Yaani huyu jamaa anapo anza kama anatania lakini anauwezo mkubwa hii ndio nasemaga kuchekesha mpaka (Msomi au mwenye hela ) Yupo vizuri sana sana anatoka juu kwani watu wa nahitaji bado yaani kunamuda unaweza toka hapo huja cheka ila ukifika njiani ukikumbuka unaanza kucheka tena
Eliud ndio mtu pekee anayeweza kupangilia maneno na Mada wakati wa kuchekesha.alistahihili nafasi ya pili kwa kadiri ya wakati ule ,ila mpaka sasa Daaah sina cha kusema ni kama Aza boy vile
Hii ndyo stand up comedy tunayoitaka,eliud wafundishe hao wengine, wajifunze jins ya kutengeneza na kupangilia story moja na sim vipandevipande kama watoto wadogo, we unakuta MTU ndani ya sentens mbili ameshaongea maada said ya 9, eliud wafundishe hao
Wasafi wanata kuleta mfano ya mama dangote kwa sababu wanapenda wanawake wote wawe kama yeye. Mwanamke anayolala na watu wengi ni malaya kubwa. Amezaa nye ya ndoa, anaishi na mwanaume siyo mume wake, amelala na watu weeengi. Akiendelea kufanya hayo mambo atachomwa motoni, na mtoto wake pia. Msifatene mfano yao.... aibu kubwa ya Tz.
Yaani huyu jamaa anapo anza kama anatania lakini anauwezo mkubwa hii ndio nasemaga kuchekesha mpaka (Msomi au mwenye hela )
Yupo vizuri sana sana anatoka juu kwani watu wa nahitaji bado yaani kunamuda unaweza toka hapo huja cheka ila ukifika njiani ukikumbuka unaanza kucheka tena
Unajua Eliud hiyo ni karama mungu akujalie sana hutumii nguvu mdogo wangu
Kuna watu Wana coment bila kuskia had mwisho bongo bna: noma sanaaa...
Voice haijakaa sawa
Huyu jamaaa ni Baba lao..ktk stand up commedy
Eliud ndio mtu pekee anayeweza kupangilia maneno na Mada wakati wa kuchekesha.alistahihili nafasi ya pili kwa kadiri ya wakati ule ,ila mpaka sasa Daaah sina cha kusema ni kama Aza boy vile
Good 👍
Daaaah mungu aendeleee kukulinda brother pia endelea kupambana upo vizuri sanaaaaaaaaaaaaaa atakae sema hujui huyo anafitina nawewe
Huyu mshikaji anajua sana
Anajua sana huyu jamaa
Hakika wewe ndo ulistahili kuwa namba 1 aiseee unajua sema basi tu
Kaka nlkuwa nakutafuta kwa mda mrefu! Bigup kakaangu Eliud, home sweet home #mbeya# home
Tuwakilishe man Wana mbeya
Hii ndyo stand up comedy tunayoitaka,eliud wafundishe hao wengine, wajifunze jins ya kutengeneza na kupangilia story moja na sim vipandevipande kama watoto wadogo, we unakuta MTU ndani ya sentens mbili ameshaongea maada said ya 9, eliud wafundishe hao
Mwanangu Sanaa...love from kenya🔥🔥🔥🔥🙌huyu ndiye mshindi wa cheka tu
Hahaha nipe mkono😂😂😂😂😂 kwa sauti chini
We nimkali kuwakiko🇨🇩💪🇺🇬
🤣😂🤣🤣🤣 usiludi mbeya
Yupo vizuri then watu wanamkubali
ubalikiwe sana Mimi uwa naweka MB kwajili ya eliud
Manina nimecheka sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Eliud ameua sanaaaaa
🎉🎉🎉❤❤❤ nakupenda buree kaka
Jamaa anajua Sana sio siri
Echoes
Kuna wa2 Wana kalama,hachekeshi lkn tunacheka
Home boy kabisa wewe una tukana kwamba hauna ukalibu na mond
Jamani maana ya comedy Ni nini?
Ameuaa mbeya boy
Ila huyu kaka😀😀😀😀😀😀
Bro unajua sana......hongera
Talented
Hahahahaha eliudi ndo noma sana
Nampenda xna huyu
Kaka ako huyo dgo muheshimu
Hyu jamaa hatumii nguvu kubwa kuchekesha
ahahahahahaahahahahahahahh mung n mwem akushindie kwa kila jmb ❤
Sanaaaaaaaaa
Hhahahaah th-cam.com/video/uSkVq7ZgkW8/w-d-xo.html
Xana man
🔥🔥🔥
🔥 🔥🔥🔥🔥
Eliudi umeua balaa broo
unaweza mwamba ukoseii
Hahahahhaha
Gwakaka ubombileee
🤘🤘🤘🤘🤘🤘
Wasafi wanata kuleta mfano ya mama dangote kwa sababu wanapenda wanawake wote wawe kama yeye. Mwanamke anayolala na watu wengi ni malaya kubwa. Amezaa nye ya ndoa, anaishi na mwanaume siyo mume wake, amelala na watu weeengi. Akiendelea kufanya hayo mambo atachomwa motoni, na mtoto wake pia. Msifatene mfano yao.... aibu kubwa ya Tz.
Kila mtu anadhambi zake wew pambana na za kwako
Naomba Nikwambie Kitu Fuata Kile Kinacho Kufaa Hayo Mengine Zidhani Kama Yanakuhusu Waachie Wao..... You Ain't In A Position To Judge!!
Kila mtu aombe msamaha kwa dhambi zake na atapata msamaha. Lkn akitangaza dhambi hawezi kupata msamaha na atachomwa motoni
Acha kuhukumu we kuma so kaz yako
Ni kazi yangu kumhukumu
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
😁😁😂👏👊
Ovyoooo
Kojoa ulale
Nenda ukachekeshe wewe
Roho mbaya na inavyoonekana huna maendeleo na uzidi kuwa maskini
Mi nakupndaga tu kaka eliud yan unajuwa kunifulahisha,Ila mngu akusimamie sana
Iki kipindi kinaonyeshwa jumangapi na sa ngapi
Fundiiii
Huyu jamaa htr
Hahaha
Chiz sana
💐💮🎉
Oyooooo
Wallah uongo dhambi eliud fundi San wa comedy sjaona more than him on my side .... Broo ni fire 🔥
Nice sana
Ilovee you fanya uni aproch bas kak dhaa
Gwakaka ubombileee
This is best😍😍😍😍😍😍😍
😂😂
Unajua sana
#Fatinah sehemu ya nane msimu wa pili
th-cam.com/video/XpzTrVjSCw8/w-d-xo.html
Kiingilio huwa Bei gn kwani
Kaka unajua kutoa ujumbe
Dogo leka ubhutungulu kha!kkkkkkk
Hatari sana 🔥🔥🔥🔥😆😆😆 ... Greeting from Mbeya
😂🤣
💯💯
Guuuuh
Nakupenda sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Dah hyu jamaa nmecheka
😂😂😂🔥🔥🔥🙌
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
🙌🙌🙌😁😁🤣🤣
😂😂😂😂😂
Iki kichwa hakipo saw
Dogo upo poa?hongera sana
Baambi ni chuma
Huyu jamaa 😃😅😅
Hahahahaha umepata kaka jaman😃
Wow
Hahahaahhahahha eliudiiiii
Hatariiiiii 😂😅
Anajuaa xana
Unajua
Noma❤❤❤
Nakubali
Congrats bro👍
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😃😃😃😃
😂😂😂
😅
🤣🤣🙌🙌
Great storyteller comedian..
Big up saana