Barnaba feat Alikiba - Cheketua (Official Music Video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- Music Video by Barnaba featuring Alikiba performing Cheketua (Official Release) The Music Video was shot in Dar es Salaam, Directed by Kwetu Studio.
Stream/Download:linktr.ee/barn...
Digital Distribution by Ziiki Media (PTY)
Listen to Barnaba on Digital Streaming:
Audiomack:audiomack.com/...
Apple Music: / barnaba
Boomplay:www.boomplay.c...
Spotify:open.spotify.c...
Deezer:www.deezer.com...
Connect Barnaba on Social Media:
Instagram: / barnabaclassic
Facebook: / barnabaofficial
Twitter: / barnabaclassic
+For More Information Booking Barnaba:
Contact:Barnabamanagement@gmail.com
©2022 Ziiki Media (PTY) & Barnaba.All rights reserved.
#Barnaba #Alikiba #Cheketua
Maneno yenu hayatutishi,mwenye tamu yangu....,,,,,,.....,,,, km umesikia haya maneno gonna like
Wenye fani zao wakikutana lazima dude lieleweke dah! Cheketua jmn
👇
Nampenda kiba mana mziki wake unaheshima hamna neno Moja la tusi yani unaeza kuueka ukasikizwa hata mbele ya wazee .. team kiba all the way from +254
Kabisa yani 🔥🔥🔥🔥
Kweli kabisa
tupo pmja
🤣🤣🤣
😥😥😥kwani me nilikuwa wapi hiii hii ngoma kali ivii ilivyotokaa.. dahh najua .... nimechelewa sana jamani mnipe hapo hata likes kumi tu ntafurahi... Cheketuaa bonge la ngoma
Tunao kubariana Kama hii ngoma kalii anipe like apa mziki mzuri unaweza kukaa ata na wazazi wako mka angalia aina shida yani
Kiba anajua aisee, kwenye hili song
Uchi : 0%
Bangi : 0%
Matusi: 0%
Kupendeza: 100%
Mashairi : 100%
Good
Kabisaaa
Kweli kabisa
Nikweli kabisa
N kweli,that's why I love Alikiba's songs,u can watch them with ur parents
Like za king kiba ,alichokifanya humu dunia inajua 🔥🔥🔥
usijal
Ni moto 🔥🔥
th-cam.com/video/RfNJF4ZMveM/w-d-xo.html
Ali Kiba kudos,you just killed it...
ALIKIBA,BARNABA,KAYUMBA-BONGE LA COMBO WHO AGREE WITH ME.
saf sana
Mungu azidi kumbariki king pamoja na mopao..atubariki pia tunaoangalia hili goma..tim like weka like hapa
nimechelewa nipeni like japo kumi tu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
ali kiba the real legend very consistency since his first song
Wakenya njooni hapa. likes mia 200 tu!
Kutoka Somalia 🇸🇴 wapi lakes yanngu napenda yimbo ya bongo sanaa ❤️💕💕❤️🤝
th-cam.com/video/RfNJF4ZMveM/w-d-xo.html
Uwodoutamu waziki wabongo flever jaman
Dah nimecheketua bali simalizi jameni wimbo ndoo huu 👌♥️mnipe likes ingawa nimechelewa 🇧🇮 majirani naomba likes
Kwakweli uyu mwimbo wabarnaba huw sichoki kuutizama naupenda mno
WAKIJA WAAMBIE NDAGA MGONILE NKAS GWANGU KIBA VERSE GOOD SANA👇👇👇👍👍
Pw
Tume ruka vizingiti wambea hamtutishi utamu wa wali nazi uutafune na Ndizi 🔥🔥🔥🔥 yooh
Kinyakyusa nimekisikia jamani watu wambeya toeni like kwa King kiba kwa kuimba Nyakyusa(ugonile )
ugonile linamaana gan br
Hata kingoni tunasema hvo hvo Ugonile maana umelala au umekufa umeoza
Kinyakyusa kipo juu
Kaongea kigogo wewe
haaaaa
Kwa Mara nyingine naweza pata like 1000 kama mnawakubali HAWA watu jamaniii
pia mashabik atujui kesho yet itakuaje mda mwingine tuwe naofu yamngu tuwape sapot kama umuelew bas unapita t kmy kmy
Hatar San 1 million 24 hours tukomae wazeee asee tuonyesh nguv alikiba tusiwagushe
Bado haujaniangusha me shabiki... kazi nzuri....🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪mko wapi wa kenya pitia tu na like kwa hii comment kam umepata hii nyimbo
Love u kiba and barnaba boy nyie mnaujua mzk hambahatish
Aho nisa kabixa
Mwenye anaamini king never disappoint kama mm aweke lyk apo chini
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Waambie ugonileee jamaniii😍😍😍😍 i love you gusy Kiba and Barnaba❤❤❤❤
Waambie ugonile,ndaga fijo nkasi gwangu wanyakyusa hoyeeeeee!!!
Hoye
Barnaba hujawai kosea sijapata zaidi yako still
The best song, Number one on trending Barnaba ft Alikiba is 🔥🔥🔥🔥 gonga like apa twendezetu
th-cam.com/video/RfNJF4ZMveM/w-d-xo.html
Kweli mfalme mfalme tu huyu ndio FB wangejua ukwasi wake asingekosa kwa list top10
Wow good music good sound good song mafundi walili wakikutana basi amini Vita inakwisha Barnaba classic and king Kiba sauti zenu ni utajiri munao jivuniya team Kiba and Barnaba classic like zenu jamani 👳♂️👰 ## LOVE IS GOOD BABY ## 🎤🎺🎹🎸🎧🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Umeongea moyoni kabisa🔥
King kauwa hanaga wivu kaimba kama nyimbo yake had I laha pia barnaba umeuwa
Kama umeipenda na kuskilza mara tatu hii ngoma
Gonga like #kingkiba 🤛🤛🤛✌✌🥰🥰🥰🥰
Nawakubali sana Barnaba na kiba Hawa dio wenye mziki mzuri...yaani king 👑 hatumiangi nguvu nyingi🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kweli kabisa kaka
miguno ya #KingKiba tuu hapo mwanzo unaelewa shughuli itakua nzito humo ndani! ilikua ndoto ya muda mrefu kuona sauti za Dhahabu zikirindima kwenye mdundo mmoja..... watu wanaojua mziki na kuuchezea vile watakavyo wao ila kwetu burudaniii hakika Bongo Flava iko mikono salama kabisa , Congratulations #Mopao X #KingKiba 🔥🌍
Very nice hasa designing ya mavazi na sauti nzuri ya Alikiba
Alikiba ameimba vzr xn. Team Kiba for Real🔥🔥🤝
pmj
Hatujutii
th-cam.com/video/RfNJF4ZMveM/w-d-xo.html
👍👍👍👍
Sana kauwa sana
Oyooooooh piga like chap kwa king
🇰🇪🇰🇪 Kenya tumeipokea vizuri King 👑 akiwa na Prince Nipeni Likes jamani 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ali kiba always the best great voice❤
Jamani ngoma Kali Sana naomba like kwa Wana wa Tabora unyamwezini ♥️♥️
Daah mim nimecheka huyuu jamaa Aliye piga sim half Banaba na Ally walipo fika jamaa anafoka Banaba na Ally wanamuombaa msamaha duh nomaaa Ally kamtendea haki Banaba Respect kwao colabo nyingin Tadhali
Utamu wa wali nazi uutafune na ndizi, king himself
Barna ebu wapishe number 1 bana naona awana uwezo 😂😂😂😂🤧💙🥶
Mabikwa wa voookooo King Kiba Na Barnaba Classic
Twaisubiria kwa hapo video yetu pendwaaa ya mwaka
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
aka bachuchu mombasa 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Harusi hoyee🔥🔥🔥Gonga like kama umekubali verse ya #KingKiba
Dah alivoingia kiba barnaba kaonekana Kama graund
Wanyakyusa tujuane kwenyee huu wimbo,,barnba ft king kiba
👑👑👑👍👍👍👍
Elove Alikiba
🔥🔥🔥 tupoo
Tulipo nkamu gwangu olinkafu
@@faridaessa7844 ndinkafu ughonile
Mafundi mmekutana ,nyimbo tamu Sana love Alkiba voice❤️
sana2
Mayunga kutoka Mtimbira malinyi Morogoro Tz, Kama nyimbo hii imekutach Twenzetu na like mungu mingi
Nipo Morogoro wilaya ya kilombero tarafa ya mang'ula kata ya mwaya kijiji cha tazara
Malinyi nyumbani kabisa igawa moja hiyo
th-cam.com/video/RfNJF4ZMveM/w-d-xo.html
Dah Malinyi nyumban Mimi pia. Much love kwako kwakuwakilisha 👊👊👊
Jirani yangu kabisa..from ifakara
Duuh mpaka leoo on trending duuh, kweli king is the master
Kama umeielewa ngoma hii asilimia na Kama shabiki wa kiba gonga like hapa na Kama unaamin kesho muda huu tutakua na views 1.ml
Dope
🔥🔥🔥🔥
Aah tumeruka vizingiti waambea hamtutishi.....♨♨🎶🎶🎵🎼🎧 mmmh cheketua aaaah ngoma kali sana kama wakali wenyewe. Yaani Kingkiba hajawahi nikera wala kunitega wala kuniangusha
Utamu wa walinazi utafune na ndizi weweeeee nimeipendaniyo iyooo😍😍😍kiba we noma kaka
BARNABA KAAMUA KUMSALITI KING KIBA 😔😔😔
Niatari kingkiba njo mwisho mfalme hakuna mwengine kukakuwa mwengine ni feki
WataNzania mwatuuuwaaa !!!🙉🙉😂🤣🤣🤣🤣 Mziki Kama harua nakwambia....Wapi Likes za King ..... Representing Kenya
Achillia wimbo wa taifaa my favorite artist king en mopaooo
Kiba anajua jamani kuliko mbwa yoyote tz
Hapo anapomnong'oneza akisema "mwenyetamu yangu " duuuuh utadhani naanza mapenz upyaaaaa
🇰🇪🇰🇪🇰🇪uzuri kenya hatuna team,we're supporting good music
saf sana
Ndo yenyewe hio
Hiyo ni kweli kabisa
Hata katika upigaji kura kwa wasanii wanaoshiriki ktk tuzo mbalimbali wa hapa Afrika mashariki ni wakenya ndo mnaongoza kwa kupiga kura
Nyie hamana unafiki mkisema ni nyeusi basi nyeusi kweli na mkisema nyeupe basi ni kweli nyeupe
Hongereni kwa kusapoti wasanii
True darling 😍 😍 😍 😍
Hahaha...true..we just love good music from Tz..but hapa this Two legends have killed it
cheketua ya pili....mimi sijawai pata likes ata Tatu jamani nipeeni tano tu nivimbe...much love from🇰🇪🇰🇪
Nice
Tafadhali Kusikiliza Mkasa wa Kweli wa kijana MUSA na Mkewe ZINDUNA Nenda kwa akaunti yangu tafadhali 😭😭😭
@@mudhihilistoryproductions755 nfanyaje ili niipate
@@sarapaulo4718 Gusa kwenye hiyo jina lililoandikwa Mudhihili story production
Good
masheh hii ndo haitoki namba 1 waachien na wenzenu ,perfect song
Vipi Mashemeji zetu wakenya siwaoni Umu🇹🇿 🇰🇪
Tupo kaka
King Kiba all the way😩🥺.... Tumeruka vizingiti wambea hamtutishi💥
🙄ndio unalia sasa
umetisha
Patamu hapo
th-cam.com/video/EqYDsvq55Yg/w-d-xo.html
Jameni leo nipate likes hapa...king kibaa on another level...wap likes hapaaa🔥🔥
pmja sana
mambo jaklne ukovizuri naytaji tufanyekazi nami nam msani wabongo naitwa rinda boy kamahutojari
huyu ndio kiba achia makopa mengi💚💙💗💖💕❤
King👌👌
Sam mhina
Hamtatusi Diamond nikiona
♥♥♥
💕💕💕💕💕💓💓💓💓
Wimbo hauna MATUSI,,, na UNATREND kama kawaida..... BIG UP King Kiba & Barnaba Boy...
✋✋
kiba my boo bigup broy wang no match ov uaz voice😙😚😚
🙏🙏🙏
Wangap Wameusikiliz Zaidi Ya Mara Mbili Kama Mimi ☝️👆
✋✋
@@hidayaking3383 saf sanna❤️❤️😍
Waambie UGONILE NDAGHA NKASI GWANGU
wanyakyusa woote like hapa
Ndo nn kwa kiswahili
Good music
Good voice
Good artists
Respectable music
Like kama zote kwa goma hili wapenda mziki mzuri sio makelele
Very good music
Aisee huu wimbo mzur Sana hongera
MZIKI MZURI, NIMERUDIANA NA DEMU WANGU KISAA HII NGOMA HIGHTABLE SOUND 🙌🙌☄🚀💥
😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤🇹🇿🇴🇲
😂😂😂🙌🙌🙌
😂😂🙊
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahahahahah🔥🔥🔥🔥🔥
Kama kuna mwingine kasikia maneno ya kinyakyusa alivyonogesha wimbo waambie ughonile ndagha nkasi gwangu , naombeni likes za kutosha
Pmj
King kib saf sn broo
Hata waruguru pia
Unyama sana
Juzi nilisikiza na my dad before niweke akaniambia usiweke izo nyimbo zenu za uchafu nikamwambia hii ni ya adabu akaniuliza msani ni nani kumention kiba alisema uyu kijana ako na adabu sana big up king ady wazee wanakusikiza👊🏼🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Mziki kama huu ulitukosa siku nying sana gonga like zavkutosha CHEKETUA🔥🔥🔥
Noma sana
Don't have to say waaaah...Alikiba ft Barnaba... This song make me feel like I am in an other planet...
Aisee sijaskia maneno ya vijiweni sijui ifinyie kwa ndani sijui chomoa kwanza ..bonge la dude
Siku ya harusi YANGU nilitokea na hii nyimbo
Wimbo mzuri hongereni kaka zangu Ally kiba na barnaba
Kama umeikubal hii video bas nipe like na uku tuna Views ili tupate 1M kwa masaa 12
Sawa sawa
Guys we need a million views let's goooooo🏃♂️🏃♂️🏃♂️ let's fly with this song team Kiba 💪💪💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
th-cam.com/video/RfNJF4ZMveM/w-d-xo.html
Ni moto
Kibba cjui kaufanyaje moyo wangu yan kaniteka kaniteketeza kabisa🤗
Yes, nyimbo bora kabisa itakayo ishi muda mrefu, waweza isikiliza pamoja na wazazi, watoto ni ya heshima sana.
Huitaji kuimba matusi ili upendwe, muda utafika jamii itaelewa nini maana ya music, waimba matusi watapotea wenyewe.
Shikamoo kwa maelezo mazuri sana na yenye yatadumu daima
Hakika umeongea kiutu uzima mungu akubariki
Well said Brother 👏👏👏
Mumeua watu wangu wa nguvu nawapenda mpaka naumwa 🔥❤
Noma sana
when mopao meets King what do u expect..!?WHAT A SONG
B boy ujawai kosea mafundi mmekutana king Moto b boy Moto ngoma kubwa yenye heshima yake
Ukisikia Mziki mzuri, this is what we are talking about. Bravoooo
Ni moto
th-cam.com/video/j_UeaaC6h8I/w-d-xo.html
Wimbo huu naingia nao kwa harusi yangu itafanyika mwezi huu tarehe 20 if yu wish to attend asap♥️♥️♥️
Ulimaliza poa
Daah, nlipitwa aisee
Ntazungumza nae bibi na babu wataridhia,,,,,,,,,,siku ya ndoa shela wigi mie kanzu na jambiaaaaa...
mtu sends me here...love is good baby❤. you're just talented Barnaba🔥🔥🔥
Tumeshinda vzngti wambea hatutishiii🥰🥰🥰🔥🔥🔥🔥
umetisha
King kibaa🤴🏻💪🇰🇪 leo na mimi naomba likes 100
umepata
th-cam.com/video/RfNJF4ZMveM/w-d-xo.html
th-cam.com/video/RfNJF4ZMveM/w-d-xo.html
Shemeji wetu
waambie UGHONILE.NDAGHA NKASI GWANGU✍️✍️waambie MMEAMKAJE.AHSANTE MKE WANGU).Ndagha Ali K kuwakilisha Kinyakyusa💪💪💪
saf sana
Ndagha fijo alikiba
My favourite song😢❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤.....i like it walaiii
Jamani eeeeh,😍😍😍😍🎈🎈🎈, nacheketuka kutoka Pande za Taiwani 🇹🇼,
Two legends you made something amazing, kwa kweli mme ua, washabiki atuna budi, kuwapa hongera, asanteee Mfalme👑 vs Barnaba 💪💪💪💪
Wapi Likes za Mfalme wa bongo fleva...#KINGKIBA
.... Waambie ughonile ndagha nkasi gwangu ...... (Nyakyusa language)
.
.
Kama umesikia huo mstari naomba likes zangu
Sana
Nitazingumza nae Bibi na babu nip like jamn
Ndagha ndagha
Tafsiri yake nini?
Ndo nagundua leo wanyanyakyusa tumeimbiwa "Roho zilowapinda wambie UGONILEEE NDAGA NKASI GWANGU boiboiboiiii
Nakubali sana Love you TANZANIA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🥰🥰
Asante kwa kuipendaa Tanzania
nomaaa
th-cam.com/video/RfNJF4ZMveM/w-d-xo.html