🔴

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 140

  • @ummohamed4404
    @ummohamed4404 2 หลายเดือนก่อน +3

    Husda wivu
    Allha Ilinde omn kwa wanafiki
    Na dhulma
    Kila mbaya Allha amrudishe na ubaya wake
    Allhahuma la hasad

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 2 หลายเดือนก่อน +6

    Dada zari wengine waongo wanataka kuishi maisha ya tanzania kuzurura

  • @BatulMohammad-l4x
    @BatulMohammad-l4x 2 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kaka seleman umeereza ukwl naumetufungua akili Allah akulinde

  • @salwamohammed4787
    @salwamohammed4787 2 หลายเดือนก่อน +8

    ❤wafanyakaz wapya nakuombeni muwe na subra kuhusu mishahara anaelipwa rial80 baadae mutaengezewa mishahara mimi hapa sahivi napokea mia wa 150 nanimeanza kupokea 80 kikubwa tu subra

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 2 หลายเดือนก่อน

      Hakika nikweli kabsa mie nipo nalipo 130 niko saw

    • @jamilahjamilah4157
      @jamilahjamilah4157 2 หลายเดือนก่อน +3

      dungu yangu wengi hawana subira dio kwaza wanaharibu tuna teswa maneno kibao na ndio sababu za wafanya kazi ws omani tunazarauliwa mm natamani nikamuona kuna mwanamke moja anautwa mama b turundi atatuajiri sasa mm nimerundi wa kwaza azee kuniajiri alipe km nilivo kuwa nalipwa

    • @zainabwage4658
      @zainabwage4658 2 หลายเดือนก่อน

      Uo ndio ukwer

    • @salamalsawaqi1206
      @salamalsawaqi1206 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@salwamohammed4787 rial 80 mbona ni nyingi kuliko wanakaa Tz bila kazi njaa wao washukulu mungu wanastiliwa pengine huo mshahara kuzidi wa mwalimu wa shule huko Tz na wao ni kufanya kazi za ndani tu hawana shukrani

    • @bintmrisho3526
      @bintmrisho3526 2 หลายเดือนก่อน

      Hata mim nilikua nalipwa 80 now 160

  • @LailaLaila-kg2qd
    @LailaLaila-kg2qd 2 หลายเดือนก่อน

    Yupo sawa huyu dada ❤❤❤

  • @OmanOman-bm1lr
    @OmanOman-bm1lr 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mimi mwenyewe binafsi nimefanya kazi oman nimevumilia tuu kwa sbb nlikuwa na malengo angalau nipate riski ya nyumba Alhamdulillah nimepata sikuwa mfanyakazi wa ndani nilikuwa saloon lkn sijapewa hata kiinuwa mgongo unashangaa boss anapata pesa kuliko wewe na anashindwa kukuthamini mdaa wakukaribia kuondoka ndoo qnakubembeleza kwa maslahi yake lkn hata asante hupewi mtuu unaona bora basi allah ndoo atakulipia

    • @zainabzain3434
      @zainabzain3434 2 หลายเดือนก่อน

      Ndo tulio wengi ni malengo yanatuweka mpk ss ni mshahara tu hakuna kinachoongezeka na Sasa mpk matibabu ni magumu mie juzi tu nimejitibia kwa kulipia gharama mwenyewe Rial 17 Alhamdulillah

  • @AishaOman-k6f
    @AishaOman-k6f 2 หลายเดือนก่อน +2

    Oman sio.mbaya.ila.maajenty.waoman.natanania.sio.watu.wazuri.wakishalpwa.pesa.zao.basi.magents.hbwana.usaidizi.wowote

  • @OmanOman-bm1lr
    @OmanOman-bm1lr 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mikataba unaandikwa lugha 3 kiswahili,English,kiarabu

  • @ZamdaAli
    @ZamdaAli 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kaka selemani asante Kwa kutupa muongozo mzuri sana mikataba yetu

    • @SapraSapra-s9p
      @SapraSapra-s9p 2 หลายเดือนก่อน

      Zamda nashda na ww

  • @JokhaSaid-e1c
    @JokhaSaid-e1c 2 หลายเดือนก่อน

    Wenzao wanajua kujioendekeza na wanapata tip nyingi sana wengine mpaka nyumba wanajengewa na wanafanyiwa mpaka harusi

  • @FatmaAlabri-lz2cw
    @FatmaAlabri-lz2cw 2 หลายเดือนก่อน +2

    Watafuteni ofisi ya Global ya magomeni,waelezee ofisi yao omani wapi na ajent wa huku

  • @Zainabu-o9q
    @Zainabu-o9q 2 หลายเดือนก่อน

    Nimefurah sana kuona sophia amerud allah kareem iyo juma nne aje kweli tujue daàh

  • @MwanaHamis-y4e
    @MwanaHamis-y4e 2 หลายเดือนก่อน

    Mimi safairi yangu ya kwanza kuja kwenye nyumba nilikaa km miezi 3 hivi kuna siku boss wangu akaniita kwenda ananiambia nikaoshe gari nikamjibu mkataba wangu akuna sehemu ilipoandikwa nioshe gari toka siku iyo mpk nikamaliza mkataba akuwai kuniambia swala ra kuosha gari ukiambiwa siku moja ukafanya basi ujue utaosha gari mpk unamaliza mkataba wako ilo mliju3 kwa wanaoaza kuingia

  • @shamimhayat7637
    @shamimhayat7637 2 หลายเดือนก่อน

    Kwani serikali inafanya nini?

  • @Sila-b7o
    @Sila-b7o 2 หลายเดือนก่อน

    Hao ndio tabia zao unapewa gari kumbwa unakosha unapanda ngazim unakosha mpaka juu

  • @JokhaSaid-e1c
    @JokhaSaid-e1c 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nyie global mbona hamuwahoji wa dada wanaofanya Nani ya nchi

  • @JokhaSaid-e1c
    @JokhaSaid-e1c 2 หลายเดือนก่อน

    Wa dada wa kitanzania ni wajuaji sana hakuna jirani anayela gari kuoshewa

    • @bintmrisho3526
      @bintmrisho3526 2 หลายเดือนก่อน

      Mi nashangaa kwakweli😂 yan wanatunga sana

  • @JokhaSaid-e1c
    @JokhaSaid-e1c 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona hawasemi mazuri mengi wanayofanyiwa

  • @animewar6354
    @animewar6354 2 หลายเดือนก่อน

    Asalaam alaikum waramatulah wabarakatuh Da zari mitihani IPO sana waliopo vijijini Kwa mjini mabosi wengi ni waelewa.

  • @ashaidd2813
    @ashaidd2813 2 หลายเดือนก่อน +1

    Habari naombeni mwambieni seleman awe na ofisi dar mikoan ili wadogo zetyu wasafiri kihalali wengi wanashida yakuja kazini

  • @halimaalkindi9484
    @halimaalkindi9484 2 หลายเดือนก่อน

    21:35 21:35

  • @AishAish-t1s
    @AishAish-t1s 2 หลายเดือนก่อน

    Nikweli kabisa tayesa ndiyo zababu watu wanazunguka mpaka wanachoka

  • @a2core-wn2wk
    @a2core-wn2wk 2 หลายเดือนก่อน

    Dd zari vp na mwanaisha alipatikana ?

  • @ZamdaAli
    @ZamdaAli 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hakuna faida yoyote hasara tup

  • @ZamdaAli
    @ZamdaAli 2 หลายเดือนก่อน

    Dd yusra nasema ukweli chukuwa mauwa yako dd❤❤❤❤❤

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 2 หลายเดือนก่อน

    Mm mwarabu akinizinguw natoroka ina naenda ubarozini pas yangu

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 2 หลายเดือนก่อน

    Hakuna.nyumba ndogo Oman. Acheni hizo wee Suleiman.

  • @AishaOman-k6f
    @AishaOman-k6f 2 หลายเดือนก่อน

    Zaria.mm.ntakuja.kutoa.ushuhuda.nikifika.nipo.oman.mwaka.wakumi.nambili.nyumba.moja

    • @jamilahjamilah4157
      @jamilahjamilah4157 2 หลายเดือนก่อน

      @user-zz1sj6sp8z mdogo wangu watu wangumu kuelewa hata utowe ushuhuda hawakuelewi tuu waache na uelewa wao

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 2 หลายเดือนก่อน

    Dada bora aiweke yy pas anipe bitaka

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 2 หลายเดือนก่อน

    MUUKIZENI MSHAHARA KWANINI MAAJENTI WANATUUZA KWA RIAL 80. WAKATI TUKISHAFIKIA RIAL 120 KWA.ANAYEANZA NYUMBA. WAPHILIPINO WAO.WANALIPWA 160 RIAL. TZ.MAISHA YAMEKUWA JUU. KUPITIA KIPINDI HIKI ATOE TAMKO. WTZ TULIPWE SAWA NA SHERIA ZA UBAROZINI.

  • @OmanOman-bm1lr
    @OmanOman-bm1lr 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tatizo ukisema pia unakata tiketi wana ku block ndoo walivo hao inakuwa huingii ndoo mana mtuu anaomba abadilishe nyumba na hata mfano akasema sawa nenda nyumbani kisha urudi tena oman kunakuwa unatakiwa kama unarudi tena upate barua ya kuruhusu madamu wa mwanzo kukuruhusu uingie tena oman ndoo mana wafanyakazi wanaona tabu kurudi nyumbani

  • @MajidAbdullah-p9s
    @MajidAbdullah-p9s หลายเดือนก่อน

    kwenye Geto pesa Zaid ya kwa Boss😂😂

  • @OmanOman-bm1lr
    @OmanOman-bm1lr 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona wa Philippines maa ajent wao wapo strong sababu ni maajent ndoo wakorofi wakiwa ktk makubaliano sawa hakuna baya litakalo tokea

  • @OmanOman-bm1lr
    @OmanOman-bm1lr 2 หลายเดือนก่อน

    Pia mkataba unaandikwa kila mwaka boss anatakiwa akuongeze rial 5 kwa nini hawaongezi? Na mkataba umeandikwa?

    • @AishaOman-k6f
      @AishaOman-k6f 2 หลายเดือนก่อน

      Sio.liar.5.niliar.kumi.

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official 2 หลายเดือนก่อน

    Warabu hata hapo kariakoo wanaroho mbaya wafanyazi wanakula makombo imagine kwenye nchi yako tena uteswe duh

  • @aboohumayrah5782
    @aboohumayrah5782 2 หลายเดือนก่อน

    Vipi kuhusu changa Moto za wafanyakazi wa kiume mbona hamuwazungumzii au hawana changamoto?

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 2 หลายเดือนก่อน

    Na nyie pia kina zari
    Mara ingine muna dharau mambo muhim
    Km vile mukipata kes km mfano ya agency munaongea nae bila kumpeleka kwa sheria kihatua na mnajua anaweza kukimbia ambapo mnasauti ya kuwashika wapelelez kutumia sim mukiwa mushariport police wakamkamata agency kupitia kutrack number yake bila yeye kujua
    Kisha ndo mkamkamata

  • @OmanOman-bm1lr
    @OmanOman-bm1lr 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wanakuwa mikataba wanatupokonyaa maboss wanasema wanakazi nayo kwa nini watunyang'anye mikataba na huwa tuna kuwa tumeisoma na yeye anakuwa ametia saini yake boss

  • @azizaalbreki3330
    @azizaalbreki3330 2 หลายเดือนก่อน

    Mie naona bora wa Tanzania wasije kufanya kazi Omani
    Wamezidi midomo
    Mie nnamfanyakazi anakosha gari yangu

    • @a2core-wn2wk
      @a2core-wn2wk 2 หลายเดือนก่อน +1

      Mikataba hairuhusu mfanyakazi wa ndani kuosha gari kama unaona watanzania wasije omani mwambie kiongozi wako halafu akupe jibu

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 2 หลายเดือนก่อน

      Mwambie sultan khaisamu 😮😮roho mbaya imekujaa fii nari jahannam😮

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@a2core-wn2wkyy mwenyewe mwarabu mswahili ataaanze kwa mfano?😂😂

  • @Mariamu-xv9mp
    @Mariamu-xv9mp 2 หลายเดือนก่อน

    Mwarabu,afati,mikataba

  • @SofiaSofia-qh9wh
    @SofiaSofia-qh9wh 2 หลายเดือนก่อน

    Da zari mm nipo Oman nitumie namba zako nikutumie mkataba uone jinsi ulivyo

  • @JokhaSaid-e1c
    @JokhaSaid-e1c 2 หลายเดือนก่อน

    Wengi wao wanatumia muda mwingi kuchat ndio mana hawamalizi kazi zao on time

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 2 หลายเดือนก่อน +1

    DADA ZARI WAPO WANAKAA VIZURI MM NIMERUDI UNGE PATA MDAA UNGE KUJA KUNIONA NA MM SIKWADA NA AJENTI NA MUNGU AKAJALIA NIMEPATA WATU WAZURI SANA TUU

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 2 หลายเดือนก่อน

    Kwani akuna kwengine ipo omani mbona oman amani kuliko nchi zengine

  • @AishaOman-k6f
    @AishaOman-k6f 2 หลายเดือนก่อน

    Waoman wanaogopana.huwa.hawaambiani.ukweli

  • @ZamdaAli
    @ZamdaAli 2 หลายเดือนก่อน

    Tuhuma nyingi wanapewa walaabu hila SS wenyewe nichanzo kusikiliza magroup hayana maana

    • @umahmed8273
      @umahmed8273 2 หลายเดือนก่อน

      Sanaaa wa Natafuta magroup halafu wanaskiliza wengine hawajiamini wenywe wakifikiwa na matatizo wanalia. Na magroup sio wote wade a kweli wanakuchuza halafu wa akitoka mitini

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 2 หลายเดือนก่อน

    Yusra unasema kweli.kubakwa mwenyewe tu ametaka

  • @NgelezaUmmu
    @NgelezaUmmu 2 หลายเดือนก่อน

    mzee wa mjengoni nakukubar sana mm ninao mkataba wa mwaka 2017 nabadilisha viza bosi hataki kunipeleka kubadili naongea adi na lia pia awafati mkataba ukimwa kz km kawaida

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 2 หลายเดือนก่อน

    Fatuma kajenga nyumba ķigambon kwq pesa za kuwapeleka wasichana oman kuwadai rial ya mwez 1 ndio kajenga kiufup ni pesa za dhuluma km atasoma hiz comment zangu ajue kabisa pesa anazodai za wadada mwez 1 ni dhulma ni dhambi pia kwanza ike kaz aliyokuwa anafanya ya kutafuta watu 4 utoe laki 5 kila mtu cjui iliishia wapi 😂😂😂😂😂

  • @ummohamed4404
    @ummohamed4404 2 หลายเดือนก่อน

    حسبي الله ونعم الوكيل منكم

  • @FatmaAlabri-lz2cw
    @FatmaAlabri-lz2cw 2 หลายเดือนก่อน +1

    HUO MKATABA WA OMAN MBONA HATUJAWAHI KUUONA ,TUNAUPATAJE?

  • @ZamdaAli
    @ZamdaAli 2 หลายเดือนก่อน

    Dada zari kiufupi huku Iraq Hana ubalozi kwahiyo tunafikia kwenye nyumba wanasema ofisi tunafungiwa mpak asubuhi mabosi wanakuja kuchanguwa wafakazi

  • @SiwatuSaid
    @SiwatuSaid 2 หลายเดือนก่อน

    Mie vitsmbulisho vyangu vyote ninavyo huku mtihani sana kupumzika i

  • @AishaOman-k6f
    @AishaOman-k6f 2 หลายเดือนก่อน

    Hapana.mkataba.watanzania.haurusiwi.kuosha.gari.wala.kulima.shamba

  • @teddyaloyce8218
    @teddyaloyce8218 2 หลายเดือนก่อน

    Ka sele nimekumic sana kaka angu

  • @OmanOman-bm1lr
    @OmanOman-bm1lr 2 หลายเดือนก่อน

    Natukiumwa hospital tunajitubu kwa garama unakuta mkataba umeandika kila kitu na ajent anakwambia unapewa kila kitu lkn ukifika hamna lolote kula juu yako mfanyakazi spital yaani nimengi kwa kweli mtuu huwezi kumaliza na unakuta mtuu upo ugenini huna mbele wala nyuma inakuwa unaogopa matatizo unaona bora siku ziende urudi nyumbani

    • @newgmail8883
      @newgmail8883 2 หลายเดือนก่อน

      Huo uongo ukiona hivyo wewe nhufanyi kazi nyumbni

  • @MorganMwaipyana-tz9vc
    @MorganMwaipyana-tz9vc 2 หลายเดือนก่อน

    Human Trafficking legalized.

  • @lall2037
    @lall2037 2 หลายเดือนก่อน

    Maneno ya kaka sele ni kweli kabisa ajenti wangu wa znz mwaka wa 4 nimepata matatizo nilimueleza akuzingatia akanipuuza kabisa na uku oman ajenti wangu pia simjui nilipokelewa airport na dreva tax nilikuwa na mwenzangu tukapelekwa ktk majumba ya kazi na yuliposhindwa awakutupa msaada wowote tupo mitaani na maajenti ni feki wanaotutafutia kazi za miezi miezi my

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 2 หลายเดือนก่อน

    Haya anayo yaongea ni yakweli siyo ya uongo japo mie sijawahi fanyie huyo mzee ndo anatusaidia san embasy japo ni mkali

  • @SiwatuSaid
    @SiwatuSaid 2 หลายเดือนก่อน

    Sema kweri sele hata ukiwa na pasipoti huwezi kusafiri bila saini ya bosi wako uwanja wa ndege

  • @Rahma-jd4un
    @Rahma-jd4un 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mwenye namba ya huyu kaka anitumie

    • @halimaalkindi9484
      @halimaalkindi9484 2 หลายเดือนก่อน

      21:09

    • @halimaalkindi9484
      @halimaalkindi9484 2 หลายเดือนก่อน

      Jamani kelele zote za nini ambieni sekali yenu isiwaruhusu kuja Oman .
      Hata Tanzania mnachangamoto chungu mzima

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 2 หลายเดือนก่อน

      Rudia kuangalie video zilizopita kataja

    • @a2core-wn2wk
      @a2core-wn2wk 2 หลายเดือนก่อน

      Na ww iambie serikali yako isiruhusu watanzania kuingia omani ​@@halimaalkindi9484

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official 2 หลายเดือนก่อน

    Nakwanini wanapenda kunyima chakula wafanya kazi?warabu roho mbaya harafu wanajifanya wanajua dini yani hata ulaya niwakimbizi ila bado wanaleta ubaguzi roho mbaya ukifanya nao kazi utakoma imagine 😢hao watu hawafai

  • @AishaOman-k6f
    @AishaOman-k6f 2 หลายเดือนก่อน

    Lakini.mkataba.waoman.nikiarabu.na.englishi

  • @AsmaAlly-m9i
    @AsmaAlly-m9i 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli wap so wote rakini

  • @AishAish-t1s
    @AishAish-t1s 2 หลายเดือนก่อน

    Tatizo si watu wa embasi tatizo wafanyakazi umekuja na ajeti wako unapata ushawishi unatoloka embasi mnawapa lawama tu utakI kazi ludi kwa ajeti aliyekuleta embasi awausiki nakesi hizo muhimu embas waangalie kaja na ajeti usimpokee muache aende kwa ajeti wake kama kulidishwa tanzania

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 2 หลายเดือนก่อน

    Kabla kumtafuta

  • @sabrakhamis9449
    @sabrakhamis9449 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hatuwataki na msije kabisa ikiwezekana

    • @RamadhaniKitala-gx6wc
      @RamadhaniKitala-gx6wc 2 หลายเดือนก่อน +1

      Anae kutaka wew nani kwa tunakuja kwa ajili yako waitakiwa kusema ni waomani og warabu sio wew

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 2 หลายเดือนก่อน +2

      Chizy ilo mwarabu hajui kiswahili tulia taila wew😂😂😂😂😂yan katika watu siwapend ni hawa wanaojiona waarabu kumbe ngoz ya tako nyeus

    • @ashaabdalla924
      @ashaabdalla924 2 หลายเดือนก่อน

      Ndio hamtakiwi nyia na yeye tofauti yeye anaishi huko kazaliwa nyie mmezawa huko kazi yenu wabongo uchafu tu kuchafua kwa watu hamtakiwi muache kwenda kujiuza mrudi kwenu mlikozowea ushamba na misutano lol

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 2 หลายเดือนก่อน

      Ndio aiwezekani et

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@sophsoph4740chukuwa soda nitalipa

  • @AishaOman-k6f
    @AishaOman-k6f 2 หลายเดือนก่อน

    Mkataba.watanzania.unalugha.tatu.english.kiswahili.nakiarabu

  • @Maryam-vj1rb
    @Maryam-vj1rb 2 หลายเดือนก่อน

    Global Tv tunawaomba fikisheni sauti yenu kwenye serekali yenu wawafungiye wa Tanzania kuingiya Oman

    • @azizirania63
      @azizirania63 2 หลายเดือนก่อน

      Mmh aje sasa

    • @Shuu.A
      @Shuu.A 2 หลายเดือนก่อน

      Viongozi wa oman wakiregea kama viongozi wa zanzibar oman itaharibiwa kama ilivoharibiwa zanzibar waharibifu wabongo wanavamia miji ya watu kama panya

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 2 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 2 หลายเดือนก่อน

      Ingekuwa pumzi wanagawa warabu wa mchongo sijui ingekuwaje mpigie simu mungu atuzibie riziki sio binadamu

  • @OmanOman-bm1lr
    @OmanOman-bm1lr 2 หลายเดือนก่อน

    Nna mengi mnoo mnoo yakuongea

  • @shamimhayat7637
    @shamimhayat7637 2 หลายเดือนก่อน

    Kuna .balozi huko aliko

  • @azizaalbreki3330
    @azizaalbreki3330 2 หลายเดือนก่อน

    Bora mufungiwe si watu wa kazi nyie

  • @salamalsawaqi1206
    @salamalsawaqi1206 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani sasa sisi hatuwatakiii watu ishi wa tz wanamenomaneno mengi lakini tu naishi na wahindi na wafilipin hatujamsika maneno ya kishamba kama haya🤔🤔

    • @FatmaAlabri-lz2cw
      @FatmaAlabri-lz2cw 2 หลายเดือนก่อน +2

      Ridhiki hutoi ww ndugu yangu.kumbuka kheri na shari zinatoka kwa Allah.unasema wasije hebu nenda airport ya Oman au muulize kaka Sele wafanyakazi w Tz wanaingia wangapi kwa mwezi.mimi nimetoka ijaza mwezi wa saba tumekuja zaidi ya 20 na tyliowaacha wapo tayari kwa safari ni 150.sasa wewe ndio serikali ya Oman zuia basi.kwanza inaonesha huwezi kukaa na mfanyakazi ,sbb imani huna,nafs ya chuki imekutawala,Allah akuhiji ww na sie

    • @salamalsawaqi1206
      @salamalsawaqi1206 2 หลายเดือนก่อน

      @@FatmaAlabri-lz2cw mbona wanawasengenya warabu halafu wa arudi kupiga malaya kwanza mimi sina mfanya kazi wa maneno neno wa tz nina muhindi wala maskini na heshima ana miaka 20 oman anaenda kwao na kurudi wala sio kujifanya bos kama wa huko Tz anataka awe bosi kama mwenyenyumba

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 2 หลายเดือนก่อน

      Sijaelewa

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 2 หลายเดือนก่อน

      Waking kifilipino unaelewa

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 2 หลายเดือนก่อน +1

      Laiti ingekuwa riziki munatowa nyie mngetunyima ata kupumuwa kwa bahati mbaya mwarabu wa mchongo

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 2 หลายเดือนก่อน

    Mie sin mkataba na nipo saw tuy niko na bataka tuy

  • @ZamdaAli
    @ZamdaAli 2 หลายเดือนก่อน

    Wanakaa magetoni umalaya Tu dd wanajiuza.tu

    • @KhairatiSulemani-t6d
      @KhairatiSulemani-t6d 2 หลายเดือนก่อน

      😂 asalimia

    • @Shuu.A
      @Shuu.A 2 หลายเดือนก่อน

      Kweli wabongo wanaongoza kwa umaya hata znz wameiharibu wao

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 2 หลายเดือนก่อน

      Kinanani hao

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 2 หลายเดือนก่อน

      Akili kichwa mwako

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 2 หลายเดือนก่อน

    Wee Mzee Mungu Akulaani. Hv rial 80 miaka 10nimep8ta tumerudi Tz hata viatu hatuna. Kwanini weupe wanalipwa 160 jadi 140

    • @SaadaAlsheibani
      @SaadaAlsheibani 2 หลายเดือนก่อน

      Ukimlani mwenzako ujue laana itaanza kwaki kwanza

  • @sabrakhamis9449
    @sabrakhamis9449 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wafanya kazi wa Tanzania nitihani sana wahuni tu hawezi kazi

    • @marthadaniel4904
      @marthadaniel4904 2 หลายเดือนก่อน +1

      Sio lazima uchukue mtanzania chukua hawa wabangalia ambao mmezoea kuwapelek bila kujali

    • @RamadhaniKitala-gx6wc
      @RamadhaniKitala-gx6wc 2 หลายเดือนก่อน +2

      Wahuni tz hata wa huko kwenu pia wahuni Mimi niliwahi kufanya kazi madame wangu anavaa nguo vimini anaenda clab anaenda mpk Dubai na yeye utamuita nani anarudi saa 9 usiku uhuni hauna sehem Wala kabila ulijue hilo

    • @RamadhaniKitala-gx6wc
      @RamadhaniKitala-gx6wc 2 หลายเดือนก่อน +1

      Alikuwa anakuja na marafiki zake wanavuta mashisha wanakuja na wanaume wa hovyo huo sio uhuni sabrakhamis acha izo usijione wew mkamirifu waombee Dua na wenzio wawe mkamirifu kama wew hii dunia upo

    • @ashaabdalla924
      @ashaabdalla924 2 หลายเดือนก่อน

      Wabongo wahuni kweli kazi yao uchafu tu kazi hamuwezi na kujiuza

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 2 หลายเดือนก่อน

      Na mwarabu wamchongo nishida wanamasimango😊😊😊😊

  • @azizaalbreki3330
    @azizaalbreki3330 2 หลายเดือนก่อน

    Mimi wanamishangaza hawa watanzania wanaosema warabu wanaroho mbaya sasa nani alie kulazimasha kuja
    Basi ni nyie tu katika hi nchi mnao teswa
    Hamuezi kazi wavivu asili yenu wavivu
    Bora kuchukuwa mfilipini mshahara 160 kuliko mtanzania ukamlipa mia na 120

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 2 หลายเดือนก่อน

      Chukua mphilipino kwan umekatazwa ? Na wenzio watachukua watz vile vile 😂😂

  • @AishAish-t1s
    @AishAish-t1s 2 หลายเดือนก่อน

    Tatizo si watu wa embasi tatizo wafanyakazi umekuja na ajeti wako unapata ushawishi unatoloka embasi mnawapa lawama tu utakI kazi ludi kwa ajeti aliyekuleta embasi awausiki nakesi hizo muhimu embas waangalie kaja na ajeti usimpokee muache aende kwa ajeti wake kama kulidishwa tanzania