MFALME ZUMARIDI - ''MIMI SIO MUNGU - YUPO NDANI YANGU - WAANDISHI MUNANIWEKEA NYOKA SIO VIZURI''...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 19 พ.ค. 2024
- MFALME ZUMARIDI - ''MIMI SIO MUNGU - YUPO NDANI YANGU - WAANDISHI MUNANIWEKEA NYOKA SIO VIZURI''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Nimetamanj ku comment ila sitaki kumkufuru Mungu wangu Mungu wa Ibrahim na Isack
Mi na moment maana nakumbuka yeye alisema anakwebda mbinguni mara nyingi , nimekubali huyu dada ni kichaa siyo mzima kicwani.
Yaani ungelikuwa kwenye nchii nyengine ukijisifia ujinga na kumshirikisha Mungu ungelitiwa ndani
Mkorogo oyeeee 👍
Nipo kenya🇰🇪 mimi please watanzania 🇹🇿neno linasema tusihukumu ila huyu dada sio mtumishi wa mungu kwa ishara hii anakubali washirika wake kumshudia malaika wanakataa kushuhudiwa sebuse huyu jiepusheni sana na hawa wakala wa kuzimu
Unaweza ukawana waumini ef tano lakini hata watatu walio andikwa kwenye kitabu Cha uzima hawapo,itakusaidia Nini,miujiza sio tiketi ya kwenda Mbinguni,,
Utajuwaje kama tiketi ya mbinguni Hana? Wewe ni Mungu mpaka umuhukumu wewe unajihesabia haki wewe kama nani?usihukumu usije ukahukumiwa
@@user-eb9ni9sb3n hakuna hukumu ya kumuhukumu Nabii wa kuzimu anaye kokota maelfu kwenda jehnm,,kwaiyo uko radhi Mtu mmoja asihukumiwe,ila aongoze maelfu kuzimu,wao mnao watetea wenzenu hawacheki na nyie,kaa kiroho ndugu tupo siku za mwisho una mtazama Mtu kimwili au unaridhika na maneno yake pole we
Hao wanao abudu kwake akiri zao ziko vizurii kweli mm nayaona kama mazombie
Kumbe sasa hivi hajiiti Mungu, safi sana, hilo baso ni pigonla kwanza tusuburi next.
Mpinga kristo huyu walioko rohoni watakua wamemjua cku za mwisho hizi. Ila wkumbuke Mungu haziwakuwagi.mtu mwenye Yesu hayuko ivi
Mwenye yesu yupoje?
Kwani ukristo ni dini?
Dishi bado halijakaa bado halijakaa sawaaa
We mama usipo Kua makini utayeyuka ghafla
Umeonaee
Ayeyuke nani wa kumyeyusha Mungu anayeyukaga?utayeyuka wewe huyo ni Mungu
Kweli
🤣🤣🤣🤣☝️@@user-eb9ni9sb3n
@@user-eb9ni9sb3nmungu mwehu au mungu gani mbona mnatania mungu wehu nyie.
Muwakilish wa shetan
Naomba kuuliza hizi online tv mnampa air time za nini??
Hili dada shetani😢 eish dunia hii
Onyesha ushetani wake
@@user-eb9ni9sb3nww mwenyewe Shetani
Ninaowahurumia ni hayo mazombie yake Hapo nyuma
Sawa Eunice wa kisukuma
😂😂😂😂😂
Kheee!Yeye ni mwamba,King Zumaridi.........😂😂. I thought I've seen n heard it all
Kila nikimuona nakumbuka ile sura ya Millard very serious "Jua!!??Usiku!!?🤣🤣
Mungu kakimbia.
Jaman tujihadhal shetan yupo kazin hakuna mungu hapo
Ameacha kujiita mungu chini ya jua
"Yesu kambeba Mungu" uislam raha saana straight forward no contradictions!
Uislam na shetani ni uji na mgonjwa
Mwehu kweli wew, umemtaja mbarikiwa et amenyamanzishwa au humsikilizagi siku hizi hajapoa hata kidogo.
Ee Mungu tupe kuyatambua majira na nyakati maana haya yote Yesu alisema sas mda ndo huu Yesu yukarib kurudi
Umependeza mfalme
Hadi chumbani milad kaingia 😂😂😂 hajananihiliyuu Jmn maana anapenda vitoto huyu Dada
Nilikuwaga na fikiri ndo mama mzazi wa gigi many juu ni copy right
Ila kweli jmn mbona kama vile, dah! Kweli dunian tuko double double
''BANGI ZA CHOONI''
Mungu anakutakianini sheitani moja akuiingie kivipi kwa Ibadan gani ulio nayo hata akushuhulikie pekee yko ww nyama tubu
Mungu akulaani ww mama Acha kucheza na Mungu nyani ww usio ogopa yaani mnacheza na Mungu bila khofu anaweza kukugeuza nyani shenzi mkubwa
Pole ww usiejua unayemtukana ipo siku utajua
DADA D LEO UMEROPOKA VIZURI....
Mie nae niko busy tu kuangalia brazia ya Mfalme hapo kifuani.😝
😂😂😂
Kinachonishangaza jamn naona anawaumini watu wazima kabisa wenye akilitimamu .inawezekananje uyu mwehu anafanya iv .mala kanumba amgufufue mala mbinguni magolafa alafu mazee yana kaa yanamsikiliza uyu mwezi mchanga uyu ...
Watu wangu wanaangamia kwakukosa maalifa😢
Dada njoo geto uje ufue nguo zangu alafu nikupake mafuta ya upako maana wew ni ,,,,,
Wewe mweu zumaridi piga ela zako tu mwamba wapi wewe
Shetani yuko ndani yako, iwe mwanzo na mwisho leo kumtaja Mbarikiwa kwenye DOMO lako hilo mbavûuuuweee
Zama za mwisho huyu ni Dada yake Masih Dajjal,Sasa kazi kwenu Wafuasi kunawa au kutokunawa, Ukimfuata Motooo utakula kwako,😮😮
Muwakilishi wa shenanigans.. nakuchukia mbaya siku zako zaja...devil ww
Kumbe Millard Ayo alifika Chumbani kwa Mfalme Zunarid na Hatujui😂
Kamuonesha hadi anapolala😃
Haya miladi ayo unaitwa huku😅
Kumbe unajua kama kuna mungu ww ni nan sas unakufuru
Wee mwehu na wehu wenzio unaukweli gani shetani mkubwa subiri tu siku zako kwa muumba zinahesabika
Kati yeye nawewe nani mwehu?huna unachokijuwa ndiyo maana unaropoka Linda kinywa chako kitakugharimu
Ili limama nilitajiri kweli,kweli,tena lisukuma.
Huyu mama akili zake anazijua mwenyewe cheki na alivyo jipodoa ka robot unice
😂😂😂😂😂 wewe ati robot eunice 😂😂😂😂 umenichekesha
😂😂
😅😅😅😂
Akili imekukaa sasa ulijitamba wewe Mungu leo umebadili msemo woiii acha ujinga wako
wewe usimtumie Mungu kwa biashara zako
Sasa unajisifia mwenyewe
😂 Sasa ngoja Mbarikiwa akusikie😂😂😂😂
Huyu mlugaluga nae ana afya ya akili😂😂😂😂😂😂😂
Huyu ni mtu kama yule mtu wanaomwamini akina flani. Lakini wanavyomtukana kama wao hawalijui kaburi lake jamaa yao.
Shetwani huyo yupokazini
Huyo bodigad wa nyuma anavoitikia sasa😂😂
Mwili wako utaliwa na ndege wa angani na wanyama wa porini
Hivi waandishi siwalishakatazwa kumhoji huyo mama.
Eti , mbarikiwa ,kaufyata, mbarikiwa sio , type yako wewe 😊
Kumbe Bado yupo😂😂😂
😂😂 amejaa tele
Nilishaga msahau
😂😂😂😂
Huyu ni Amber Ruty aliechangamka
Watu mnashida. Mnafanya hukumu ni kazi yenu?
Sisi wenyewe tuna midhambi yakufa mtu. Kama yeye anajitambua ana Mungu ndani yake shida yetu ni nini haswa. Mwacheni aendelee na mambo yake sisi wote tutakitana na Mungu siku ya hukumu.
Mmmh mbona huyu hafanani na yule wa gerezani? Au ni mwingine
Watu wamejaa na pesa unazidi kupiga si umalizie tu
Milladi alikula hilo zigo.
Anaongea mpaka koo linanikauka mimi
Mpuzi mkubwa ww utakufa vibaya
Kama Giggy kiasi fulani
We mchawi tuu huna kitu shetanii mkubwa ww
Anahashuo
Anahitaji wenye akili wa mshauri
Huyo shetani katokea wapi tena
Kila anayemfuata huyu shetani ni zizu
Tafuta pesa za kula na make up achana na shirk
wewe ndiwe masihi wa kizazi hiki wakubali wakatae ndivyo ilivyo
🤣🤣🤣🤣
Haka kashetani kananiuma sana
Ipo siku mtajuwa kuwa Zumaridi ninani nyinyi mnaishia kutukana mwenzenu anazidi kupaaa nyinyi mnayetukana mnjulikana nanani?mwenzenu dunia nzima wanamtambuwa nyinyi hata balozi wako wa mtaa hakujui acheni chuki zisizo na msingi Zumaridi ni Mungu mkatae mkubali haibadiliki
😂😂😂 pole yako mweee
Mungu anakunya chooni,anapelekwa gerezani,anafanya mapenzi Jmn hizo hisia za nini kajiwekea😮😮
Ukiristo una shida kweli alimradi hamdi dini kila mmoj ana mambo yake😂
Ila karibuni ktk din ya haki kitabu kimoj tu ni QURAN
Nani amemwambia huyo mkristo?? Kwenu huko Kuna mbingu zenye wanawake na mapombe Mambo ya kidunia kabisa, hatutaki kabisa.
@@charlesmwasi7646kasome vzr hizo pombe hujaelewa kaka
Ninaowahurumia ni hayo mazombie yake Hapo nyuma
Huyo dada wa nyuma kafanana na mfanyakazi wa ahime wa Kendra
Global kwanini mnamuhoji huyo kwani nanini kawatuma nimekuwa nimeshakwisha msahau huyo iblis myacheni huo Mungu yupo daima kitamrambaga tu
Tulie ww sikia Mungu anachoongea acha chuki
Kamdomo😂😂acha mdomo