MFALME ZUMARIDI - ''MIMI SIO MUNGU - YUPO NDANI YANGU - WAANDISHI MUNANIWEKEA NYOKA SIO VIZURI''...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 พ.ค. 2024
  • MFALME ZUMARIDI - ''MIMI SIO MUNGU - YUPO NDANI YANGU - WAANDISHI MUNANIWEKEA NYOKA SIO VIZURI''...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 109

  • @godlovemrosso5973
    @godlovemrosso5973 หลายเดือนก่อน +5

    Nimetamanj ku comment ila sitaki kumkufuru Mungu wangu Mungu wa Ibrahim na Isack

    • @TheresiaAndrea-hv9dg
      @TheresiaAndrea-hv9dg 27 วันที่ผ่านมา

      Mi na moment maana nakumbuka yeye alisema anakwebda mbinguni mara nyingi , nimekubali huyu dada ni kichaa siyo mzima kicwani.

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 หลายเดือนก่อน +2

    Yaani ungelikuwa kwenye nchii nyengine ukijisifia ujinga na kumshirikisha Mungu ungelitiwa ndani

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 หลายเดือนก่อน +4

    Mkorogo oyeeee 👍

  • @eliudnjenga9385
    @eliudnjenga9385 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Nipo kenya🇰🇪 mimi please watanzania 🇹🇿neno linasema tusihukumu ila huyu dada sio mtumishi wa mungu kwa ishara hii anakubali washirika wake kumshudia malaika wanakataa kushuhudiwa sebuse huyu jiepusheni sana na hawa wakala wa kuzimu

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289 หลายเดือนก่อน +7

    Unaweza ukawana waumini ef tano lakini hata watatu walio andikwa kwenye kitabu Cha uzima hawapo,itakusaidia Nini,miujiza sio tiketi ya kwenda Mbinguni,,

    • @user-eb9ni9sb3n
      @user-eb9ni9sb3n หลายเดือนก่อน

      Utajuwaje kama tiketi ya mbinguni Hana? Wewe ni Mungu mpaka umuhukumu wewe unajihesabia haki wewe kama nani?usihukumu usije ukahukumiwa

    • @janethmwihumbo1289
      @janethmwihumbo1289 หลายเดือนก่อน

      @@user-eb9ni9sb3n hakuna hukumu ya kumuhukumu Nabii wa kuzimu anaye kokota maelfu kwenda jehnm,,kwaiyo uko radhi Mtu mmoja asihukumiwe,ila aongoze maelfu kuzimu,wao mnao watetea wenzenu hawacheki na nyie,kaa kiroho ndugu tupo siku za mwisho una mtazama Mtu kimwili au unaridhika na maneno yake pole we

  • @user-hh7df4mq1j
    @user-hh7df4mq1j หลายเดือนก่อน +4

    Hao wanao abudu kwake akiri zao ziko vizurii kweli mm nayaona kama mazombie

  • @user-my4gd9px7s
    @user-my4gd9px7s 29 วันที่ผ่านมา +1

    Kumbe sasa hivi hajiiti Mungu, safi sana, hilo baso ni pigonla kwanza tusuburi next.

  • @user-vt4vd5rh8u
    @user-vt4vd5rh8u หลายเดือนก่อน +2

    Mpinga kristo huyu walioko rohoni watakua wamemjua cku za mwisho hizi. Ila wkumbuke Mungu haziwakuwagi.mtu mwenye Yesu hayuko ivi

  • @zaburi2386
    @zaburi2386 หลายเดือนก่อน +4

    Dishi bado halijakaa bado halijakaa sawaaa

  • @GIDIONIYEREMIA
    @GIDIONIYEREMIA หลายเดือนก่อน +5

    We mama usipo Kua makini utayeyuka ghafla

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl หลายเดือนก่อน

      Umeonaee

    • @user-eb9ni9sb3n
      @user-eb9ni9sb3n หลายเดือนก่อน +1

      Ayeyuke nani wa kumyeyusha Mungu anayeyukaga?utayeyuka wewe huyo ni Mungu

    • @SuleimanKhdija
      @SuleimanKhdija หลายเดือนก่อน

      Kweli

    • @chrispinmkanda6097
      @chrispinmkanda6097 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣🤣☝️​@@user-eb9ni9sb3n

    • @JoalAlma-ci1hi
      @JoalAlma-ci1hi 26 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-eb9ni9sb3nmungu mwehu au mungu gani mbona mnatania mungu wehu nyie.

  • @happymrema7487
    @happymrema7487 หลายเดือนก่อน +5

    Muwakilish wa shetan

  • @vickyadrian1503
    @vickyadrian1503 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba kuuliza hizi online tv mnampa air time za nini??

  • @ContentSmartphone-rq6po
    @ContentSmartphone-rq6po หลายเดือนก่อน +4

    Hili dada shetani😢 eish dunia hii

    • @user-eb9ni9sb3n
      @user-eb9ni9sb3n หลายเดือนก่อน

      Onyesha ushetani wake

    • @thamani5842
      @thamani5842 หลายเดือนก่อน

      ​@@user-eb9ni9sb3nww mwenyewe Shetani

  • @Gloria-vh5bz
    @Gloria-vh5bz หลายเดือนก่อน +1

    Ninaowahurumia ni hayo mazombie yake Hapo nyuma

  • @annamussa185
    @annamussa185 หลายเดือนก่อน +3

    Sawa Eunice wa kisukuma

  • @neemayatosha1618
    @neemayatosha1618 หลายเดือนก่อน +1

    Kheee!Yeye ni mwamba,King Zumaridi.........😂😂. I thought I've seen n heard it all
    Kila nikimuona nakumbuka ile sura ya Millard very serious "Jua!!??Usiku!!?🤣🤣

  • @deadcrush
    @deadcrush หลายเดือนก่อน

    Mungu kakimbia.

  • @DaimonMwapelele
    @DaimonMwapelele 27 วันที่ผ่านมา

    Jaman tujihadhal shetan yupo kazin hakuna mungu hapo

  • @neemashuma5595
    @neemashuma5595 28 วันที่ผ่านมา

    Ameacha kujiita mungu chini ya jua

  • @saidnoumani7244
    @saidnoumani7244 หลายเดือนก่อน +2

    "Yesu kambeba Mungu" uislam raha saana straight forward no contradictions!

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 29 วันที่ผ่านมา +3

      Uislam na shetani ni uji na mgonjwa

  • @LucasKaik-xt8qe
    @LucasKaik-xt8qe 29 วันที่ผ่านมา

    Mwehu kweli wew, umemtaja mbarikiwa et amenyamanzishwa au humsikilizagi siku hizi hajapoa hata kidogo.

  • @EvelinQueen
    @EvelinQueen 26 วันที่ผ่านมา

    Ee Mungu tupe kuyatambua majira na nyakati maana haya yote Yesu alisema sas mda ndo huu Yesu yukarib kurudi

  • @sharonyasin7521
    @sharonyasin7521 หลายเดือนก่อน

    Umependeza mfalme

  • @hawaramadhani6954
    @hawaramadhani6954 18 วันที่ผ่านมา

    Hadi chumbani milad kaingia 😂😂😂 hajananihiliyuu Jmn maana anapenda vitoto huyu Dada

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 หลายเดือนก่อน +1

    Nilikuwaga na fikiri ndo mama mzazi wa gigi many juu ni copy right

    • @amosibilingi4299
      @amosibilingi4299 28 วันที่ผ่านมา

      Ila kweli jmn mbona kama vile, dah! Kweli dunian tuko double double

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 หลายเดือนก่อน +1

    ''BANGI ZA CHOONI''

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 หลายเดือนก่อน

    Mungu anakutakianini sheitani moja akuiingie kivipi kwa Ibadan gani ulio nayo hata akushuhulikie pekee yko ww nyama tubu

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulaani ww mama Acha kucheza na Mungu nyani ww usio ogopa yaani mnacheza na Mungu bila khofu anaweza kukugeuza nyani shenzi mkubwa

    • @justinruben1967
      @justinruben1967 29 วันที่ผ่านมา

      Pole ww usiejua unayemtukana ipo siku utajua

  • @samwellwiza1098
    @samwellwiza1098 29 วันที่ผ่านมา

    DADA D LEO UMEROPOKA VIZURI....

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 หลายเดือนก่อน +1

    Mie nae niko busy tu kuangalia brazia ya Mfalme hapo kifuani.😝

    • @TonyEmanuel
      @TonyEmanuel หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @JoalAlma-ci1hi
    @JoalAlma-ci1hi 26 วันที่ผ่านมา

    Kinachonishangaza jamn naona anawaumini watu wazima kabisa wenye akilitimamu .inawezekananje uyu mwehu anafanya iv .mala kanumba amgufufue mala mbinguni magolafa alafu mazee yana kaa yanamsikiliza uyu mwezi mchanga uyu ...

  • @Isabella-ww8ks
    @Isabella-ww8ks หลายเดือนก่อน

    Watu wangu wanaangamia kwakukosa maalifa😢

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc 29 วันที่ผ่านมา

    Dada njoo geto uje ufue nguo zangu alafu nikupake mafuta ya upako maana wew ni ,,,,,

  • @ramamasenda6637
    @ramamasenda6637 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe mweu zumaridi piga ela zako tu mwamba wapi wewe

  • @noeleliasi8401
    @noeleliasi8401 29 วันที่ผ่านมา

    Shetani yuko ndani yako, iwe mwanzo na mwisho leo kumtaja Mbarikiwa kwenye DOMO lako hilo mbavûuuuweee

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny หลายเดือนก่อน +1

    Zama za mwisho huyu ni Dada yake Masih Dajjal,Sasa kazi kwenu Wafuasi kunawa au kutokunawa, Ukimfuata Motooo utakula kwako,😮😮

  • @JeniferNgolanya-gt5xx
    @JeniferNgolanya-gt5xx หลายเดือนก่อน +1

    Muwakilishi wa shenanigans.. nakuchukia mbaya siku zako zaja...devil ww

  • @jaderkyser9389
    @jaderkyser9389 หลายเดือนก่อน

    Kumbe Millard Ayo alifika Chumbani kwa Mfalme Zunarid na Hatujui😂

    • @jelasnkoma4240
      @jelasnkoma4240 18 วันที่ผ่านมา

      Kamuonesha hadi anapolala😃

  • @lilianwaflotina1288
    @lilianwaflotina1288 29 วันที่ผ่านมา

    Haya miladi ayo unaitwa huku😅

  • @hamadwazir2733
    @hamadwazir2733 หลายเดือนก่อน

    Kumbe unajua kama kuna mungu ww ni nan sas unakufuru

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 หลายเดือนก่อน +1

    Wee mwehu na wehu wenzio unaukweli gani shetani mkubwa subiri tu siku zako kwa muumba zinahesabika

    • @user-eb9ni9sb3n
      @user-eb9ni9sb3n หลายเดือนก่อน

      Kati yeye nawewe nani mwehu?huna unachokijuwa ndiyo maana unaropoka Linda kinywa chako kitakugharimu

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 หลายเดือนก่อน

    Ili limama nilitajiri kweli,kweli,tena lisukuma.

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mama akili zake anazijua mwenyewe cheki na alivyo jipodoa ka robot unice

    • @EmmyNamoyo
      @EmmyNamoyo หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂 wewe ati robot eunice 😂😂😂😂 umenichekesha

    • @rhobywerema6996
      @rhobywerema6996 หลายเดือนก่อน

      😂😂

    • @SuleimanKhdija
      @SuleimanKhdija หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😂

  • @jkuser7593
    @jkuser7593 29 วันที่ผ่านมา

    Akili imekukaa sasa ulijitamba wewe Mungu leo umebadili msemo woiii acha ujinga wako

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 4 วันที่ผ่านมา

    wewe usimtumie Mungu kwa biashara zako

  • @ramamasenda6637
    @ramamasenda6637 หลายเดือนก่อน

    Sasa unajisifia mwenyewe

  • @kobelochande6669
    @kobelochande6669 หลายเดือนก่อน

    😂 Sasa ngoja Mbarikiwa akusikie😂😂😂😂

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 หลายเดือนก่อน

    Huyu mlugaluga nae ana afya ya akili😂😂😂😂😂😂😂

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 หลายเดือนก่อน

    Huyu ni mtu kama yule mtu wanaomwamini akina flani. Lakini wanavyomtukana kama wao hawalijui kaburi lake jamaa yao.

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl หลายเดือนก่อน +1

    Shetwani huyo yupokazini

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 หลายเดือนก่อน

    Huyo bodigad wa nyuma anavoitikia sasa😂😂

  • @reginaldshirima5646
    @reginaldshirima5646 หลายเดือนก่อน

    Mwili wako utaliwa na ndege wa angani na wanyama wa porini

  • @israeluronu9958
    @israeluronu9958 หลายเดือนก่อน

    Hivi waandishi siwalishakatazwa kumhoji huyo mama.

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 29 วันที่ผ่านมา

    Eti , mbarikiwa ,kaufyata, mbarikiwa sio , type yako wewe 😊

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe Bado yupo😂😂😂

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 หลายเดือนก่อน

      😂😂 amejaa tele

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa หลายเดือนก่อน

      Nilishaga msahau

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 หลายเดือนก่อน

    Huyu ni Amber Ruty aliechangamka

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l หลายเดือนก่อน

    Watu mnashida. Mnafanya hukumu ni kazi yenu?
    Sisi wenyewe tuna midhambi yakufa mtu. Kama yeye anajitambua ana Mungu ndani yake shida yetu ni nini haswa. Mwacheni aendelee na mambo yake sisi wote tutakitana na Mungu siku ya hukumu.

  • @vom84
    @vom84 หลายเดือนก่อน

    Mmmh mbona huyu hafanani na yule wa gerezani? Au ni mwingine

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 หลายเดือนก่อน

    Watu wamejaa na pesa unazidi kupiga si umalizie tu

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 หลายเดือนก่อน

    Milladi alikula hilo zigo.

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 หลายเดือนก่อน

    Anaongea mpaka koo linanikauka mimi

  • @user-eo3xr2ld3g
    @user-eo3xr2ld3g หลายเดือนก่อน

    Mpuzi mkubwa ww utakufa vibaya

  • @nancyenock5601
    @nancyenock5601 หลายเดือนก่อน

    Kama Giggy kiasi fulani

  • @teddylyimo5897
    @teddylyimo5897 หลายเดือนก่อน

    We mchawi tuu huna kitu shetanii mkubwa ww

  • @thamratysuleiman3053
    @thamratysuleiman3053 หลายเดือนก่อน

    Anahashuo

  • @epafraditopajenga4650
    @epafraditopajenga4650 หลายเดือนก่อน

    Anahitaji wenye akili wa mshauri

  • @Kautharkabanga
    @Kautharkabanga หลายเดือนก่อน

    Huyo shetani katokea wapi tena

  • @user-ub1yx5vc8b
    @user-ub1yx5vc8b หลายเดือนก่อน

    Kila anayemfuata huyu shetani ni zizu

  • @mulolemary1317
    @mulolemary1317 หลายเดือนก่อน

    Tafuta pesa za kula na make up achana na shirk

  • @KasemaTV
    @KasemaTV หลายเดือนก่อน

    wewe ndiwe masihi wa kizazi hiki wakubali wakatae ndivyo ilivyo

  • @SmilingFreshwaterLake-tg5qp
    @SmilingFreshwaterLake-tg5qp หลายเดือนก่อน

    🤣🤣🤣🤣

  • @user-hg5wr2mc7k
    @user-hg5wr2mc7k หลายเดือนก่อน

    Haka kashetani kananiuma sana

  • @user-eb9ni9sb3n
    @user-eb9ni9sb3n หลายเดือนก่อน +1

    Ipo siku mtajuwa kuwa Zumaridi ninani nyinyi mnaishia kutukana mwenzenu anazidi kupaaa nyinyi mnayetukana mnjulikana nanani?mwenzenu dunia nzima wanamtambuwa nyinyi hata balozi wako wa mtaa hakujui acheni chuki zisizo na msingi Zumaridi ni Mungu mkatae mkubali haibadiliki

    • @jkuser7593
      @jkuser7593 29 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂 pole yako mweee

    • @hawaramadhani6954
      @hawaramadhani6954 18 วันที่ผ่านมา

      Mungu anakunya chooni,anapelekwa gerezani,anafanya mapenzi Jmn hizo hisia za nini kajiwekea😮😮

  • @drsilo
    @drsilo หลายเดือนก่อน

    Ukiristo una shida kweli alimradi hamdi dini kila mmoj ana mambo yake😂
    Ila karibuni ktk din ya haki kitabu kimoj tu ni QURAN

    • @charlesmwasi7646
      @charlesmwasi7646 หลายเดือนก่อน

      Nani amemwambia huyo mkristo?? Kwenu huko Kuna mbingu zenye wanawake na mapombe Mambo ya kidunia kabisa, hatutaki kabisa.

    • @hawaramadhani6954
      @hawaramadhani6954 18 วันที่ผ่านมา

      ​@@charlesmwasi7646kasome vzr hizo pombe hujaelewa kaka

  • @Gloria-vh5bz
    @Gloria-vh5bz หลายเดือนก่อน

    Ninaowahurumia ni hayo mazombie yake Hapo nyuma

  • @majaliwaandulile8379
    @majaliwaandulile8379 29 วันที่ผ่านมา

    Huyo dada wa nyuma kafanana na mfanyakazi wa ahime wa Kendra

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija หลายเดือนก่อน

    Global kwanini mnamuhoji huyo kwani nanini kawatuma nimekuwa nimeshakwisha msahau huyo iblis myacheni huo Mungu yupo daima kitamrambaga tu

    • @justinruben1967
      @justinruben1967 29 วันที่ผ่านมา

      Tulie ww sikia Mungu anachoongea acha chuki

    • @michaelotieno8253
      @michaelotieno8253 29 วันที่ผ่านมา

      Kamdomo😂😂acha mdomo