JANGWANI MAMBO SAFI/ALLY KAMWE AGAWA SUPU KWA SHABIKI WA SIMBA/HATUNA UBAGUZI/NI MWENDO WA TANO.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 พ.ย. 2023
- Leo tarehe 12 Novemba Klabu ya Yanga imendaa Supu maalumu makao makuu Jagwani kwa lengo la kusherehekea ushindi walipata siku ya Novemba 05 dhidi ya Simba SC.
Mpenja Tv tunakuletea matukio yote muhimu kuhusu Zoezi hili maalumu la Wana Yanga - กีฬา
254 hapa I'm so proud of daima mbele nyuma mwiko. Hii ndio yanga make people happy and together. I love my team Yanga. I love Africa
Haya ya SUPU DAY yanafanyika JANGWANI tu huipati timu yoyote duniani, ni YANGA pekee. HONGERA sana wananchi.
Yanga vivaaaaaaaaaaaaaaaa.Naipenda sana
Jamani yanga Raha sana 💚💚💛💪
Ila Timu ya Yanga ina Upendo Saaana kama unaaangalia kwa makini... Timu ipo ki-Upendo hata Washabiki... GOOD JOB VIONGOZI KWA KUUNGANISHA TIMU NA JAMII....
Sana ndug huyo jamaa wa simba kapokewa kwa upendo wangekuwa wao wangem bomoa makonde ya kuua km mwiz vile
@@alphoncealmack9240umeonaee
Simbaaa wao ni umbeaa na mdomoo tuu ndo maana hawana upendo 😂😂
Makafara hayo baada ya kumfunga mtani
Lazima tuwe na upendo sababu kwetu Ni mambo bado
Jamani nakula supu nikiwa Arusha 💛💚💛💚yangaaaaaaa 5G🖐
Nawapenda wananchiiiiiii kwaushirikiano wenu kwa watani🧡💛💚💙💜
Jamani kumbe ni kweli duu, hongereni yanga hamna Jambo dogo
Ulijuwa tunatania 🖐️
Mashaallah Allah atuzidishie upendo Inshaallah
Naumia sana wananchii wenzangu niko mbali Muscat ila tunakula supu pamoja💛💚💛💚
Tabulele laaaaa 💚💛💚🖤🖤💚 soup day 🍲🍲🍲🍲n mwendo wa kusambaza upendo tu wananchiiiiiii 💚💛💚💛💚
Yanga hatunaga shughuli ndogo aisee😂😂😂😂💚💛💛💚
Naumia jamani nipo mbali lkn tupo pamoja napatika mascat Omani
Masha Allah ❤
Yanga Forever💚💚💛💛
SUPU DAY, hongera chama langu Yanga kwa kufanikisha haya🎉🎉🎉🎉🎉
Ameizing...
Daima mbere nyuma mwikoooo🎉🎉🎉🎉
😊😊😊 Dah yanga amnaga jambo dogo duh ay bn
Yanga Wanajua KUKERAAA😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 na mpka waseme 🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Zaidi ya kukera wenzenu wanataka kusahahu machungu nyie kila leo mnawakumbushia
Mungu tupe furaha daima
Alhamdulillah,Hii ndio Tanzania hii do Yanga,huu ni utofauti mkubwa na vilabu vingine
Yanga mnatisha sn,Ally kamwe ni mbunifu!upendo mkubwa sn wananchiiiiiiiiii
Dah Hadi Raha huu ndo utani jaman Simba na yanga sio maadui sisi ni watani
Exactly 👍
Hongera watani🎉
Good day 5G and good supu day
Hongereni sana wananchi,ila maombi yangu muwakumbuke nawatoto yatima na wenyewe wafurahie ushindi wa wananchi
Nakunywa supu nikiwa kibaha daima mbele nyuma mwiko wananchiiiiiiii
Waoooooo, Safi sana
hamasa za yanga hutoboi pigeni supu
Huyu nimdogo wake mzee Mpiri maana wanafanana hata utafunaji wanyama🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Aamina Inshaallah
Watanzania tuna aina yetu ya maisha mpaka Raha! Kongole kwa wanayanga!
Daah kwelii nakubaliiiii wananchiiiiiiiii
SUPU VIPANDE 5, CHAPATI 5,MAANDAZ 5,SIMBA KAPIGWA 5,SIKU YA TAR5,RAIS SAMIA KAPOKEA UONGOZI KUTOKA AWAMU YA 5,VODA COME WANA LINE YA 5G,pili pili 5...KILA KITU 5G.😅
Nimecheka mtani kapewa supu na chapati 5 _ pilipili 5 _ Ndimu 5 ha ha ha !
JIRANI jirani karibuni.wana msimbazii.....sisi wanajangwani hatuna Roho ya kwanini.💛💛💛💛💚💚💚💚💚
4:17
Asanteee yngaaaaaa
Mujae na viwanjani sío kunywa supu tuh
Simba wataiga tuu ila wao wataweka biriani..nipo nimekaa paleee
Hahaaa, kolo hakuna ubunifu.. walivyoona yanga wanatoa mechi zao kwa wachezaji wakaiga..kibu Denis mgeni rasmi simba vs yanga... akashindiliwa 5.
@@josephlorri431🤣🤣🤣🤣mgeni rasmi amekandwa vby wakome 🖐
Yanga tamu
Supu imetulia kama ilivyo tulia Simba
😂😂😂😂😂
Wabongo hatari
Mashallah ❤
Yes vp hapo have a good weekend 😅😅😅😅
Yanga 4ever watu watapungua uzito safar hii
daima mbele nyuma mwiko pamoja tunaweza
Yanga raha jaman nyie achen upendo uliopo yanga ,simba haupo 😂😂😂
Kuna jamaa wa simba namuona na supu yake swaaaafi 😂
five goal na supu day ❤❤❤
Supu vipabde 5 chapati 5 Simba kapigwa 5 siku ya tar5 RAIS Samia kapokea uongozi kutoka awamu ya 5,, VODA inaline za 5G....YANI 5x5/five square
Wananchiii tunajipenda
Yanga mna sifaaa😂😂
Karibuni Wana Msimbazi. Njooni tunywe pmj tunawakaribisha.
This is yangaaa...I love u yangaaa
Yaani yanga jamani raha
Mzee hana meno lakin nyamaa haachi
😂😂😂😂... Banch la ufundi, Mzee mpili.😅😅😅😅
😂😂😂yang rahaaa
shikamoo simba
Vzr
Yanga moto
🤣🤣🤣 makolo wameleta mvua na mafuriko himladi tu wananch wacnywe xupu lkn mpango wao umeferi 🤣👋
Hahahha mzee mwenye meno ana 😂😂😂 dah nimesafiri ningekuwepo apo
Jaman ningekuwa dar ningekuja kupga supu asee hatar san
Supu iendelee
Hii ni asasi ya kijamii na sio timu ya mpira
Sema mpira raha sana🤭🤭
Ndo rahaaaa ya mpiraaa utani unarahaaa yake
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂❤❤❤❤❤❤❤ burudani uendelee
Na huku zanzibar mungeleta angalau ng'ombe 3
Ila wananchi mnasir kumbe watu wanapga supu na chapati 5 😂 alafu hamsemi😂😂
Wahuni katika uborawetu 😅😂😂😂😂
Ila yanga mna vituko sana yaani kisa kuwakanda makolo ndo mnakunywa supu
Mbon tumewafunga mar nyingi tu huu upendo tu
Yanga siku hizi mmekua
Chezea supu ww, unaweza kuikana timu yako mara 5
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Simba ni timu kubwa ikifungwa inatangazika dunia mzima, wengine ndo hao wanamalizia makafara yao wanazuga watu tu hakuna chochote hapo. Pia ni ushamba mkubwa na ni aibu kubwa mno kufanya sherehe ya kumfunga simba. Hii inamaanisha kuwa hamkuwa na uhakika wa kuifunga simba.
Hii supu hawajanunua ng'ombe nizawadi aliyo iweka wazili kua Tim utakayo shinda kila goli ning'ombe ndo maana wamepika supu
Hy ni Teja sy mwanalunyasi
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kweli huu ni utani.
Ila hapo mungewaleta na wacheza aji wallah ingependeza sana zaidi ya sana japo wasile kiihivyo ila wakuwepo tu kwa muda kadhaa kisha wasepe
Mmerudisha deni penye toka 1995 mkaage machosasa,sikumoja tu makelele mtaa mzima
Yaan utoke kibaa nauli larinoa elfu 8 ufate supu ya buku😂
Kumbe lah San jmn mmetuwakilisha vizuli san Wana yanga laha san
Lijmaa linapenda2 kula
Ndo raha ya utani
Dah nimekukosaje hi supu mvua katka niende tu
aisee siku zote ndoto za mtoto ni kumpiga mkubwa haina noma mmezihirisha kuwa mlitamani kulipiza Ila mlicherewa sanaa
Mi nlijuw mzee mpili😂
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Japo nipo mbali nipo dubai lakini naisi kama nipo jangwani nakunywa supu na wana yanga wenzangu yanga oyeeeeeee
Hili kolo Limenichekesha
Uwo ndio utani wa jadi sio kutukanana kupigana kunyomana visu wala aependezi mpira sio uhuadui
Sio kunyomana visu 😁😁😁 kuchomana visu
Mimi natumia mpaka nalia ivi kwenye miskiti watu ukuti wengi kiasi iki mtu anatoka mbali kwaajili yapila lakini hakumbuki Alie tupa punzi tunatakiwa kumtaja kwa wingi na kumswalia emungu tusamehe
Yani wamepewa mpaka chapati, Yanga kubwa
Leo ndo ile sentensi kuwa simba ni club kubwa inathibitika yaan ukimfunga simba lzm ufanye shereheeee
Mnajisahaulisha kwan Yanga imemfunga Simba mara ngapi au 5 zimekuvuruga huu ni upendo tu ingekuw hatujawah kuwafunga ungesema hivyo lakin kwa misimu hii ya karibu tumewapiga san mkatuotea mara moja ya kutufunga 2
@@seciliamchalo5627 nimezungumzia sherehe kwamba ukiweza kumfunga simba goli nying lzm ufanye sherehe maan hiyo misimu umenifunga haujawah kufanya sherehe na mm nimekufunga mara nyingi magoli sita tano nne zote hizo lkn sikusherehekea coz wewe niwakawaida saana mm kukunyoa
Yanga chama kubwa
Makolo washukuru mchezo ulichezwa tar 5, ingekuwa tar 8 dadeki wangekula nane😂😂😂
Kama umesikia " na vijiko vitano"
Ng'ombe wa Simba kachukua Mwamedi😁😂😃
Daaa! Ukiambiwa mtu anakula SUPU mwoogope maana ukikutana nae lazima akuvunje mguu hii ndo maana ya SUPU ! Melvi kiboko yake supu
Simba mnachakuji funza hapo mpira sio ahadui
Hahaha hiii ndio yangaa Haina jambo dog ❤❤❤❤❤