Skia alichoimbiwa Salama na shabiki, Hujui mtu katoka wapi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ค. 2022
  • Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 12 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
    :Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
    Bongo Star Search
    Follow Our Pages
    Facebook: / bongostarsearch
    Twitter: / bongostarsearch
    Instagram: / bongostarsearch
    SnapChat: BongoStarSearch
    TikTok: bongostarsearch
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: / slidedigitaltz
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 245

  • @juliusmogere7466
    @juliusmogere7466 ปีที่แล้ว +10

    Love from Kenya. Love you judges, masterj, salama and chief judge pulsen rita

  • @jacobjones9603
    @jacobjones9603 ปีที่แล้ว +1

    You guys hamfai kuwa majaji...mnaeza mfanya mtu akajinyonge tu sio vizuri

  • @aliben9
    @aliben9 ปีที่แล้ว +7

    One of the best Tv show in Africa. We really miss this show, please guys bring it back soon,#BSS4LIFE❤️

  • @rachealhalima4162
    @rachealhalima4162 ปีที่แล้ว +2

    Someone to came spare my ribs 😂🤣🤣nmecheka adi basii BONGO STAR SEARCH love you guys way from Kenya 🇰🇪

  • @tigerclassic-
    @tigerclassic- ปีที่แล้ว +20

    Laizer from Kenya sometime Salama mnakatiza vijana hopes Kwenye mziki

    • @nundamalickofficial9538
      @nundamalickofficial9538 ปีที่แล้ว

      Kweli

    • @stanleysenzota3180
      @stanleysenzota3180 ปีที่แล้ว

      Master jay,salama,madam,na ommy dimpoz nawashangaa sana....MTU HATA KAMA HAJUI MZIKI (MTAZAMO WENU)MUELEZEN KAKOSEA WAP....,KWA KIFUPI SALAMA HUJUI MZIKI...MADAMU RITA HUJUI MZIKI..DIMPOZ MZIKI UNAUJUA ILA UNAAMUA KUWA KIZIWI

    • @Shadya-ju2el
      @Shadya-ju2el 8 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ila bbs jmn kunavituko

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 ปีที่แล้ว +4

    Wimbo wa kumsifu salama ni mzuri bana

  • @Abdulhamid_Suleiman
    @Abdulhamid_Suleiman ปีที่แล้ว +2

    Bangi mbaya sana Asee 😂 wamemuibia

  • @alexlingwendu6780
    @alexlingwendu6780 ปีที่แล้ว +5

    Jamaa Alie Rap kwa ajili salama .Anajua Asee.

    • @materulivin5921
      @materulivin5921 ปีที่แล้ว +1

      Kwakweli sema wanazingua kina salama

    • @ayubuamsonjr9437
      @ayubuamsonjr9437 8 หลายเดือนก่อน

      🙌🏾🙌🏾🙌🏾🔥

  • @mwasoprince3459
    @mwasoprince3459 ปีที่แล้ว +5

    Ushauri wangu wasanii watanzania mkiona mnajua kuimba nenda studio tu uterekodi utasapotiwa na wananchi ,vipesa vyenyewe vya hawa jamaa vya mandazi haviwezi kukupeleka popote. Hawa wenyewe no judge hapo usenge tu na dharau na kukatisha tamaa wasanii.

  • @emmanuelmasanja6040
    @emmanuelmasanja6040 ปีที่แล้ว +9

    watu wanapenda mziki lakini mziki hauwapendi

  • @thestoryteller6398
    @thestoryteller6398 ปีที่แล้ว +2

    i love the confidence of the first guy

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 ปีที่แล้ว +5

    Uyo mama wa mwisho 😂😂😂😂🙌🏻

  • @user-id4it1wz8m
    @user-id4it1wz8m 8 หลายเดือนก่อน

    Wangebadilisha izo mbwaaa

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 ปีที่แล้ว +3

    Kwa gitaa yupo vizuri

  • @roi2554
    @roi2554 8 หลายเดือนก่อน +1

    Maatata kweli kweli 😂😂😂

  • @MahraMansoor5969
    @MahraMansoor5969 8 หลายเดือนก่อน

    Nampenda shishi jamani na salama mashaa allah wanavituko muster J umeibiwa viatu pole Aunt rita punguza English shishi mnamkera 🤣🤣🤣 nawapenda from uk 🇬🇧

  • @mohamedschaeublin7374
    @mohamedschaeublin7374 ปีที่แล้ว +12

    Please Judges ama Salama and Co, Heshima kidogo kwa Hao Wasio na vipaji wanao bahatisha , don't Disrespect them..

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 7 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂kaibiwaaaa

  • @quintertheebestnanny1875
    @quintertheebestnanny1875 ปีที่แล้ว +9

    Hata nyie mna stivo simple boy😂😂😂

    • @IN-ny2kb
      @IN-ny2kb ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂

    • @lynlk2346
      @lynlk2346 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂

  • @jacquilinenoah949
    @jacquilinenoah949 ปีที่แล้ว +7

    uyu mama wa mwisho ataniua🤣🤣🤣🤣

  • @hejopantumsifusimon21
    @hejopantumsifusimon21 ปีที่แล้ว +2

    mm simpendi salama anakatixha tamaa

  • @ibramayno8447
    @ibramayno8447 ปีที่แล้ว +2

    Daaaah hii show bhana huwa na uwaki flani

  • @manirambonazaza3332
    @manirambonazaza3332 ปีที่แล้ว

    Polenii wenye kwenda kuiimba duuu wana towa noma kishenz muna roh ngum

  • @marysaituni4584
    @marysaituni4584 ปีที่แล้ว +1

    Imani mola akuongoze kama unajiamini inatosha

  • @hamiskadogo8665
    @hamiskadogo8665 ปีที่แล้ว

    Hicho kidada kina roho mbayaaaa sura imekakomaaaa kama kanalimwa Salama mshenzi sanaaa utazani kana maisha mazri hovyo tu

  • @Nominated207
    @Nominated207 ปีที่แล้ว +4

    Huyu dimpoz kama msenge yani unakatisha watu tamaa kiasi hiko cha kisenge mpe mtuu nafasi lazima ujue anaimba nn anahitaji nini yupo kama choko

    • @mchilangaakomwaninyoyakwe8399
      @mchilangaakomwaninyoyakwe8399 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁😁😁😁😁😁

  • @naomilyoto1977
    @naomilyoto1977 ปีที่แล้ว +3

    Watu wanapenda mzik ila mziki awapendi

  • @user-ho2ql1zc2z
    @user-ho2ql1zc2z 7 หลายเดือนก่อน

    Iko vizur

  • @batistkatumbi782
    @batistkatumbi782 ปีที่แล้ว +2

    Huyo mama jaman🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kachangamka

  • @Wildwolf254
    @Wildwolf254 ปีที่แล้ว

    Kazi ipo!

  • @djtalkido2547
    @djtalkido2547 ปีที่แล้ว +4

    Nianze kazi😂🤣

  • @OfficialeugennyPro6130
    @OfficialeugennyPro6130 ปีที่แล้ว +8

    Salama we ni mnafiki asee

    • @jrsaid4270
      @jrsaid4270 ปีที่แล้ว

      Salama mwenyew katoboa pua ana fikiri ana nn

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 7 หลายเดือนก่อน +1

    Sema mapengo ndo shida😂😂😂

  • @fatimamv2723
    @fatimamv2723 ปีที่แล้ว +4

    🤣🤣🤣🤣mm Huwa naangalia nikichekaa

  • @tusmokinana3836
    @tusmokinana3836 ปีที่แล้ว +4

    🤣🤣🤣🤣napenda bss kwa ajili ya kucheka tu

    • @vj8313
      @vj8313 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣

  • @georgenorasco1705
    @georgenorasco1705 ปีที่แล้ว

    Nyie majaji hovyo sana hamfai kabisa, Bora waje watu wengne nyie mnadharau sana mnakejeri vijana wetu

  • @cleophasmkungu623
    @cleophasmkungu623 ปีที่แล้ว

    Huhuuu, ila wabongo tunatisha. Nesi anapenda kuimba kuliko kazi yake.

  • @OtavinaMsigala-xx5bl
    @OtavinaMsigala-xx5bl 7 หลายเดือนก่อน

    Salama mjinga sana hayo macho sasa....

  • @georgenorasco1705
    @georgenorasco1705 ปีที่แล้ว

    Mnadharau sana

  • @christinaonditi9341
    @christinaonditi9341 ปีที่แล้ว +1

    Dah

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j ปีที่แล้ว +3

    Omi anasema legeza jicho basi🤣🤣🤣

  • @ameirameir4930
    @ameirameir4930 ปีที่แล้ว +1

    Kwa kweli majaji hamjajua lengo la kazi yenu ni nini nyinyi wenyenu mnatakiwa mpate shule kiukweli mnatakiwa kuwatia moyo vijana hata akifika hpo kijana amethubutu

  • @mussakuntu7702
    @mussakuntu7702 8 หลายเดือนก่อน

    Jamani mlio muona mwamba Alie ibiwa vitu vyake sm na redio akuje hapa

  • @Mrcmelody
    @Mrcmelody ปีที่แล้ว +1

    Kwanza ommy unakosoana mwenyewe unapima pima tu mbwa wewe🤣🤣

  • @rizikirobert4596
    @rizikirobert4596 ปีที่แล้ว

    Haaahaaaaaa kwanza pengo Ashike jembe akalimeeeee Iman

  • @noeljacob9644
    @noeljacob9644 ปีที่แล้ว

    Nesi yuko vizuri

  • @MoyiSanJose-eg1nr
    @MoyiSanJose-eg1nr 6 หลายเดือนก่อน

    Natamani nikuone, haha, huyu ndo Stivo Simple Boy wa Tz.

  • @user-mr5tk8oc3t
    @user-mr5tk8oc3t 7 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 uyu kaka alie ibiwa kanichekesha

  • @mody-guyngido2792
    @mody-guyngido2792 ปีที่แล้ว

    Wapeni watu Moyo wafarijike wazidi kufanya vizuri,na pili muwakosoe wanapokosea na warekebishe kipo.

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 ปีที่แล้ว +7

    Salama watu unawazodowa baadae wakitoka mnaona aibu hamjifunzi tu kutoka kwa Rajabu

    • @vickylupemba6055
      @vickylupemba6055 ปีที่แล้ว +3

      😂Anawazodowa!Haswa lugha siyo ya kibiashara, sifa tu

    • @mishikikoti2948
      @mishikikoti2948 ปีที่แล้ว +2

      Rajabu ndo kayumba ?

    • @fathimamct232
      @fathimamct232 ปีที่แล้ว +2

      @@mishikikoti2948 Hapana Rajabu ni Harmonize

    • @mishikikoti2948
      @mishikikoti2948 ปีที่แล้ว

      @@fathimamct232 ahaa ok

  • @papangoda229
    @papangoda229 ปีที่แล้ว

    Daah aseee noma

  • @mrben227
    @mrben227 7 หลายเดือนก่อน

    Yeah ,majaji munatakiwa kuwa na lugha nzuri kwa wale ambao hawana vipaji na si kuwakashifu

  • @emmanuelernest3596
    @emmanuelernest3596 ปีที่แล้ว

    Majaji mna moyo sana mungu awabariki😅😅😅😜

  • @bondokeyofficial5273
    @bondokeyofficial5273 ปีที่แล้ว +3

    Bss michosho watu wanajua lakini wanabadiwa mfano mzuri ni harmoniz aliambiwa hajui Saiz ndio hyo

    • @fefeonlyme5394
      @fefeonlyme5394 ปีที่แล้ว

      Alikuwa hajui zaman..angalia zman na sasa hvi

    • @florianminja1127
      @florianminja1127 ปีที่แล้ว

      Mtu kama uyo imani unataka kusemaje

  • @joaniminza9618
    @joaniminza9618 ปีที่แล้ว

    I never understand why Master J anakichukia kiingereza, anyway much love from Kenya

  • @zuenajohn8325
    @zuenajohn8325 ปีที่แล้ว

    Gita tofauti kuimba tofauti

  • @user-si7yn1pg2y
    @user-si7yn1pg2y 7 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂 wimbo wa tuma 😅😅😅😅

  • @Ebendentalclinic
    @Ebendentalclinic ปีที่แล้ว

    hahahahaa ila mnakutanaga na mambo aiseee huyo mama hapo😂😂😂😂

  • @mwananjesafari2547
    @mwananjesafari2547 ปีที่แล้ว +1

    Huyo nesi katoroka Mirembe maana sikwa wimbo huo

  • @abelyphilimon8415
    @abelyphilimon8415 ปีที่แล้ว +2

    Achen kujiona mungu watu

  • @georgenorasco1705
    @georgenorasco1705 ปีที่แล้ว

    Mnatukera sana

  • @manrakizagervais4418
    @manrakizagervais4418 7 หลายเดือนก่อน

    Hahaha😂😂😂yani madam Rita mnamyoyo kwakweli

  • @gaudenciaantony5523
    @gaudenciaantony5523 ปีที่แล้ว +1

    Huyu wa mwisho yupo serious kweli

  • @veronicamnico4773
    @veronicamnico4773 8 หลายเดือนก่อน

    MUNGU wangu nimecheka duh🤣🤣🤣

  • @hadijasalim7769
    @hadijasalim7769 8 หลายเดือนก่อน

    Shishi anaongea sana hatuliyi ajitahidi kidogo tunamupenda

  • @zoransarich1176
    @zoransarich1176 ปีที่แล้ว +1

    Salama Yan sijui unaloho gan unawakatisha tamaa wenzako

  • @robertokasike4824
    @robertokasike4824 ปีที่แล้ว

    Hivi mpo hapo kama watafuta vipaji au kuwakatisha vijana tamaa maana sioni mkisimama kama wasaka vipaji mmesimama kama mahakimu mmesahau kama mpo kwajili ya kuwaweka sawa vijana katika uimbaji wao.

  • @ndama_shekwavi9552
    @ndama_shekwavi9552 ปีที่แล้ว

    Ila dah

  • @nabiichrisstv
    @nabiichrisstv 2 หลายเดือนก่อน

    Hasira✓ Sio( asiraX) 😂😂😂😂

  • @happynessmasusu3752
    @happynessmasusu3752 ปีที่แล้ว +6

    Nimecheka Kama mazur vile😁😁😁

  • @LuciaGodfrey-sk6lz
    @LuciaGodfrey-sk6lz 8 หลายเดือนก่อน

    😅😅😅😅😅ila mnakatsha tamaa mwee😂😂😂

  • @bigdaddy_faustinjumong4427
    @bigdaddy_faustinjumong4427 ปีที่แล้ว +2

    Huuuu mwaka hakuna #BSS

  • @saidjafary2000
    @saidjafary2000 ปีที่แล้ว +2

    Salama jifunze kuwa mvumilivu

  • @fefeonlyme5394
    @fefeonlyme5394 ปีที่แล้ว +2

    Uyu mama nisimame wapi katikati😂😂😂😂😂😂

    • @flova7022
      @flova7022 ปีที่แล้ว

      Hahahahahaha Hawa wataniuaaa mm...dahh hata kama mi sio fundi kivile WA kuimba Ila dahh

  • @Shamimuhamisshamim
    @Shamimuhamisshamim 7 หลายเดือนก่อน

    Nyie majaji washez sana achen zalau wapumbavu wakubwa

  • @abdimalikabdulaziz4954
    @abdimalikabdulaziz4954 8 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 nimecmama kwenye konaa....nesi jaman😂😂😂

  • @user-er2yf9sl9b
    @user-er2yf9sl9b 8 หลายเดือนก่อน

    Huyu mama wa mwisho jamani nimempenda 🤪🤪🤪

  • @mariamramadhani3860
    @mariamramadhani3860 ปีที่แล้ว +1

    Maisha haya

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 7 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂 hatari sana 🤣🤣

  • @demikel
    @demikel ปีที่แล้ว +34

    bongo star search is unprofessional. majaji wana dharau na kudhalilisha wasanii watu hawa sio kama hawana mambo ya kufanya ila mtu anapo amini kuwa anakipaji si vyema kumkashifu, kwa kuwa wapo watu wa aina tofauti wapo amabao ukiwacrush watajiuliza na kufanya juhudi na kufanya marekebisho na wapo ambao ukiwacrush wataumia sana na hawatoweza kunyanyuka tena. Hili suala liangaliwe tena na tena majaji wana lugha chafu hawastahili kutukana wasanii.

    • @rtp9010
      @rtp9010 ปีที่แล้ว +6

      Hakuna cha kudhalilisha, we huoni hao washiriki jinsi wasivyo serious ndugu!!!? Washiriki wanazingua na wako wengi, lazima jaji awe na wenge

    • @demikel
      @demikel ปีที่แล้ว +2

      @@rtp9010 mfano, chukua harmonize alivyo enda bss je? alienda kama mzinguaji? je alifanya hayo masihara ? je unakumbuka majibu gani alipewa na salama pamoja na master j? unadhani kwa uimbaji ambao Harmonize alionyesha ile siku alistahili yale majibu kutoka kwa wale majaji? ila hakukata tamaa aliinuka na kusonga mbele mpaka sasa ni msanii mkubwa je vp kama angekata tamaa kwa yale maneno angekuwa wapi ?? point ni wapo watu wenye vipaji vya kawaida ambao wanahitaji mazoezi au mafunzo zaidi ili wang'ae na ndio maana Harmonize alipo enda wasafi alipewa mafunzo zaidi mpaka ndio maana sasa yupo pale watu kama hapo wanaenda na watukanwa na majaji. Ndio maana kama umegundua wengi wa wenye vipaji vya mziki hawajisumbui na Bss.

    • @emmanuelchilongola5804
      @emmanuelchilongola5804 ปีที่แล้ว

      Nice

    • @mariaalmack3686
      @mariaalmack3686 8 หลายเดือนก่อน +2

      @@demikel harmo alikua bado ndo akaenda kujipng

    • @johmarleyofficial8460
      @johmarleyofficial8460 8 หลายเดือนก่อน

      Real talk maniga wak n dharau

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 ปีที่แล้ว +1

    Nyimbo za kuimba kilabuni yeye anaomba kwenye mashindano jamani

  • @pellahmdee9189
    @pellahmdee9189 ปีที่แล้ว

    Ila uyooo mamaa....duh😁😁😁

  • @deusmallya6932
    @deusmallya6932 ปีที่แล้ว +1

    Washiriki msikate tamaa hata Konde boy halibaniwaga

  • @suhaylahabdallah8947
    @suhaylahabdallah8947 ปีที่แล้ว

    😘

  • @maryevarist8583
    @maryevarist8583 ปีที่แล้ว +1

    Ila salama anakatisha tamaa jmn

  • @georgenorasco1705
    @georgenorasco1705 ปีที่แล้ว

    Ila humu kunavituko sana da

  • @robertokasike4824
    @robertokasike4824 ปีที่แล้ว +1

    Ommy dimpoz punguza kiherehere

  • @raajtz8073
    @raajtz8073 ปีที่แล้ว +2

    Hiv bss inaanza lin tena niende na mm

  • @sifamushi1747
    @sifamushi1747 ปีที่แล้ว

    Majaji ifike mahali nanyi MJIFUNZE KUA WATULIVU MTU AIMBE ATA sekunde 10 kabla hamjanza kumcheka mtu kwa kejeli ( PAMOJA awa HAWAJUI KUIMBA KABISAA, LAKIN AT LEAST WOTE MKAE KIMYA MTU AKIANZA KUIMBA. Perhaps after 10 seconds ndo muanze kujibu on either way..

  • @medy-thebrandtv6688
    @medy-thebrandtv6688 7 หลายเดือนก่อน

    Hapana majaji wapo sahihi kabisa challenges ndio zitakupandisha ukiumizwa na kauli zao hutoenda kokote ndio maana Harmonize akuishia hapo alikuwa hawez kwel but alipambana i hope you got me bruh

  • @jacklinebrightness4513
    @jacklinebrightness4513 ปีที่แล้ว

    Imani🤣🤣

  • @princephiri6355
    @princephiri6355 ปีที่แล้ว

    Niwajinga saana,kuliko wamuache msani amalize kuimba wanakatikiza kwa dharau

  • @sophiankwera9020
    @sophiankwera9020 ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣🤣🤣eeee Kuna Watu wanachekesha

  • @angelnchimbi1941
    @angelnchimbi1941 8 หลายเดือนก่อน

    Huyu mama jmn

  • @mwanahamisahmada7379
    @mwanahamisahmada7379 ปีที่แล้ว

    Yaan Salam Salam acha mamb hay we sikupend Kwa unavo kodovow wenzio mgh

  • @hassanissa4145
    @hassanissa4145 ปีที่แล้ว

    Bongo starsach kunasiku inanihusu lkn nadhani kuna jaji lazima nitokenae kwa mabao ya roho

  • @Nashondaniel
    @Nashondaniel ปีที่แล้ว

    Salama jaman unavunja Moyo watu🤣🤣

  • @peterkichochi7510
    @peterkichochi7510 ปีที่แล้ว +2

    Hadi nimechelewa kazini, jamani usijaribu kujiua, Mungu anaendelea kuleta watu

  • @salamagoyal4399
    @salamagoyal4399 ปีที่แล้ว

    na hiyo hapo inaimbwa hvhv yani😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @carolinecharles9781
    @carolinecharles9781 ปีที่แล้ว

    Master j huyu jamaa ana kipaji