KIJANA WA MIAKA 17 ALIYEKUA ANANYONYA MAZIWA APONA BAADA YA MAMA YAKE KUFALIKI ADAI HAKI YAKE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
- #foxetv #hardmovement Bonyeza alama ya Subscribe kisha weka notification on ili kupata matukio yote kwa wepesi zaidi Asante.#FoxeTv Ni Bora Zaidi
.
.
.
.
.
.
.
.
©Instagram @FoxeTvTanzania tufollow sasa kwenye mtandao wetu wa kijamii
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Tag;
#video #bongomovie #truestory #majanga #mikasa #msaada #update #trendingvideo #trending #trendingnews #oman #omannews #omanchannel #omannewstoday #kenya #kenyanews #kenyadigitalnews #kenyanewsmedia #usa #usanews #america #american #amerika #tanzania #tanzaniasafari #tanzaniayetu #uganda #ugandanewsupdates #rwanda #rwandanmovies #burundi #burundinews #uchawi #mikasa #udakutz #udaku254 #ngono #VideoChafu #VideoXxx #Xxx #xxl #uchib #tikitv #tikitvkiakilizaidi #zanzibarbeach #maximumtvonline #maximumtv #DavistarMatal #mtoto #watoto #Ubakaji #diamondplatnumz #harmonize #comedy #comedyvideo #film #movie #movie #ayo #millardayo #millardayoupdates #GroblaUpdates #global #AingiliwaKinyume
Kweli uchawi upo uyu mzee alikua anamtumia kwa mambo yake saiv Khamiss anajitambua babu😂anatamani angekua kama mwanzo 😢😢😢 Daaah mwenyez mungu amlinde sana
Eti mama Khamis kafariki 😢😢😢pole sana kijana pia shukuru mngu kuondoka kwa mmako ndio kupona kwako
Kabisa 🤝💯
Huyu babu inawezekana yéyé ndiye mchawi aliye mutesa Huyu mtoto kabisa kijana fanya maamuzi Yako Mungu Yuko pamoja n'a wewe
Wee babu unajifanya tu, una act muongo stori za uongo. Kakojoeni mkalale hamna issue.
Sio inawezekana huyo Babu mchawi nenda kwa baba Yako Hamis atakuua
Kweli kabisa
@@MwanaishaShattry😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊❤😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊❤😊❤😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊❤😊😊😊😊😊❤😊😊😊❤😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊❤😊❤😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😂😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊❤😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊❤😊😊😊😊😊😊😊😊😊❤😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊❤😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊❤😊😊😊😊😊❤😊😊😊❤😊😊😊😊😊❤😊😊😊😊😊😊😊😊😊❤😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊❤😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊❤😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊❤😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊❤😊😊😊❤😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊❤😊😊❤😊😊😊😊😊😊❤❤😊😊😊😊😊❤😊😊😊😊❤😊😊😊😊😊😊😊😊❤😊😊😊😊😊❤😊😊😊😊❤😊😊❤😊😊😊😊❤😊❤😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊❤😊😊😊😊😊❤😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊❤😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊❤😊😊😊😊😊😊❤😊😊😊😊😊😊❤😊😊😊😊😊😊😊😊❤😊😊😊😊😊❤😊😊😊😊😊😊❤😊😊❤😊😊😊😊😊😊😊❤😊❤❤😊😊❤😊😊😊😊😊😊😊😊❤😊😊😊😊😊❤😊😊❤😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊'_'__5:
Hlldlm l
Yale mapepo yaliyokua kwa Hamisi yalirudi kumwangamiza mamake hongera sana
MAASHAALLAH UYO MTOTO MZULO SANA
Inaonesha huyu babu ni MCHAWI.
walimfanyia kitu hawashukuru Ako sawa mzee anasisitiza angebaki kunyonya nyonya simtu mzuri huyo hamisi wamempangia kumuuwa hamisi aombe sana maisha yake yako hatarini
Daaa mzeee mwangaaa jmn
Tena mm mpaka leo nina video zake za mwanzo alafu nilizani kiki 😢😢 pole sana Khamiss
Unaweza nipatia namba ya huu kijana nimusaidie pesa kidogo lakini iwe whatsap
@@Angependo9141 kazitaja hapo zisikize vizur
Hamisinenda tena kwenyemaombi santaym hatahuyo mbabu pia anaweza kufa
Huyo mzee anacheza COMEDY MTANDAONI sasa hii content ni ya kutengeneza mnatuibia MB zetu
Kwakweli
@@salmakinega7008we hukuona wakati ananyonya? 😢😢😢
Khamis ana heshima sana jaman huyu mjinga sana hivi yule babaake yuko wapi mtafuteni
Sina umuimu bwana Baraka zake yy zanini
Naomba khamis awe mtoto wangu jaman naomba namba zake nipo tayari kwa lolote la khamis imeniuma sana kumbe ilikua sio comedy ni kweli😢
😂😂😂😂😂 wazazi tumekosa utu tunaroga watt wetu sijui ni nin shida huyu mzee nae ni mchaw hajitambui hata kidog hajui na yy ipo siku atakufa mjinga san huyo mzee
Wee mzee mbaliki mjukuu wako aowe kwanza kakueshimu sana we unambania Kuna Nini hapo ? Mzee Kuna maisha mengine baada ya hii Dunia utaenda sema Nini huko? Acha hayo mambo
Uyo mzee nishida anamambo yakishilikina😊
Kijana kapendeza kweli alichukuliwa kichawi alivyoombewa Mungu kageuza kibao Hamis amua kuokoka watakutoa duniani kimbia kabisa Hamisi mzee anataka aendelee kumtumikisha kiuchawi
Huyu mzee sio mtu mzuri kabisa yy ndio mchawi kwa maisha ya huyu kijana, pray hard na uweke mungu mbele kwa kila jambo
Inaonyesha Hy babu n mchaw
Kijana kazana na MAOMBI ...usikate tamaa...
Mungu akupiganie ...
Babu mjukuu ameshakua mkubwa mruhusu akaowe jamani
Shetani mkubwa wewe ushidwe katika Jina layesu Amen
Wachungaji wamuolee . Hamisi achana na babu.mjukuu si mwana akilila mgale kwa mama yake. Babu hunabidhini na mtoto wa watu
Inshaallah mungu yupo
Chukuwa maamuzi hakuna laana ya babu kijana Yesu anaweza
Huyo babu ana honekana yeye ni mchawi kabisa 😮😮😮😮😮😮😮
Amua bwana huyo sio baba wala mama.Bibi na babu hawana idhini. Unapenda anyonye maziwa ya ng'ombe
Amen amen amen 🙏🙏🙏🙏 Utafanikiwa ata kma pado tumiaka itudogo ungegojea tu ka miaka 25 hivi lkn ka uko Naya kupea MKE WE FANYA VENYE LOHO YAKO INATAKA.
Asikuloge sehemu za siri zisifanye kazi omba saana kijana Mungu atakusaidia
Naomba mkachukue hamisi apelekwe kwenye kituo cha watotohuyu Mzee ni mchawi
kwaiyo wabongo wanaamini kama ni kweli ? akili ndogo sana hamuwezi kutofautisha uongo na ukweli shule ni muhimu sana
Huyu babu kamfunga binti yake na huyu mjukuu lkn Mungu alivyo vunja hicho kifungo kafariki 😢 Mungu nakushuru
Hii ni movie sio kwel Mbona huyu mzee kama anigiza vile 😮🤔
😂😂we kama mm unajuwa
@@RahimaMct-ik8mr na we umeona hata kama ni mbaya hawezi jioshesha dhahiri hivyo mbele za watu alafu maneno yake kama story flan wamepanga 🤔
Nikijana mzuri Sana mungu aendelee kumtunza
Mungu hajawahi kushindwa na hashindwi kamwe kamwe Hamisi ngangania Pindo la Yesu maombi yawe chakula chako usiku na mchana mkono wake ulio na uwezo mkuu usikupungukie 👋👋👋🔥🔥🔥
Amina kijana tegemea Mungu
Aiseee huyu mzee noma sana,yeye ndo mbaya wake.
Pepo mkubwa huyo shethani ashindwe milele Only God will make away for you son all will be well...in Jesus name
Hii drama ya kijijini. Wasanii hawa. Haya sasa, mmeshawapanga watanzania sasa muda wa penalty Hamis atoke. Hapo chacha.😅
Hiloooooo lichawi,😂 pengine walimfanya msukule! Roho mbaya! Kwa mama yake alikuwa ananyonyesha jini
Kijana familia Yako yakikeni wachawi zidi sana kumuomba mung nauondoke apo Kwa Babu ako Kaa mbali nawo
Kweli wachawi wanasura mbaya
Alitaka kumzikula huyu mzee
Mmeona mseme Mwanamke kafa ili kupoteza ushahidi
Huyu mzee anajielewa kweli😢😢
Huyo babu mwanga uyo
Imani yako itakuponya Khamis
Mungu yupo endelea kumuamini achana na uyo mzee hakutakii mema 22:53 2:47
😢😢😢 GOD first 🙏🙏🙏
Kwa hiyo huchukui BARAKA Bali mikosi tupu.kaa nae mbali huyo..Tena ujishike na Mungu Sana Sana wachawi hawaachi..ataoa kwa Jina la Yesu Kristo tunamtenga na nguvu zako za kuzimu..hatakuwa msukule wako kwa miaka 30
Tumeona wanga live😢😢😢 tulikuwa tunasikia tuu tumeyaona
Mungu ni mkubwa kuliko achawi,mliokaribu na mitaa hio fanyeni hima kumokoa huyo kijana inawezekana
Hilo jicho la babu duu. Alikuwa msukule.. Mungu ampe malaika wa kumlinda.
Mi nashauri huyu kijana aondoke huyo mzee mchawi na ndo chanzo Cha matatizo yote,amwamini Mungu aliyemuokoa na laana imrudie huyo mzee Kwa jina la Yesu,na amtafute baba yake
Huyu Babu hataki kijana amove on nikama yeye ndiye chanzo Cha shinda
Muone Babu anavyomtizama vibaya😢😢 Babu sio mtu mzuli
Eeeh alikuwa kamfanya zezeta apate hela maana hana kazi huyu baba anatoa wap hela za matumiz
Huyo mzee mchwi mkubwa kabisa ashindwe kwa jana la yesu.
Kweli
Huyu babu sio mzuri ana mambo anaficha na pia haoni raha vile Hamisi anajielewa
jamani musikilizeni huyu babu anavyoongea eti Bora angeendelea kunyonya huyu babu siyo Kwa muonekano huyo ndo chazo cha matatizo hongera hamisi kaza buti
Uyu babu ndio mchawi kwa I yeye ni mungu anasema kijana aoi mimi na mwamini mungu katika Jina la yesu kijana ataowa
Naomba huyo kijana akazane kuomba sana, kwa sababu babu yake anaonekana ni mchawi sana,yaani hapo bila maombi ya nguvu hakuna kitu.ila kwa
Mungu hakuna lisilo wezekana.kijana sali sana usioe kwanza tulia nenda kapambane kuomba.asifosi kuoa atulie asali naomba nakuombea pia mwanangu
Huyu babu daaa mbona anamkata jicho hivyoo huyu babu mchawi nahataki khamisi awenamaisha yake daaaa mtihani kweli
Hizi ni kiki huyu babu anaigizaga na vile vibinti viwili vyeupe vya kisukuma akina njeli
Babu mchawi kweli. Mungu amlinde huyu kinjana.
Huyo Babu atakuwa na matatizo Yani ni mchawi ila mungu anamuona
Duuuuuu dunia hii bila Mungu ni shidaaa tena zaidi ya shidaa
Bora angekufa huyu babu kumbe ndio mwanga jamsn mtafuteni babaake khamis uwe msaada kwake au nipeni mimi khamis ahame tanganyika na huyio mchumba wake
Mashallah mpambanie kheri iko kwa mungu
Uyo babu anaonesha ni mchawi
Alimgeza msukule eee mbona kamchukia Sana baba hamisi kumuokoa mwanawe
Ndio alimgeuza msukule
Huyo mzee atakuwa mhusika wa mambo ya kishirikina atakuwa nayeye alihusika ili aingize kipato chake kupitia huyo mjukuu wake
Kwelikabisa angalia maneno anayo ongea baraka znatoka kwa mungu
We Babu wewe Ni mchawi Kabisa na wewe chazo cha tatizo
Alimfanya Khamisi kuwa zezeta.
Wewe babu yake na Hamisi acha dhmbi na ushirikina uokoke kama Hamisi bila hivyo utaishia jehanamu ya moto wa milele usiogope kijana vitisho vya babu mchawi huyu asipotubu atakufa na dhambi zake akuache hai Kwa Jina la Yesu
Naomba uwe mdogo wang tushirikiane kwakila jambo mdogo wang
Mtafute please
Mungu yuko kijana be strong prayer is the key 🗝️🙏🙏🙏🙏 God will help you
Had nataman kutuma voice mzee mjinga san duuh
HUYU BABU NI MCHAWI.
Babu hilo jicho vepi kumwangalia mjukuu km x wako
Mtoto alikua hawezi hatakuongea lakini anaongea vizuri kabisa Okoka atakumaliza Babu yako
Tunataka kuona harusi inshaaAllah ifanyike kwasalama
Maskin huyu kijana katoka mbali Allah amuongoze lakin huyu babu kwnn yuko hivyo Hee mtihani 😢😢
Weeeeh 😢😢😢😢Wana Jabari saidieni huyu Khamis please.Huyu Mzee Harari 😢😢😢😢😢
Kumbe kunawatu wazima wengine wapumbavu uyo mwanga mshenzi
Mbona sasa yuko vizuri babu anataka aendele kua mchezea Yesu anaweza nikiboko ya wakichawi
Mtu amutafute Hamisi amusaidie kufuatilia maombi juu Mungu ashamkomboa na sasa maadui wa Hamisi waangamie in Jesus mighty name
Hongera san hamis nimepend msimamo wako mdg wang owa tayar unazo baraka kubw kutok kw mwenyezi mungu huyo babu ni mchawi na ndie aliekuwek vile jikaze hamis babu asikisinde
Hilo jicho la mzee 😢😢😢
Babu sio mtu mzuri sura inaonyesha tu sio mtu mzuri😢😢
Kimbilia kanisani Khamisi pepo unalopembeni yake
Mze mcimvi anataka aendeleye kunyinya basi nayeye mbona hanyonyi na ilo libaba lake liko wapi hapiganiyi mwanae babu cawi ilo
Kijana anajielewa sana na anajua kujieleza hadi raha,Mungu ambariki sana na aendelee mbele zaidi.
Unyanyasaji wa kijinsia ana maamuzi yake. Anaogopa atavunja miko
Babu yuajiamin cnaa yeye ndie alimtatiza uyo kijana
Duuh yadunia mengi Mungu mshikilie kijana hato kuacha
Na huyo mzee ndo mshirikina muon kwanza hayo macho wachaw
HAMISI, SALAMA YAKO IKO KWA YESU NG'ANG'ANA NA YESU UTAFANIKIWA.
kawakeli Babu nmchawi
AMEN 🙏
Jamani jamani kweli mchawi ndugu babu anaongea bilahata Aibu mungu azidi kumsimamia kijana huyu
Uyu Mzee anajuwa megi kuusu kuchawi
Ilo zee nikama chawi labda linataka kumuoa yeye 😢😢
Sio ni kama nilichawi aswaa uoni ongea yake
Watanzania tumpeni msaada hamisi awe na maisha yake aowe awe na nyumba yake aishi kwa amani uyo mzee na mamaake hamisi walikuwa lao moja ndomana baada ya hamisi kupona mamaake amefariki na na hamisi akiowa uyo mzee atakufa tuu maana dawa zake zitakuwa zimekwisha nguvu
Ikiwezekane ahame huo mji aende mkoa mwingine aepukane na huyo mzee
Subhannallah 😭 😭 😭
Mkono wa mungu uwe nawe bro god first 🙏🙏🙏
Khakis endelea na maombi-na uzuri unaimani kwamba Mungu ni muweza wa yote. Endelea na kumwamini Mungu na endelea kutumainia. Mungu ndiye Alfa na Omega.Mwanzo na Mwisho. Jina la Bwana litujuzwe!
Jamani eti mama yake hayupo. Tena kweli Dunia cz I follow this from day one then mzee kiburi... Jameni Dunia Ina mambo
Masikini hamisi kachangamka Sura imekuwa mzuri daa uyu Babu sio mtu mzuli akitaka kumualibu daaa