Rais Ana Unga mkono mauwaji ndio mana wauwaji wote kawasaki vyeo kina kingai, Bashite na takataka zote yeye ndio anafanya ivyo ili awe Rais atakayeongea mabaya yake anauliwa ila ukimsifia unapewa cheo
DC WA LONGIDO AMESEMA ALIVYO HUSIKA PORINI. UNAFIKIRI KWANINI ALITEULIWA KUWA DC WA LONGIDO? KWASABABU HAOGOPI NI SHUJAA WA KULE PORINI. KATAMKA MWENYEWE.
Kabisa hakuna sababu ya kugharamikia matibabu maana nachojua rais Samia akitaka watekaji wasiwepo anawenza lakini hakemei maana waliotekwa na hawajaonena hadi Leo ni wengi sana akina soka na group lake na wengineo Rais akisimamia Hilo wataacha ila ni kimya tuu picha hiyo Kwa watanzania itakuwa nyingine kabisa watajiulinza kwanini?
Tanzania nchi yetu woiiiiiii wanakupiga wenyewe, alafu wanakutibu wenyewe😂😂😂😂😂.ukifa juu yako na family yako wao woiiiiii wanakunywa,wanakula, wanafanya watakalo,nakulala hawana shida. Eee mwenyezi mungu wapige makombora na familia zao wanaonyanyasa watu wa chini
RAIS AKAE MBALI ILA AFANYE KAMA NEY ALIVYOONGEA MAANA UTAMTBIA HUYU NA WENGINE AMBAO HAWAONEKANI UTATUAMBIA NINI? WANGEPATIKANA WENYE NIA OVU NDO NINGEAMINI DHAMIRA YA 4R.
Maneno mazuri sana...ila ney amesahau kuwakumbusha wananchi kuwa wasichanganye maneno haya KUJITOA MHANGA na KUJITOA KAFARA...waliowengi wamejikuta wakijitoa kafara kwa dhana wakiamini kuwa wanatetea wananchi ambao hawako tayar kusaidia harakat za kutetewa kwao... Ishi utakavyo ishi ila...anza kwanza na maslah ya familia yako kwanza....
Ney wamitego ameongea kama rais wa nchi hii ninayuotoka mimi
Well says Neyo wamitego,
Tupaze sauti hii tabia ikome kabisa, yuko wapi Ben sanane,? Stop it imetosha
Bola aseme ney wengne tkisema tutakutwa kasanda yakina mwijaku🥲🥲
Nakubal rais we2 wa ktaa Nay
Hivi kwanini mama Samia haliongeleagi hili swala la utekaji kwenye nchi yake hivi mamaa umeonae ni sw kweli?
Rais Ana Unga mkono mauwaji ndio mana wauwaji wote kawasaki vyeo kina kingai, Bashite na takataka zote yeye ndio anafanya ivyo ili awe Rais atakayeongea mabaya yake anauliwa ila ukimsifia unapewa cheo
DC WA LONGIDO AMESEMA ALIVYO HUSIKA PORINI. UNAFIKIRI KWANINI ALITEULIWA KUWA DC WA LONGIDO? KWASABABU HAOGOPI NI SHUJAA WA KULE PORINI. KATAMKA MWENYEWE.
Washatekwa wengine wa2 juzi sijui kwanini vijana wanatekwahovyo. Tumekua na uwoga sasa hivi tz
Raisi was kitaa❤❤🤝🙏
Hawa ndo wawakilishi wetu sasa sio machawa kule bungeni
Sanaaaaaaa!
Ni kweli Raisi inatakiwa watafute watekaji sio kugharamia inakera kinoma yan
Statutes nani?bona eye ndio kipngozi was kibaka No moja ni Samia
UMEONGEYA POINT.,ZIBA UFA ILI USIJE UKAJENGA UKUTA
Ney anaakili Sana, akili kubwa hoja ya ukweli
😂😂 Millard Ayo nanyie ni wale wale tu report zenu mnazotoa inaonekana hamko huru katik Habari mmeshikwa na CCM
Wauwaji polish ping wamemfunga wamampeleka polish wamempiga wamemtupa ,halafu tuna ambiwa Rais anatibia mpigwa risasi huu ni uhuni.
SATIVA SI WAKWANZA JE WALIO TANGULIA HATUA GANI IMECHUKULIWA???
Swali zuri
😢aloo ni hatari sana 😢
Kwani nani alitengeneza hili tatizo, kwani hao watekaji wanatumwa na nani
Truth pointa toka huyu mtu atekwe amnaata diwan aliefungua mdom kuzungumzia hili
Namuhunga mko rais wa kitaa Nay wa mitego yuko sawa
Ney tuletee 🎶🔨 tupate elimu kuhusu ukimya wa viongozi
Ney ni mtu wa mana sana
Una baya Mr ney
Ana baya gani tena😮😮😮
Wanatesa kutia watu uoga
Kwanza polisi wako wamteke halafu Raisi agaramie😢😢😢😢Mungu anaona
Watajitokezaje kukemea ili hali mipango hiyo hufanywa na wao wenyewe
Kabisa hakuna sababu ya kugharamikia matibabu maana nachojua rais Samia akitaka watekaji wasiwepo anawenza lakini hakemei maana waliotekwa na hawajaonena hadi Leo ni wengi sana akina soka na group lake na wengineo Rais akisimamia Hilo wataacha ila ni kimya tuu picha hiyo Kwa watanzania itakuwa nyingine kabisa watajiulinza kwanini?
Kwakweli baada ya kusikiliza ushuhuda wa Sativa sijalala siku 2
Tafakarini kauli za hao maanko wawili Ney na zitto nani anastahili kuwa kiongozi
Kiongozi mstaafu VP kwani kashactaafu
Raisi wa kitaa nakukubari sana ww kaka jaman maneno yako mazuri sana
Samia kashwindwa kila kitu kila siku matukio
# Nay wamitego ukwel
Ney ipo siku utakuwa kiongoz
Ney yupo sahihi
Hajasema kwa ubaya bt Kuna wazo limeongezwa natumai rais atalifanyiaa kazi
Umeongea ukweli mtupu
wanang'ata wanapuliza😢😢
Ney upo sawa
Tanzania nchi yetu woiiiiiii wanakupiga wenyewe, alafu wanakutibu wenyewe😂😂😂😂😂.ukifa juu yako na family yako wao woiiiiii wanakunywa,wanakula, wanafanya watakalo,nakulala hawana shida. Eee mwenyezi mungu wapige makombora na familia zao wanaonyanyasa watu wa chini
😢😢😢😢😢waache watuone mazwazwa
Ney kam nima policy wamefany hivo atakimeaje naku wtto wawili wametekw kwni hamjasikia
RAIS AKAE MBALI ILA AFANYE KAMA NEY ALIVYOONGEA MAANA UTAMTBIA HUYU NA WENGINE AMBAO HAWAONEKANI UTATUAMBIA NINI? WANGEPATIKANA WENYE NIA OVU NDO NINGEAMINI DHAMIRA YA 4R.
true boy💪
Yuko sahihi kabisa
Sawa kabisa
Singida waiu walitekwa mbona hawa wanasiasa hatukuwaona
Ney una taka na ww ....
?
TUNAOMBA TAARIFA ZA MABADILIKO YA MANUNUZI YA LUKU
😂😂😂😂 aisee Tanganyika kweli tuna nyika ndio tuna amani ya kutosha kabisa.
Sasa hapo amemtusi kitugani??
Polisi wana bota mama anatibia patamu hapo
Nei Wamitego Pamoj saana 🔥💯⭐
Very true
Yaan ney kweli ww ni rais wa kitaa
Mimi na amini Mama Samia atafanya mzuri
Duuh! Rais hatuna
Br uko sahihi
Ney ni kiongozi
rais wa ktaa big up sana 🦾 point big
Uko sawa rais wa kitaa❤
❇
👏🏽👏🏽👏🏽🥰
#Wakitaa
Lord have mercy 😢
Iko Waz
CCM hoyeeee 😂😂
❇
One day yes
😢
Namuomba mama atusaidie yanga wa memuiba mchezaji wetu 2:02 2:02
Cheki ili nalo we unaitaji elimu aujielew kabisa
😂😂😂
ZITTO NA WAHUNI WENZAKE WALIMSINGIZIA JPM SANA. UKWELI UMEJULIKANA BAADA YA JPM KULALAL. RIP JPM!!
Ivi ney si apewe ata ubunge
Labda aombee Kenya atapata siyo Tanzania 🇹🇿 yangu
Maneno mazuri sana...ila ney amesahau kuwakumbusha wananchi kuwa wasichanganye maneno haya KUJITOA MHANGA na KUJITOA KAFARA...waliowengi wamejikuta wakijitoa kafara kwa dhana wakiamini kuwa wanatetea wananchi ambao hawako tayar kusaidia harakat za kutetewa kwao...
Ishi utakavyo ishi ila...anza kwanza na maslah ya familia yako kwanza....
Nahisi hata we2 ni mkolo mweusi.Tambua babu zetu wlijitoa kafara tukapata ukombozi acha uzwazwa
@@AlexNjelekela-e6e @babu zenu walijitoa muhanga ndio maana tukawa huru...
Chekanao tu mama watakuvua nguo hao mzee alikuwa anamaliza
Mungu wangu......!