Wewe! Yanga hata bila hao injuries,tulikua na uwezo wa kuingia NUSU FAINALI! Kama ISNGEKUA figisu! Kwani Mamelodi walitufunga?! WAT R U TALKING ABOUT!? YANGA KIKOSI KILIKUA KIPANA! HAO WALIPOUMIA HATUKUCHUKUA UBINGWA NA 3 games in hand? Wachambuzi wa aina gani nyie? Kauzeni karanga au anzisheni saloon! You kno nothing abt footie bro!
Wewe momo ni mla mihogo ulisoma wapi au wewe ni comedy?. Simba ni ya 5 afrika yanga ni ya ngapi? Kwenye afcon Senegal wameondolewa na timu ndogo ina maana walikuwa na wachezaji wabovu?. Shule yako ni ndogo sana. Tofauti ya simba na yanga ni upambanaji . Wachezaji wa simba pamoja na ubora wao walikosa usimamizi walicheza kifadha hawakujua mpira umebadilika. Wanchezaji wa yanga ni wa kawaida ila wamecheza kwa jihadi pamoja na hujuma zingine ambazo kina try again walishindwa kudhibiti zikawa zinawapa ushindi yanga. Try again si mtu sahihi kuongoza simba. Mabadiliko ya simba yatawarudisha kwenye mstari. Ninyi kina mo acheni ushabiki wa kijinga mwambieni msomali aache figisu acheze mpira tuone kama atamshinda simba au azamu kama kutakuwa na fair play.
@@HassaniselemanPwicha ukiona mtu anatukana badala ya kujibu hoja ujue yy ndiye hana akili. Hatuwezi kutembea na waimba mapambio hawajui kitu ni kufuata yanayosemwa na watu wengine.
Yes, nafasi ya Aucho inahitaji 'back up'..👍🏿
Kiungo tungekomaa na bajana ingekua poa sana
Aliye sema momo hajui ni mpuuzi tu
Momo nimekuelewa kama na viongoz wamekusikia tutatoboa kimataifa
KIUNGO NI CHAMA
Wewe! Yanga hata bila hao injuries,tulikua na uwezo wa kuingia NUSU FAINALI! Kama ISNGEKUA figisu! Kwani Mamelodi walitufunga?! WAT R U TALKING ABOUT!? YANGA KIKOSI KILIKUA KIPANA! HAO WALIPOUMIA HATUKUCHUKUA UBINGWA NA 3 games in hand? Wachambuzi wa aina gani nyie? Kauzeni karanga au anzisheni saloon! You kno nothing abt footie bro!
Hahaha 😂
Yanga Uwezo tunao na Fainal Tungecheza, ila Akiongezeka Chama Fainali naiona tu labla watufanyie figisu kama msimu uliopita
Nikwrl yanga iwe na chama
Yanga watafute mtu wa kukaba ili msaidie aucho,chama wann,pacome yupo zaidi yauyo,max,kii wapo saa izi chama na faridi,faridi zaidi uyo chama wann
Sahihi, viongozi wanazingua mno aisee, wasilete chama, watafute mtu sahihi wa kucheza kumsaidia aucho
😮wachezaj wangap? Waliosajiliwa yanga SC?
Huyu jamaa mpira anaujuwa
Kweli wachambuzi hao Vichwa vyao havina tofauti na mayayi Viza Mchambuzi kweli Mwanduke peke yake tu Hawa Wengine ni chapli chapli
Spoti on ! Wachambuzi mafala matupu ! Mzee wa data PEKE.YAKE NDO NAMUHESHIMU! NUMBERS DONT LIE!
Ukiona mtu anatukana badala ya kujibu hoja ujue yy ndiye akili hana. Mwenye akili anajibu hoja.
Wewe momo ni mla mihogo ulisoma wapi au wewe ni comedy?. Simba ni ya 5 afrika yanga ni ya ngapi? Kwenye afcon Senegal wameondolewa na timu ndogo ina maana walikuwa na wachezaji wabovu?. Shule yako ni ndogo sana. Tofauti ya simba na yanga ni upambanaji . Wachezaji wa simba pamoja na ubora wao walikosa usimamizi walicheza kifadha hawakujua mpira umebadilika. Wanchezaji wa yanga ni wa kawaida ila wamecheza kwa jihadi pamoja na hujuma zingine ambazo kina try again walishindwa kudhibiti zikawa zinawapa ushindi yanga. Try again si mtu sahihi kuongoza simba. Mabadiliko ya simba yatawarudisha kwenye mstari. Ninyi kina mo acheni ushabiki wa kijinga mwambieni msomali aache figisu acheze mpira tuone kama atamshinda simba au azamu kama kutakuwa na fair play.
Huna akili wewe!
@@HassaniselemanPwicha ukiona mtu anatukana badala ya kujibu hoja ujue yy ndiye hana akili. Hatuwezi kutembea na waimba mapambio hawajui kitu ni kufuata yanayosemwa na watu wengine.
Yan hata mm nimemuelewa. Mchambuz yuko saw tujitahid kukata kadi2 mambo yatakuwa pw
Yaani jamaa shida yake kuongea tu ukimi wake kama una mashaka mashaka lakini ni mchambuzi mzuri sana anajuwa boli.
Uko vizur kaka. Akili kubwa
Akili gani!? Kama umamuona huyu ana akili,BASI HUNA AKILI! KAONGEA UPUUZI MTUPU!
Momo. Huna. Ujuwalo. Kenge. Mkubwa
Mbona unajilambalamba midomo wewe kijana????
Za ndaaaaaaanikabisa wewe unakitu ila2
Ulimi sio ukimi sorry
Haikuhusu. Kuuliza. Ivo