VUGO LA TCHUNDWA2 LAMU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 พ.ย. 2018

ความคิดเห็น • 155

  • @firdausmuhaji7025
    @firdausmuhaji7025 3 ปีที่แล้ว +8

    Emame kwechu I miss chundwa my homeland... Mmmwaaaaaaaaaaaaaah ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️nchu nkwavo nami kwechu ni Tchundwa

  • @taimourahmed9266
    @taimourahmed9266 4 ปีที่แล้ว +4

    Madi mera uko juu

  • @aminaabdillahi5938
    @aminaabdillahi5938 4 ปีที่แล้ว +5

    Mashaallah ajab....i love it

  • @duidala3228
    @duidala3228 5 ปีที่แล้ว +5

    VUGO Hilo Very nice. I'm proud to be MBajuni Please keep the tradition and the culture I miss. Home

  • @rishadimuhammad3238
    @rishadimuhammad3238 5 ปีที่แล้ว +6

    Miss sanaaaa hzi song After 16 years in London

  • @aminaabdulkarim4854
    @aminaabdulkarim4854 5 ปีที่แล้ว +11

    Mwacha asili mtumwa wanikumbusha marehemu mamangu Allah amuweke pema penye waja wema

  • @mombasaraha1252
    @mombasaraha1252 4 ปีที่แล้ว +3

    Bajuni hoyeee 👍nchu nikwavo chume mameee

  • @faizabaishe5172
    @faizabaishe5172 5 ปีที่แล้ว +7

    MaashAllah salimu Ahmed Kwa video pekee

  • @faizabaishe5172
    @faizabaishe5172 5 ปีที่แล้ว +4

    MaashAllah Mambo Kwa mipango InshAllah heri nawaombea umoja ni nguvu,

  • @jayjamil9873
    @jayjamil9873 5 ปีที่แล้ว +13

    I miss this after long time I'm proud of my trb home sweet home

  • @yussufmohamed2249
    @yussufmohamed2249 4 ปีที่แล้ว +6

    I am proud of my tribe

  • @omarsalim9879
    @omarsalim9879 5 ปีที่แล้ว +5

    Tuko ndani tchundwa iburini wanikumbusha mbali na mimi mbali.

  • @suhaila8261
    @suhaila8261 3 ปีที่แล้ว +4

    Sweet home

  • @faizabaishe5172
    @faizabaishe5172 5 ปีที่แล้ว +5

    Shukran sana Mimi ni dadake Umi MaashAllah Diya na wezake

  • @kulthumsaid2919
    @kulthumsaid2919 3 ปีที่แล้ว +3

    Im proud to be bajun🇰🇪

  • @faizabaishe5172
    @faizabaishe5172 5 ปีที่แล้ว +6

    MaashAllah InshAllah heri

  • @gamarmahsan8254
    @gamarmahsan8254 หลายเดือนก่อน

    Hongera kwa hilo vugo

  • @ysm200
    @ysm200 3 ปีที่แล้ว +5

    ❤❤❤❤❤❤

  • @user-db2qr1os2t
    @user-db2qr1os2t 5 ปีที่แล้ว +5

    I Miss tchundwa! 😙😙😙😙

  • @shabanabdullah84
    @shabanabdullah84 5 ปีที่แล้ว +4

    MashaAllah Ajab mwanatee miss u

  • @mwaamwetahussain9947
    @mwaamwetahussain9947 5 ปีที่แล้ว +4

    Wapi hii wadau taaam jmn

  • @faizabaishe5172
    @faizabaishe5172 5 ปีที่แล้ว +4

    Shaban Abdullah from Zanzibar Tanzania

    • @multikpopfan4873
      @multikpopfan4873 3 ปีที่แล้ว

      Waniivaimi Mjukuu Wa shahasi arumii iburini

  • @mohammedalimohammed9322
    @mohammedalimohammed9322 27 วันที่ผ่านมา

    Wow bajuni hoyeee

  • @yaaishbaybe7477
    @yaaishbaybe7477 5 ปีที่แล้ว +4

    hakuna county naipenda kama lamu yaani nipate swahiba anitembeze huko.ntafurahi 💃🙏Inshaallah

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 5 ปีที่แล้ว +5

    Mopiga zumari nakuona jamani watu walamu kama kwetu pemba salamu kutoka wete babu yangu katoka lamu mis you all😘

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 5 ปีที่แล้ว

      @@khalidimohamedi2074
      Lamu ipo Pwani ya Kenya sio Komoro, ila watu wote wa pwani ya Afrika mashariki na visiwa vyake Unguja, Pemba, Mafia na kadhalika mpaka Visiwa vya Komoro ( Ngazija walipotoka babu zangu, na visiwa vyengine vya hapo ) wote wanafanana kitamaduni.

  • @lamumachacharicomedy1364
    @lamumachacharicomedy1364 3 ปีที่แล้ว +4

    Nice ni lamu machachari comedy i need your support plz

  • @suleimanabrari9205
    @suleimanabrari9205 5 ปีที่แล้ว +3

    This is very 😎 I like it!!!!!! Miss my home 😔😔😔😔

  • @mombasaraha1252
    @mombasaraha1252 4 ปีที่แล้ว +2

    Hoyaaaa chundwa hoyeee tahareni hoyeeee nakuvona

  • @faizabaishe5172
    @faizabaishe5172 5 ปีที่แล้ว +5

    Home sweet home I miss natoka hapo ndio home kabisa Madi rovu wa tchundwa InshAllah heri nawaombea kila la heri

    • @nassiromar1797
      @nassiromar1797 5 ปีที่แล้ว +1

      shamefully for me i have not been home for close to 20 yrs... and ooh the guy would do an adhan like no other

    • @shabanabdullah84
      @shabanabdullah84 5 ปีที่แล้ว +1

      FAIZ miss u

  • @saidicanali6949
    @saidicanali6949 5 ปีที่แล้ว +11

    Mpaka raha wanawake wote wamevaa Stara maashaAllah Kwa hilo

    • @mombasaraha1252
      @mombasaraha1252 5 ปีที่แล้ว +1

      Ndio raha ya bajuni mashallah

    • @mombasaraha1252
      @mombasaraha1252 5 ปีที่แล้ว +1

      Raha yao bajuni mashallah

    • @kmnanamora
      @kmnanamora 5 ปีที่แล้ว +2

      Samahani, but Hilo bado sio vazi la mwanamke.

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 5 ปีที่แล้ว +2

      @Cheetah 6 If you have nothing to say it's better to be silent. Ignorance is more dangerous you stupid fool. Let the Bajunis enjoy their culture if you don't like it go fuck yourself asshole !

    • @hadyahaydar31
      @hadyahaydar31 5 ปีที่แล้ว +2

      hii kwa Dini yetu ya kiislam haijawa ni stara ...kuwaanika mama zetu na ndugu zetu kwenye mitandaoni .

  • @saadakhalfan945
    @saadakhalfan945 5 ปีที่แล้ว +7

    subhana Llah Allah awaongoze dada zetu njia ilionyooka amiin

    • @hadyahaydar31
      @hadyahaydar31 5 ปีที่แล้ว +1

      Saada Khalfan
      Ameen Ameen yaa RABB😢

    • @nanabwanaheri1488
      @nanabwanaheri1488 4 ปีที่แล้ว +1

      Muombee Mungu amuongoze alopost wake na dada za watu bila Idhini yao,hao wako harusini na haijakatazwa kucheza Harusi but ndugu zetu kwa kupenda sifa za kupost TH-cam waeka videos bila Idhini ya wenyewe,mumefanya watu siku hizi waeke security kwenye Harusi zao,yaani Hakuna Tena Raha ya kusherehekea.

  • @msellemkassim2515
    @msellemkassim2515 2 ปีที่แล้ว

    Tchundwa ni Haswaaa.

  • @alimawali
    @alimawali 5 ปีที่แล้ว +3

    Mashalla nice video and sound , imetulia sana big up

  • @joycemajala4355
    @joycemajala4355 5 ปีที่แล้ว +3

    Mashallah.....timizeni aliyoyafanya mtume.....

    • @hudheifaomar2370
      @hudheifaomar2370 3 ปีที่แล้ว +2

      Mtume s.a.w. hakufanya upumbavu huu

  • @mohammedalimohammed9322
    @mohammedalimohammed9322 27 วันที่ผ่านมา

    Emamee kwechuuu

  • @bfbfalhamadi2265
    @bfbfalhamadi2265 ปีที่แล้ว +1

    عليهم الصلاة والسلام اقطاب الامة النبوية الاسلامية المتحدة في التوحيد الدينين الشريفين المكرمين في الكونين

  • @mahbubdawood2909
    @mahbubdawood2909 2 ปีที่แล้ว +1

    Kabla ya porojo za corona kuanza

  • @karimayusuf6309
    @karimayusuf6309 5 ปีที่แล้ว +5

    #proudlybajun all the way from tchundwa

  • @diyaosman8992
    @diyaosman8992 5 ปีที่แล้ว +4

    Mashallah mashallah mashallah

  • @ayubmaalim5798
    @ayubmaalim5798 5 ปีที่แล้ว +10

    Uislamu hauruhusu hivi mwatuanikia mama zetu na madada zetu wengine wako uchi

    • @rukiaosman8416
      @rukiaosman8416 5 ปีที่แล้ว

      Nilaana hio wallahi mama nikitu bora yaarabi maskini hatahajui
      Mumewaanika yarabi tusamehe

    • @hadyahaydar31
      @hadyahaydar31 5 ปีที่แล้ว +1

      Albert Junior
      kasome ujue maana ya Uislam.

    • @hadyahaydar31
      @hadyahaydar31 5 ปีที่แล้ว +1

      Rukia Osman
      Ameen yaa RABB

    • @duidala3228
      @duidala3228 5 ปีที่แล้ว +2

      Yupi ulo muona uchi hapo ibilisi mkubwa wewe hebu tuambiye ? Kwani uislamu ulisema watu wasiteze ngoma kwenye harusi zao ?

    • @hadyahaydar31
      @hadyahaydar31 5 ปีที่แล้ว +2

      DUI Dala
      subhanaLLAH !!!
      Tukihesabu uchi mwanamke ni uchi yeye mzima ...kisha wajitingisha na wapiga ngoma ni wanaume hayo ni makosa ...kusherehekea harusi ni sunnah haijakatwazwa kwa dini lakini kila jambo lina Qiyas... hii imepita Qiyas ... kila mwanamume aona yake za watu hili huwa lishaingia kwa Haram ....wapiga ngoma ngoma na vizumari nao wamevaa miwani za mbao hawaoni wake za watu ?
      Ukumbusho ni kwa waumini .

  • @mmaahsayyid1858
    @mmaahsayyid1858 5 ปีที่แล้ว +2

    Nmejikuta mwili wanyumbuka kidogo kidogo.......Raha sana

  • @mwanahamisjuma3361
    @mwanahamisjuma3361 5 ปีที่แล้ว +4

    Kumbe maisha ya pwani uanafanana kama ,tanga ,unguja,Pemba na bagamoyo utamaduni sawa

    • @aishasalim6255
      @aishasalim6255 5 ปีที่แล้ว +1

      Kama msanja,tanga tunaita

    • @aishasalimaishasalim1323
      @aishasalimaishasalim1323 5 ปีที่แล้ว +1

      Jamani...ninatoa mimachoo..natamani nipaterafiki

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 5 ปีที่แล้ว +2

      Watu wote wa Pwani ya Afrika Mashariki ( kuanzia Pwani ya Somalia upande wake wa kusini mashariki unaopakana na Pwani ya Kenya, pia Pwani ya Kenya yenyewe, Pwani ya Tanzania kama Tanga, Bagamoyo na Mkoa wote wa Pwani, Morogoro Mashariki, Kilwa na Lindi yote, Mtwara, Tundruru Mkoani Ruvuma na Pemba ya Msumbiji na baadhi ya maeneo yake ( Msumbiji ) ya Pwani ya Kaskazini Mashariki yanayopakana na Tanzania) kadhalika na visiwa vyake ( visiwa vyote vya Afrika Mashariki) kama Unguja, Pemba, Mafia na pia mpaka Visiwa vya Komoro ( Ngazija, walipotoka babu zangu, na visiwa vyengine vya hapo, Mwali, Nzuani, na Mayotte ) watu wake wote wanafanana kitamaduni.

    • @duidala3228
      @duidala3228 4 ปีที่แล้ว +1

      Kwani hujui ni waswahili wote
      Makabila ya waswahili watokeya hapo pwani

  • @fatumasaid9985
    @fatumasaid9985 5 ปีที่แล้ว +6

    Proud of my tribe😍😘

  • @gobaadhassan7388
    @gobaadhassan7388 5 ปีที่แล้ว +4

    mansha allah

  • @lio5719
    @lio5719 5 ปีที่แล้ว +5

    Masha allah beautiful from where's this, country

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 4 ปีที่แล้ว +2

    Natafuta_rafiki_wa_lam_mie_ni_wa_mombasa_na_Tanga

    • @famamfei5752
      @famamfei5752 3 ปีที่แล้ว

      Nami pia natafuta Rafiki wa mombasa tujuane basi +97477575460

  • @user-wh7rl2ip7v
    @user-wh7rl2ip7v 6 หลายเดือนก่อน

    Aa nikiwa nawataka ntawapata wapi na no zao ziko

  • @ramakoja5914
    @ramakoja5914 5 ปีที่แล้ว +1

    Yaaish Baibey njoo Zanzibar utapenda zaidi ya Lamu.

  • @rukiyashee9439
    @rukiyashee9439 5 ปีที่แล้ว +3

    Mashallah I am proud to be Bajuin

  • @rahmahussein4019
    @rahmahussein4019 5 ปีที่แล้ว +3

    Mashallah

  • @usongoali9201
    @usongoali9201 5 ปีที่แล้ว +2

    It's call vugo by bajun tribe Proud to be

  • @suleymanosman69
    @suleymanosman69 5 ปีที่แล้ว +13

    utamaduni wetu unaenda kupotea. machozi yanitoka

    • @fransiscamatemu987
      @fransiscamatemu987 5 ปีที่แล้ว +1

      be strong

    • @fransiscamatemu987
      @fransiscamatemu987 5 ปีที่แล้ว +1

      jiungeni tena pambaneni culture will never end

    • @fatmafatma550
      @fatmafatma550 5 ปีที่แล้ว +1

      Nakwambia ama ushapotea kabisa

    • @hadyahaydar31
      @hadyahaydar31 5 ปีที่แล้ว +1

      tuwaombee hidaya Allah atuongoze sisi na wao waloghafilika.

  • @abubatv8996
    @abubatv8996 5 ปีที่แล้ว +4

    mashallah lamu yetu

  • @maryamwaukweli2407
    @maryamwaukweli2407 5 ปีที่แล้ว +3

    Masha'Allah amu rwaha jamanieee

  • @saidasuleiman3253
    @saidasuleiman3253 5 ปีที่แล้ว +8

    mbona km 2na fanana from Pba

    • @dazuuhmd819
      @dazuuhmd819 5 ปีที่แล้ว +2

      Mbona hao ndio sie sie saida mie mwenyewe baba yasili yao huko wanavyo zungumza sawa na kwetu lamu naipenda ipo siku nitaenda

    • @saidasuleiman3253
      @saidasuleiman3253 5 ปีที่แล้ว

      +DAZUU ZUlly kwn uko wp ww my no +96898554379hii text me whatsapp

    • @aliy3303
      @aliy3303 5 ปีที่แล้ว

      هههههه.!!!!!! ألله يحفظهم.
      ههههههههه.
      Mola awahifadhi nyote

    • @nyerere0056
      @nyerere0056 5 ปีที่แล้ว +1

      Bajun wapemba jamii moja

    • @duidala3228
      @duidala3228 3 ปีที่แล้ว +1

      Ni makabika moja ya waswahili

  • @mimamuhaji6447
    @mimamuhaji6447 5 ปีที่แล้ว +4

    Home sweet home

  • @OfficialSaidKE
    @OfficialSaidKE 5 ปีที่แล้ว +1

    A pokomo from Kipini hapa..

    • @mamufamau1724
      @mamufamau1724 5 ปีที่แล้ว +2

      Weeee hapa hakuna wapokomo😷

    • @OfficialSaidKE
      @OfficialSaidKE 5 ปีที่แล้ว +1

      @@mamufamau1724 kuna wagani

    • @fatmamudathir3038
      @fatmamudathir3038 5 ปีที่แล้ว +1

      @@OfficialSaidKE hawa ni wabajun, kutoka kisiwa cha Tchundwa, hamna wapokomo

  • @itsmebalqiis8960
    @itsmebalqiis8960 5 ปีที่แล้ว +2

    A S C SISTER WICH COUTRY IS THIS I LIKED

  • @elliotjersey
    @elliotjersey 5 ปีที่แล้ว +3

    Where is this?

  • @faizabaishe5172
    @faizabaishe5172 5 ปีที่แล้ว +4

    Vugo poa la tchundwa juu

  • @aishasalimaishasalim1323
    @aishasalimaishasalim1323 5 ปีที่แล้ว +3

    Jamani asili aifi....mbona..kamawatu twafanana kamakwetu Tanga tunasemaga msanja..?bgp

    • @duidala3228
      @duidala3228 4 ปีที่แล้ว +1

      Sini makabila ya waswahili yalioko ufuoni wa baharini pwani Sote ni watu wamoja ndio tuka fanana

    • @mohamedsalum8933
      @mohamedsalum8933 4 ปีที่แล้ว +1

      Km msondo pia

    • @deepsea2141
      @deepsea2141 4 ปีที่แล้ว +2

      Asili ya Tanga, pemba, Ngazidja, sofala, Wangao ni wabajuni. Asili ya waswahili ni wabajuni ambao walikuwa wakiitwa Wangozi kutoka east Ethiopia tangu karne ya 7.

  • @jahbriyyehzahra2750
    @jahbriyyehzahra2750 ปีที่แล้ว

    Zumari not allowed in Islam. Kwani vugo lazma zumari

  • @swabraabdalla4272
    @swabraabdalla4272 5 ปีที่แล้ว +1

    Am proud to be bajun

    • @mohammeddaniel8914
      @mohammeddaniel8914 5 ปีที่แล้ว +1

      Swabra Abdalla Hi swabra vipi naona unajivunia

  • @mansurali9818
    @mansurali9818 5 ปีที่แล้ว +2

    Tuuhifadhi utamaduni wetu, raslimali yetu

  • @husseinshahibu1388
    @husseinshahibu1388 5 ปีที่แล้ว +2

    Bajuni hoyeeee😘😘😘😘😘😘💪

  • @aliaden5512
    @aliaden5512 5 ปีที่แล้ว

    Lamu siendi mashoga wengi

  • @sawdasamsan4895
    @sawdasamsan4895 5 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah