KISUGU CHAMA ALIKUWA MSALITI NDANI YA SIMBA AHENDE TU HUKO YANGA TUMEJIPANGA KUSHUSHA VYUMA KWELI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 มิ.ย. 2024
  • KWA HABARI NA MATANGAZO
    TUPIGIE SASA
    0753393036 CALL
    0625466848 WHATSAPP

ความคิดเห็น • 102

  • @iddkawozya3714
    @iddkawozya3714 3 วันที่ผ่านมา +6

    Hongera Sana KISUGU tunawaomba viongozi wetu watuachie kocha wetu JUMA MGUNDA

  • @IsaacPhilemon-mt7bk
    @IsaacPhilemon-mt7bk 3 วันที่ผ่านมา +3

    Kisugu umeongea vzr sana tena sana,hongera,❤️❤️,wachane na hao wachambuzi hewa.

  • @SeniSalam
    @SeniSalam 3 วันที่ผ่านมา +5

    Aende tu Simba haiwez kuwa na chama milele,

  • @user-ff1it9og8y
    @user-ff1it9og8y 4 วันที่ผ่านมา +4

    Chama aende akibaki Simba ataendelea kusaliti team kwa kiburi chake chama huyo aende zake tu huko

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h 3 วันที่ผ่านมา +3

    Nendeni katengenezeni timu, watu wanamalizia kuijenga timu yao, mwaka wa nne unakuja.

  • @AmiryHamza-gs8pp
    @AmiryHamza-gs8pp 2 วันที่ผ่านมา

    Chama aende kwani yeye simba inaweza bila chama kikubwa tunawaomba viongozi wetu watuachie kocha wetu juma mgunda atutaki kocha mwingine naselemani matora nae apewe thank you alafu kocha wetu mgunda aletewe msaidizi mwingine

  • @MsouthChilala
    @MsouthChilala 3 วันที่ผ่านมา +2

    Waambie wengine wanatumiwa chukua mauwa yako🎉

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m 3 วันที่ผ่านมา +1

    Chamaa ameingia tamaa siyo desturi ya wazambia ameiga tabia za kiswahili sasa amepotea

  • @omarymtotela3751
    @omarymtotela3751 3 วันที่ผ่านมา +3

    Mbona mechi 50 goli moja bado yupo

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 4 วันที่ผ่านมา +4

    Jiandaeni na vipondo tu --- hamna timu ninyi.

    • @mr.lawimagupa3914
      @mr.lawimagupa3914 3 วันที่ผ่านมา

      😅😅😅😅😂Team mnayo nyie ambao hamjawahi kosa ubingwa tangu utopolo ianze

    • @galosmsangawale3830
      @galosmsangawale3830 3 วันที่ผ่านมา

      Kila mwaka anasajiliwa yanga alafu kapewa mwaka mmoja why?

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 3 วันที่ผ่านมา

    Wana SIMBA tupo pamoja sana na big boss MO na management yake yote💪💪💪#SIMBA nguvu moja

  • @cosfubile7859
    @cosfubile7859 3 วันที่ผ่านมา +3

    Bora chama aondoke tu, nitafurah mno akiondoka tunataka simba mpya hiyo ela anayo taka chama bora mkamchukue feisal.

    • @ezradaudi7024
      @ezradaudi7024 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Na Mimi natamani chama aondoke simba maana ameiaumbua simba kwa mda mlefu na ndo chanzo cha kuuza ile mechi ya 5 _1 alihusika % 100

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 3 วันที่ผ่านมา

    Kisugu nakupenda sana,ww ni msema ukweli na unajua mpira#SIMBA nguvu moja

  • @AdamSaidhangolwa
    @AdamSaidhangolwa วันที่ผ่านมา

    Upo sahihi kisugu

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 3 วันที่ผ่านมา

    Tarehe 8 SIMBA day MUNGU akipenda nitakuwepo TAIFA💪💪💪#SIMBA nguvu moja

  • @MichaelKulonzya
    @MichaelKulonzya 3 วันที่ผ่านมา

    Aende tu wanini Simba the big team

  • @MickJ-kv7iv
    @MickJ-kv7iv 3 วันที่ผ่านมา +1

    Max Lengo ni chama wanane

  • @user-ot1vz6um2s
    @user-ot1vz6um2s 2 วันที่ผ่านมา

    Boss ajitaindi aboreshe timu

  • @IstqamaIstqamanasri
    @IstqamaIstqamanasri 3 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂 sw bro umezaminia🤗

  • @brownmasai774
    @brownmasai774 3 วันที่ผ่านมา +2

    Kwa midomo michafu kama wa kisugu msimu huu, tutashuhudia wanachama kwa viongozi wakiondoka Simba kwa mamia, ukianza na kisugu mwenyewe.

    • @Bornwizer
      @Bornwizer 2 วันที่ผ่านมา

      HUYO ATAKUA SIO MSHABIKI WA SIMBA 😂😂. AONDOKE TU

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 4 วันที่ผ่านมา +2

    Waende tu wanatuharbia Tim yetu hawawachezaji tunao waabudu Hawa ndo wanatuharbia Tim yetu ya Simba

  • @user-ky2hp9pk1p
    @user-ky2hp9pk1p 3 วันที่ผ่านมา

    nakubaliiiiiiiiiiiiii mm Simba dam dam kaka kisugu

  • @user-ot1vz6um2s
    @user-ot1vz6um2s 2 วันที่ผ่านมา

    Waende tuu chama chama ni mungu sasa ameenda mbona hatujafa mbona

  • @AllyMwinyi-rx8gr
    @AllyMwinyi-rx8gr 3 วันที่ผ่านมา

    ninachosema chama msaliti aende safi nimefurahi sana mimi naamini hii simba itafika mbali sana inshaallah

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h 2 วันที่ผ่านมา

    Waandishi hawa wanafiki sana kama makota vile

  • @HolelaJohn
    @HolelaJohn 3 วันที่ผ่านมา

    Aende aendako , sio kila siku yy tu. Who is he?

  • @AnoliasiKope
    @AnoliasiKope 3 วันที่ผ่านมา

    Asnte

  • @user-en1fk7ei3y
    @user-en1fk7ei3y 3 วันที่ผ่านมา

    Muacheni. Jamaani anaumia Na chama wake 😂😂😂😂😂 Tuna muweka bench chama. Wenu apati number pale ..😂😂😂 sema Tuna wakomoa.makolo..pumbavu zao 😅😅😅😅😂

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 3 วันที่ผ่านมา

    CHAMA na INONGA ni miongoni mwa wasaliti,acha waende hatuwezi kuendelea kuwakumbatia wasaliti#SIMBA nguvu moja

  • @hamisimwakatobe706
    @hamisimwakatobe706 3 วันที่ผ่านมา

    Wambie hao na waandishi wengi hapa Tanzania cyo watu wa mpira

  • @IssaOmary-r7h
    @IssaOmary-r7h 3 วันที่ผ่านมา

    Chama yanga daima mbele nyuma mwiko

  • @dismascosmas7860
    @dismascosmas7860 3 วันที่ผ่านมา

    Aoondokeeeee tu

  • @tuweniomary4232
    @tuweniomary4232 3 วันที่ผ่านมา

    Eti namchukuru mwenyezi mungu

  • @edwardmizambwa237
    @edwardmizambwa237 3 วันที่ผ่านมา

    Yaani chama ni kama Imonga, utofauti ni kwamba, Inonga alikua ameihujumu Simba wazi wazi wakati Chama alikua anahujumu kichinichini na hadhareni.

  • @muyongahassan2188
    @muyongahassan2188 3 วันที่ผ่านมา

    Chama nimchezaji mzur anawez kwend time yoyote mpira ni biashara

  • @GOLDIANEDRICK-sm6xk
    @GOLDIANEDRICK-sm6xk 3 วันที่ผ่านมา

    Mtaumia Sana

  • @Elphas-gl5lg
    @Elphas-gl5lg 3 วันที่ผ่านมา

    Kisugu unaongea point kwer kwer

  • @KATEGILEMABADA
    @KATEGILEMABADA 3 วันที่ผ่านมา

    Simba tungefadhaika iwapo Chama angeondoka pasipo kuisaliti timu yetu

  • @benjamanigabriel3349
    @benjamanigabriel3349 3 วันที่ผ่านมา

    Jamn na aende hawa ndo waliotuhujumu kwenye zile tano. Tukiendelea kumng'ng'ania atazid kutufelisha .viongoz nawaomba watujengee tim bora chama nenda utakapo baba ila siyo simba please

  • @EliaWangwe-f1u
    @EliaWangwe-f1u 3 วันที่ผ่านมา

    Mbona unaongelea chama kabla hujaulizwa

  • @JonathanMgaiwa
    @JonathanMgaiwa 3 วันที่ผ่านมา

    Simba ipo tangu miaka kibai huyu chama ana miaka 5 tuu simba aende huko alikokuwa anapokea hongo. Huyu mwandishi pia boya tuu wakala wa utopolo

  • @WestonMbadame
    @WestonMbadame 3 วันที่ผ่านมา

    Chama ni Nan walikuwepo wachezaji wakubwa wamepita nae aende tuu

  • @user-ff1it9og8y
    @user-ff1it9og8y 4 วันที่ผ่านมา +3

    Medy kagere alipendwa sana Simva ila yuko wapi leo na huyo Chama ndo anaenda kuishaaaaa

  • @thomaskitemi3283
    @thomaskitemi3283 3 วันที่ผ่านมา

    Wewe nawe kazi kuandama wachezaji badala machawa viongozi ndani ya simba

  • @ashakusiluka9217
    @ashakusiluka9217 2 วันที่ผ่านมา

    Chama akweendee huko kwani yeye nani

  • @Elphas-gl5lg
    @Elphas-gl5lg 3 วันที่ผ่านมา

    Kawaida ya Simba kionesha wachezaji wa viwango ndo yanga anawapata hapa simba

  • @nassoroathuman5161
    @nassoroathuman5161 3 วันที่ผ่านมา

    Kwan dd umetumwa nn mbn umekua nausenge fulan hiv

  • @petro8010
    @petro8010 3 วันที่ผ่านมา

    Kwa kikosi cha kina Jobe hiki ndo urudishe vikombe

  • @bensonthobias8401
    @bensonthobias8401 3 วันที่ผ่านมา

    Dada anajua kuhoji

  • @GOLDIANEDRICK-sm6xk
    @GOLDIANEDRICK-sm6xk 3 วันที่ผ่านมา

    Mmmm mdomo unalipa kwakweli

  • @dismascosmas7860
    @dismascosmas7860 3 วันที่ผ่านมา

    Chama sio simba mwache atembee watauza jezi tu mafanikio zerooòooo

  • @drallan6879
    @drallan6879 3 วันที่ผ่านมา

    we kisugu unasema chama no msaliti ni uongo

  • @Elphas-gl5lg
    @Elphas-gl5lg 3 วันที่ผ่านมา

    Cha turisha achana nae

  • @user-tl6zt6dv3c
    @user-tl6zt6dv3c 3 วันที่ผ่านมา

    Hahahaha ime penya hiyooo tulieni tume waporaa

    • @ommymp9058
      @ommymp9058 3 วันที่ผ่านมา

      Mchezaji Yuko huru mkataba umekwisha,hujapora bado

  • @AbisinaRashidi-wg5jt
    @AbisinaRashidi-wg5jt 3 วันที่ผ่านมา

    Chama nani aende tu kashazeeka

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v 3 วันที่ผ่านมา

    TUNASHUKURU MMEONDOA WASALITI UCHWARA MMELETA WASALITI KWELI

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l 3 วันที่ผ่านมา

    nini chama kaondoka mtoto wetu mkude tena wa kumzaa sembuse uyo mtoto wa kambo mwache aende chama nani kaseja okwi ajibu amisi tambwe na wengitu mwache aende tena fasta

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m 3 วันที่ผ่านมา

    Walikuwa wasaliti kama yuleee wacha wamfate

  • @abdulhalimsalim1386
    @abdulhalimsalim1386 3 วันที่ผ่านมา +1

    Bravo kisugu wape ukweli hao chama chama uto washazoeya kula matapishi ya simba

  • @theonasmkoba6121
    @theonasmkoba6121 3 วันที่ผ่านมา

    Huyu mtangazaji ni bure kabisa

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 3 วันที่ผ่านมา

    Maduka yabomolewe

  • @LassonDominick
    @LassonDominick 3 วันที่ผ่านมา

    DAAAH KUNA POINT HAPO YA MAANA NIMEIKUBARI!!!!!!!
    AMBAYO NI----"WAANDISHI WANATUKOSEA HESHIMA SIMBA---" YAANI HY NI KWERI BILA CHENGA! waandishi wanatoa hoja za kijinga sana kuhusu SIMBA 😅😅

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 3 วันที่ผ่านมา

    Nbc ili tuchukue lazima TFF Wabadilishe sheria mdhamin wa team wasidhamin team zaid ya mbili.vinginevo kuna uhujum wa mechi.

    • @user-mg1yl2rl8s
      @user-mg1yl2rl8s 3 วันที่ผ่านมา

      GSM hadhamini madunduka na bado mkapigwa goli 7....acheni makelele tengenezeni timu...Azam anadhamini ligi nzima ila bado Yanga bingwa acheni visingizio

    • @user-mg1yl2rl8s
      @user-mg1yl2rl8s 3 วันที่ผ่านมา

      Mna ukubwa gani hata nusu fainali CAF....baada ya chama kusepa mmekuja ni kwamba amejisafisha mwenyewe maana timu yenu ilikua inamchafua na matokeo mabaya

  • @user-vs5ow5jt1w
    @user-vs5ow5jt1w 3 วันที่ผ่านมา

    Uongo

  • @alanusrespicius1796
    @alanusrespicius1796 3 วันที่ผ่านมา +1

    Hapo SSH amefanya nini kizuri? Hii nchi kila mtu ni chawa

  • @nassoroathuman5161
    @nassoroathuman5161 3 วันที่ผ่านมา

    Yan wachambuzi wabongo ni hovyo sana nani alimju chama kabla yasimba kumleta tz achen propoganda kuangalia mnchokipewa simba walikuja wengi na wameondoka iwechama ss siokama wale waliochoma jezi ss niwaungwana sana chama aliitumikia simba namudawake umeisha tafuten mengine haya yachama yatawapotezea muda haswa ww baamed imetumwa ww sio mwandishi ww nichawa

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 3 วันที่ผ่านมา +1

    Kumng'ang'ania Chama ndani ya Simba SC ndio kumeibomoa klabu ya Simba SC.

  • @jamalhussein3435
    @jamalhussein3435 3 วันที่ผ่านมา

    Simba nguvu moja tu waende zao kuma ndegerez KISUGU i love your speech wape ukweli wao as we SIMBA IT'S BIG CLUB THAN EVERYONE IN EAST AFRICA

  • @Niika870
    @Niika870 3 วันที่ผ่านมา +1

    Tatizo Simba hatuna msemaj, semaji wetu anazidiwa na propaganda za Yanga achangamkeeeee

  • @josephchales6478
    @josephchales6478 4 วันที่ผ่านมา

    Wewe kisugu mwehu kwr wachezaji muhimu tegemezi mnatoa mnaleta wapya kuja wakaungane ni leo yani nyie

    • @HildaRugee
      @HildaRugee 3 วันที่ผ่านมา

      Hao walioungana wametufikisha wapi '

    • @user-kb7fi6oz7q
      @user-kb7fi6oz7q 3 วันที่ผ่านมา

      Simba nikúbwa kuliko mchezaji hizo pesa anazotaka chama akazifuate yanga tuu,Wacha bilionea aijene timuuu

    • @omarymtotela3751
      @omarymtotela3751 3 วันที่ผ่านมา

      Bilionea anashindwa kumpa bilioni chama ili abaki

    • @user-princs
      @user-princs 3 วันที่ผ่านมา

      Nikweli wanavunja vunja kuja kuunganika sio Leo!!! Kuunga tumu inachukua muda
      Sio kitu Cha Siri inajulikana acha wapayuke

    • @athmanimkangara9290
      @athmanimkangara9290 3 วันที่ผ่านมา

      Chama ni Msumbufu pale ni bora kuanza upya

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 3 วันที่ผ่านมา

    Achape mwendo

  • @rahplenyengerahplenyenge722
    @rahplenyengerahplenyenge722 3 วันที่ผ่านมา

    Kisugu wewe ni ndume lakini unapenda kumusiviya uyu mujiga anaitwa samiya

    • @jamalhussein3435
      @jamalhussein3435 3 วันที่ผ่านมา

      Wewe una mtaja mama wetu ana husika na nn wacha upumbavu usa your brain sisi tunaogea mambo ya mpira Samia ame tokea wapi kama huna story shut up your mouth

  • @JuhudiKasanga-yq5ks
    @JuhudiKasanga-yq5ks วันที่ผ่านมา

    Sizitaki mbichi hizi MANENO ya sungura anapokosa jambo

  • @WestonMbadame
    @WestonMbadame 3 วันที่ผ่านมา

    Chama ni Nan walikuwepo wachezaji wakubwa wamepita nae aende tuu

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s 3 วันที่ผ่านมา

    Badala umtakie heri raisi wako wa heshima mo dewji unamtia nuksi mama etu na meno yako machafu yasiyojua mswaki na colgate

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s 3 วันที่ผ่านมา

    Ooh Yanga hawana hela ya kumnunua chama sijuwi kibu haya kiko wapi?? Tajiri kavaa hadi taulo kama kipindi kile lakini wapi mpunga haujatosha...chama kashusha hadi dau lakini wapi. Tushajua sasa kumbe GSM ndiye tajiri wa ukweli...chama kawaweka madunduka na tajiri yao ooh sorry bilionea wao vikao 10 lakini wapi

    • @user-gr9wc7bc2m
      @user-gr9wc7bc2m 3 วันที่ผ่านมา

      Wamesubiri mpaka amalize mkataba

    • @user-mg1yl2rl8s
      @user-mg1yl2rl8s 3 วันที่ผ่านมา

      @@user-gr9wc7bc2m kama timu aliyokuwa anachezea walivyosubilishwa hadi amalize mkataba

  • @petro8010
    @petro8010 3 วันที่ผ่านมา

    Kwa kikosi cha kina Jobe hiki ndo urudishe vikombe

  • @user-ib2ew9ec3d
    @user-ib2ew9ec3d 3 วันที่ผ่านมา +2

    Naamini chama kama ataenda yanga hatocheza raund2 atagwa nakitu kixito naatapigwa nakitu kixito kama manara

  • @WestonMbadame
    @WestonMbadame 3 วันที่ผ่านมา

    Chama ni Nan walikuwepo wachezaji wakubwa wamepita nae aende tuu