Skia alichoimbiwa Salama na shabiki, Hujui mtu katoka wapi
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ค. 2022
- Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 12 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz - บันเทิง
Love from Kenya. Love you judges, masterj, salama and chief judge pulsen rita
957
You guys hamfai kuwa majaji...mnaeza mfanya mtu akajinyonge tu sio vizuri
One of the best Tv show in Africa. We really miss this show, please guys bring it back soon,#BSS4LIFE❤️
Someone to came spare my ribs 😂🤣🤣nmecheka adi basii BONGO STAR SEARCH love you guys way from Kenya 🇰🇪
Laizer from Kenya sometime Salama mnakatiza vijana hopes Kwenye mziki
Kweli
Master jay,salama,madam,na ommy dimpoz nawashangaa sana....MTU HATA KAMA HAJUI MZIKI (MTAZAMO WENU)MUELEZEN KAKOSEA WAP....,KWA KIFUPI SALAMA HUJUI MZIKI...MADAMU RITA HUJUI MZIKI..DIMPOZ MZIKI UNAUJUA ILA UNAAMUA KUWA KIZIWI
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ila bbs jmn kunavituko
Wimbo wa kumsifu salama ni mzuri bana
Bangi mbaya sana Asee 😂 wamemuibia
Jamaa Alie Rap kwa ajili salama .Anajua Asee.
Kwakweli sema wanazingua kina salama
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🔥
Ushauri wangu wasanii watanzania mkiona mnajua kuimba nenda studio tu uterekodi utasapotiwa na wananchi ,vipesa vyenyewe vya hawa jamaa vya mandazi haviwezi kukupeleka popote. Hawa wenyewe no judge hapo usenge tu na dharau na kukatisha tamaa wasanii.
Ahaaaaa
watu wanapenda mziki lakini mziki hauwapendi
i love the confidence of the first guy
Uyo mama wa mwisho 😂😂😂😂🙌🏻
nmechekaaaa😂😂😂
Wangebadilisha izo mbwaaa
Kwa gitaa yupo vizuri
Maatata kweli kweli 😂😂😂
Nampenda shishi jamani na salama mashaa allah wanavituko muster J umeibiwa viatu pole Aunt rita punguza English shishi mnamkera 🤣🤣🤣 nawapenda from uk 🇬🇧
Please Judges ama Salama and Co, Heshima kidogo kwa Hao Wasio na vipaji wanao bahatisha , don't Disrespect them..
😂😂😂😂😂kaibiwaaaa
Hata nyie mna stivo simple boy😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
uyu mama wa mwisho ataniua🤣🤣🤣🤣
Haibu jamani
Hahaha
mm simpendi salama anakatixha tamaa
Daaaah hii show bhana huwa na uwaki flani
Polenii wenye kwenda kuiimba duuu wana towa noma kishenz muna roh ngum
Imani mola akuongoze kama unajiamini inatosha
Hicho kidada kina roho mbayaaaa sura imekakomaaaa kama kanalimwa Salama mshenzi sanaaa utazani kana maisha mazri hovyo tu
Huyu dimpoz kama msenge yani unakatisha watu tamaa kiasi hiko cha kisenge mpe mtuu nafasi lazima ujue anaimba nn anahitaji nini yupo kama choko
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁😁😁😁😁😁
Watu wanapenda mzik ila mziki awapendi
Iko vizur
Huyo mama jaman🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kachangamka
Kazi ipo!
Nianze kazi😂🤣
Salama we ni mnafiki asee
Salama mwenyew katoboa pua ana fikiri ana nn
Sema mapengo ndo shida😂😂😂
🤣🤣🤣🤣mm Huwa naangalia nikichekaa
🤣🤣🤣🤣napenda bss kwa ajili ya kucheka tu
🤣🤣🤣🤣
Nyie majaji hovyo sana hamfai kabisa, Bora waje watu wengne nyie mnadharau sana mnakejeri vijana wetu
Huhuuu, ila wabongo tunatisha. Nesi anapenda kuimba kuliko kazi yake.
Ajali ya ndege
Salama mjinga sana hayo macho sasa....
Mnadharau sana
Dah
Omi anasema legeza jicho basi🤣🤣🤣
Kwa kweli majaji hamjajua lengo la kazi yenu ni nini nyinyi wenyenu mnatakiwa mpate shule kiukweli mnatakiwa kuwatia moyo vijana hata akifika hpo kijana amethubutu
Jamani mlio muona mwamba Alie ibiwa vitu vyake sm na redio akuje hapa
Kwanza ommy unakosoana mwenyewe unapima pima tu mbwa wewe🤣🤣
Haaahaaaaaa kwanza pengo Ashike jembe akalimeeeee Iman
Nesi yuko vizuri
Natamani nikuone, haha, huyu ndo Stivo Simple Boy wa Tz.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 uyu kaka alie ibiwa kanichekesha
Wapeni watu Moyo wafarijike wazidi kufanya vizuri,na pili muwakosoe wanapokosea na warekebishe kipo.
Salama watu unawazodowa baadae wakitoka mnaona aibu hamjifunzi tu kutoka kwa Rajabu
😂Anawazodowa!Haswa lugha siyo ya kibiashara, sifa tu
Rajabu ndo kayumba ?
@@mishikikoti2948 Hapana Rajabu ni Harmonize
@@fathimamct232 ahaa ok
Daah aseee noma
Yeah ,majaji munatakiwa kuwa na lugha nzuri kwa wale ambao hawana vipaji na si kuwakashifu
Majaji mna moyo sana mungu awabariki😅😅😅😜
Bss michosho watu wanajua lakini wanabadiwa mfano mzuri ni harmoniz aliambiwa hajui Saiz ndio hyo
Alikuwa hajui zaman..angalia zman na sasa hvi
Mtu kama uyo imani unataka kusemaje
I never understand why Master J anakichukia kiingereza, anyway much love from Kenya
Gita tofauti kuimba tofauti
😂😂😂😂😂 wimbo wa tuma 😅😅😅😅
hahahahaa ila mnakutanaga na mambo aiseee huyo mama hapo😂😂😂😂
Huyo nesi katoroka Mirembe maana sikwa wimbo huo
Achen kujiona mungu watu
Mnatukera sana
Hahaha😂😂😂yani madam Rita mnamyoyo kwakweli
Huyu wa mwisho yupo serious kweli
MUNGU wangu nimecheka duh🤣🤣🤣
Shishi anaongea sana hatuliyi ajitahidi kidogo tunamupenda
Salama Yan sijui unaloho gan unawakatisha tamaa wenzako
Hivi mpo hapo kama watafuta vipaji au kuwakatisha vijana tamaa maana sioni mkisimama kama wasaka vipaji mmesimama kama mahakimu mmesahau kama mpo kwajili ya kuwaweka sawa vijana katika uimbaji wao.
Ila dah
Hasira✓ Sio( asiraX) 😂😂😂😂
Nimecheka Kama mazur vile😁😁😁
😅😅😅😅😅ila mnakatsha tamaa mwee😂😂😂
Huuuu mwaka hakuna #BSS
Salama jifunze kuwa mvumilivu
Uyu mama nisimame wapi katikati😂😂😂😂😂😂
Hahahahahaha Hawa wataniuaaa mm...dahh hata kama mi sio fundi kivile WA kuimba Ila dahh
Nyie majaji washez sana achen zalau wapumbavu wakubwa
😂😂😂 nimecmama kwenye konaa....nesi jaman😂😂😂
Huyu mama wa mwisho jamani nimempenda 🤪🤪🤪
Maisha haya
😂😂😂😂 hatari sana 🤣🤣
bongo star search is unprofessional. majaji wana dharau na kudhalilisha wasanii watu hawa sio kama hawana mambo ya kufanya ila mtu anapo amini kuwa anakipaji si vyema kumkashifu, kwa kuwa wapo watu wa aina tofauti wapo amabao ukiwacrush watajiuliza na kufanya juhudi na kufanya marekebisho na wapo ambao ukiwacrush wataumia sana na hawatoweza kunyanyuka tena. Hili suala liangaliwe tena na tena majaji wana lugha chafu hawastahili kutukana wasanii.
Hakuna cha kudhalilisha, we huoni hao washiriki jinsi wasivyo serious ndugu!!!? Washiriki wanazingua na wako wengi, lazima jaji awe na wenge
@@rtp9010 mfano, chukua harmonize alivyo enda bss je? alienda kama mzinguaji? je alifanya hayo masihara ? je unakumbuka majibu gani alipewa na salama pamoja na master j? unadhani kwa uimbaji ambao Harmonize alionyesha ile siku alistahili yale majibu kutoka kwa wale majaji? ila hakukata tamaa aliinuka na kusonga mbele mpaka sasa ni msanii mkubwa je vp kama angekata tamaa kwa yale maneno angekuwa wapi ?? point ni wapo watu wenye vipaji vya kawaida ambao wanahitaji mazoezi au mafunzo zaidi ili wang'ae na ndio maana Harmonize alipo enda wasafi alipewa mafunzo zaidi mpaka ndio maana sasa yupo pale watu kama hapo wanaenda na watukanwa na majaji. Ndio maana kama umegundua wengi wa wenye vipaji vya mziki hawajisumbui na Bss.
Nice
@@demikel harmo alikua bado ndo akaenda kujipng
Real talk maniga wak n dharau
Nyimbo za kuimba kilabuni yeye anaomba kwenye mashindano jamani
Ila uyooo mamaa....duh😁😁😁
Washiriki msikate tamaa hata Konde boy halibaniwaga
😘
Ila salama anakatisha tamaa jmn
Ila humu kunavituko sana da
Ommy dimpoz punguza kiherehere
Hiv bss inaanza lin tena niende na mm
Twendezetu tukashushuliwe
Amnaa usiamini hivoo
Majaji ifike mahali nanyi MJIFUNZE KUA WATULIVU MTU AIMBE ATA sekunde 10 kabla hamjanza kumcheka mtu kwa kejeli ( PAMOJA awa HAWAJUI KUIMBA KABISAA, LAKIN AT LEAST WOTE MKAE KIMYA MTU AKIANZA KUIMBA. Perhaps after 10 seconds ndo muanze kujibu on either way..
Hapana majaji wapo sahihi kabisa challenges ndio zitakupandisha ukiumizwa na kauli zao hutoenda kokote ndio maana Harmonize akuishia hapo alikuwa hawez kwel but alipambana i hope you got me bruh
Imani🤣🤣
Niwajinga saana,kuliko wamuache msani amalize kuimba wanakatikiza kwa dharau
🤣🤣🤣🤣🤣eeee Kuna Watu wanachekesha
Huyu mama jmn
Yaan Salam Salam acha mamb hay we sikupend Kwa unavo kodovow wenzio mgh
Bongo starsach kunasiku inanihusu lkn nadhani kuna jaji lazima nitokenae kwa mabao ya roho
Salama jaman unavunja Moyo watu🤣🤣
Hadi nimechelewa kazini, jamani usijaribu kujiua, Mungu anaendelea kuleta watu
na hiyo hapo inaimbwa hvhv yani😅😅😅😅😅😅😅😅
Master j huyu jamaa ana kipaji