Dogo inakuwaje trending haupo una 103k for 1day na ommy dimpoz ana 73k for 1 day yupo trending how? Jitahidi uijaze account yako ya youtube yaani founder tz ni nani zaidi kama jina lako la kiserikal kama Diamond platinumz alivyo jaza na mitandao mingine uliyonayo kama Spotify etc.
Wa kenya kumbe ninyi ni wapenda maedeleo,, toka Congo DRC 🇨🇩 nime wa kubali, sapoti yenu kwa mdogo wetu ni nyingi sana ,gonga Link apa wa kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@@Noooonat-o5s mimi comenti yangu, bahada ya ku ona wa kenya wana ji tokeza kwa uwingi ku msapoti dogo, ndo happy nikawa nime sema kuwa wa kenya ni wapenda maeneleo, ku sema kweli dogo, ni mkimbizi toka congo, ambae ana ishi Tanzania, na anaye sapotiwa na WA kenya, bonjour my dada
Ninajua kuwa tasnia ya muziki inaweza kuwa ngumu, lakini ninakuamini. Una kile kinachohitajika ili kufanikiwa. Endelea kuandika nyimbo zako, endelea kufanya mazoezi ya ufundi wako kimuziki, na usikate tamaa katika ndoto zako.
Hongera sana Founder Tz kwa safi unayoifanya nyimbo nzuri naipenda hii..pia hongara kwa speed beat na director wa video hi ni kali sana aisee dogo utafika mbali twakuombea sana ufike level za juu 💖💖💖
Thanks,God 🙏 kwakumpa kipaji mdogo wetu naeaikomboe family yake naiman Mdogo wangu Founder Tupo nyuma yako nenda nenda Mdogo wangu Nyimbo kali sanaaaa unaweza namwnyzi Mungu akupe Maisha marefu sanaa nadhan waTanzania tumekuona tupo kutimiza ndotozako nausimwache Mungu ktk Maisha naiman atakutendea wakati sahihi my blood❤✍️🎶🎵🙏🇹🇿
Mwanangu ushauri tu unakubalika na wakubwa kwa wadogo nyimbo zako zinasikilizika na rika zote.angalizo usipotoshwe au kuiga mashairi yasio na maadili nenda namwendo wako kama vile nitoke vp.we nimwanamuziki mzuri mungu azid kukuinulia kipaji chako.
One of the purest talents virgin vocals smart mind!! God bless you so much my son walio karibu na huyu chalii msaidieni zaidi na zaidi kipaji chake kiishi umri mrefu zaidi. Mungu akulinde na husda matumizi ya vitu visovyofaa na shetani mwovu kwa ujumla
Mombasa Kenya ndio daraja la kwanza la musiki wako mdogo wetu uko vizuri imepenya na bado chupa lina pasua anga Keep it up GOD bless your efforts kijana wetu EAST AFRICA to the world
Mimi si fan wa Bongo na I've never been a fan of any bongo artist, but kwako natangaza kuwa fan wako mkubwa hapa Kenya. I wanna grow with you to your greater heights
400k plus viewa in 4 days,,, thats really amazing and nyota ya dogo inangaa ni vigumu sana kupata views hivyo kwa siku chache maze.... Wish you all the best kwenye kioaji chako,, nitafurahi sana nikiona unapiga 1 million plus in two weeks... Kama unatambua dogo piga like tukisonga❤❤
Ama kweli dogo ana kipaji...nampasuppoti 💯...naona kwamba ni kama Aslay kipimdi kile akitoka...ama Sam wa ukweli karidi tena..bigup#dogo waenda mbali...#simba#chui#tembo...sasa huyu hapa mamba wenyewe aja kuzirarua hema za mipaka ya kimuziki...au ndio vile Tai #foundertz pepea kakadogo
Utatoka Dogo, unayo talent kubwa aisee! Hongera sana. Hayo yote usifanye, piga kazi na muziki tu! Big up! Na usiingie macontract kichwa kichwa mwanangu.
Shukrani sana kwenu maana sina cha kuwalipa 🙏🙏🙏🙏
Dogo uko fiti sana kila la kheri katika safari yako ya mziki usikate tamaa dogo
Pambana mdogo wangu tumeshaona kipaji unacho Huwa napost mpaka Whatsapp kazi zako mfano Ile ya mnisapoti kusaport tu japo sikujui
Dogo inakuwaje trending haupo una 103k for 1day na ommy dimpoz ana 73k for 1 day yupo trending how? Jitahidi uijaze account yako ya youtube yaani founder tz ni nani zaidi kama jina lako la kiserikal kama Diamond platinumz alivyo jaza na mitandao mingine uliyonayo kama Spotify etc.
@@TITOtzcomment mzuri sana iyo nikweli kabisa kama hajawa basata ajitaidi sana kwasababu upanda wa views Yuko powa sana
Lets go hit song
Kama unamkubali founder naomba likes yako pleas 🙌🙌 mungu akubariki sana mdogo wangu tupo nyuma yako
Sisi wengine tuna hangalia kazi za ma director sio mpaka wasanii tu 😁😁
@@majaliwaramadhan Kojoa ulale
Umeshatoka mdogo wangu Mungu akulinde uliko good job
Mashaallah namkubali dogoooo Mashaallah
Nakubali dogo
Wakati wasanii wengine wanahangaika na Amapiano,
Dogo katuletea bongofleva Safi kabisa, embu tumsapoti🔥🔥🔥🔥
Kweli kabisss
Akitoboa anaanza kuhangaika na amapiano😂😂😂
Yaani dah kweli kabisa
@@epafrapaulo7137😅😅😅
Mungu amsaidie
Team gulf wenye tumekuja ku support huyu Dogo juu ana kipaji piteni na likes jameni🇰🇪🇶🇦
Ausio 🎉
Tuko hapa❤❤❤
Tumooooooo
Kijana yuko vizuri
Dogo anajua mpka anakera
Walio msuppoort mdogo wetu Mungu awabariki sana, much love from Kenya 🇰🇪
th-cam.com/video/myKy-OVWuVw/w-d-xo.htmlsi=XCRMuoD7QtbK8-48
Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ikishaitikia brother count yourself a celebrity already.guys let's support this massive talent 💥🏆
That's a must
Ndo ina zidi ku sambaa🇰🇪
WHo lied to you...kenya hamjui kuimba so why should we need approval from yourl...lol
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@damascusshady6954 we don't know but without us ,akuna mtaenda tu
Kama huna mkubali huyu dogo kwa mziki wake weka like
haha 😂😂
th-cam.com/video/myKy-OVWuVw/w-d-xo.htmlsi=XCRMuoD7QtbK8-48
Kutoka kambini mpaka duniani. Mungu hana mshirika 💪💪💪💪 #Nitatokaje 🙌🙌
Ushatoka bro ...niko Kenya nasubiri🇰🇪#2023
th-cam.com/video/myKy-OVWuVw/w-d-xo.htmlsi=XCRMuoD7QtbK8-48
This is another LION in Tanzania, keep going my son much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
See what other countries are doing 😢😢😢😢...hope kenya watasaidiana hivo
Dogo Dua tu
th-cam.com/video/PRbkT-CKvd8/w-d-xo.htmlsi=_pNBuJ5aq2xbSteD
youtube.com/@bulangathedon2604?si=czfv91098qCLBCZV
Kweli
❤❤❤❤❤ founder tz mungu akubaliki na akujalie uweze kuwa kama diamond kabisa yaan
Kigoma one👏👏🙌🙌♥️♥️♥️
Mpeni mauwa yake huyu dogo jamani,wimbo mzuri mno!Mungu akutangulie kwa kila atuw ya kazi yako dogo🙏🙏 ,this is a natural Talent 👌
👑👑👑👑👑💯💯💯💯🥀🥀🥀🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Daaah guy's tumpeleke trending huyu dogo hii nyimbo kalisana
Nimewahi sana tupite na like kwa mdogo wetu founder tz ili twend sawa❤❤❤❤
Mtoto yuko vizuri sanaa Mungu akusaidia umeshatoka tayari
Courage petit frère ,nous te soutenons,que Dieu te bénisse.
Nakubali Mdogo wangu, Shabiki yako namba 1 nakubali sana kazi nzuri endelea kupambana mafanikio ya Mziki yapo mbali Sana
Ambaho tumerudia Mara 10 gonga tujuane❤❤
Wanaobaki muda Kwa muda kusukia hii ngoma tujuwane love from Zambia 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Kila siku Bongo flava Ina wakuiendeleza much love for TZ
Haki
Félicitations mon frère. En RDC nous sommes fiers de toi. Congo 🇨🇩🇨🇩na tanzania🇹🇿🇹🇿 tuko familia.
Unakipaji kaza mwanangu
Merci
th-cam.com/video/7VeIH6_JdXE/w-d-xo.htmlsi=XxtIhdb7GDxBI3je
th-cam.com/video/CgcgivdVJmo/w-d-xo.htmlsi=-SZe68yHLNeJx_cU
Nyimbo ni kari sana dogo anajua mwenyezi mungu ampe nguvu atimize malengo yake
Simba plus konde boy pamoja,,,much love from Kenya,,, congrats younger BT talented,, keep it up 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Yani huyu dogo namukubali sna ❤❤❤❤❤Mungu mbele Dogo
Ukishakubalika Kenya mziki wako ushapenya 🇰🇪
Tunashukuru Kenya Kwa Support yenu aisee
Kabisaa
Dogo ndo umetoka
Btw
Kaka me nependa❤❤❤❤❤❤
Wa kenya kumbe ninyi ni wapenda maedeleo,, toka Congo DRC 🇨🇩 nime wa kubali, sapoti yenu kwa mdogo wetu ni nyingi sana ,gonga Link apa wa kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mkimbizi toka congo anaishi Tanzania sio kenya
@@Noooonat-o5s mimi comenti yangu, bahada ya ku ona wa kenya wana ji tokeza kwa uwingi ku msapoti dogo, ndo happy nikawa nime sema kuwa wa kenya ni wapenda maeneleo, ku sema kweli dogo, ni mkimbizi toka congo, ambae ana ishi Tanzania, na anaye sapotiwa na WA kenya, bonjour my dada
@@EddyEdgard-q8d Saw a😊 ila dogo si mkimbizi tena kashakuwa raia wa Tz ,Na kuhusu wakenya ku support Tz hiyo ni kawaida
Kiukweli mm mwenyewe nmewakubali wakenya hawana husuda bali wanaombea kila mtu mafanikio hilo nmeliona kwa kila komenti
Very very hit song, mond wa badae keep it up 🔥
Nimejikuta namuerewa sana huyu dogo,mungu akuxaidie ufike mbari
Talent from the street camp! MUNGU Hamtupi mja wake Mimi binafsi namuombea Sana huyu kijana MUNGU amuinue kipaji chake
Amin
Mungu ambariki sana kijana wetu,kwakuwakilisha wacongo wote,tunafurahi sana
Waweza sana dogo pambana sana utafika mbali sana kweli napenda sana wimbo wako
UNYAMA ni Mwingi Dogo ..jipe kwa mola utatoka Dogo inshallah 🙏🙏big love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 kenya
Founder Tz anaweza kabixa❤.anashangaza kweli,mtoto wa miaka 15❤❤❤❤❤
Kenya 🇰🇪🇰🇪... love the vibe of this young talented man.
young boy big talent Keep going one day yes 🎉🎉❤❤
From Zambia for the first time to hear the song of this young boy congratulations 💐💐💐🎉🎉🎉🎉🎉
Thank God ❤🎉❤❤🎉
USA 🇺🇸 well represented 🇰🇪 🇹🇿 we love you, Founder TZ💞💞
Nipitie kwangu
Awesome Awoooote weweeeeeee @dianakemmylifestyl522
dianakemmy sasa❤
th-cam.com/video/QWvxIpzJ6dk/w-d-xo.html
Hi miss Diana
Nimekubali.Acha tumwombe Mungu siku moja tupige kolabo ya gospel pamoja🙏🙏🙏🙏
Watu wakenya mm na wakubaligi sana yani amnaga ubaguzi big up sana wanangu tu msapoty dogo
Honger san Umepamban xnaaaa unajua kuimba unasauti 🙌🙌🙌🙌🙌👍❤️❤️❤️❤️❤️ 2:41
Tuliorudia ngoma hii mara nyingi tujuane apa❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kazana mdogo wangu Mungu azidi kukuinua viwango vya juu❤❤❤🙏🙏🔥
Ninajua kuwa tasnia ya muziki inaweza kuwa ngumu, lakini ninakuamini. Una kile kinachohitajika ili kufanikiwa. Endelea kuandika nyimbo zako, endelea kufanya mazoezi ya ufundi wako kimuziki, na usikate tamaa katika ndoto zako.
Sasa
Uko vyema sana mkubwa kikubwa ni kukaza buti
Sfi 😅😅😅😅😅😅😅😊
th-cam.com/video/rpxFYFSqctk/w-d-xo.htmlsi=rIiipQcr4gmBv7S0
I like your song nimekubali sana unaimba vizuri sana keep it up
True talented boy more love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🙏🙏❤️❤️❤️❤️❤️🥰🥰🥰
❤Maisha hayana araka dogo .ukiwa na mungu. Tuna kupenda sana sisi wakenya mungu akubariki na Miaka mingi mizuri naomba endelea na kipaji chako❤❤❤❤❤❤❤❤
Hongera sana Founder Tz kwa safi unayoifanya nyimbo nzuri naipenda hii..pia hongara kwa speed beat na director wa video hi ni kali sana aisee dogo utafika mbali twakuombea sana ufike level za juu 💖💖💖
Kabisa hivo ndo twaomba dogo afike level ya juu
th-cam.com/video/GRXxs6Hg40M/w-d-xo.html
Asante sana by director tolo
Thanks,God 🙏 kwakumpa kipaji mdogo wetu naeaikomboe family yake naiman Mdogo wangu Founder Tupo nyuma yako nenda nenda Mdogo wangu Nyimbo kali sanaaaa unaweza namwnyzi Mungu akupe Maisha marefu sanaa nadhan waTanzania tumekuona tupo kutimiza ndotozako nausimwache Mungu ktk Maisha naiman atakutendea wakati sahihi my blood❤✍️🎶🎵🙏🇹🇿
Dogo umeniguza sana,,,mwenyezi mungu akutangulie mbele kuzuri young king
Watching from kenya 🇰🇪 we love you Founder na our prayers to you ni God akuzidishie kipaji zaidi..tuko apa kwajili yako sisi kama team strong 💪🏼
254..Kenya.. tunarudia mara isiyohesabika...ebu wakenya leteni likes hapa🎉
Una kipaji kikubwa sana dogo. We as Kenyans are praying for you that may God lift you up all the days of your life 🙏🙏
❤❤❤❤founder mungu asikie dua lawatumishi wake ili akushindie
I love you more my young blood ❤
Mwenyezimungu akujalie 😢 ufikie ndoto zako , mdogo wangu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
All the love from South Africa 🇿🇦 ❤
Umeuwa sana bwana mdogo , huo ndo mziki wa kibongo big up.
Founder tz tuko pamoja 🎉🎉🎉 na kazi yako twaikubali n tutaipeperusha kila kono watu wazidi kusubscribe your channel
Songs Kally sana kama unakubali gonga like apa ✊🙄😒❤❤❤❤
Mwanangu ushauri tu unakubalika na wakubwa kwa wadogo nyimbo zako zinasikilizika na rika zote.angalizo usipotoshwe au kuiga mashairi yasio na maadili nenda namwendo wako kama vile nitoke vp.we nimwanamuziki mzuri mungu azid kukuinulia kipaji chako.
THIS KID IS THE NEXT BIG THING IN TZ... WATCHING FROM ZAMBIA 🇿🇲. YOU WILL ALL WITNESS.
I totally agree with you my fellow Zambian.
I'm also watching from ZAMBIA ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
True
🇰🇪🇰🇪 tushamkubali dogo 🎉🎉🎉🎉 bonge la hit ❤❤ asiyopenda na akajiuwe na mbali maana kijani anafaa taji kwa hakika❤❤
One of the purest talents virgin vocals smart mind!! God bless you so much my son walio karibu na huyu chalii msaidieni zaidi na zaidi kipaji chake kiishi umri mrefu zaidi. Mungu akulinde na husda matumizi ya vitu visovyofaa na shetani mwovu kwa ujumla
Na iwe kwako piah
@@mosescharles1921 amen son
Eti virgin vocals hmmm
@@Noooonat-o5s Yes sweetheart bado sauti yake haijanajisiwa na kemikali vilevi na mimoshi ya either sigara au mihadarati "marijuana"
Dogo mkali sana nimependa mashairi yake big up like ❤❤❤ zake mpeeni
Mungu ni mkuu bro atainua kipaji chako cha uimbaji na utakuwa msanii mkuu barikiwa sana
Mombasa Kenya ndio daraja la kwanza la musiki wako mdogo wetu uko vizuri imepenya na bado chupa lina pasua anga Keep it up GOD bless your efforts kijana wetu EAST AFRICA to the world
Daah huyu wimbo mkali sana ukipiga collaboration na SIMBA inaweza kiwa tishio EA kabisa❤❤❤
As long as waKenya wamekutambua ndio ushatoka ivyoo @Founder Tz....God Bless you Boy,make Tz proud make Africa proud
Founder tz .mshukuru mama kwa kulea ucjali maisha umnayoipitia kwan mungu anampango wewe kwa kipaji chako
Ajulikane popote mtoto Ana kipaji
Burundi tukopamoja mtoto wetu mungu akupe nguvu usonge mbele❤
Bonge la hit..... keep shining dogo wangu ...let's sapoti kadri ya uwezo wetu❤❤❤
Mimi si fan wa Bongo na I've never been a fan of any bongo artist, but kwako natangaza kuwa fan wako mkubwa hapa Kenya. I wanna grow with you to your greater heights
He has talent wallah may allah help him amen let's support this young boy please world wide please
Nice Keep it up baby boy❤❤
Tanzania Kuanzia Mtoto Hadi Watu wa umri Mkubwa wana Vipaji Ilove My Motherland
Kenyans loves good music sisi ndo judge ....let's gang up na liles Kama tuko kimoja🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
✊✊
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 mungu akulinde dogo uko na kipaji kizuri sana
Mdgo angu nipo pamoja nawe usisite kuwa mpambanaji utafika mbali sana kusema kweli MUNGU awe nawe kila SIKU na azidi kukupaisha see you at the top 🎉🎉🎉
I was suggested here while listening to the song “Dupe - Dost” 😅😅
From Kenya,
This boy has a huge talent, may God see him through 🙏
Kenya 🇰🇪 from gulf congratulations
Asante kijana kazi njema nakuunga mkono toka Congo butembo
400k plus viewa in 4 days,,, thats really amazing and nyota ya dogo inangaa ni vigumu sana kupata views hivyo kwa siku chache maze.... Wish you all the best kwenye kioaji chako,, nitafurahi sana nikiona unapiga 1 million plus in two weeks... Kama unatambua dogo piga like tukisonga❤❤
100k kila siku....
In 10 days 1M... 🎉
nakubali dogo imeweza mbaya💯🔥🔥
Check this comment after 10 yrs. This talent is going far. The next diamond of his time. May God help you lil bro❤❤ 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ama kweli dogo ana kipaji...nampasuppoti 💯...naona kwamba ni kama Aslay kipimdi kile akitoka...ama Sam wa ukweli karidi tena..bigup#dogo waenda mbali...#simba#chui#tembo...sasa huyu hapa mamba wenyewe aja kuzirarua hema za mipaka ya kimuziki...au ndio vile Tai #foundertz pepea kakadogo
Wakenya wakikubali ngoma jua nyota Yako imeng'aa waenda mbali.🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Sure
🔥Founder Tz Is Talented Much🔥One Day Yes🔥Let's Support This Talented Boy🔥
th-cam.com/video/GRXxs6Hg40M/w-d-xo.html
Taking him to the top starts with us fans... Let's goo.. let's do that🔥🔥🔥
th-cam.com/video/QWvxIpzJ6dk/w-d-xo.html
umehuwa sana mdogo wang
th-cam.com/video/rpxFYFSqctk/w-d-xo.htmlsi=rIiipQcr4gmBv7S0
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤hongera mwaba umeuwa Alll azindi kupatya kipaji very nice dogo fonder
It’s love all the way founder Tz 🇰🇪 in the building
New talent is coming good god bless ❤🙌👑
Dogo salute Sana hiyo nimeipenda Sana komaa
ngoma Kali kaza chaliii amguu❤
Kama una mkubali dogo ni shida yani ni moto 🔥🔥🔥 wakuotea mbali Founder tz gonga like apa
🎉🎉🎉🎉🎉🇹🇿🇹🇿
From Kenya am so happy my country boy Tz to the fullest🇹🇿🇹🇿🇰🇪
Oooooh my God, I can't stop dropping my tears. Those who can do it, don't let down this dogo, keep it up!!!
Unaweza mdogo wangu mungu aendelee kukuuza kipaji chako
I Hope itafika 1M soon 🔥🔥🔥✅✅
Tukutane kwa like wanao amini ilo 👍👍
Big up dogo founder tz..
Nakupata maeneo ya Kuruman south Africa 🔥🔥🔥
Utatoka Dogo, unayo talent kubwa aisee! Hongera sana. Hayo yote usifanye, piga kazi na muziki tu! Big up! Na usiingie macontract kichwa kichwa mwanangu.
Dogo umeniguza sana,, mwenyezi mungu akutangulie mbele kuzuri
Founder tz congratulations 🎉🎉 mpen mauwa yake jamani
Good song, sweet voice. 👏👏 Director
Kenyans🇰🇪 always show love, 🔥🔥🔥ngoma kali Bright future ahead
Courage bro utatoboa🥰🥰🥰🥰❤️❤️nimepe iyi song yako🥰🥰💪
Pure talent much respect to Our young brother founder tz