Kurasini SDA Choir - Kwenye Njia Kuu

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 272

  • @celicadet1785
    @celicadet1785 3 ปีที่แล้ว

    Amen amen amen amen amen amen

  • @elviceomondi3191
    @elviceomondi3191 4 ปีที่แล้ว +5

    Ni huzuni kutazama Kanda hii alipo Mwalimu kibaso lakini ni imani na matumaini kwamba tutakutana Paradiso, sote pasipo na huzuni wala kifo, milele na hata milele....

  • @anetivicent6176
    @anetivicent6176 4 ปีที่แล้ว

    Jitahidini msiige mihemko na midundo ya kisasa,,,,tunawategemea mno kurasini kwa nidhamu ya uimbaji,

  • @samoramakiri1136
    @samoramakiri1136 3 ปีที่แล้ว

    Ujumbe ulioko kwenye wimbo huu ni nzito sana. Ni ombi langu, mioyo yetu imkubali Yesu Kristo kwa maana alitupenda sana.

  • @williamfreikins4325
    @williamfreikins4325 3 ปีที่แล้ว

    Mwalimu kebaso mpaka Yesu arudi

  • @ShadrackMramba
    @ShadrackMramba หลายเดือนก่อน

    One of the greatest songs with pure art, touching message, and so emotional. I always have the song on repeat mode. May God bless you 🙏

  • @anetivicent6176
    @anetivicent6176 4 ปีที่แล้ว +1

    Nawaombea Mungu ainue Roho ya Kibaso maradufu,,,,songeni mbele waungwana wa Baba!!!

  • @Shukuru_
    @Shukuru_ ปีที่แล้ว

    My favourite song of All time hasa kuhusu upendo wa Yesu kwetu, mubarikiwe sana. Injili isonge mbele kwa Nguvu za Yesu

  • @phanicealuoch9364
    @phanicealuoch9364 4 ปีที่แล้ว

    Nyimbo tamu sana...play it all time...RIp mwalimu kibaso

  • @harrunochieng6355
    @harrunochieng6355 3 ปีที่แล้ว

    WanaKurasini kwaya wote Mungu wetu awasaidie. Asanteni kwa nyimbo tamu. Nipo Kwenye Njia asubuhi huu.

  • @rachellaizer941
    @rachellaizer941 4 ปีที่แล้ว +3

    Wasabato mpo juu sana kiuimbaji

  • @phinawatwego7260
    @phinawatwego7260 4 ปีที่แล้ว +1

    Bwana Mungu awabariki sana, awape ushujaa zaidi. Nawapenda sana.

  • @hocysulley5176
    @hocysulley5176 4 ปีที่แล้ว

    Pumzika kwa amani mwal kibaso tutaonana asubuhi njema

  • @fabianjoel8773
    @fabianjoel8773 4 ปีที่แล้ว

    Huwa nawafuatilia Kwa karibu sana.hakika mnatisha

  • @charlesakomba5949
    @charlesakomba5949 3 ปีที่แล้ว

    mbarikiwe wana wa na binti za Mungu

  • @EmmyNyambulapi
    @EmmyNyambulapi 11 หลายเดือนก่อน

    Mungu azidi kuwainua nawapenda sanaaaa

  • @denismugisha2
    @denismugisha2 3 ปีที่แล้ว

    Injili imehubiriwa ktk huu wimbo

  • @africayetutv329
    @africayetutv329 4 ปีที่แล้ว

    Kurasini kiukweli mnatisha kwanza mnazingatia maadili hakuna mtu aliyesuka wote mko smart Mungu awabariki sana

  • @bathshebahkakila2934
    @bathshebahkakila2934 4 ปีที่แล้ว +7

    Nahisi hii ni moja ya kwaya chache zilizobaki bila kuiga mitindo ya kidunia ..proud Adventist choir😍 be blessed

    • @Bmstar-pz4qt
      @Bmstar-pz4qt 4 ปีที่แล้ว

      Vp ww umebaki kama zamani au ndo tunatoa sifa kwako hku Sisi tukiwa tumeshapoteana🤔🤔🤔

  • @mrsdeborahurio
    @mrsdeborahurio 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu wetu mwema, Mungu wa miujiza tenda kwa Mtumishi wako Kibaso..... MGUSE BWANA APONE!

  • @mokiridaniel6795
    @mokiridaniel6795 4 ปีที่แล้ว +20

    Siku zote mtabaki kuwa choir bora kwangu na wakristo wote wanaopenda kusikiliza ujumbe na si makelele na midundo🙏

  • @emmanuelgwaay4773
    @emmanuelgwaay4773 4 ปีที่แล้ว +6

    Mimi wa 16 ku-comment! Barikiweni wana na binti za Mungu, muwe na sabato njema!

    • @lucasmanyama4207
      @lucasmanyama4207 4 ปีที่แล้ว

      Oh! God rest in peace brother Kibaso

  • @amosichibunu8974
    @amosichibunu8974 4 ปีที่แล้ว

    Amani ya Bwana,ikamuangazie nuru ya MILELE,,Amina

  • @jackjacob9264
    @jackjacob9264 ปีที่แล้ว

    Sauti tamu, hongereni wana kurasini

  • @charleskaro777
    @charleskaro777 ปีที่แล้ว +2

    Around 20 Years listening your songs from Burundi. God bless you so much. You dress code is "evangelism by itself" , you sing to teach not to entertain or just make money. I love You so much!

  • @HojaKidesheni-to8ro
    @HojaKidesheni-to8ro ปีที่แล้ว

    Mungu awaongoze na kuwaongezea uwezo zaidi ya hapo mlipofikia

  • @habelkalume9011
    @habelkalume9011 4 ปีที่แล้ว

    Joyce Idafa unasauti ubarikiwe frm msa kenya

  • @magdalenakajeri9896
    @magdalenakajeri9896 4 ปีที่แล้ว

    kuimba katika roho na kweli kunapelea nafsi kuinuliwa na kukutana na uwepo wa Mungu...

  • @phidelismwamburi7657
    @phidelismwamburi7657 4 ปีที่แล้ว +1

    Wimbo huu unagusa moyo,nimejaribu kuzuia MACHOZI lakini nikashindwa.Mungu awabariki kwa ujumbe huu.

  • @danielndarera8087
    @danielndarera8087 4 ปีที่แล้ว

    Wimbo huu ulinitia kwenye mizani nikitafakari juu ya ujio wa Mungu. Mimi ni mavumbi tu.

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 4 ปีที่แล้ว +1

    poleni kanisa la kurasini kwa msiba huu mkubwa.wa Mwl kibaso!!!tutaonana ile Asubuhi njema

  • @ruthjohns6593
    @ruthjohns6593 4 ปีที่แล้ว +8

    I love this piece of music
    Naiskiza Mara kwa Mara
    Pumzika kwa Amani Mwalim kibaso

  • @SingoEzekiel-nq7zv
    @SingoEzekiel-nq7zv ปีที่แล้ว

    Your the best kwaya in my christian life.God bless you Kurasini SDA

  • @judithcherono2595
    @judithcherono2595 4 ปีที่แล้ว +1

    Poleni sana wana Choir kwa kumpoteza mwezenu

  • @daudnkune4801
    @daudnkune4801 4 ปีที่แล้ว +1

    Wimbo mzuri Sana Mungu aendelee kuwatia Nguvu muendelee kutuimbia nyimbo nzuri.

  • @lilianjulius719
    @lilianjulius719 4 ปีที่แล้ว +3

    Mbarikiwe sana waanjilishaji kwa njia ya uimbaji....Mungu azidi kuwapa neema na mibaraka tele kupitia nyimbo zenu zinatukumbusha ukuu wa kristo pale msalabani..

  • @alexsaimon4263
    @alexsaimon4263 3 ปีที่แล้ว

    barikiwa sd choire..love u so much❤️

  • @langatweldon2569
    @langatweldon2569 2 ปีที่แล้ว

    May God bless you kurasini

  • @agnesskatawa8467
    @agnesskatawa8467 ปีที่แล้ว

    Amen and powerful message

  • @victoriamotieri7780
    @victoriamotieri7780 5 หลายเดือนก่อน

    Really good song I love it ❤❤❤

  • @mayejikubini1703
    @mayejikubini1703 4 ปีที่แล้ว

    Mungu awabariki sana wapendwa

  • @rebeccacostantine9961
    @rebeccacostantine9961 4 ปีที่แล้ว +3

    Huu wimbo km vile ulikuwa unamuaga mwalimu samsoni kibaso , tuonane asbh njema mwalimu kibaso

  • @emmanuelshaibu1177
    @emmanuelshaibu1177 4 ปีที่แล้ว +3

    Hongeren sana

  • @ayoubmaulid5445
    @ayoubmaulid5445 ปีที่แล้ว

    Mungu wa mbinguni awajalie afya njema ndg zang tuzid kumwinua Bwana

  • @obedgetuno1672
    @obedgetuno1672 4 ปีที่แล้ว +3

    Amen. Mbarikiwe sana

  • @reaganonjula3290
    @reaganonjula3290 4 ปีที่แล้ว

    Yesu kabeba msalaba

  • @nancyodera8178
    @nancyodera8178 4 ปีที่แล้ว +1

    huu wimbo umenigusa moyo kabisa, kila siku najipata nikiisikiliza na machozi yakinidondoka

  • @orengenyabuto4457
    @orengenyabuto4457 4 ปีที่แล้ว +3

    Mungu azidi kuwabariki kwa kazi nzuri mnayozidi kuifanya

  • @nanyukigreens8486
    @nanyukigreens8486 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu awabariki na awaongoze

  • @alexsaimon4263
    @alexsaimon4263 3 ปีที่แล้ว

    wimbo unachoma moyo sana.

  • @jamesmgalla3504
    @jamesmgalla3504 3 ปีที่แล้ว

    Kibaso hunitoki akilin 😭😭😭😭😭

    • @oliviasharpe7290
      @oliviasharpe7290 3 ปีที่แล้ว

      This is one of my all time song. I listen to it like 5 times a day

  • @2CBNTV
    @2CBNTV 4 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @realtechmedia2495
    @realtechmedia2495 3 ปีที่แล้ว

    nahitaji wimbo usemao ninaye rafiki wa dhamani anipendaye tena mlinzi mwema

  • @alexnabibia4423
    @alexnabibia4423 4 ปีที่แล้ว +3

    Listening to latest compositions for Kibaso..all points to his readiness to meet his creator..
    Fare thee well mtumishi
    You fought a good fight and finished the race

  • @kundumaji
    @kundumaji 3 ปีที่แล้ว

    Ni mzuri Sana

  • @denicerwechungura5719
    @denicerwechungura5719 4 ปีที่แล้ว +2

    Mbarikiwe sana kurasini kwaya

  • @tonykamwaro1924
    @tonykamwaro1924 4 ปีที่แล้ว +7

    Deep music, thank you Jesus for dying to SAVE me.

  • @kemoi4762
    @kemoi4762 4 ปีที่แล้ว +2

    So many Choirs have come and gone but Kurasini is still going strong. And have never lost course like the others.

  • @maryannsero
    @maryannsero 4 ปีที่แล้ว +3

    May the soul of mwalimu rest as he awaits for that day when we shall not know death again

  • @kalebzacharia9302
    @kalebzacharia9302 4 ปีที่แล้ว

    Comrade KB

  • @abneReborn
    @abneReborn 4 ปีที่แล้ว +9

    I grew up knowing Kurasini.
    My dream was that I would meet you all singing Najivunia Yesu while the great humble Kibaso leading. Unfortunately, his time came so early....
    Love Kurasini, never stop your singing spirits and the discipline in it. God bless you all. May we meet in paradiso...

  • @astonishmbwambo185
    @astonishmbwambo185 4 ปีที่แล้ว +2

    Mbarikiwe Sana kurasini sda choir. Mungu azid kuwainua kwa ajili ya utukufu wa jina lake

  • @ericnehemiah9872
    @ericnehemiah9872 4 ปีที่แล้ว +8

    I love this song! I listen to it more than 5 times a day.Habari njema ni kwamba neema ni bure kwetu sote..... we kenyans loves you

  • @nyachirangimlengwa
    @nyachirangimlengwa 4 ปีที่แล้ว +2

    Nilikua nausubiri huu wimbo...mbarikiwe Kurasini

  • @matotiproduction3289
    @matotiproduction3289 4 ปีที่แล้ว +3

    Mbarikiwe sana na sabato njema kwenu

  • @jesmatchannel6369
    @jesmatchannel6369 2 ปีที่แล้ว

    Ooh my God,sda sings well

  • @phinawatwego7260
    @phinawatwego7260 3 ปีที่แล้ว +2

    Nawapenda sana. Mungu awabariki wote

  • @jacquesnsabiyaremye3373
    @jacquesnsabiyaremye3373 3 หลายเดือนก่อน

    Asante sana

  • @phinawatwego7260
    @phinawatwego7260 3 ปีที่แล้ว

    Aminaaaaaaa

  • @sabamultimediabrand
    @sabamultimediabrand 4 ปีที่แล้ว +2

    Mbarikiwe wapendwa ktk imani

  • @costamutundakayombo6560
    @costamutundakayombo6560 2 ปีที่แล้ว

    Je loue l'Éternel Dieu. Soyez toi bénis pour cette mélodie incroyable

  • @twendythomas7072
    @twendythomas7072 4 ปีที่แล้ว

    Pumzika kwa Amani Samson. Ulimtumikia Mungu nenda salama!

  • @tsombefelix6500
    @tsombefelix6500 4 ปีที่แล้ว +2

    Mbarikiwe .. neema juu yetu kweli

  • @luciajeremia6523
    @luciajeremia6523 4 ปีที่แล้ว

    Akumbukwe Sana Mwl KIBASO 😭😭😭😭😭

  • @philipleonard6941
    @philipleonard6941 4 ปีที่แล้ว +1

    RIP mwalimu Kebasu...
    Heavenly bliss we shall meet.....

  • @evansachieng2686
    @evansachieng2686 4 ปีที่แล้ว +3

    My heart aches....Death stings! Thanks to Jesus who has conquered death for us. May God uphold Kurasini choir

  • @georgenyangi809
    @georgenyangi809 4 ปีที่แล้ว +2

    Tunapo tafakari njia kuu ya kalvary tuchukue muda kidogo tumuombee sir Kibaso

  • @finestford007
    @finestford007 4 ปีที่แล้ว

    yan nikimwona mr kibaso duuu juzjuz tu tulikuwanae!

  • @shukraninathan4946
    @shukraninathan4946 4 ปีที่แล้ว +2

    Wow! Kurasani choir nawapenda saana. Huu wimbo umenigusa saanaaaa mbarikiwe saaana

  • @donaldoketch7105
    @donaldoketch7105 4 ปีที่แล้ว +1

    Kweheri Cheupeee...lala salama.

  • @abigaelkenyanya1594
    @abigaelkenyanya1594 4 ปีที่แล้ว +10

    So painful watching Mwalimu Kibaso 😭. We shall dearly miss him but his legacy and love for God will keep us going. Tutaonana tena 🙏🏾

  • @K_Emmanuel
    @K_Emmanuel 4 ปีที่แล้ว

    Habari njema ni kwamba neema ni bure kwetu sote

  • @abrahamyego4190
    @abrahamyego4190 3 ปีที่แล้ว +1

    I can't stop playing this song,,reminds me how Christ delivered us

  • @makorijunior474
    @makorijunior474 4 ปีที่แล้ว +2

    Mbarikiwe

  • @adammumba7043
    @adammumba7043 2 ปีที่แล้ว

    Wonderful songs we hope some days we will meet him when he appears in heaven

  • @joshuamaoro8303
    @joshuamaoro8303 4 ปีที่แล้ว

    Nimerudi kuangalia huu wimbo baada ya Mwalimu Kibaso kutuaga leo😥

  • @benjaminachuti5872
    @benjaminachuti5872 4 ปีที่แล้ว +2

    Mwalimu kibaso we will miss you RIP

  • @prmorarawilfredwatchyesain99
    @prmorarawilfredwatchyesain99 2 หลายเดือนก่อน

    Blessed indeed

  • @amanichoirnyangotosdachurc5071
    @amanichoirnyangotosdachurc5071 4 ปีที่แล้ว

    Amina, Mungu awabariki
    Poleni pia kwa kuondokewa na Mwl Kibaso Mungu aendelee kuwa faraja ya pekee kwenu na kwa Familia yake na Familia ya music wa injili

  • @apmtkendepot6412
    @apmtkendepot6412 ปีที่แล้ว

    Ooow am touched

  • @fastfaster2673
    @fastfaster2673 4 ปีที่แล้ว +2

    Amen Amen

  • @michirapaul9758
    @michirapaul9758 4 ปีที่แล้ว +1

    Kurasini my best choir.. Today a sad day to have lost mwalimu Kebaso. It should be known that we will miss you brother. Meet you in the morning.

  • @obedgetuno1672
    @obedgetuno1672 4 ปีที่แล้ว +7

    Our thoughts and prayers are with the family and friends of mwalimu Kebaso.
    May his soul rest in peace

  • @catherinemnkeni8357
    @catherinemnkeni8357 4 ปีที่แล้ว +2

    Rest in paradiso sir kibaso we wll meet again in new bright mornng

  • @jaredmoibi
    @jaredmoibi 4 ปีที่แล้ว +10

    He was humble and became obedient to death even the death on the cross. Nimekombolewa na damu ya Yesu. Thank you wanakwaya. Love you all.

  • @jaredsaka4460
    @jaredsaka4460 3 ปีที่แล้ว +2

    My all time message. Blessed voices my prayer is we all meet in heaven serving our maker with this beautiful voices❤️🙏🙏

  • @rachelndege3819
    @rachelndege3819 4 ปีที่แล้ว +4

    R.i.p KIBASO 😭so sad

  • @tonyomondi3818
    @tonyomondi3818 4 ปีที่แล้ว +1

    Wow mice solowing apo kwa Joy na uyo harmonizer wa tenor so blessing

  • @douglasnyambagera7535
    @douglasnyambagera7535 4 ปีที่แล้ว +3

    Asanteni ndugu zangu kwa wimbo huu, nawapenda saaaana

  • @shaniachanceline2751
    @shaniachanceline2751 4 ปีที่แล้ว +1

    So sad to see mr Kibaso singing may he rest in peace and Thanks to Almighty God who sent Jesus to die for us. For God so loved the world, that he gave his only son, that whoever believes in him should not perish but have eternal life.John 3:16🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼💓🥰😍💖