MBWADUKE: DUH! SIMBA HII YA DEBORAH BALAA/ MWAMBA NI MTAMBO HALISI WA KUPIKA MABAO/ OKEJEPHA...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
  • Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like....

ความคิดเห็น • 59

  • @shukurumgaya5950
    @shukurumgaya5950 3 หลายเดือนก่อน +9

    Nakuelewa kaka like wekundu

  • @shabanimzalla7108
    @shabanimzalla7108 3 หลายเดือนก่อน +2

    Simba sc nguvu Moja 🇹🇿❤❤

  • @AmiryHamza-gs8pp
    @AmiryHamza-gs8pp 3 หลายเดือนก่อน +3

    Aisee wapinzani wajipange simba nguvu moja❤

  • @CrideGarden
    @CrideGarden 3 หลายเดือนก่อน +6

    Simba nguvu moja ❤

  • @sangaelly8548
    @sangaelly8548 2 หลายเดือนก่อน

    Kwakweli mwakani huu tumesajili sanaaa shida moja kunaupande wapili kuna kazee kamoja hatari sanaaa

  • @PauloPareso
    @PauloPareso 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kaka hongara sana uko vizuri ❤❤

  • @KelvinYusto
    @KelvinYusto 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu bariki Simba yetu

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 3 หลายเดือนก่อน +1

    Bora utusifia baba mwaduke tungesema ss tungekoma

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  2 หลายเดือนก่อน

      Facts speaks volume...ila kinachosubiriwa zaidi ni uwanjani na siyo alikotoka. Wapo wachezaji hufanya vizuri eneo moja na kuchemsha eneo lingine. Muhimu ni kuyfanyia kazi changamoto zake.

  • @hassanhatibu5412
    @hassanhatibu5412 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu ibariiki Simba yetu tuko pamoja

  • @ernestmalyosi9187
    @ernestmalyosi9187 3 หลายเดือนก่อน +2

    Simba nguvu moja

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 3 หลายเดือนก่อน +1

    Vyura ndio kazi yao kuroga wenzao mungu anawaona

  • @Cutenaah
    @Cutenaah 3 หลายเดือนก่อน

    Daima mbele nyuma mwikooo💚💚💚💚💛💛💛💛💛

  • @mbutolwekasagule439
    @mbutolwekasagule439 3 หลายเดือนก่อน +1

    This is Simba brother 😮😮

  • @AthanasEvaristMahega
    @AthanasEvaristMahega 3 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤ nguvu moja

  • @PentaseAmylase
    @PentaseAmylase 3 หลายเดือนก่อน

    THIS IS SIMBA BROTHERS & SISTERS. ❤

  • @molove-h9t
    @molove-h9t 3 หลายเดือนก่อน

    💯💯💯

  • @flova7022
    @flova7022 3 หลายเดือนก่อน

    Kuna mganga amelipwa 100usd huku south Africa ili awaloge Simba s c new players. Wasiperfome

  • @Cutenaah
    @Cutenaah 3 หลายเดือนก่อน

    💚💚💚💛💛💛

  • @kassimchammah7549
    @kassimchammah7549 2 หลายเดือนก่อน

    Kaka mm nasema tu unajua upewe maua yako bro

  • @ibrahimkibona6701
    @ibrahimkibona6701 3 หลายเดือนก่อน

    Fanya na uchambuzi wa kocha mpya simba

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 3 หลายเดือนก่อน

    Cmba wasajili xana tatizo pini jaman daaah

  • @ChandeMuinde-zs6rj
    @ChandeMuinde-zs6rj 2 หลายเดือนก่อน

    Makofi yawafikie wana simba.

  • @MwajabuZahoro
    @MwajabuZahoro 3 หลายเดือนก่อน

    Chama umeiona mbaya yule anaua

  • @jacobtandila2019
    @jacobtandila2019 3 หลายเดือนก่อน +1

    Namfananisha na pogba

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂 kwa kufananisha tuuu mpo vzr ila ngoja tusubiriii mvua inyesheeee ....... Tutapajua lawama zipelekwe wapiiii😂😂😂

    • @africanbeez3644
      @africanbeez3644 3 หลายเดือนก่อน

      @@mwanangusana gongowaz mkifungwa mara ooh ngao sio kombe 😅😅

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@africanbeez3644 kaka mkitufunga this time kwenye ngao .. nakutumia elfu 10..... Pale dube kushoto chama kulia Paccome inside 10 Aziz ki .... Baleke Baleke anampokea naniliii 😂😂😂

  • @PeterMuhina
    @PeterMuhina 3 หลายเดือนก่อน +1

    Simba inahatari

  • @JacobGeorge-eg2ww
    @JacobGeorge-eg2ww 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tukutane Benjamin mkapa maneno yametosha

  • @Jafaryamily
    @Jafaryamily 3 หลายเดือนก่อน

    Waache waendelee na usajili ya wachama sisi kimya kimya

  • @drallan6879
    @drallan6879 3 หลายเดือนก่อน

    Hi mze WA DATA

  • @DaxydizzyChristopher
    @DaxydizzyChristopher 3 หลายเดือนก่อน

    Mbna kama pogba

  • @absm8084
    @absm8084 3 หลายเดือนก่อน

    Kule🐸🐸🐸🐸🐸 yupo Loyce 😅😅😅😅

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyila 3 หลายเดือนก่อน

    Hawa watu mwaduke usimalize uhondo Watsons wapinzani

  • @Cutenaah
    @Cutenaah 3 หลายเดือนก่อน

    Debora ni jina lakike😂😂😂😂💚💚💛💛

    • @stephenmakula9971
      @stephenmakula9971 3 หลายเดือนก่อน

      Anatamkwa "Debra"

    • @Cutenaah
      @Cutenaah 3 หลายเดือนก่อน

      @@stephenmakula9971 staki ni Debora usinilazimishe

    • @enroutetz
      @enroutetz 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@Cutenaahna Joyce lomalisa alikua wa kike?

    • @Cutenaah
      @Cutenaah 3 หลายเดือนก่อน

      @@enroutetz yule tumemfukuza hatutaki majina yakike

  • @anthonychibilili9758
    @anthonychibilili9758 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hebu ngoja mvua inyeshe tuone panapovuja

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😂 mvua ikinyesha tutaona wapii panavuja ? Na wapi waelekeze lawama zao
      1.kwa kocha
      2.wachezaji
      3.uongozi
      4. Mdhamini au mfadhili
      5. Au aondoke nazo Mangungu 😅😅😅😅

    • @anthonychibilili9758
      @anthonychibilili9758 3 หลายเดือนก่อน

      @@mwanangusana kabisa maana..

  • @Jastus100
    @Jastus100 3 หลายเดือนก่อน

    ILA HAKUNA MCHEZAJI YOYOTE UMEWAHI KUMPONDA WOTE HUWA UNASIFIA

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  2 หลายเดือนก่อน

      Huwa unamsikiliza vizuri mpaka mwisho Mzee wa Data? Mbona kila mchezaji huongelea mazuri yake kwa mujibu wa facts zilizopo na kisha huelezea changamoto zake kwa facts pia? Hebu tukumbushe ni mchezaji gani kamuelezea mazuri yake tyu mwanzo mwisho bila kuelezea changamoto zake...uklifanya hivyo utakuwa um,etuisaidia maana tutamuomba Mzee wa Data arudie uchambuzi wa mchezaji huyo. Ila kumbuka: Humu Mbwaduke Stats maoni hutolewa kwa kuzingatia facts zilizopo na siyo maneno matupu bila ushahidi...

  • @FahmiHamiss
    @FahmiHamiss 3 หลายเดือนก่อน

    Msimu ujao kaka 2taua tuzuliwe namapema na tff

  • @richardmagasa4900
    @richardmagasa4900 3 หลายเดือนก่อน

    Kumbe ni dada Debora😂😂😂

    • @poulynegray7899
      @poulynegray7899 3 หลายเดือนก่อน +3

      Hakuna shida wenzetu mna dada Joyce

    • @rashidgogo5558
      @rashidgogo5558 3 หลายเดือนก่อน

      Chama pia mlikejeli jina lakini leo amechoka memchuku kwahiy. mafisi fc tulien tumtumie mmalizie mizoga

    • @richardmagasa4900
      @richardmagasa4900 3 หลายเดือนก่อน

      @@rashidgogo5558 kama mlichukuaga Niyonzima baada ya kutumika sana na Yanga so hyo ni kawaida kabisa hata nyie ni mafisi tu

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 3 หลายเดือนก่อน

    Simba nguvu moja

  • @FahmiHamiss
    @FahmiHamiss 3 หลายเดือนก่อน

    Msimu ujao kaka 2taua tuzuliwe namapema na tff

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂 wakati wenu huu kujigamba na kutambaa... Ligi ikianza mtajua wenyewe lawama mzielekeze wapiii kwa moamed, wachezaji , kocha au mtamtupia lawama Murtaza Ali Mangungu 😂😂😂😂😂😂

  • @FahmiHamiss
    @FahmiHamiss 3 หลายเดือนก่อน

    Msimu ujao kaka 2taua tuzuliwe namapema na tff

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kaka mtatamba Sana pande izo kabla ligi kuanzaaa .... Ila ligi ikianzaaaaa pande hiz hamuwez kutambaaa 😂😂😂😂

    • @BarikiOmbay-i6q
      @BarikiOmbay-i6q 3 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@mwanangusana🤫🤫🤫

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 3 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@mwanangusanaWewe wasema

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@taseleli9181 we unaonaje kaka ....??