Daaah huyu jamaa kama lugha ya taifa kaisahau namna hii luga yake ya kabila lake la kinyakyusa ataiweza hata robo kweli? Mimi nadhan hataweza kama nawe unamini gonga like hapa twende sawa.
Offer offer nunua au kopa solar ya watt 40,80,120,200 ikiwa pamoja na TV inch 21-43 na taa zake tukuletee hadi nyumbani pamoja na ufungaji ni bureeeeeeh wahi sasa offer hii ipo jirani kuisha.piga simu 0764325083/0654362426.
Hata interview inaonyesha anaehojiwa ni Legend nimependa Sana huna haja ya kujitutumua Sana Kama kunavitu unamiliki sometimes sio poa kuwalingishia watu
@@ilynpayne7491 ok B 1 sawa na dólar laki nne na hamsini elfu wakinga wanaoenda china kufunga Mali mbona pesa hiyo wanayo D sema kma unavyosema kwa bongo ni utajiri ujue kkkkk
@@shayopaterini8678 kkkkk na wapemba na wachaga não wanazipataje pesa ? Kila pesa ni chungu mjomba mimi huwa nfanya kazi winter time Canadá hapa ukiniona utanionea huruma pia hatariii
Kweli bongo hakuna kama diamond msanii pekee anayejiamini kuonesha mali zake ili watu waone matunda ya kumsupport sio kama wasanii wengine wanafichaficha sababu wanajua hawana kitu na hata kama wanacho hakiendani na muda walioko kwny game
@@treyguydangote4034 nadhani wewe ndio mshamba..enda marekani na nigeria uone wasanii wanavo swaga mali zao kwa umma..ebwana wewe ndio mshamba..alafu unasema hivo sababu huna kitu isopokuwa belt na chupi tu..tumeelewana?😂😂..heri ungeniambia ni kiburi kuliko ushamba..yani wajuwa ushamba ni nini wewe??hahahaha
@@antibiotic7238 kwani ni uongo mondi mshamba. Kubali kataaa acha kutetea ufala ila sishangai mond na mashabik zake wt washamba mond ni mxhamba na nimshamba kweli awez badilika
Ay kama mzungu kasahau kiswahili 😁😁😁 Gonga like hapa na Subscribe channel yangu
Hão tushawazoea hatariii
Daaah huyu jamaa kama lugha ya taifa kaisahau namna hii luga yake ya kabila lake la kinyakyusa ataiweza hata robo kweli? Mimi nadhan hataweza kama nawe unamini gonga like hapa twende sawa.
Ngonga like Kama umemsikia ay anaongea kichina et kiswahili kasahau😁😁😁🤭
kwani kumiliki nyumba Marekani au Europe ndio big deal au ndio mafanikio hata ukipiga box unaweza kumiliki nyumba
Kufanyia watu interview kwenye clubs unakuwa hivo yaani watu wanazungumza kama wanafokeana, kama askari kwenye mafunzo
😅😅😅😅😅😅
haya n mateso mtu inabd uongee kwa nguv mpk sio poa
Hahaha
Alikuwa anaperfom na ametumia energy nyingi na sound ilikuwa kubwa
😀😀😀😀😀😀😇😇
Respect AY wewe ni mfano wa kuigwa,,,.na Roma naye ndiye anayefata nyayo zako,,.Mwenyezi mungu awe nawe.
@Raphael Hitler nakubaliana na wewe
Ukiwa na hela bwana raha sana hata ukijidai umekisahau kiswahil watu wanaelewa 😅😅
😂😂😂😂😂
Hahaha
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂
Safi sana wafunge midomo hivyo yani chako ni chako na familia yako na sio mitandaoni ...big up sana
Bravo Ay&Fa Hawa ndo wakuigwa cio watoboa pua
Maana halisi ya kuwa msanii anaejitambua ndiyo hiyo
Kutoka kwa AY 2020
Mother language, Inapotea
Kwel banaa, jamaa kabsaaaa kiswahili kinapoteaa daaah
KWELI SEEMS KUTOKANA NA UNYAMWEZI MWINGI
This is true legend always explain like a Legend. Big up AY
Offer offer nunua au kopa solar ya watt 40,80,120,200 ikiwa pamoja na TV inch 21-43 na taa zake tukuletee hadi nyumbani pamoja na ufungaji ni bureeeeeeh wahi sasa offer hii ipo jirani kuisha.piga simu 0764325083/0654362426.
Hivi huyu jamaaanakitangaza nia ubunge kwanini tusimpe mimi simuiti AY tena namuita mastermind
Warwanda wazur tatzo kutulia kwenye ndoa
Duuh
Hahaha noma watoto zetu wa kinyarwanda kama wewe sio mnyarwanda kukupenda itakuwa vigumu.
Hão nawajua saana ukija hapa brussels ndio utawajua nomaaa
@@MrNdanguza wanyarwandakazi niwazinzi wakupitiriza
@@LeeUfudu wanyarwandakazi niwazinzi sana
Mbona mm ime goma
Napenda anavojibu AY haya ndomajibu nayopendaga
Hata interview inaonyesha anaehojiwa ni Legend nimependa Sana huna haja ya kujitutumua Sana Kama kunavitu unamiliki sometimes sio poa kuwalingishia watu
AY, STAMINA, BEKA FLAVOUR, BARNABA, NUHU , Taja wengine ambao Ndoa zimewazingua na Dizaini Kama wanatamani kurudia humo yaani.
Video ni nzuri lakini AY amechemsha kidogo kwenye upigaji gitaa amaonesha wazi kwamba hajui kupiga gitaa
Urafiki sio Urafiki mpaka Uchanganywe na KAZI....
Dah jamn AY, mbona kama sio mtanzania vile 😁😁😁😁
Nmeelewa boss
Mrwanda akashindwa
😍😍😍
Kweli kabisa usiwape watu faida ya kuisikiliza historia ya familia yako ama maisha yako.. kuwa mjaja siku zote
Kwahel kiswahili
Abel Nzunda 😂😂😂😂
Daaaaa Kama mzungu vile Kiswahil hakiwez kbxa lafudhi ya kidhungu😁😁😁😁
Daaahhh ndo mzungu kiivyo yani
You no
@Change Mindset ok
Jamaaa anaongea km cyoo mtanzania bhn ilaa maisha hayaaaaa duuuuh
Big up AY
Kiswahili Cha AY sio Cha bongo kbs
Anasahau Kiswahili jmn
Tupeane satopi tusiwe wanafki ndugu zangu Subscribe basi kwenye You tube channel yangu 1k please
Satopi ni nini?
Saf sana kaka A Y
I like him kinyaks, sijui mnanielewa
dakika 20😂
Afu uyu jamaa anaongeaga kama mkenya vile 😆😆
Fiston Amani eeebwana eee
Lahaja yetu hio
Huyu Kaka anajielewa sana
Ongea kinyakyusa nkamu
Hiyo Swahili so ya mtanzania
Umbea umewaisha wataka habari za watu, tafuteni vyenu wekeni mtandaoni NY******
😍😍😍😍
wasanii wengine igeni mfano huu na sio kujimwambafai bdae mkiugua mnachangiwa fedha
Naitakia simba ushindi mnono
Bado anaropoka sauti Kama yote
Kitwanga sasa Kina realized aeroplane
Leah haule simba juu juju zaidi
Anajibu vzr
AY, kakaa sana India?
Mbona anaongea kama Kanjibai? 😂😂😂😂😂
Fanya Mazoezi baba
Amepiga maji
Ay
At last 1st to comment
Dah....kiswahili cha AY kimebadilika kabisa huh. kwel mbelembele tu
Respect xana boss
Anzungumza kiswahili kma Mkenya hivi kkkkkk
Legend
AY Anaakili Na Malezi Mazuri
Muhindi
Nakuelewa brother wazibe mdomo
Ay kaka nimekuelewa kW swali ,jb niafadhal kumuonesha MTU kwnye ugum kulko urahic .huo ndo uwanaume hujapewa koromeo bure unajua dhaman yk p1 abuu HP cfatilii mitandao burbr pwynt kama hii.p1 kaka
jamaaa anajibu vizuri inavyotakiwa
dah! sema hii sauti ya uyu dada kwenye tangazo la tigo ni kisanga
AY ni mastermind yani jamaa ana ela alaf sielewi ana pataje utajiri
Kwani AY ni tajiri au anauwezo tu eeeeeeh acha kuogopa D kkkkkk
@@LeeUfudu huyu jamaa tajiri aisee sema huwa hataki kujionesha account yake haikosi bilion 1 ya kitanzania kwa kibongo bongo ukiwa na bilion tajiri
@@ilynpayne7491 ok B 1 sawa na dólar laki nne na hamsini elfu wakinga wanaoenda china kufunga Mali mbona pesa hiyo wanayo D sema kma unavyosema kwa bongo ni utajiri ujue kkkkk
Wakinga unajuwa wanazipataje na mashart yake yapoje utwawonea huruma
@@shayopaterini8678 kkkkk na wapemba na wachaga não wanazipataje pesa ? Kila pesa ni chungu mjomba mimi huwa nfanya kazi winter time Canadá hapa ukiniona utanionea huruma pia hatariii
Nani mwingine Aliyemuona Sallam Don Mendezi?
Eliud Wiston ana udoni gan uyo bwege?
Justin bieber huyo unaye mwita bwege ndio maneger wake
Kiswahili cha Ay kimekua kama cha yule mzungu bongo zozo!!
Wow
Big up sana
He fell off from top rapper to just normal rapper still legend anyway
Nani kasikia kingeleza cha off cozy... Gonga like twendesawa
Dah jamn AY, mbona kama sio mtanzania vile 😁😁😁😁
Kweli bongo hakuna kama diamond msanii pekee anayejiamini kuonesha mali zake ili watu waone matunda ya kumsupport sio kama wasanii wengine wanafichaficha sababu wanajua hawana kitu na hata kama wanacho hakiendani na muda walioko kwny game
Anajiamini au ni ushamba na diamond hata awej hawez acha ushamba he is premitive man hawez badilika
Trey guy Dangote Wabongo bhn 😂 kila kitu ushamba ila akina 50 cent Lil Wayne wanavoonesha majumba yao mnawaona wajanja kweli 😂🤐
Kuonyesha kitu mtandaoni nimfumo wa mtu alivyojijengea,pia siyo lazima.kila mtu anavyopenda kuishi
@@treyguydangote4034 nadhani wewe ndio mshamba..enda marekani na nigeria uone wasanii wanavo swaga mali zao kwa umma..ebwana wewe ndio mshamba..alafu unasema hivo sababu huna kitu isopokuwa belt na chupi tu..tumeelewana?😂😂..heri ungeniambia ni kiburi kuliko ushamba..yani wajuwa ushamba ni nini wewe??hahahaha
@@antibiotic7238 kwani ni uongo mondi mshamba. Kubali kataaa acha kutetea ufala ila sishangai mond na mashabik zake wt washamba mond ni mxhamba na nimshamba kweli awez badilika
Refresh 😍 😍 😍 😍
I always like Ay