RAJABU ATAKA KULELEWA NA SHILOLE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 14 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Dogo anavipaji vingi mnoo
1)Confidence yake unexplainable
2)Anajua kuteka attention ya audience
3)Anajua kuimba hata asiposhinda atafika mbali asikate tamaa
4)Attention to details
5)Public Speaker
6)Charming not boring
7)Comedian
8)Knows times of being serious and joking time
9)Body language 99%
10)Smart❤
xo thanks mzee baba
Umemaliza🎉
11. Hundred 💯 of eyes contact
Umemalizaaaaa
Si ameshasema hii kazi anaiweza ndio maana kaiomba,hakika anaiweza kweli.
Tulio mkubali rajabu gonga like 😂
Hahahaaa anavibaji 3 kuimba na kuchekesha na mitindo Ni 🔥🔥🔥
Nimeangalia zaidi ya mara moja
Daaaah dogo anajuwa sana
Nmempenda huyu jamaa anajua 😂😂😂
😂😂😂 he is very charming wish to see him again
Nimempenda bure anajua sana comedian and Singer❤❤
Dogo anachangamsha na kwenye kuonyesha kipaj kafanya kweli, katisha bg up
Anajua sana😂
Mchangamfu nimempenda 😂
Nimeangalia mara mbili mbili kwanza kateka attention ya majaji alaf kapiga bom manchuria kumalizia maiti 😅
Ataweza kazi kweli au
oya mwamba hataki kufungiwa na basataaa😂😂😂 dah sio kweli😅
Umetisha🔥mi nimekukubali
Huyu dogo atafika mpaka final kwasababu atakuwa anachangamsha kampu
❤❤❤❤Rajabu ongera sana.Halafu duniani watu wawili wawili:yaan kama baba Nassibu daimond
😂😂😂😂shishi kimemramba, jamaa ywajua sana
Mwana mitindo! Comedian and the Singer kipaji hicho
Dogo kafanana na mzee abdul baba Nasibu
😆😆🤝kweli kabisa
Si amesema anaitwa rajabu abdul
Jina lenyewe ni Abdul.mtoto wameze huyo.tutajuwa mbele siku zijazo
😂😂😂😂😂 hatali
Kweri kabisa wanafanana saana 🙌🙌👌👌
Uyu jamaa na alieimba wimbo wa jay melody watakua wasanii wakubwa sana
Uyu jamaaa😂😂🔥🔥🔥
Nimekubali 1000%
Aiseeee umetisha balaaaa
Kajama kanaimba sana bwana ❤
Congratulations keep it up good job ❤❤❤❤❤
100% Nampa zote Kwa Kweli mungu ambless! 🔥
Dogo kauwa sio pouwa
Vaipu Kali sanaaaa
Uyu jamaa alivyo ingia ingia nikajuwa wale comedia kumbe anakitu safi sana
dogo ana confidence sana,, I like it
His verry talented ❤😂😊
Kaka Rajab ongera sana😂😂😂❤❤
Jamaa yupo vizuri aiseee🔥
😁😁😁kisha uyu dogo anaimba kwakweli sauti nzuri,aweke kwanza comedy pembeni kisha afanye kilicho mleta naoana kama atafika mbali kwenye BSS
Huyu kijana ni mmeru pure
Naiwedhaaaa😂😂 iyo iyo
Ndugu zangu kuna watu wanajua mpk wanapitiliza aisee😅
Diamond angemchukua huyu dogo anajua mpk kapitiliza
Katishaaaaaaa
Ila rajabu
Huyu akitoboa atakuwa bonge la chawa 😂😂😂
😂😂
Huuuu ni motooo
Yani mimi mpaka sasaivi bado nacheka😂😂😂😂😂 tangu saa moja na nusu
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂yani nimecheka hadi machozi😅😅😅
Huyu jama noma sana aje na guitar kabisa atatisha kinomanoma!
Namkubali sana mtu wangu
Ambia shilole akupe kazi
Kachangamka adi Raha
Mpaka rahaa😂😂
Nmerudiaaa mpka bando limeishaa.....dogo alivojibu kaz anaiwezaaaa😂😂😂😂😂
Anajuaaaaaa
Kauwa huyo kaka😂
Watoto wa shishi wataolewa mama yao akifaliki.kwasababu wakuringana nao wanampenda mama yao. Shishi unapendwa
Keep it up rajab
Hii imeenda😂😂😂😂
Yani dogo katisha hadi raha, huwa sina tabia yaku comment mpaka kanifanya ni comment 😂😂😂😂
😂😂😂😂confidence yake tu
I love uyu kaka sichoki kumuagaliya
Bingwa ametisha
bongo bhan
my MoMA favorite song❤
Km mzee Abdul juma
😂😂😂😂😂jamn wee kaka ww umenifurahisha
Confidence 98%
Hiiii bss ya mkoa gani please nataka kuangalia full
Wowowoow 🎉🎉🎉🎉🤸♀️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️
Yani ukiona mpaka master J anacheka😂ujue sio poa
Hhhh sema fogo anaongea mcheshi sana
Anajua
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Ana sauti nzuri
Dogo anajua
Aje na guitar 🎸
Adiwameshindwa kumuuliza ninihilo alilolivaa shingoni ninaning'inia 😂😂😂😂😂😂
mamtu ya hivi darasan yanapiga kelele mwish wa mtihani kagonga one😂
lijamaa limeuwa mwanza na na mwisho akauwa kabisaaaa😅😅
nimerudiarudia afu nachekacheka kanikosha kwa kwel 😊
He knows what he si doing
Una baya mwanangu Roja...😅😅😅😅
Dah😂
Mnemuach amalizie sasa😂
Kijana katisha saan 😅😅😅
Waooow
Mbna kafanana na dudulayo uyo
Dudulaayoo Nini?
Nahis ni baba ake c kasema hapo anaitwa rajabu abdul
❤❤❤❤
Shishi ananyota ya watoto wake.wale wangekuwa wakwe kwake ndo wanampenda.dogo katisha
🔥
Jamaaa sauti anayo
anajua huyu. hivi yuko wapi saiv?? alipita round two au aliishia apoapo round two..😀😀😀
Rajabu Abdul kama sura ya Mzee Abdul wa Diamond
Shishi mwenyewe kalegea kbs Et jina la Mume wangu hilooo huku anarembua kbs ase dogo umejua kuteka hisia za mtu uko vzr
Chaming
Nilizani atakuwa kama watu wa chuga yaani anachekesha tu af ki oratorioaji cha kuimba 0
Yani hao amna ki2 shi nikubalu mm nkupe kazi
😂😂😂😂😂😂😂😂👌🏽👌🏽👌🏽
😂😂❤
Dogo kapowa saana
Ivi rajabu Yuko wapi??????
Bro utafungiwa na basata😂
🎉
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂❤❤❤
Tumemumis mashabiki jamani
tunaangaika kutafuta kazi kumbe mjini msingi kiuno