hago
Na yapo kabisa
Pole mtu wa Dar
KKKT imekosa mwelekeo
Mwelekeo upi
Labda mwelekeo wako ndio imepotea , ila kkkt sahau
@@merekwangujati158 kama bado uko huko itakula kwako
Msikilize Hanajana Kimaro
Kkkt ni ya Maaskofu wanajitukuza wenyewe Roho za waumini hawajali
Makanisa yote hayana muelekeo na kwa taarifa yenu kwanza bwana yesu hakuwahi kuingia kanisani achilia kufanya ibada kama unabisha lete andiko wapi bwana yesu alienda mji gani na wapi kuhubiri injili
@@hajiameir8688shee baki kwenye swala huku unakanyaga moto