Assallam Aleykum Warahmatullahi Wabarakatuh..Masha Allah Baraka-Allahu Fiik...na pia ukiwafuata hko hko kwenye mitandao wanakujibu vibaya..mfano mtu akiwa ameweka video ama amejiweke yy mwnywe awe mume ama mke ukijarbu kumueleza wanasema usilete ushekhe hku kwenye tiktok ama social media yyte ile..Allah atuongoze sote na majanga hya
Jaman Sasa hivi dini imebaki kwa wachache na nyie mashekhe mumechangia kwa mizozo yenu kila wakati Sasa pambambaneni na hilo janga maana huenda asilimia kubwa ya vijana hawajui hii dini kabisaaaa
Waridhika hao waume hawajali sheikh, ndio kizazi cha tiktok toka waoane ahlul tiktok wajipost mpk wakapata waume huko huko😅 Wakiambiwa wasema "don't judge me" But ndio km maharuc yetu mambo ni hayo bwanaharuc akiingia na best men wanawake parwanja Mungu atuongoze sote Sheikh Yusuf Mungu akueke ukweli cku zote unauma Madayuth wameenea akher zamaan hz msiba
MashaLLAH sheikh Yusuf umesema ukweli jaza yako iko Kwa Allah
Jazakallah kheir kwa nasaha yko nzuri Allah ajaalie iwe ktk mizaan hasanaat zko
MASHA ALLAH Sheikh yusuf
Tuwaombeeni Sana Dua hawa ndugu zetu Kwa kutojua kwao Allah awatiye tanabuh waone makosa yao
Maskini ndugu zetu wamekhafilika na Dunia Allah awaidishe wote
Ukweli sheikh wangu nakupenda saaaana kw ajili y Allah
Maneno mazuri sheikh wangu nakupenda kwa ukweli wako ALLAH akuzidishie umri wa qeri na baraka AMEEN ALLAHUMA AMEEN
SubhanaAllah 😢
Kweli yaliyofanyika sio Sawa kabsaa...
Mungu atuongozee atuswameh SubhanaAllah 😢
Jazakallah kheir kweli kabisa.
Allah akuhifadhi ndg yangu sheikh Yusuf akujazi Kila kila lakheri Kwa naswaha Yako nawenye kufanya mambo hayo Allah awaongoze
Kabisaaaaa sanaaaa Sheikh Yussuf Abdi😢 👍
Well done sheikh Yusuf 👏👏 100/ true
Jazakallahu sheikh YUSSUF ABDII
Shukran shekh yusuf Hao ni watu ambao mtumi alisena kuna watu watakuja kuuza dini yao kwa ajili ya dunia yao
Allah atuepushie balaa
Assallam Aleykum Warahmatullahi Wabarakatuh..Masha Allah Baraka-Allahu Fiik...na pia ukiwafuata hko hko kwenye mitandao wanakujibu vibaya..mfano mtu akiwa ameweka video ama amejiweke yy mwnywe awe mume ama mke ukijarbu kumueleza wanasema usilete ushekhe hku kwenye tiktok ama social media yyte ile..Allah atuongoze sote na majanga hya
Masha Allah Mungu akuhifadhi Sheikh wetu
Hao wamevaliwa na tiktok hawaambiliki. Ukizungumza utapigwa vita na unyamazishwe.
Jazakallah kheir
Shukran sheikh Yusuf mm nimefurahi wallah tena sijui nijui wanywa soda gani Hilo jambo liliniudhi shekhe wacha tuu mungu akubariki in
Jaman Sasa hivi dini imebaki kwa wachache na nyie mashekhe mumechangia kwa mizozo yenu kila wakati Sasa pambambaneni na hilo janga maana huenda asilimia kubwa ya vijana hawajui hii dini kabisaaaa
Swadakta 💯 ushatowa jukumu lako mbele ya mungu.
Shukran kwa ukumbusho
Waridhika hao waume hawajali sheikh, ndio kizazi cha tiktok toka waoane ahlul tiktok wajipost mpk wakapata waume huko huko😅
Wakiambiwa wasema "don't judge me"
But ndio km maharuc yetu mambo ni hayo bwanaharuc akiingia na best men wanawake parwanja
Mungu atuongoze sote
Sheikh Yusuf Mungu akueke ukweli cku zote unauma
Madayuth wameenea akher zamaan hz msiba
Subhana wallah
حاتا تتبعا ملتهم
Ikiwa wewe husband ndii hurecord video mke apost sasa hapo tasema nini
Tatizo ni viewers na hizoo pesa za mitandao ndii umeharibu mujtamaa wetuu