Jamani kutukana si kutoa hoja. Hoja ya msingi ni ile yenye mashiko. Raisi mwenyewe ni mstaarabu jamani tusimpake doa kwa matusi. Kanuni, sheria , taratibu na miongozo ipo.
@@yassinnabwera4273 muhuni nikama lema aliongea hadharani kuwa MUNGU hagawi riziki! Wakati kila mwenye kumuamini MUNGU anajua riziki anagawa MUNGU, cha ajabu watu walimpigia makofi!!!!!!!!!@@@@@
@@istambulahmed6664 Lema unamwingiza wewe kwenye hilo kundi la wahuni,Lema sio mhuni aliongea kitu chakweli,ukitaka kujua maneno ya kweli,wewe ingia chumbani ulale huku ukiendelea kumwomba Mungu eti akupe riziki hapo kitandani kwako,uone matokeo yake.
@@yassinnabwera4273 inaonesha hata maana ya riziki hujui!! Kwani hata kulala ni riziki, kuvaa nguo ni riziki, kula ni riziki, kwani huoni mgonjwa amelala kitabdani kwa mda mrefu na MUNGU anampa riziki? Au mtoto mdogo ana zaliwa tu nawala hafanyi kazi na MUNGU anampa riziki, kwahiyo RIZIKI MTOAJI NI MMOJA TU NAYE ni muumba wetu, kama wewe ni Mkiristo unapo sali yesu anase unaseme MUNGU utupe leo riziki yetu, haya lema na yesu nani zaidi? ...
Kwenye nchi hii unampenda mtu kiongozi wa namna gani? Mpole au mkali? Ukizingatia ufahamu wako ulivyo kwa watanzania wengi au wachache walivyo kwa tabia zao?
Hivi hizi kauli zimeanzia wapi?hivi hakuna wanaomzidi umri huyu bwanamkubwa? Tabia ya kiongozi ni lazima iwe dira kwa wanaomsikiliza.kitendo chakutoa lugha za namna hii sichakiungwana hatakidogo.
Huyo kenge mbona anajiona kama Tz ni yake? Mpumbavu wa kutupwa. Hasira zinaanza kuvimba kwenye akili za watanzania na vurugu ikianza kuituliza ni vigumu.
Huyu bwana ndo maana mbeya walimfungia kazi mpaka akaondolewa mbeya hawachezewi bwana alifyata mkia kwa aibu amshukuru mama samia kamuibua Tena ana dharau za kijinga
Kwani watanganyika wanajielewa??? Mtanganyika ukileta kondoo ilimradi uwe na cheo serikalini useme huyu ni mbuzi na pakatokea moja wapo akasema ahapana ni mbuzi alafu akazabwa kofi waliobaki wote watasema ni mbuzi aliyenona mkia...kuna watu hapooo???
Safi mkuu Ukicheka na nyani utavunna mabua
Kachawa kadogo aka akajashiba
Umechelewa
Huo ndio ujinga wa watanzania. Kila kitu ndioooo mwisho wa siku inageuka vilioooo.
Jama mshamba sana
This country needs an urgent reforms!
Wapi huko mbona matusi tena uongozi ninafasi ambayo mnapokezana.
Daaaah,,,sawa bwana
Duuu uongozi ni balaaa
KWA HIYO YEYE ANAMAAMUZI YA KUFUNGA SOKO AKIJISIKIA TU, KUWAKOMESHA WATU HII MAMLAKA WANAITUMIA VIBAYA SANA
Utafyatua mtu Kwa mujibu wa sheria kama chalamila au mkuu wa mkoa
Jamani kutukana si kutoa hoja. Hoja ya msingi ni ile yenye mashiko. Raisi mwenyewe ni mstaarabu jamani tusimpake doa kwa matusi. Kanuni, sheria , taratibu na miongozo ipo.
😇😇😇😇
Udicteta hautaisha Tanzania.
Afuu yanashangiliaa mnashangiliaa nn
Sasa swala la jela ni amri yake au ya mahakama?? 😂😂😂Kuna Shida sana kwenye hili Taifa
hawajamaa huwa hawatumii hakili hutumia mihemko .ni saikoloji tu utamjua mtu
Mhehe ana hasira za ki mkwawa 😂😂😂
Mtoto wa mama hakui.
Serikali inaangalia uzalilishaji huu kwani hakuna lugha ya kutumia
Chalamila leo mmemfanya nini? Leo mmemkera mhehe huyu. Msimuuzi mkawasikiliza wachache waliovimbiwa.😮
Unakula kwasababu ya hao
Kunawakati kiongozi anatakiwa kuwa mkali kabisa kwa maslahi mapana ya jamii, tuko pamoja mkuu KAZI IENDELEE
Sasa huyu ni kiongozi au mhuni tu wa mitaani?
@@yassinnabwera4273 muhuni nikama lema aliongea hadharani kuwa MUNGU hagawi riziki! Wakati kila mwenye kumuamini MUNGU anajua riziki anagawa MUNGU, cha ajabu watu walimpigia makofi!!!!!!!!!@@@@@
@@istambulahmed6664 Lema unamwingiza wewe kwenye hilo kundi la wahuni,Lema sio mhuni aliongea kitu chakweli,ukitaka kujua maneno ya kweli,wewe ingia chumbani ulale huku ukiendelea kumwomba Mungu eti akupe riziki hapo kitandani kwako,uone matokeo yake.
@@yassinnabwera4273 inaonesha hata maana ya riziki hujui!! Kwani hata kulala ni riziki, kuvaa nguo ni riziki, kula ni riziki, kwani huoni mgonjwa amelala kitabdani kwa mda mrefu na MUNGU anampa riziki? Au mtoto mdogo ana zaliwa tu nawala hafanyi kazi na MUNGU anampa riziki, kwahiyo RIZIKI MTOAJI NI MMOJA TU NAYE ni muumba wetu, kama wewe ni Mkiristo unapo sali yesu anase unaseme MUNGU utupe leo riziki yetu, haya lema na yesu nani zaidi? ...
Kwenye nchi hii unampenda mtu kiongozi wa namna gani? Mpole au mkali? Ukizingatia ufahamu wako ulivyo kwa watanzania wengi au wachache walivyo kwa tabia zao?
Huyu mwamba siku moja aje Songwe
Hivi hizi kauli zimeanzia wapi?hivi hakuna wanaomzidi umri huyu bwanamkubwa?
Tabia ya kiongozi ni lazima iwe dira kwa wanaomsikiliza.kitendo chakutoa lugha za namna hii sichakiungwana hatakidogo.
Sasa nimeamini kwa hili Makonda alikuwa malaika kwa ubabe huu Makonda ni malaika
Bongo sii wa kudekeza..mama amewadekeza wamesomba mapesa..fimbo lazima itumike
Mbona Rais wetu haongei hivyo? Anatumia busara? Huyu mteule dah inasikitisha sana...
Kichaa kapewa rungu
Nakuelewa lakini kauli zako si za kiuongozi.
Eti nn
Huyo kenge mbona anajiona kama Tz ni yake? Mpumbavu wa kutupwa. Hasira zinaanza kuvimba kwenye akili za watanzania na vurugu ikianza kuituliza ni vigumu.
Mzeeeee punguza asila
Hivi vitisho vya kitoto kupewa madara ya kuteuliwa ndio utoe lugha za namna hii hapana huu sio uongozi ni ujinga
Huyu bwana ndo maana mbeya walimfungia kazi mpaka akaondolewa mbeya hawachezewi bwana alifyata mkia kwa aibu amshukuru mama samia kamuibua Tena ana dharau za kijinga
Yaani mimi sijaona kiongozi ana maneno yaseyo kuwa na heshima mbele ya wananchi!! Alafu watu wanashangilia mtu anaongea vibaya hivyo!!
Kwani watanganyika wanajielewa??? Mtanganyika ukileta kondoo ilimradi uwe na cheo serikalini useme huyu ni mbuzi na pakatokea moja wapo akasema ahapana ni mbuzi alafu akazabwa kofi waliobaki wote watasema ni mbuzi aliyenona mkia...kuna watu hapooo???
Muda mwingine hasira hasara . Kiukweli hata hao waliowafukuza viongozi wa serikari na kutaka kuchoma gali sio SAWA kabisa
Sijui wamelogwa na nani?
Watanzania wajinga mnashangilia upumbavu wa RC mpumbavu 😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Kweli watanzania wajinga
Hata kama ni kiongozi jifunze kutumia lugha nzuri
Hakuna kubembeleza watu ambao hawataki maendeleo yetu wenyewe,kama nyumbu wa chadomo
ANAWATISHA WATU KWELI VITISHO TU. SASA KUNA KOSA GANI KUZOMEA...