Manara ataftiwe Kaz nyingine msemaj ni all I kamwe manara atauza mechi so mshabiki was yanga alii anaiongelea yanga moyoni ila manara maneno mengi mdomoni
Yah, nimeona pia kumbe matajiri wanatofautiana. Tajiri mmoja ni wa mtandaoni plus maneno mengi vikiwemo na vijembe uchwara, halafu mwingine yeye ni wa vitendo tu na si maneno. Huyu maneno yake mawili tu "YANGA BINGWA!"
Shkrn mtt wng,una busara/mahaba mazito kwa Yanga yetu.Ulijiongeza kwa faida ya Yanga yetu,umefanya kazi ilihotukuka iwe icwe nawe ktk HISTORIA ya Yanga UMO/UTAKUWEMO tu,Mungu akujaze siha njm inshaAllah !
Ally kamwe wewe mwamba hao wapuuzi wasi kudanganye kila mtu na kazi yake kwenye nafasi yake hao wala tano wana kuchomekea maneno eti hukutambulishwa uwanjani wakati ulikua kwenye majukum yako kule uhuru nimekuona.
Haijawahi kutokea.mashabiki Wana mzuka.wameshangilia mwanzo Mwisho.hongeren sana Wana yanga. Na bado nymbn wanayanga wamebak kibao.lkn mmejaza n mmefurika
"Think Tanker" Ali Kamwe. Hao wanaokuhoji kuwa hukuja kutambulishwa kwenye uwanja wa Mkapa ni malimbukeni , hawajui Nini maana ya "Manager" wa habari wa Yanga.!?
Huyu ndy msemaji Wa 12:45 Yanga akili nyingi na Maneno yenye ukweli ndani yake big up sana Ally Shaaban Kamwe hujawahi kulisha watu matango pori kama kulee kwa majirani striker mrefu anapita goli kwani Tunacheza basketball
Waambie watu wengi wanapenda kushikilia mazoea sana kila siku wantaka iwe kam ilivyokuwa mwak jana mwaka juz lkn Yanga ni wabunifu watuache na Yanga yetu
Tuliokuwa Taifa Benjamini mkapa tulikutafuta baada ya kutojua uko wapi ,furaha yetu ni kukuona ww pia. Kama ulikuwa na wananchi wengine pia Pongezi sana kwako na hongera sana kwa kazi mzuri.💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚wanaichiiiiiiiii,,iiiiiiiiiiiiiiii,
Ali kamwe ni kiongozi
Kiongozi ni yule anaejitoa kwaajili ya watu wake 📌❤️🇹🇿
Wanasimba punguzeni majungu kwa Ali kamwe wetu
Smart boy semaji la wananchi. Big up Ali Kamwe. Brilliant boy🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Asante kaka Kamwe kwa kazi ngumu. Umekuwa pamoja sana na wananchi. Pole kwa kazi.
Yanga ni kubwa, Asante Ally Kamwe, mmefanya vizuri.💚💚💛💛🌻🌻💐
Moj me
Ono.u
Nani asiemjua Ally Kamwe...Muulize Ahmed Ally atakujuza vzri😆😆😆
Very Good bro Ally Kamwe. Wewe utaishi miaka mingi sana. Well done. Kazi zako zitakutambulisha mkuu
Ally nakupenda saana wallahi Allah akuhifaadh tunaomba uwe msemaji wetu milele biidhnillah inshaAllah❤❤❤❤❤❤
Mungu akuongezee ally kamwe na akupe mwelekeo mwema
Asante brother your hero ally kamwe
Ali kamwe wetu mungu akutunzeee 💚💛💚💛💚💛💚💚💚💚
Safiiii sana Ally kamwe unaupendo mkubwa sana mungu akujalie Maisha marefu hapa duniani🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ndo maana halisi ya kuwa kiongozi
Hongera Ally kamwe semaji la kitaifa.
Semaji miaka mingi saana upewe uitumikie timu kwenyevodara ya habar..huna mpinzan
Nakukubali semaji langu huna baya hongera
Ally wewe ni Mtu wa Maana Sana 🎉🎉🎉🎉🎉 Mungu Akulinde
Manara ataftiwe Kaz nyingine msemaj ni all I kamwe manara atauza mechi so mshabiki was yanga alii anaiongelea yanga moyoni ila manara maneno mengi mdomoni
Hongera sana Ali Kamwe kwa kazi nzur,na pole pia mpk saut imekata huyu ndo kiongozi halis🔥🔥🔥🙌🙌
Ally ni smart guy mtu wa maana sana 😂😂
huyu jamaa akamua kuacha kule akaja huku kuwatia moyo wadau safi sana!!!!
ni mtu maana zaidi ya maana sana, sana sana!!! May God bless him
mdogo wangu nilikuona unawibika uwanja wa uhuru achana nao hao hawana jip
Anhsate mwenyekiti wa wasemaji ally kamwe 👏👏👏✅✅
Alhamndulilah Allah atuzidishie zaidi Inshaallah
Yanga tamu
We mwamba unajielewa sana
Nitaongea na mama yangu mpendwa samia raisi wetu mpendwa akuteue ufanye nae kazi maana uko vizuri unaweza dogo😮.
Yah, nimeona pia kumbe matajiri wanatofautiana. Tajiri mmoja ni wa mtandaoni plus maneno mengi vikiwemo na vijembe uchwara, halafu mwingine yeye ni wa vitendo tu na si maneno. Huyu maneno yake mawili tu "YANGA BINGWA!"
Mwenye kiti wa wasemaji
Dah! naKupenda bure semaji letu❤😂😂
Huyu jamaa asiondoke yanga yule zeruzeru mpiga kelele
Kamwe ni mmoja tu ❤
Mungu akulinde ukwer wazazi wako wanajivunua san ww unafany kaz bora san
Nakupenda Ali unaakili upo smart
Tumeinjoi Sana semaji letu asante
kamwe nakugawa maana sikwa kuwajaza makolo,ivihawaogopi❤❤❤
Congratulation alikamwe
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉safi sana Ally kamwe
Kamwe kamwe hongera sana naona kazi zako
Tuko pamoja na ww Eng Ally!🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Shafii Dauda anakutafuta huko
Shkrn mtt wng,una busara/mahaba mazito kwa Yanga yetu.Ulijiongeza kwa faida ya Yanga yetu,umefanya kazi ilihotukuka iwe icwe nawe ktk HISTORIA ya Yanga UMO/UTAKUWEMO tu,Mungu akujaze siha njm inshaAllah !
Yaani ww semaji letu ni mtu na nusu. Be blessed
Huyo aliyesema hujatambulishwa tushamwambia akashughulikie jambo la Manula kwanza huku atuache.
😂😂😂
Ally ukiacha uafisa habari takufunga Kwa kosa la utekaji, umeuteka moyo wangu
Hitimisho ni Yanga Bingwa 💚💛💚💛
Ally kamwe wewe mwamba hao wapuuzi wasi kudanganye kila mtu na kazi yake kwenye nafasi yake hao wala tano wana kuchomekea maneno eti hukutambulishwa uwanjani wakati ulikua kwenye majukum yako kule uhuru nimekuona.
Yanga mmetisha🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kamwe winner of the competition ❤❤❤ acha wakutafute kazini na sio majunguni 😂😂😂
Ali mungu anakuona ongera sn
Uko vizuri ❤ wamekuelewa asieelewa basi hatokuelewa
Ali kamwe is a special one
Mungu aendelee kukuweka 💛💚💛
Ali kamwe unastahiri kuwa mkurugenzi wa habari wa yanga 🎉🎉🎉🎉
Nimefarijika kukuona Ally Kamwe kweli huu ni mpango kazi kweli nimeamini Yanga nikubwa kuliko
Ali Kamwe umepiga kazi sana, unastahili pongezi. Mpaka sauti yako imekauka
Hongera semaji 💛💛💛💛
Semaji hana baya kabsa unafanya kazi yako sahihi apewe maua yake aisee 🔥🔰👊
Alafu ally mwenyewe hata shida hana sasa vimbea vya Simba sasa eti yuko wapi yuko wapi ili iweje??
Asante yanga kwa ushindi huu I❤ yanga
Mungu akulinde
Msemaji mwenye akili 🙌🙌
Yanga bingwa
Wape salaam mpaka waseme
Kamwe nakupe nda mwangu unajuwa sans kujieleza mungu akupe maisha marefu
Good job Ally and Manara
Kamwe Unajua 👏👏👏👏
ASANTE MWENYEKITI UMEWAKATA MAINI WANAFIKI WALIKUWA WANATAFUTA CHOKOCHOKO ZAO
Kabisaaaa ✍️✍️✍️
Kwani wanaacha Sasa?? Yaan wao mpk waone vurugu yanga ndo wanafurahi wameanza na magoma sa hv wamehamia kwa Ally na manara
Wacheni uongo janja mkapa gepu hiyo ni ili mwonekane kuwa mko wengi kumbe janja hiyo
Kumbe kitendo cha Aziz Ki kuweka bao jioooooni kimewauma???!!!
Kamwe nenda kapumzike kaka yetu umechoka sana hujalala tangu jana.
Mauwa yako semaji letu watu wanaumia huku❤❤❤❤
MUNGU akubariki alikamwe wetu ufikie ndoto zako achana nawatu wasionakazi wanaokaa nakukujadili wewe nimtu muhimu sanaaaaaaa makolo wenyewe wanalijua hilo ndo mana wanakutafuta
Sema tamasha letu limekua nzuri 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🔰🔰
Kabisa Aisha wa dube 😅
Haijawahi kutokea.mashabiki Wana mzuka.wameshangilia mwanzo Mwisho.hongeren sana Wana yanga.
Na bado nymbn wanayanga wamebak kibao.lkn mmejaza n mmefurika
Asantee nilikuajeee nakusakaaaa...makolo wameanza uongoo...Ooooh wamegombanaaa.
Yanga hiii Ni Ya Kamwe Miaka Mia
Ally Kamwe. Wewe ndiye pekee Meneja Habari na Mawasiliano (Engineer) Wa Yanga. Na ndiye tunaye kutegemea Mungu akubariki
"Think Tanker" Ali Kamwe. Hao wanaokuhoji kuwa hukuja kutambulishwa kwenye uwanja wa Mkapa ni malimbukeni , hawajui Nini maana ya "Manager" wa habari wa Yanga.!?
Ishi maisha marefuu bro🎉🎉
Ila huyu dogo Ali kweli anchekesha kwahiyo Mo aligeuka mwijaku
😂😂😂
Ndio we ujamuona@@lydiadaudi4076
😂😂😂
Nimecheka kumamake😢😢😮
Big brain,Ally Kamwe.
Ukwer yule dj noma sana daa anajua kaz yake
Huyu jamaa amefanya siku nzima nazunguka mitandaoni kujua kwa nini jana sijamuona. Kuweni makini akiondoka ataondoka na Gen Z wengi sana
Fantastic
safi saaaana injinia wetu tulikumisi sana bosi wetu
YANGA THE BEST
Huyu ndy msemaji Wa 12:45 Yanga akili nyingi na Maneno yenye ukweli ndani yake big up sana Ally Shaaban Kamwe hujawahi kulisha watu matango pori kama kulee kwa majirani striker mrefu anapita goli kwani Tunacheza basketball
Waambie watu wengi wanapenda kushikilia mazoea sana kila siku wantaka iwe kam ilivyokuwa mwak jana mwaka juz lkn Yanga ni wabunifu watuache na Yanga yetu
Mentality nzurii saana Hii📌
Hata kama Kuna fukuto lakin ally jinsi unavyoliendo unaonyesha usmart sana big up kwako
Bro always you are the best keep pushing for wananchi 💛💚
Semaj lenye Akil Mingi Dunian,,,,,Kina mwajuma Adera,,wameshindwa kuonesha ukubwa wao,,,wameanza kuuliza semaj liko wapi???
Umewaziba midomo Watu woooooote
Mmmmmh! Kweli Jana ilikuwa njema
umeniacha hoi hapo kwenye utambulisho 😁😁😁 ALLAH Akuweke Inshaallah Kaka🙏
mtashobya josia nikiwa Kenya nawapata kwauzuri kamada wetu uko sawa kabisa tunakukubari sana
Tuliokuwa Taifa Benjamini mkapa tulikutafuta baada ya kutojua uko wapi ,furaha yetu ni kukuona ww pia. Kama ulikuwa na wananchi wengine pia Pongezi sana kwako na hongera sana kwa kazi mzuri.💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚wanaichiiiiiiiii,,iiiiiiiiiiiiiiii,
Eti send-off party, wanatambulishwa mpaka mashangazi😂😂😂
Tunakupenda semeji letu mtuwatuuuu
Hongela san kk ali kamwa tunakupenda san jmn
Ilaa ulitukosea sana kutuachia yule jamaaa
Kwanz Pamban nauyo mshamb mwenzak manar halaf uwaz ujiung wak
Kamwe is the best
Mbona Eng Hersi ametambulisha-hukiona??
Heheee, nyinyi Dampo letu lazima tutangulie nyinyi mfuate heheee
Hhhhhh huna kaz jitutumue soon kila kitu kitakua waz