MCHUNGAJI KASHASHA ABANWA Muhubiri Mwaupopo ANATAKA ANDIKO LINALOSEMA YESU NI *MUNGU*
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 23 ก.ค. 2021
- #SHEIKHMWAIPOPO #MUHUBIRIMWAIPOPO #SHEIKHMWAIPOPOTV
Tafadhali Usiache KuSubscribe katika Channel hii ya TH-cam ya SHEIKH MWAIPOPO TV..Like pamoja na kusharekwa wengine hili wapatwe na Kheri kutoka kwa Sheikh wetu Mhadhiri Said Mwaipopo.MAWASILIANO ZAIDI TUPIGIE:+255 756 361 906..................من فضلك لا تتوقف عن الاشتراك في قناة الشيخ موايبوبو التلفزيونية على يوتيوب..مثل مع المشاركةللآخرين ليتم استدعاؤهم من قبل خيري من الشيخ المحاضر سعيد موايبوبو.
Ishallah one day kashasha atasirimu
Yes siyo mungu
Mwenyezi Mungu Alinde walimu wa hii mikutano, awaepushe na mashetani na majini na wachawi wanao ingilia kati na kukwaza nyoyo za watu hali ya kua wao ni wapotofu. Mikutano iwe yenye manufaa. Wajisalimishe kwa Mungu na Nuru yake itawale
Mansha Allah 🤲🤲 Allah akupe nguvu
Mwaipopo Allah akulinde akuoe subra kwa kazi ngumu unaoifanya na yaarab akujaalie IKHLASW..amiin
Shk Mwaipop,Allah atakulipa malipo mema leo duniani na kesho Aakhera.We surpporte you for your HARDWORK OF PRECHING QUR'AN.(ISMAIL YUSSUF ABDI BILE,HARGEISA,SOALILAND).
Namupenda mwaipopo jamani sheikh wetu unaweka haki vizuri masha Allah awo makafiri waace kukumaliza pumzi hawana elimu nawanayofanya ni offisadi tu
A aleikum kaka
Mashaallah sheikh mwaipopo nakupenda kwa ajili ya allah
Bwana yesu alikwenda chooni kufanya hajakubwa na dogo. Mungu wa kweli hawezi kwenda chooni hata siku moja
Mwenyezi mungu akubaliki sana mwaipopo uyo nabii feki kaingia kwenye kumi na nane
Allah Akupe nguvu Zaid sheikh wetu mwaipopo kwa hakika mwenye kuelewa kaelewa
Allah akusaidie Mtumishi na akupe nguvu wewe na wale mnao shirikiana.
Toa andiko yesu nimungu acha kuzunguka mbali mchungaji
Inalillah inalillah rajiun
inafurahisha sana.waislam wanajua bible kuliko wakristo hili tu wakristo wasomi wangesilimu mara moja
Dunia imekwisha mijadala hii kwa nyakati hizi kama hazisaidii sana kwani kila mtu kajifungia kwenye dini aliyorithi kuliko kujifunza na kutafakari ushindani utaendelea had I mwisho wamaisha siku mtu akifa diniyake itamsaidia au kumkimbia
Mwaipopo ulikuwa mchungaji ulieiosoma bibilia kwa utulivu Sana ndyo maana ukagundua kweli dini ya haki ni Uislam.ALLAH akulipe
mwaipopo upo sawa fanya kazi baba na Allah atawaonesha haki
Asalam alykum warahamtullah wabarakatuh,hivi ndivyo wikiristo walivyo maalezo mengi maandiko hawatowi,wapi andiko yesu mungu,